Galilaya Central SDA Choir(GC)-Sheria. (Official Video)
Vložit
- čas přidán 19. 05. 2023
- Zingatia maneno saba tu katika wimbo huu utakuwa umeelewa wimbo wote.
Tungejua vipi DHAMBI bila kuwepo SHERIA ndipo NEEMA ikashuka ikaletwa na MWOKOZI na hiyo INJILI yake yeye aliyokuja nayo MWOKOZI ikatengeneza KANISA na WACHUNGAJI wahubiri.
Hitimisho ni kwamba twaokolewa kwa neema yake Yesu Kristo,bila kupuuzia sheria yake Bwana maana sheria inaonyesha dhambi zetu na neema ya Bwana inatuokoa. - Hudba
Kwanza hamuna mambo mengi sana hamsuki hamjipambi sana kweli nawapenda sana
Wimbo mzuri, fundisho bainifu la wimbo, mavazi yapatanayo na uchaji Mungu wa kweli, muonekano wa kicho. Basi ashukuriwe Mungu aliyewaongoza kufanya hivyo, maana suala la mavazi ni upepo mkali sana unaosomba wanawake wengi jehanamu. Waimbaji wanaovaa kama wa kidunia na mapambo ya nywele za bandia, ni mawakala wa kuwafukuza waislamu wasione kuwa ukristo ni dini ya adililifu katika unyenyekevu wa kweli unaowezekana kadri ya ufanywaji upya wa moyo kupitia neema yake. Maadui wakubwa wa wapagani na waislamu ni wakristo wenyewe kwa mienendo yao miovu isiyopatana na utauwa. Ashukuriwe Mungu Baba na Bwana wetu Yesu Kristo aliyetiwa Muhuri na Baba afaye upya ndani yetu. Neema iongezwe kwetu katika kumjua ipasavyo ili walio nje ya Kristo wasione makwazo kwetu.
Ahsante sana..
Naisubr kwa ham sheria kutoka galilaya
Touching beats good n blessed song
kwanzia nywele, long dress,white attire, utunzi na ubunifu WA kipekee, Mungu awahifadhi na awinuie siko zote za maisha na mzidi kumtumikia
Ahsante sana
Mvp hongereni kwa nzuri.picha nzuri, (mpangilio) mwonekano na n.k
Amina; Barkiweni sana watumishi WA Mungu Kwa KAZI NZURI na NJEMA.
"Kwa pamoja we are one in the family of God"
Waoooo wimbo mzuri sana hauchoshi kusikiliza,Mungu awabariki sana.
KAZI zenu ni nzuri Sana MUNGU awalinde
Mungu awabariki sana, mzidi kumuinua Yesu watu wote wamwone 🙏🙏
Barikiweni Sana Kwa kujitoa kwenu kumtumikia MUNGU 🎤🎶🙏
Hakika nyimbo zenu huwa zinanibariki naipenda sna hii kwaya
Mungu awa bariki wapendwa🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Amen and Amen. Twaokolewa kwa neema bila kupuuza sheria...
Get blessed wimbo mzuri,inspired by you spread the gospel
Wimbo ulio na mahubiri tosha, hubiri kamilivu.
A whole sermon Law,sin, grace , Savior (Christ), Good news (Salvation), Church and Pastors. How they relate.Wonderful!
Congrats sana kwa wimbo mtamu
Hata mimi nafurahi sana mnavyomwimbia Mungu kwa furaha na Amani. Mungu awabariki mno mno
Ni kitu cha kuigwa
Huu wimbo wa kiinjilisti kabisa huu, mbarikiwe waimbaji
MUNGU aitwe tu MUNGU mnahubiri sana maana wanavutwa naye roho wake njonii tukamilishe kazi yake aliyo twambia i really blessed.
Kwa kwelimnanibariki sana
Mbarikiwe sana wapenzi.Mungu aende mbele yenu
Hakika Mungu awabaliki kwa huu ujumbe mkali.Kwa ukweli injili imesambazwa Kila pembe la dunia.
Galilaya nawapenda sana Mungu awabariki sana kwa mahubiri yenu jina la yesu kristo liinuliwe
So wonderful ❤...May God uplift you in the ministry 🙏🏽🙏🏽
Mungu baba awasimamie nyimbo nzuri sana imetulia hadi inanipa amani ya Moyo 🙏👏
Amen Mungu ashukuriwe
Jamani twaisubiria kwa hamu sana
Wimbo mzuri sana, Mungu atusaidie tukaimbe mbinguni
wimbo huu nimeupenda natamani siku moja tuimbe pamoja mungu awabariki
Hakika mnanibariki sana Mungu awabariki mnooo ktk kuifanya kaz yake
blessed alot,,,Mungu azidi kuwabariki saana
Aliyetunga huuu wimbo Mungu ambaliki Kwa kipaji hiki pia waimbaji Mungu awabariki Sanaa kwakwel ninabarikiwa Sanaa na huu wimbo
Wonderfully sang.God bless you.
Bwana awabariki Sana Sana azidi kuwainua ili muenderee kumtumikia bwana kwaunyenyekevu zaidi unyenyekevu wenu unalipa
Amen Pr .
Your songs are so blessing and encouraging....keep the fire burning
Hakika mmetengeneza video nzuri love you guys
Wimbo mzur sana nimeutafuta kwa muda mrefu sana Mbarikiwe sana Watumishiiii
Asante Bwana Yesu sasa nmeelewa kupitia wimbo huu
Asanteni sana kwaya ya garilaya kutubariki mazimbu
Mungu awabariki sana
Tubarikiwe wote
Piga kazi na mbarikiwe sanaaaaaa ♥️
Amina sana edina
Hakika muko vizuri MUNGU awabariki
Muzidi barikiwa nawapenda
Mbarikiwe mnoo kwakweli ninyi ndio waimbaji Sasa wasabato harisi hamchezi hamsuki kwakweli mbarikiwe
Nakubaliana nawe Kabisa,they are the only SDA members that have remained standing
Jamani huuu wimbo unanibariki saana,, na umenifundisha mahisiano kati ya shetlria na neeema,, galilaya barikiweni mnoo,,
Amen
Mbarikiwe sanaa bando lanqu linaishiaqa kwenye huo wimbo unaniqusa sanaaa
Nawaombea sana watumishi wa Mungu kwa huduma yenu njema
Amen ubarikiw
Mungu awabariki sana ❤❤
Wimbo mtamu sana naomba nimjue mtunzi wa huu wimbo anitungie hata mmoja. Hongera sana kwake
ukimpata na mimi namuhitaji duuuu hongera zake
Barikiweni Sana wapendwa 🙏
Wìmbo safiii, Ujumbee full na video swafii. Mbarikiwe
Ooh waoooh aminaaa barikiwenii sanaaa
Love the simplicity and natural beauty. God bless you all.
Really men and women of God. Be blessed brethren & sisters.
Nimewapata vyema nimebarikiwa mnoo
Yani kwaya hii mmeimba vizuli Sana mung awape nguvu msonge mbele
Amen
Glory to God give us all your songs in English all thanks to the mighty
Safi Sana,ongera wana wa Mungu
THIS SONG IS NUMBER ONE , AMEN. SO LOVELY TO ALL PRESENTERS .
Mmeimba vzr Sana songeni mbele
Absolute truth in this inspired piece! 💯
Your songs are a blessing. 🙏
#KENYA
Mungu awabariki wimbo unangsa
Bwana awabariki songa mbele
Mbarikiwe sanaaaa❤❤❤❤❤
Mungu awabariki kwa ujumbe mzuri
Amina
Ujumbe mzuri sana,you humble my heart,Mungu awabariki sana
Stlye yenu nmeipenda San mnahubri injil kutokan na muonekano wenuuuuuu
SHALOME WAPENDWA KATIKA KRISTO.
Kwa kweli Mungu azidi kuwa nanyi katika safari ya wokovu na azidi kuhimarisha huduma hiyo ambayo hadi sasa ni Mungu peke yake ndiye ajuwaye myoyo inayo okolewa piya inayo rejeshwa kupitiya kazi hiyo Mungu awajaze zahidi nguvu za roho mtakatifu injili ifike pote.
Nime barikiwa.
Amen
Amazing God bless all 🙏🇰🇪🇺🇸
Waoh!wimbo wenu umenibariki sana,Hongereni sana🥰,Thanx Anecia Pontian for the link’ u shared
Mungu awabariki galilaya choir nimeumpenda wimbo n mzuri msonge mbele
Mungu hawazidishie chakula cha kila siku ,nimependa wimbo huu
Nimebalikiwa sana nawimbo wa shelia mungu awabaliki sana tukopamojaaa sana namkazane mkaimbe nambinguni pia asanteniii sana 🐦🐦🐦
Daah ukisikiliza nyimbo za kumtukuza Mungu zinatutia nguvu zinatuliwaza ata kama ulikuwa na mawazo yanaondoka
Hakika mkuu wa mavazi anajua jinsi ya kuwapendezesha napenda nyimbo zenu sana mbalikiwe sana
Amen
Kwaya yangu pendwa❤
Ubarikiwe
Mbalikiwe wimbo unaujumbe
Mmeupiga Mwingi sana.MUNGU Azidi kuwatumia kupeleka ujumbe.
Ufafanuzi na ufunuo mzito jinsi kazi ya MUNGU inavyotenda kazi chini ya mbingu!
Mbarikiwe sana kwa wimbo mzuri wana wa MUNGU na kwa sauti zilizofanana na malaika wake mbinguni wanaomwabudu MUNGU usiku na mchana
Amen
The day I listened to this song I was tremendously blessed. One of the best Kiswahili songs I and my friends have listened to time and again. A song that weaves the law, grace, Christ, gospel, church and messengers (including all believers) into one institution saving humanity from sin. And recording, very wow and an exquisite class!!! I suggest that you compose seven more songs, each expounding every element above. Ashante pia kujumuhisha hawa wachungaji wawili ambao walikuwa wanafunzi wangu katika siku za nyuma. I am glad to see their faces. God bless your ministry.
Huu wimbo nimerudia kuuangalia maranyingi zaidi Mungu awaongoze
Amazing beautiful 🥰
Woooooooow... Am blessed. God bless you for teaching us the relationship of the five pillars of faith
Hongereni Sana ,,,, Galilaya wimbo no mzuri Sana,,,,,
Nawapenda sana❤❤❤❤❤
Ahsant sana tunakupenda pia
Wimbo wenu umenibark sana nawaombea mfke mbali tuko pamoja
May God bless the choir. Just summarized the Law and Grace❤❤❤
Mungu awabariki hiyo nyimbo ninapo isikiliza machozi hutoka inanibarik sana
Barikiweni sana sana.Mungu wa mbinguni awahifadhi
Mnaimba vizr san endeleeni na moyo wa umoja❤
Amen alléluia félicitations
Mbarikiwe jamani
Huwa nasikia Amani nikisokia Kwa ya yenu Mungu awabariki msonge mbele Kwa Injili
Amen
Ameen wimbo wa sheria ni wimbo ambao umenbariki sana
Am really blessed by your songs Galilaya choir Glory to God
Wimbo huu unanibariki sana, mwende mbali❤
Mnapendeza, wimbo mzuri pia..Mungu awabariki ❤😊
Amen
Continue preaching the gospel of Jesus Christ through songs you are amazing
Kazi jema
Waoooh wonderful nice song
Wimbo mzurii sana Mungu awabariki❤🙏
Hongera, kongole sana na baraka ziwafuate
Amina kubwa sana hakika inapendeza sana kuwaona ndugu zangu wa damu na marafiki zangu tulosali pamoja kipindi nipo mazingira ya karibu na Kanisa hili nawapenda sana wote❤
Niwawapi hawa
@@LuhanyaMipawantobi-pj1iu Gezaulole-Kigamboni -Dar es salaam
Amazing good song🙏💦
Wow so marvelous watching from Jos Nigeria
Mungu aendelee kuwatia nguvu barikiwa sanaaa