Amina. Mungu awakubuke kwauibaji wenu 🥀🥀🌹♥️♥️♥️
Waah 🤗🤗❤️❤️❤️
Mungu awape wepes❤❤
Hongeren san nimepend utulivu wa kutosha mungu azid i kuwabalik zaid
Safi ❤
So inspiring love it
Amen
Kwa kweli huu wimbo una utamu wa kipekee... Bwana Shimanyi kila time. Keep up the pace
Mungu atanibariki anavyopenda,ujumbe mzuri sana ,
Ongereni Sanaa!! 🎉
Asateni Sana Mungu akuongezee maarifa ba Neema zake Amina ❤🎉
hongereni na baraka za mungu ziwe juu yenuu❤❤❤❤😂🎉🎉🎉🎉
Wimbo safi kwel, mwenyezi mungu wabariki❤❤❤❤❤❤🎉
Good work
Ujumbe mzuri aisee hongereni wanakwaya hongera pia mtunzi
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Ujumbe mzuri na uimbaji mzuri. Hongeren sana wana kumsenga
❤❤❤mambo mazuri yako Cgen pro wajamen🔥🔥🔥
Hongereni sana kagez, kazi nzuri sana Mungu azidi kuwapa nguvu ktk kuhubiri kwa njia ya nyimbo
Waaaoh hongera sana Mwalimu wimbo mzuri
Wimbo wakumpa mtu matumaini, hongera mno
Aaaaaamina, Mungu ametenda mmefanya vizuri sana! Wimbo umenifanya nikahisi usingizi ghafla safi sana!
Very fantastic HONGERENI SAANA KAGEZI MT.KIZITO ujumbe mzuri saaana 🎹🎹💞💞⛪⛪
🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Kazi nzuri sana, kongole kwako bro Fortune, pia kwa waimbaji👏👏👏
Congratulations to you all mmetuwakilisha vyemaaa
I Just love it although i don't understood the Language, It's very beautiful. love from Namibia 🙏♥♥
any one just to tell me in short in English what is all about.
Check me on whatsapp +255765449914 I'm going to prepare the lyrics in English
#Mungu atanibariki anavyopenda. Great song
Hongereni sana mnatisha kama wimbo wa WATU IMBENI by SFAC UDSM-MCHAS ❤❤❤
Kazi nzuri sana ndugu zangu.Mungu awabariki sana
Hongera nimeona kazi Yako nzuri.
Huyu kaka shimanyi ndivyo alivyo.
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Hongera sana Ndugu zetu kwa utume wenu❤❤❤
Hongereni kwaya yangu kizito nawapenda sana
Nimekuwa wa kwanza view ,like & comment pia ...
Hongera sana Kwa kazi Nzuri 🔥
Kazi safi kabisa waimbaji
Mungu awabariki sana❤
Vizuri sana mungu awaongozee
I love your song! It is so beautiful
Mwabhejeje chane saana
Good work, keep going ❤
Mungu awabarik saaaaana
Mmetisha
Mung awabirik nyote
Wow so inspiring song❤❤❤
Wow wow❤ been looking for this kinda song❤️ congratulations 👏👏👏👏i wanna sent a shout out to Mwalimu Shimanyi👏👏👏👏
❤❤❤🎉🎉 much love
A solemn beautiful piece.
Could someone kindly help me with the translation. I enjoy the song, though I don't understand the language. Thank you
Great🥳🔥
Nimebarikiwa
Lovely
After bday.....Bonge la ngomaaa
Good work 🎉
👏 👏
ivi shimanyi unanini kichwani baba mbona kila wimbo unaotoa nimzuri natamani sikumoja nikuone mungu akubariki,,
Wimbo umebeba ujube mzuri na na mkubwa sanaaaaa