Dunia tofauti hii. Duh! Hii nitawasikizisha wanakwaya wangu. Mungu awabariki
😄🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nimeirudia zaidi ya mara 3 jomon u did the best ......it sound nice and nice message to give thanks giving
Nimecheka mpaka bassssssss
Lazima niiweke ringtone ya simu yanguuuu nimeipenda sana
Hongereni sana sana Mungu awatunze nzuri sana
Arrangement ya juu mno shukran kwa kunibariki na huu wimbo
Kazi safi sana. Mkakuzwe zaidi wapendwa
God bless guys
I was born in catholic and I will die in catholic.
Hehehe you don't want to taste the sweetness of protestant 😂, you miss alot, me too I started as a catholic
Waoooh mtimu shimanyi na pascko na wenzakeee hongereni kwa kazi nzuriii
Jaman mungu anajuwa kuumba mbarikiwe sana kwa kila mmoja wenu mlojaariwa vipawa vya kumwimbia mungu na mungu azidi kuwatengeneza zaidi ya hapo
Safi sana!👏👏👏👏
Naisikia sauti ya mjukuu ntilili ntalantala,kazi nzuri hongereni sana
Hongereni kwa ubunifu mzuri sana
Niseme nn juuu yahayaaaa mziki mzuri sauti nzuri ashukuliwe yeye muumbaji wa vyote
Wimbo mzur sana nimeshindwa ku download
🎉🎉wahoooooooho amakweli mungu ana achilia talata hasa muzijur kuzitumia ♥️♥️🥰🥰
Wewe Shimanyi wewe poa bhana,,,Mungu atukuzwe milele
Heshima sana.... Heshimaaa.....
Hongereni mno. Mungu awabariki....
Bro Shimanyi... Creativity yako noma sana... Endelea kaka
Aiseee kawimbo katamu afu kafupi nmekapenda ......
Bahezwa a mashavu sasa hahahhahhahahha👍😇😇
Hongeren sanaaa kwa ubunifu mtoe nyngne kama hiii ila iwe ndefu😋👏👏👏👏👏🥰❤
Nice song...be blessed....mmevunja mmebomoa aisee
Blessings ☺️
Respect More May God Bless You
Dah! Hakika nimependa ubunifu. Hongera sana aisee!
Kwa kweli Mungu anastahili utukufu maana ametia ndani yenu creativity amazing, thankyuu
Hapa hii kaka imeweza vinoma sana. Wah! Naomba ku join hii acapalla kakangu
Hakika mmefanya ubunifu mkubwa ambao haujawah kufanywa hongeren Sana kwa kazi nzur
Wakatoliki nyie jaman ,nimecheka sanaaa, Hongereni kazi nzuri
Kilicho nifrahisha ni Ubunifu 👌💪 yaani wimbo Wote bila kinanda just beat na sauti😊 hongereni sana👏
Huu wimbo ni fire, nimeutazama more than 50 times mpaka sasa
Vizuri sana kaka
Kaka unajua respect for uuuu
Wimbo wangu wa kuamsha majirani asubuhi ,hongereni saaana Yesu awakumbuke
Hongeeeniii team shimanyi na wengine ,kaziii nzurii Mungu awabariki sanaaa❤
Safi sana👏
Wow! Amazing talent! Asanteni mno!
Ubunifu kama huu ndio tunataka safi sana dingii kawimbo kazur na mpangilio mzuri 🔥🔥
Hongereni sana
Good entertainment brooo
Mziki wa kisasa.. Sauti nzuri Sana. Hongereni na muzidi kutuburudisha. Baraka Tele
Sina budi ila kuwashirikisha ndugu na marafiki kujiunga nanyi kwa kutazama na kushare Muziki wenu.
Nimeuna siku ingine mwezi mpya na mwaka mpya asante Mungu
🎉🎉🎉kitu kizuri nyimbo tamu sanaaa God bless you 🙏 ❤
Duuuh aisee hongereni sana..special congratulations kwako bro Shimanyi..huu muziki ni mtamu sana aisee big up
Daaah nakosa kizuri chakusema Ila sifa na utukufu ni Kwa Mungu
Nawapenda Sana Waimbaji...tarararang😜
huu ndio mfano wa mungu mwenyewe kuumba mibaba sauti za malaika mbarikiwe xana
Da, wimbo mzur sana mbarikiwe 🥰
I am left speechless
shimanyi nimekubali inatisha Mungu aendelee kukupa nguvu ,uendelee kumtumikia.
Wakaka mmetisha sanaaaa. Hongereni sana kwa ubunifu. Sifa apewe Mungu aliyewaongoza na kuwawezesha
Barikiwen wote Sana nmeipenda Sana mko good
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙏🏻🙏🏻
Oh yes! Huu ndio ubunifu tunaouhitaji in our music..bro shimanyi and your team asee big up sana! Kazi proper sana
Wow, nice
Beautiful song ur so creative
Hongereni kwa kazi nzuri Mungu awabariki daima team Shimanyi ❤
Wawawa! i have already made this my handeset ringtone... HONGERA
Waoooooo big up shimanyiii mungu akutunzeee tumia kipaji chakooo vemaaa
Very nice
Nimebaki nikiusikiliza huu wimbo mara kumi kumi, hongereni Sana Mungu azidi kuwa nanyi daima.
Why isn't this awesome song not on Spotify? 😢
Hongeren kwa kumtukuza amungu
Pongezi kwenu Mungu azidi kuwazishia. Baraka kwenu piaa
Who else saw this beautiful song on TikTok and rushed here to subscribe and listen... I love it... Proud catholic.