Galilaya Central SDA Choir(GC)-Sheria. (Official Video)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 05. 2023
  • Zingatia maneno saba tu katika wimbo huu utakuwa umeelewa wimbo wote.
    Tungejua vipi DHAMBI bila kuwepo SHERIA ndipo NEEMA ikashuka ikaletwa na MWOKOZI na hiyo INJILI yake yeye aliyokuja nayo MWOKOZI ikatengeneza KANISA na WACHUNGAJI wahubiri.
    Hitimisho ni kwamba twaokolewa kwa neema yake Yesu Kristo,bila kupuuzia sheria yake Bwana maana sheria inaonyesha dhambi zetu na neema ya Bwana inatuokoa.
  • Hudba

Komentáře • 371

  • @user-ho8wh6xp1f
    @user-ho8wh6xp1f Před rokem +4

    Kwanza hamuna mambo mengi sana hamsuki hamjipambi sana kweli nawapenda sana

  • @willymwaipaja6783
    @willymwaipaja6783 Před rokem +5

    Wimbo mzuri, fundisho bainifu la wimbo, mavazi yapatanayo na uchaji Mungu wa kweli, muonekano wa kicho. Basi ashukuriwe Mungu aliyewaongoza kufanya hivyo, maana suala la mavazi ni upepo mkali sana unaosomba wanawake wengi jehanamu. Waimbaji wanaovaa kama wa kidunia na mapambo ya nywele za bandia, ni mawakala wa kuwafukuza waislamu wasione kuwa ukristo ni dini ya adililifu katika unyenyekevu wa kweli unaowezekana kadri ya ufanywaji upya wa moyo kupitia neema yake. Maadui wakubwa wa wapagani na waislamu ni wakristo wenyewe kwa mienendo yao miovu isiyopatana na utauwa. Ashukuriwe Mungu Baba na Bwana wetu Yesu Kristo aliyetiwa Muhuri na Baba afaye upya ndani yetu. Neema iongezwe kwetu katika kumjua ipasavyo ili walio nje ya Kristo wasione makwazo kwetu.

  • @piusmwandu8352
    @piusmwandu8352 Před rokem +4

    Naisubr kwa ham sheria kutoka galilaya

  • @thomasasiago3308
    @thomasasiago3308 Před rokem +2

    kwanzia nywele, long dress,white attire, utunzi na ubunifu WA kipekee, Mungu awahifadhi na awinuie siko zote za maisha na mzidi kumtumikia

  • @johnsonjuliusmassaka5519

    Mvp hongereni kwa nzuri.picha nzuri, (mpangilio) mwonekano na n.k

  • @IssackMhandi-qx8xv
    @IssackMhandi-qx8xv Před rokem +2

    Amina; Barkiweni sana watumishi WA Mungu Kwa KAZI NZURI na NJEMA.
    "Kwa pamoja we are one in the family of God"

  • @monicamtenga
    @monicamtenga Před rokem +2

    Waoooo wimbo mzuri sana hauchoshi kusikiliza,Mungu awabariki sana.

  • @elwinmlaponi1084
    @elwinmlaponi1084 Před rokem +2

    KAZI zenu ni nzuri Sana MUNGU awalinde

  • @rosemsemo1291
    @rosemsemo1291 Před rokem +2

    Mungu awabariki sana, mzidi kumuinua Yesu watu wote wamwone 🙏🙏

  • @ZacharyNyaraja-oz6nh
    @ZacharyNyaraja-oz6nh Před rokem +2

    Barikiweni Sana Kwa kujitoa kwenu kumtumikia MUNGU 🎤🎶🙏

    • @jessicalarsen9609
      @jessicalarsen9609 Před rokem

      Hakika nyimbo zenu huwa zinanibariki naipenda sna hii kwaya

  • @hagaimwakalukwa9279
    @hagaimwakalukwa9279 Před rokem +2

    Mungu awa bariki wapendwa🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @releiabby6201
    @releiabby6201 Před rokem +3

    Amen and Amen. Twaokolewa kwa neema bila kupuuza sheria...

  • @riockychacha
    @riockychacha Před rokem +2

    Get blessed wimbo mzuri,inspired by you spread the gospel

  • @meshacknyabasa6648
    @meshacknyabasa6648 Před 11 měsíci +3

    Wimbo ulio na mahubiri tosha, hubiri kamilivu.

    • @meshacknyabasa6648
      @meshacknyabasa6648 Před 11 měsíci

      A whole sermon Law,sin, grace , Savior (Christ), Good news (Salvation), Church and Pastors. How they relate.Wonderful!

  • @edinahochiche4718
    @edinahochiche4718 Před rokem +2

    Congrats sana kwa wimbo mtamu

  • @loycep7785
    @loycep7785 Před 11 měsíci +1

    Hata mimi nafurahi sana mnavyomwimbia Mungu kwa furaha na Amani. Mungu awabariki mno mno
    Ni kitu cha kuigwa

  • @edwardmlay994
    @edwardmlay994 Před rokem +1

    Huu wimbo wa kiinjilisti kabisa huu, mbarikiwe waimbaji

  • @amosmramba
    @amosmramba Před 10 měsíci +1

    MUNGU aitwe tu MUNGU mnahubiri sana maana wanavutwa naye roho wake njonii tukamilishe kazi yake aliyo twambia i really blessed.

  • @EstherMayenga-oh9wg
    @EstherMayenga-oh9wg Před rokem +1

    Mbarikiwe sana wapenzi.Mungu aende mbele yenu

  • @zablon-bp1he
    @zablon-bp1he Před 11 měsíci +1

    Hakika Mungu awabaliki kwa huu ujumbe mkali.Kwa ukweli injili imesambazwa Kila pembe la dunia.

  • @bellimarwa5454
    @bellimarwa5454 Před rokem +1

    Galilaya nawapenda sana Mungu awabariki sana kwa mahubiri yenu jina la yesu kristo liinuliwe

  • @shemokongo9379
    @shemokongo9379 Před 17 dny +1

    So wonderful ❤...May God uplift you in the ministry 🙏🏽🙏🏽

  • @franksimo8214
    @franksimo8214 Před rokem +1

    Mungu baba awasimamie nyimbo nzuri sana imetulia hadi inanipa amani ya Moyo 🙏👏

  • @elizabethmakemo7928
    @elizabethmakemo7928 Před rokem +1

    Jamani twaisubiria kwa hamu sana

  • @chedielmseli8017
    @chedielmseli8017 Před 8 měsíci +1

    Wimbo mzuri sana, Mungu atusaidie tukaimbe mbinguni

  • @EvaSosola-qj3mo
    @EvaSosola-qj3mo Před 9 měsíci +1

    wimbo huu nimeupenda natamani siku moja tuimbe pamoja mungu awabariki

  • @MarryMbwamboameen-gl7lt
    @MarryMbwamboameen-gl7lt Před 6 měsíci +1

    Hakika mnanibariki sana Mungu awabariki mnooo ktk kuifanya kaz yake

  • @JUMANNEKIMIRA-kx8zs
    @JUMANNEKIMIRA-kx8zs Před rokem +1

    blessed alot,,,Mungu azidi kuwabariki saana

  • @yelivideoproduction9599
    @yelivideoproduction9599 Před 8 měsíci +2

    Aliyetunga huuu wimbo Mungu ambaliki Kwa kipaji hiki pia waimbaji Mungu awabariki Sanaa kwakwel ninabarikiwa Sanaa na huu wimbo

  • @franklinoogaatuma3849
    @franklinoogaatuma3849 Před 28 dny +1

    Wonderfully sang.God bless you.

  • @prmasinde1773
    @prmasinde1773 Před rokem +1

    Bwana awabariki Sana Sana azidi kuwainua ili muenderee kumtumikia bwana kwaunyenyekevu zaidi unyenyekevu wenu unalipa

  • @reubenshikulu3189
    @reubenshikulu3189 Před rokem +1

    Your songs are so blessing and encouraging....keep the fire burning

  • @NipaelJackson-qy3sq
    @NipaelJackson-qy3sq Před 6 měsíci +1

    Hakika mmetengeneza video nzuri love you guys

  • @brunotullo8238
    @brunotullo8238 Před měsícem

    Wimbo mzur sana nimeutafuta kwa muda mrefu sana Mbarikiwe sana Watumishiiii

  • @Ldm7846
    @Ldm7846 Před rokem +1

    Asante Bwana Yesu sasa nmeelewa kupitia wimbo huu

  • @AmosiYoyo
    @AmosiYoyo Před 24 dny +2

    Asanteni sana kwaya ya garilaya kutubariki mazimbu

  • @edinatabonwa3155
    @edinatabonwa3155 Před rokem +1

    Piga kazi na mbarikiwe sanaaaaaa ♥️

  • @user-op6uz9rr2l
    @user-op6uz9rr2l Před 2 měsíci +1

    Hakika muko vizuri MUNGU awabariki

  • @dollamarwa7890
    @dollamarwa7890 Před rokem +1

    Muzidi barikiwa nawapenda

  • @delickmarco3945
    @delickmarco3945 Před 11 měsíci +1

    Mbarikiwe mnoo kwakweli ninyi ndio waimbaji Sasa wasabato harisi hamchezi hamsuki kwakweli mbarikiwe

    • @simionlumwachi7651
      @simionlumwachi7651 Před 11 měsíci

      Nakubaliana nawe Kabisa,they are the only SDA members that have remained standing

  • @rosecharles6821
    @rosecharles6821 Před rokem +1

    Jamani huuu wimbo unanibariki saana,, na umenifundisha mahisiano kati ya shetlria na neeema,, galilaya barikiweni mnoo,,

  • @user-fh1gh4eo9r
    @user-fh1gh4eo9r Před 11 měsíci +1

    Nawaombea sana watumishi wa Mungu kwa huduma yenu njema

  • @nancycharles4294
    @nancycharles4294 Před rokem +1

    Mungu awabariki sana ❤❤

  • @brianmbusiro1651
    @brianmbusiro1651 Před rokem +1

    Wimbo mtamu sana naomba nimjue mtunzi wa huu wimbo anitungie hata mmoja. Hongera sana kwake

  • @godwinbakaza2441
    @godwinbakaza2441 Před rokem +1

    Barikiweni Sana wapendwa 🙏

  • @stevenbamba7489
    @stevenbamba7489 Před rokem

    Wìmbo safiii, Ujumbee full na video swafii. Mbarikiwe

  • @zuuyonah-mk8xr
    @zuuyonah-mk8xr Před rokem +1

    Ooh waoooh aminaaa barikiwenii sanaaa

  • @user-pk4rc1uv6l
    @user-pk4rc1uv6l Před 5 měsíci +1

    Love the simplicity and natural beauty. God bless you all.

  • @samweloricho4577
    @samweloricho4577 Před 9 měsíci +1

    Really men and women of God. Be blessed brethren & sisters.

  • @elizabethmakemo7928
    @elizabethmakemo7928 Před rokem +1

    Nimewapata vyema nimebarikiwa mnoo

  • @user-ce5yu5uq3h
    @user-ce5yu5uq3h Před 10 měsíci +1

    Yani kwaya hii mmeimba vizuli Sana mung awape nguvu msonge mbele

  • @user-nh7ln7ic8p
    @user-nh7ln7ic8p Před rokem +1

    Glory to God give us all your songs in English all thanks to the mighty

  • @user-ex2li6rz9o
    @user-ex2li6rz9o Před 11 měsíci +1

    Safi Sana,ongera wana wa Mungu

  • @wilfred6309
    @wilfred6309 Před 5 měsíci +1

    THIS SONG IS NUMBER ONE , AMEN. SO LOVELY TO ALL PRESENTERS .

  • @nyamgarurijaphet4003
    @nyamgarurijaphet4003 Před 11 měsíci +1

    Mmeimba vzr Sana songeni mbele

  • @WeisikoCK
    @WeisikoCK Před 11 měsíci +1

    Absolute truth in this inspired piece! 💯
    Your songs are a blessing. 🙏
    #KENYA

  • @marthaamosimaduhu1206
    @marthaamosimaduhu1206 Před 11 měsíci +1

    Mungu awabariki wimbo unangsa

  • @MatridaBange-qw9ll
    @MatridaBange-qw9ll Před rokem +1

    Bwana awabariki songa mbele

  • @user-zw2go3hk3e
    @user-zw2go3hk3e Před 9 měsíci +1

    Mbarikiwe sanaaaa❤❤❤❤❤

  • @adv.benedictpius
    @adv.benedictpius Před rokem +1

    Mungu awabariki kwa ujumbe mzuri

  • @benardotuoma59
    @benardotuoma59 Před rokem

    Ujumbe mzuri sana,you humble my heart,Mungu awabariki sana

  • @user-hx7uy7is3f
    @user-hx7uy7is3f Před 9 měsíci +1

    Stlye yenu nmeipenda San mnahubri injil kutokan na muonekano wenuuuuuu

  • @mulendabenjamin4273
    @mulendabenjamin4273 Před rokem

    SHALOME WAPENDWA KATIKA KRISTO.
    Kwa kweli Mungu azidi kuwa nanyi katika safari ya wokovu na azidi kuhimarisha huduma hiyo ambayo hadi sasa ni Mungu peke yake ndiye ajuwaye myoyo inayo okolewa piya inayo rejeshwa kupitiya kazi hiyo Mungu awajaze zahidi nguvu za roho mtakatifu injili ifike pote.
    Nime barikiwa.

  • @user-lw7jj8fw1z
    @user-lw7jj8fw1z Před 8 měsíci +1

    Amazing God bless all 🙏🇰🇪🇺🇸

  • @user-jf1yd4oi4w
    @user-jf1yd4oi4w Před rokem

    Waoh!wimbo wenu umenibariki sana,Hongereni sana🥰,Thanx Anecia Pontian for the link’ u shared

  • @user-jx9kb8rn3v
    @user-jx9kb8rn3v Před 8 měsíci

    Mungu awabariki galilaya choir nimeumpenda wimbo n mzuri msonge mbele

  • @elishaowuorongoro3843
    @elishaowuorongoro3843 Před 10 měsíci

    Mungu hawazidishie chakula cha kila siku ,nimependa wimbo huu

  • @ladykabula
    @ladykabula Před rokem

    Nimebalikiwa sana nawimbo wa shelia mungu awabaliki sana tukopamojaaa sana namkazane mkaimbe nambinguni pia asanteniii sana 🐦🐦🐦

  • @danielalfred6841
    @danielalfred6841 Před 10 měsíci

    Daah ukisikiliza nyimbo za kumtukuza Mungu zinatutia nguvu zinatuliwaza ata kama ulikuwa na mawazo yanaondoka

  • @user-xc5wx6et5q
    @user-xc5wx6et5q Před 4 měsíci

    Hakika mkuu wa mavazi anajua jinsi ya kuwapendezesha napenda nyimbo zenu sana mbalikiwe sana

  • @neemaherman5834
    @neemaherman5834 Před rokem +1

    Kwaya yangu pendwa❤

  • @PhabianDaniel-sj5yx
    @PhabianDaniel-sj5yx Před 10 měsíci +1

    Mbalikiwe wimbo unaujumbe

  • @AlliMtongole-vx1gc
    @AlliMtongole-vx1gc Před rokem

    Mmeupiga Mwingi sana.MUNGU Azidi kuwatumia kupeleka ujumbe.

  • @chrisshonga
    @chrisshonga Před rokem

    Ufafanuzi na ufunuo mzito jinsi kazi ya MUNGU inavyotenda kazi chini ya mbingu!
    Mbarikiwe sana kwa wimbo mzuri wana wa MUNGU na kwa sauti zilizofanana na malaika wake mbinguni wanaomwabudu MUNGU usiku na mchana

  • @kisuky1259
    @kisuky1259 Před 8 měsíci

    The day I listened to this song I was tremendously blessed. One of the best Kiswahili songs I and my friends have listened to time and again. A song that weaves the law, grace, Christ, gospel, church and messengers (including all believers) into one institution saving humanity from sin. And recording, very wow and an exquisite class!!! I suggest that you compose seven more songs, each expounding every element above. Ashante pia kujumuhisha hawa wachungaji wawili ambao walikuwa wanafunzi wangu katika siku za nyuma. I am glad to see their faces. God bless your ministry.

  • @meshacknyandongo577
    @meshacknyandongo577 Před 8 měsíci

    Huu wimbo nimerudia kuuangalia maranyingi zaidi Mungu awaongoze

  • @joanmogaka404
    @joanmogaka404 Před rokem +1

    Amazing beautiful 🥰

  • @CarrenMKepha
    @CarrenMKepha Před 23 dny

    Woooooooow... Am blessed. God bless you for teaching us the relationship of the five pillars of faith

  • @MagrethDeogratias
    @MagrethDeogratias Před 6 měsíci

    Hongereni Sana ,,,, Galilaya wimbo no mzuri Sana,,,,,

  • @UshindichoirMusique
    @UshindichoirMusique Před 3 měsíci +1

    Nawapenda sana❤❤❤❤❤

  • @user-wd1es6qe2v
    @user-wd1es6qe2v Před 11 měsíci

    Wimbo wenu umenibark sana nawaombea mfke mbali tuko pamoja

  • @ezramairura7813
    @ezramairura7813 Před rokem

    May God bless the choir. Just summarized the Law and Grace❤❤❤

  • @BETTYHAMARO-oj3go
    @BETTYHAMARO-oj3go Před 9 měsíci

    Mungu awabariki hiyo nyimbo ninapo isikiliza machozi hutoka inanibarik sana

  • @user-by4vz2ux8e
    @user-by4vz2ux8e Před 9 měsíci

    Barikiweni sana sana.Mungu wa mbinguni awahifadhi

  • @user-zr2vp8uw4f
    @user-zr2vp8uw4f Před 8 měsíci

    Mnaimba vizr san endeleeni na moyo wa umoja❤

  • @user-qo5hy5ll8z
    @user-qo5hy5ll8z Před 5 měsíci +1

    Amen alléluia félicitations

  • @user-gd3ir7pg1r
    @user-gd3ir7pg1r Před 11 měsíci +1

    Mbarikiwe jamani

  • @user-lx2bo2ps3u
    @user-lx2bo2ps3u Před 10 měsíci

    Huwa nasikia Amani nikisokia Kwa ya yenu Mungu awabariki msonge mbele Kwa Injili

  • @Silas-kp3uq
    @Silas-kp3uq Před 5 měsíci

    Ameen wimbo wa sheria ni wimbo ambao umenbariki sana

  • @eddieabbie1563
    @eddieabbie1563 Před měsícem

    Am really blessed by your songs Galilaya choir Glory to God

  • @WilheliminaMatekere-rc5gy
    @WilheliminaMatekere-rc5gy Před 5 měsíci

    Wimbo huu unanibariki sana, mwende mbali❤

  • @nellykavutha9926
    @nellykavutha9926 Před 2 měsíci

    Mnapendeza, wimbo mzuri pia..Mungu awabariki ❤😊

  • @user-lh9vu3vc3l
    @user-lh9vu3vc3l Před 11 měsíci

    Continue preaching the gospel of Jesus Christ through songs you are amazing

  • @user-un1bf1mo5r
    @user-un1bf1mo5r Před 10 měsíci +1

    Kazi jema

  • @user-vb9nd4bp1r
    @user-vb9nd4bp1r Před 9 měsíci

    Wimbo mzurii sana Mungu awabariki❤🙏

  • @HesbonOdhiambo-sw7vl
    @HesbonOdhiambo-sw7vl Před rokem

    Hongera, kongole sana na baraka ziwafuate

  • @fredyjohn7499
    @fredyjohn7499 Před rokem

    Amina kubwa sana hakika inapendeza sana kuwaona ndugu zangu wa damu na marafiki zangu tulosali pamoja kipindi nipo mazingira ya karibu na Kanisa hili nawapenda sana wote❤

  • @EunyGati-cw6yl
    @EunyGati-cw6yl Před rokem +1

    Amazing good song🙏💦

  • @user-qp6wv1qh9i
    @user-qp6wv1qh9i Před 5 měsíci

    Wow so marvelous watching from Jos Nigeria

  • @JonathanMidende-zz7fb
    @JonathanMidende-zz7fb Před 9 měsíci

    Mungu aendelee kuwatia nguvu barikiwa sanaaa