Mwenyeheri Isdore Bakanja - Neema Zatung'arisha (Official 4K Music Videos)
Vložit
- čas přidán 18. 01. 2024
- Karibu kusikiliza na kutazama wimbo huu uliyoimbwa na kwaya ya Mwenyeheri Isdore Bakanja - Tabata Kisiwani kwa pamoja Tumshukuru Mungu kwa neema na baraka anazotujalia maishani,
Kushukuru ni kuomba tena, neno asante kwa Mungu ni kumuomba zaidi
SUBSCRIBE, LIKE, COMMENT & SHARE
Hakika ni Neema za Mungu tu ndizo zinatung'arisha,
Hongereni sana ndugu zangu kwa kazi nzuri na yenye kumtukuza Mungu.
kazi nzuri
Manipa rahaaa❤❤❤❤
Gyaqu❤🎉🎉
Amina.
Very smart good❤
Amina.
💯💯💯💯🙌🙌🙌🤔🤔🤔
❤❤❤
Mungu azidi kuwabariki sana mbarikiwe sana sana
Amina. Tubarikiwe sote zaidi.
👏👏👏
👏👏
❤
Jamani ndugu mmefanya kazi nzuri na performance iko juu tu sana ?Mungu awazidishie baraka
Amina.
Asante kwa support yenu
👏🏽👏🏽👏🏽 Hakika neno Asante kwa Mungu ni kuomba tena 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
🎉🎉hongereni sana kazi ni nzurii Sanaa
Hongera Mpiga kinanda #Kaka Kumbe👏👏👏👏
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Hongeren san ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Amina, Ubarikiwe pia.
Weraaaaaaaaa weraaaaaaaaaaa safi sana
Kazi nzuri sana. Mbarikiwe saana
Amina
Tubarikiwe sote Pia.
Jacqie jacqie jacqie mm nilijua tuu ❤❤❤❤❤ unanipaga Raha sn mm wew mtoto
👏🏽👏🏽👏🏽
Mbarikiwe sana
Amina. Ubarikiwe pia.
Kazi nzuri sauti hazichoshi masikio,hongereni sana
Amina.
Sololist nimewapenda jaman ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Amina
Sure 👈
Jacqie umepigaje hapo😍😍😍😍😂😂
Nimefurah sana kuona kwaya yangu ikiwa hivi,penda sana bakanja
Karibu saana.
Shukran 🎉🎉🎉🎉
Donbosco media haijawahi kufell kazi nzurii aisee jamn hyo sololist wa kike anaitwa nan hata jina tumjuee❤❤❤❤❤❤❤😅😅😅😅😅🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hongera Sana Mwanangu Jack Solo
Ningejisikia Faraja Sana.
Hongera kwaya na mpiga kinanda
Kazi nzuri sanaa.
Amina.
Kaz nzur sana
Nibebarikiwa sana kupitia huu wimbo, Mungu awafikishe mbali
Amina. Ubarikiwe zaidi.
Jacqie🎉❤❤ hakika neema zimekung'arisha
Hongereni sana Kwa kazi nzuri yenye viwango vya Hali ya juu . Mungu azidi kuwabariki sn
Amina.
Mungu na-endelea kutung'arisha kwa Neem Zak
❤
Amina.
Hongereni sana wana Bakanja👏👏👏
Amina.
PAVEKO chukua Peps BIG ..... Congratulations Saint Isidor Bakanja Choir. Amusing Voices oooh proud of Catholic Music
Amina.
Mungu awabariki
Amina. Tubarikiwe sote.
Isee Kazi nzuri sana iliyotukukaa, Mungu awazidishie Baraka zaidi
Jamani huyo Binti aliyeimba solo hapo nimempenda natamani awe mwanangu wa kiroho❤ hongereni kwa kaz nzr🎉🎉🎉
Amina. Imefika.
Kazi nzuri, Mwenyezi-Mungu azidi kuwabariki
Amina.
Amina
Gyakiequeen umepigaje hapo👑😅😅 🎉❤❤❤❤ hongeleni jomn
Amina, karibu tujumuike pamoja.
Good song🎉🎉🎉
Amen
Very nice
Amen
kongole vijana
Amina.
I like it
Amen
Haiboi haikeri,,jaman waliupga mzik mtakatifu ,hongereni sana team nzma,,bila kuwasahau don bosco media
Amina.
Asante sna wanabakanja Kwa ujumb mzuri SNa.Hakika neema zatung'arisha.
HONGERA Sana Donbosco media Kwa KAZI NZURI sanaaa
Amina.
Amen 🙏
Kwelii asant
🎉🎉🎉🎉 neema zatung'arisha
Amina. Ziendelee kutung'arisha
Hongera kwa utume kazi nzuri Sana Mungu awabariki Sana
Amina.
👏🏽👏🏽👏🏽 Hongereni sana
Amina.
Nyimbo nzuri sana hongereni sana
Amina.
Asante kwa ujumbe huyo muliyo itwa kupasha dunia nzima.nawapenda sana. Nipo hapa Goma/ndosho.
Amina.
@@mwenyeheriisdorebak3058 nashukuru sana. Nina wapenda sana. Nikawatumiya number yangu ya whatsapp itakuwa possible mukuwe nanitumiya kunyimbo? Munisaidiye tu. Nawapenda sana.
Tukiwa kwenye ujenzi pia magonjwa "NEEMA ZATUNG'ARISHA"
Amina
Kazi ni nzuri sana,
Hongereni
Amina
Hongereni Sanaa asee, kazi nzuri👏👏👏👏
Amina
Paroko nakuona huna baya mwalimu kathbet.peponi mojakwamoja
Keep up my sister and don't loose that producer is good, you have made it
This is so cool, im so breased with this song
Your so wonderfull
Thank you for your support, don't histate to subscrib
🎉🎉🎉more blessed bakanja singers🎉🎉
Ameen.
Safii hongereni sana waimbaji kazi nzuri sana🌹🥰
Amina, Neema ziendelee kutung'arisha
Nimebarikiwa sana jamani hakika ni miaka mingi imepita
Amina
Good one
Wow kaz nzuri😊
Amina.
Mngunimwema mmepambana
kaz ni nzuli aise
Amina.
👏👏👏
❤
Kaz nzur sana
Amina.
❤