BWANA UNIBADILI_ Kwaya ya Mt.Maria Goreth_Chuo kikuu- Ushirika - Moshi
Vložit
- čas přidán 3. 04. 2018
- Hii ni Kwaya ya Mt. Maria Goreth kutoka Chuo kikuu cha Ushirika - Moshi. BWANA UNIBADILI ni wimbo uliobeba jina la album yenye nyimbo za kumsifu na Kumtukuza Mungu. Tuungane nao katika kusitazama kazi hii.
Waweza pia kuwa wakala wa kuisambaza kazi hii na endapo utataka kuwasiliana nao, tumia namba hizi:
+255 654 369 810 au +255 621 065 005
Tunaposikiliza Wimbo huu tuombe kwa Mungu tuzijue Habari zake Habari za Mungu Mwana, Habari za Yesu, tuweze kufuata kwa vitendo njia za Yesu kristo. Tuendelee kusikiliza na Kutazama Maneno Matamu ya wimbo huu na Mungu azidi kutubariki. Amen
#kwayakatoliki - Hudba
Please support: www.patreon.com/user?u=77044884
pppp
Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿 ibariki Africa 🌍 na duniani nzima amina upokee maombi yetu amina
@@freddykulwa8190 1
Watoto awana pambazi
O poo 0😅😊😊😊JJIOLhj😅iuoojhulkj jhhuqqyqq I u uiioiiohbbukjjkjjbubbnnjjnnnmmmnjnhhjh juu hjjjjyhiphjk
Jioqi
Mimi ni mwana mkaya kanisa mtakatufu yo
I'm watching this 6yrs later,but the suprise part is that I'm an SDA but this song is on another level,the quality of the video,the presentation in short I felt in love with this song❤
Kama unatazama wimbo huu mwaka huu 2024 like hapa ❤❤❤
Amina bwana utubadili tukufuate wewe
napendaga sana kuangalia wimbo huu
@@user-df1gp6jr9s🙏🙏🙏
Kama nawewe unakubariki sana huu wimbo usinipite bila kulike
hiii i like this song tooo soo much
@@marieroxysaid7825 p
Nakupenda Sanaa ninz
Wimbonibutamusana
Naupenda sana
Sijawahii kujutia kuwa mkatoliki Nani anamsimamo Kama huu like plz tujuane🤣🤝🤝🤝🤝🤝
Hata mm sijutiii naipenda dini yangu sana
MUNGU awabariki waimbachi wa Rajo kwa imbajiwao mzuri,mbarikiwe Amina
😅@@floriditarimo8236
I am malawian my name blessings
Let me your name
Nabarikiwa Sana ninapouskiliza wimbo huu
Mubarikiwe kwakweli kwa nyimbo nzur
Wimbo unaosafisha roho bila shaka... Wapi likes zangu mie ni jirani yenu hapa Kenya?
Karibu tanzania mambo mazuri
Karibu tanzania mambo mazuri
Hongereni chuo cha ushirika moshi
Yesu unibariki niache Yote nikufuate wewe,,, like zen
Wapi likes za pianist
Yani kupia hii nime badi dini kwa sasa naitwa zakayo amina mutumishi
Nyimbo nzuri kabisa mungu awe pamoja nanyi,hakika nkisikiliza huu wimbo nahisi vyema katka cristo
Mwenye yuko pamoja na mimi 2021 gonga like twede sawa🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇸🇺🇸🇺🇸
Mimi nimekuwa mtu mwenye tamaa nyingi
Ninatamani kila kitu kizuri duniani
{ Bwana unibadili, niyaache yote
Bwana unibadili nikufuate wewe } *2 milele
Bwana ninakuomba unipatie msimamo
Nisimame upande wako, milele milele
Bwana yabadili matendo yangu nitendayo
Nitendayo yawe yakupendezayo wewe
Bwana zibadili njia zangu nipitiazo
Nipitie katika njia zako ee Mungu wangu
Good
Thank you for typing the lyrics
❤ I am not a Catholic but honestly speaking, this prayer song to almighty God for a complete change of behaviour & character to pursue His ways is not only speaking to my heart but also so humbling❤ Baringo Kenya❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Wonderful song. God bless the writer & the singers❤
Tamaa ya dunia eeh Mungu ni badili nikufuate wewe
This is lovely, I don't understand the language though but I love songs, their beautiful terrain I might add.
Love from Nigeria
It's simply, saying, Lord Change me, change my ways, Let me leave everything, Let me follow forever (Milele)
Thank you dear friends , I don't also understand language , but I've got to know
I am from togo , I don't understand the meaning but I love this song because is religious. I play it over and over through the day.
The main message in the song is: Change me oh LORD that I may leave all and follow you forever.
Nausikiliza wimbo huu mara si haba Kwa siku. Ni usanii uliosukwa Kwa tahadhari kubwa. Mola awajalie mema.
Bwana unibadili nikufuate wewe. Amen
Usanii wa kipekee kuwahi kuonekana katika karne hii ya 21. Mungu awajalie neema. - Francis Wangome - Mwandishi wa Kiswahili nchini Kenya.
wimbo mzuri , nimependezwa na jinsi mnavyotabasamu mkiimba. ujumbe umenigusa pia. asanteni
munguawa
balikiwale
wotewaotunga wimbo huu
naupenda sana huu wimbo ninawashukuru waimbaji ninahitaji cd
🇹🇬🇹🇬🇹🇬 je suis togolaise mais j'aime trop votre chanson ça me donne la chaire de poule.bisou à ttes les membres de votre chorale
Bienvenue au Tanzanie
Such an amazing song and it’s so wonderful to see that it’s the youth singing!!! Love from kenya 🇰🇪
Cynthia Kendi thank you
Bwana unibadili🙏love from Kenya 🇰🇪
Wameweza jamn wacha like zao apa ;; Bwn utubadili tukufate ww milele na mileeeeeeee🙏🙏
Who is watching with me January 2020 what a nice song
👋👋👋
Inspiration to many
A very nice song
Wonderful song.
I m enjoying with you and am very blessed God bless you all amen
Wameimba vizuri mno hongera sana.Nimewapenda sana.
Lord change me , leave everything and let me follow you forevermore am asking you to give me position to stand by you side forevermore thank you so much choir takatifu
October 2020 am still deep into this song....anyone else with me??
pamoja,it starts my every day,beautiful song ,nourishing indeed.
My ringtone
am here
We are together
@@severingeay158 collestine mbenzwa
Wimbo nzuri sana yanigusa from Rwanda
Ambassadar utukuzwe
Who is still watching with me February 2020🙏✊proudly to be a Christian (Roman)
Eddy's Mueller me April
Eďin add d
Editare
Barikiweni sana congratulations bwana unibadili niyaache yote nikufuate wewe 🙏🙏🙏🙏🙏
Jamani wimbo mzur sana na MUNGU awabarki sana
Who is here November 2019 love the song so much 💃💃💃
Vyema kabisaa
Hongereni Dan's wimbo
Wooow naipenda hii wimbo sana aki thank you kwa mtunzi waimbaji your rocking wallai ..God bless you all ..watching from Australia
We thank u so much stay blessed
kila kitu sawa...sauti, muonekano, video na wimbo pia
6th June,2021 the year of our lord ; who is still listening to this song. Hot cake
Who is watching with me may 2020?👍😃may God blesss u,l can,t get enough of the song,l born in catholic,raise in catholic,died in catholic,l get spiritualy uplifted throught the song,and l thank God for the blessing through the song.😘
Umegonga ndipo
@@marto555k🙏🙏🙏👏👏👏👍👍👍 thnxz bro,may God bless u .
I'm watching this year 2024❤🎉🎉🎉🎉😊😊
Kona dance ya yesu💃💃💃💃💃💃, who's watching May with me
Umenigusa wimbo huu,,,ee bwana unibadili!!!
Najivunia kuwa mkatoliki milele Amina!
Bwana awe nanyi nyote!
Same to me I like this
Awe pia nawe
perpetual wothaya Amina
🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Kwa mpigo zaidi.Najivunia pia
Naupenda Sana bwana unibadili niyaache yote
Bwana unibadili niache yote
Naupenda Sana wimbo huu Bwana unibadili.
Love this song, true bwana unibadhili niyawache yote milele
Nabarikiwa sana nikisikiliza nyimbo za katoliki.
WIMBO MTAMU SANA.NAOMBA NAMBA YA MTUNZI M.C MADBOGO.
Bwana unibadili niyaache yote nikufuate wewe mileleeeeeeeeee.
Daaaaah hakika vijana mmeimba vizuri
Nana Anasikikiza mwaka huu 2021 twende pamoja
I love these catholic song from Tanzania
Wimbo mtamu zaidi,napenda sana kuusikiza kila siku hapa Kenya
Yani uu wimbo sichoki kuutizama hakika Bwana unibadilishe nikufate wewe milele eee
hata mimi
Bwana Yesu ni mwema tumufate naye atubadilicha
Bwana unibadili nikufuate wewe. Wimbo unanibariki sana
Bwana yabadili matendo yangu nitendayo. Asante Yesu...!
It is not the melody alone does matter but mostly the message which this song carries is very appreciative. Be blessed my Dear daughters and sons. You deserve. Heko sana.
When it comes to praise and worship, the Catholic Church leads, others follow
Napenda kuskiliz nyimbo zenu zinatujenga sana katika maisha ya mkirstu nakunjua yesu kuwa alikufa na kufufuka kwa ajili yetu
Mnanifariji kutoka 🇩🇪nawapenda saana mko vizur na mzipangilia sauti vizur nawasoma5/5nawaelewa 100 /100❤️🇹🇿
This song i heard it yesterday at St Peter's Clevers Nairobi Kenya from a certain youth choir last mass then i had to search on CZcams.Congratulations Mt Maria Goreth Tanzania for good work we always appreciate you as Kenyans.
Vero Mugo I had attended that service
Thank you so much
@@vickyprosper8196 bibiria husema
I like dic song❤️
I want the video
Mimi hapa tena, I can't get enough of this song, Bwana unibadili niyaache yote....
Audifesi desderi wimbo umenibarik Kaka umetuwakilisha vyema hongera classment wet
Bwana unibadili niyaache yote nikufuate wewe milele.....MBARIKIWE SANA
Mung unibal mm mkosef amina
Hawa watu waliimba vzr tupo 2020 tunaburudika na kumtukuza mwenyezi Mungu
to y'all in 2090 we listen to this in 2023 the song is marvelous masterpiece👏👏👏
Mungu awabariki wote waliotazama leo tarehe 12.11.2021
Wooow, , nawapa 100%, , hzo step sasa ndo usiseme
Kweli kuimba mumeimba vizuriii Sana na ujumbe umefika kwa kweli I'm proud being a Catholic.
Najivunia kuwa mkathoric
Choir iko safi sana
Kazi nzuri sana, wimbo huu wabariki sana 🙏🙏
the best song ever! "nibadilishe niache yote"
gud wimbo mazuri sanaaaaa nimependa
Mungu abaki akiwa Mungu awasidishie nguvu zake katika safari hii ya kuimba🙏
Whenever I listen to this song.i always remember the time I was a alter boy in 🇨🇮 Much love ❤️ from Zambia 🇿🇲
Thanks bro,,
Congratulations
#@Omwami Wafula God bless you,Kenyans we love you ❣️❣️❣️
I like this song I first heard this song from radio Maria Uganda
@@armphib9332 b I jh by u
@@armphib9332 in NJ nvv
Maria goreth, mko vizuri sana katika kumrudishia Mungu sifa, Mungu aendelee kuwafanya chombo chake
Nice song
March 2020: This is awesome! I do not understand the language but I feel blessed by these Roman Catholic songs. Proudly Catholic from Zimbabwe!
Ua6mak1p3bxj92 ofwq
Wewe
Bwana Unibadili-God Change me
ha tiri tese wena tikunakirwa nemhanzi idzi,
@@lloydnyika8846 Team rakanyanya iri.. kungoteerera shaa lol
Very Smart kuanzia
Uimbaji
Uvaaji
Sauti
Nabarikiwa
I love this choir with beutifull children of God. Be blessed. Following Jesus.
Oooh! Angalia Vijana hawa wanavyomwimbia Mungu kwa furaha. Hakika Utukufu wake ni wa kushangaza na matendo yake ni maki hakuna kama Baba wa mbinguni.
Nyimbo tamu Sana,wachezaji wazuriu,,bwana unibadilii
D
Nataka kujiunga na nyinyi, wimbo mtamu sana hongera
Jamaani wanaimba vizuri, Sala nzuri, Vijana wazuri! Mungu Atukuzwe na Amina kwa sala nzuri
Singing is praying twice,the youth serving Christ...
Am in love with this song.keep it up!
L
P
Kwa kweli wimbo ni mzuri una maadui mazuri mnaturudisha nyumbani gospo baby
Rose swai *maudhui
Safi sana umetulia bwana unibalishe na Mimi ni wezekukutumikia vema amina
The love I have for the song is unconditional ❤️❤️❤️❤️
Vous êtes bien habillé ah! Vraiment félicitations que Dieu vous bénisse
Rajo production inafanya kaz nzuri sana,haijawah angusha mtu,😘😘nice song
Mlizaliwa cku 1 au!! Mko smart sna safi saaaana
Amina ❤❤❤❤❤tarehe 12 mwenzi 5 2024
Napenda sana kuimba kwaya na ninauona utukufu wa Mungu!!!tumsifu Yesu Kristo!!!!
Milelee amina
I love these song so much... God bless your work
Ee Mungu unibadili nikujue na nikufwate wewe Amina
Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen from Rwanda Kigali ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
This song speaks about the virtues of Saint Maria Gorret . Exactly how She pleased God in her life on earth. Be blessed. Saint Maria Gorret pray for us to say YES to Jesus and No to satan. Amen.
😂😂😂😂How can a dead pray?? Just asking for a friend 🙄🙄🙄this is practicing necromancy, wake up people, this is demonism
@@maryndumi3235 1
Hii kwaya naipenda sana,mimi pia ni mwanakwaya wa St Kizito Riruta,Nairobi Kenya
James Kaberu
Karibu tanzania
Nitumie wimbo wenu
Mungu awatie nguvu muendelee kuimba vizue
Hongera Sana mng akubark wewe na karama yako ya uimbaji Aminah 🙏🙏
hakika imeniguxa. mbarikiwe nyote waimbaji pamoja waxikilizaji🙏🙏📖⛪️💒🙏🙏
Amen
Mavazi maZur yenye heshima kweli mnaonekana mpo ndani ya yesu nawapenda sana nakuwaombea mzidi kuhubili injili kwa njia ya nyimbo mungu awabarili nyote
Kazi njema sana. Atukuzwe Mungu milele.