Twapaswa Kuiombea Yanga !!Dua ziwe kubwa sana !!Tuliomba sana kipindi cha mamelody na Yanga ndiomana Mungu hakutuacha!!Dua zetu ziipate Timu YETU ya young African!!Mungu isaidie Yanga YETU tuzidi kwenda mbele
Mimi mechi ya mamelod miliomba dua tusifungwe na tupate goli japo moja na hatukufungwa na goli ndo lile lililokataliwa,,kwa iyo derby hii mtani anakufa Tatu bila insha'Allah.
" maono yangu tu" hii ni yanga tv ya kwetu sisi hii mechi jaman tumeipa wazee mi naona uwekwe utaratibu kwa walioko Dar matawi yote wafuate na usafiri ,wapewe ulinzi uwanjani, wapate picha ya pamoja uwanjan baada ya menchi, lakini piya kangekuepo na kautaratibu ka namba furani tuchangie kinachopatikana walipiwe tiketi hakika siku itakuwa bora sana na ya kipekee wanafamilia wenzangu " wananchii"
Sisi wazee tupo kwa amani zetu, tutawasili na kujitokeza mapema sana, siku hiyo. Point 3 ndo muhimu zaidi hatuhitaji magoli meeengi zaidi ya points🙏🏾🙏🏾
Namshkr sana mno Eng.Hersi Said+ uongozi wote uliopo madarakani bila kumsahau mfadhili wetu GSM kwa kutuheshimisha cc WAZEE hiyo 20/aprl.Vjn mnaweza/mnajituma cc tulishawapa BARAKA zote,propaganda zao ZICTUTOE MCHEZONI,Ari/kasi/uwezo/nia ya USHINDI ipo palepale,inshaAllah ushindi,Aluta continua.
Wazee wameitika hapana chezea yanga 🎉🎉🎉🎉 daima mbele nyuma mwiko 💚💚💚💛💛
Hao Wazee waenziwe ndiyo wanatuombea nasi tunafanikiwa. Hongereni wazee
Twapaswa Kuiombea Yanga !!Dua ziwe kubwa sana !!Tuliomba sana kipindi cha mamelody na Yanga ndiomana Mungu hakutuacha!!Dua zetu ziipate Timu YETU ya young African!!Mungu isaidie Yanga YETU tuzidi kwenda mbele
Mimi mechi ya mamelod miliomba dua tusifungwe na tupate goli japo moja na hatukufungwa na goli ndo lile lililokataliwa,,kwa iyo derby hii mtani anakufa Tatu bila insha'Allah.
Mm leo ni wa tano kila mwananchi naomba tujuwane kwa like zenu
" maono yangu tu" hii ni yanga tv ya kwetu sisi hii mechi jaman tumeipa wazee mi naona uwekwe utaratibu kwa walioko Dar matawi yote wafuate na usafiri ,wapewe ulinzi uwanjani, wapate picha ya pamoja uwanjan baada ya menchi, lakini piya kangekuepo na kautaratibu ka namba furani tuchangie kinachopatikana walipiwe tiketi hakika siku itakuwa bora sana na ya kipekee wanafamilia wenzangu " wananchii"
Nakuunga mkono mkuu. Wazee wetu waheshimiwe sana!
MUNGU ni mwema kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
Wazee ni muhimu kuwepo,maana hata mbinguni wapo,Wazee 24 ktk kiti Cha Enzi Cha Mungu. Mungu ibariki Yanga
😂😂😂hii nimeielewa sana
Sawa mwananchiii
Kila la kheli timu yangu pendwa Yanga Africans inshallah tutashinda next weekend Young bingwa
Wananchiiii 👍👊👊👊👊👊💪💪💪💪💪
Ee bikira maria mtakatifu wa mungu utuombe siku ya jumamosi tushinde, aminaaaaaaaaa
Sisi wazee tupo kwa amani zetu, tutawasili na kujitokeza mapema sana, siku hiyo. Point 3 ndo muhimu zaidi hatuhitaji magoli meeengi zaidi ya points🙏🏾🙏🏾
Safi sana wazee wetu Daima mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉
Daaa!! Aluwatani pokes maua yako nimeipenda hii aisee
Wazee musituangushe kolo anatakiwa azivagae kuanzia tatu❤❤❤
Aliewaelewa wazee gonga like za kutosha hapa🤣🤣🤣 imeisha hiyoooo
Nimependa kauli ya mzee, tusibweteke na propaganda eti wanaugomvi, hawana ugomvi hawa, ugomvi tuwasababishie sisi😂😂
Mzee mpili😂😂 atuchezi atucheziii😂😂😂🎉🎉
Tulivyo jipanga sisi wazee ni zaid ya mipango hohoho kama nawaona madunduka hohohoho💚💚💚💚💚❤️🔥❤️🔥❤️🔥
Ishaall tumtangulize mungu magoli yapo ila tusijiamini sana
Kila la kheri wazee day
Hiii imeenda
Kilalakheri safari njema tupo pamoja wananchi wazee day
Hongereni chama langu yanga kwa kuwa wabunifu
Ongeeno na wachezaji wasile hongo wakauza game😢
Kwa kuwa ona TU usoni hao wazee ni mbili yanga moja Simba mtanitafuta na nitaomba zawadi Kwa rais wa yanga ni mnyenyekevu msikivu hiyo imeishaaaaaaa
Yanga 7️⃣ Simba 0️⃣
Du! Itakuwa lede sasa bro😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤲🤲🤲
@@Mary-fs4mc 😂
@@flavianajohn5250 😂
Hao ndo wachawi wenyewe wanaofuga majini lazima muwaheshimu ,,SIMBA SPORT CLUB❤❤❤❤❤❤❤WAKALI WA KARIAKOO
Nilikua napendekeza siku hyo wazee wapate eneo lao uwanjani.
Fanyeni kama tulivyowaagiza wazee wetu tunawategemea makolo hawatoki watapigwa kama ngoma yani😅😅😅
Wazo la mchambuzi wa Finest online Miraji Maramoja wamelichukua Yanga FC
Wazee day on its best
Twenden kwa mkapa tukajaze uwanja
Wazee wetu..wazazi wetu dua zenu ni muhimu kwa timu yetu
hongera rajabu domogazi nkubali bimkubwa😂😂🔥
Simba watajua kwanini hii mechi ni wazee day,au hawajui utu uzima dawa?
Kila la kheri point 3 muhimu
Mimi ngoleka nipo masasi mtwara kwa liyembe nataitakia YANGA ushindi maana tunakutana na wachezaji wazee kwa tafsiri yangu,piga hao tatu bila.
Mpili nakukubari sans
Yanga African
Makolo wapo zanzibar kupunguza magoli ila magoli 7 au zaidi zipo pale pale😂. Wazee washasemaa watawashugulikia😂😂😂.
Wazeee oooyeee❤❤ yanga bingwa 😂😂
Msimsahau mzee wetu mheshimiwa Jakaya Kikwete na yeye ni Mwana Yanga damu damu
Yanga yanga yanga
Ulishazeeka mzee mpiri, kacheze na wajukuu nyumbani
Yanga 7️⃣ NGURUWE fc 0️⃣
Hii ndoto inanisumbua sana kila siku naota SIMBA amefungwa 6-0 ad naogopa yan ee mwenyez mung wanasimba tuwe na uvumilivu tareh 20 🥹🥹
Hapo kwenye wazee kutoka Sumbawanga, Mzee Mpili kaubonda mwingi🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mpiri bwana 😅
❤❤❤❤❤
Tupo pamoja
Yanga 10 nguluwe fc0
Yanga 8-0 simba😅
Namshkr sana mno Eng.Hersi Said+ uongozi wote uliopo madarakani bila kumsahau mfadhili wetu GSM kwa kutuheshimisha cc WAZEE hiyo 20/aprl.Vjn mnaweza/mnajituma cc tulishawapa BARAKA zote,propaganda zao ZICTUTOE MCHEZONI,Ari/kasi/uwezo/nia ya USHINDI ipo palepale,inshaAllah ushindi,Aluta continua.
Mzee mpili moto
Ss wazee tunapiga 7 hao mwakarobo natuna hasira San😅😅😅
Tupopamoja wazee wetu nasisi vijana tupotayari kuwaungamkono wazee wetu naamini tutashinda insha allah
Hongereni wazee
Hawa sio wazee tu, BALI HAWA NI WAZEE WA KAZI. Mtan eeee njo utuambie ulipata wap ujasir wa kutucheka Kwa MADIBA. YANGA bingwa
🙏🙏🙏
Hongera rajabu domogazi,hili jina ntampa Binti yangu
💚💛💚💛💚💛🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆
Allaah Akbar
Mzee mpili kashasema sisi ni nan Hadi tupingee😂😂😂
Ila twendeni mbele turudi nyuma wazee hawachezi mpira😂
Hawachezi!? Subiri uone🤣🤣🤣🤣
Sawa ngoja nisubiri
Wazeee tunawaamini ,daima mbeleee
Wameisha hao wazee wako vzr
Mzee mpiri😂😂
Pia itapendeza zaidi tukizilipa zile 6 walizotufunga makolo ili tusiwe na deni nao
Mimi Niko Kibiti ni mmoja wa wazee,"Tunawaombea YANGA USHINDI siku ya jumamosi"
Wananch eeee tukutane kwa mkapa😢😢
Wezeeeee wa chumviiiii nyingi
Tunashinda
Mm ndo kidume wa kwanza yanga 7️⃣ NGURUWE fc 0️⃣
Mzee mpili kaona mikoa ni mbeya na SUMBAWANGA tu😂😂😂😂😂
Aaaah weeee kumbe uko makinii😂😂😂
Ndo alikoenda 😂😂😂😂
Nimesikia sumbawanga kwa mzee mpili
Hii imeenda duniani😁😁
Kamwe waambie wazee tunatakaheshima iwe yamiaka tukifugwa wataongea hawa
Mungu mwema
WAZEE DAY(Mapigo ya kiutu Uzima)
Sababu tunacheza na wazee ..hiyo tarehe 20 bs inaitwa wazee day ...sawa 🤣🤣🤣🔰🔰🔰🖐️
Mbona mi sijaona dalili za ushindi hebu rudini tena muianfalie game kwa umakini sio kuongea kwa mdomo tu
Hatari sana
Kufikia ijumaa tiketi ziwe zimeisha tuone sold out
Naiona mechi ya yanga vs mnyama imeshaisha Kwa matokeo ya 7-0 Simba
Ahsanteni wazee wetu
Msituletee mashetani tu,maana mayele analia kijana wa watu.
Daima mbeleee!!!!
🙏🙏🙏🙏🙏
💚💛
Hata wahuni nao huzeeka jamani
Haaa hadi mibibi wamo😩😩😩😩
😂😂😂😂😂
Wazee Derby 😅😅😅😅😅😅
🔥🔥
Yanga ni baraha tripu hii wanapigwa 7 hao watoto wa mudy
👏👏👏👏🔥🔥🔥
Mzee mpili mbona umeishikilia hiyo SUMBAWANGA??
Fanyeni kz wazee
😄😄😄litakufa jitu
ila yanga mnatisha eti wazee dey