@@EliaMkumbo-wn7bm na Magufuli hakuagiza hizi treni za mifugo! Watu wajinga sana! Kusifia ujinga! JPM kaacha kalipia ,Meli,ndege zote, SGR,ela za bwawa aliziacha,madaraja nk! Na angekuwepo vyote vingekuwa vimekamilika na anafanya mengine makubwa,kwa kutumia asilimia kubwa ya mapato ya ndani! Hili chura instead,kakopa kuliko AWAMU ZOTE 3 ZA MWISHO,KAUZA MBUGA,MADANDARI,KARUHUSU RUSHWA KUKIDHIRI,WIZI,UFISADI,NIDHAMU KUTOWEKA,UBADHIRIFU KUKIDHIRI,MIRADI KUFA NA KUZOROTA ,nk! Wapumbavu wanasifia! Watanzania wana hali mbaya sasa beyond repair!
Wakwanza jamani naomba laik zangu
Kimbao ila shida Pamela wa ally kamwe Yuko wapi 😂😂😂😂😂😂😂
Yaani ukiwa mshabiki wa yanga raha sana bhana 💚💛💚💚
JPM pumzika kwa amani, huku watu wanafurahia kazi zako sasa
Respect bro 🫡
Hakika matunda ya JPM
Yaaaani kama arudi ty ila ndo bc mungu amuhifadhi mahala pema
🙏RIP
Kilalakheir kwenye safari yenu Inshaallah
Pumzika kwa ama ni JPM kazi zako zimeanza kunufaisha Watanzania
hongeraaaa sanaa mama yetu mpendwaaa pigaaa kazi Hayu mwenyee ubavu wa kukuyumbishaaa😂😂😂😂
Unforgettable japo wanajizima data
@@fettiemaganza1484 waonaoo jizimaa data nyinyiii tunawajuenii sanaa edeleeni kujizimaa data mpk mlieee
@@fettiemaganza1484 makamu wa rais akiwa samia
Natamani ningekuwepo apo jamaniii naipenda sana yangaaa😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Yanga raha sana Hongereni sana na makombe yaongezeke.
Ally kamwe Pamela yupo wapi mbona hatumuoni
Mpaka raha
Hao ndiyo Yanga tu nunue ma Behewa yetu
Nyimbo ya mwananchi mwenzetu
Umu tuuuuuuuu🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺😁
My favorite team
Hakika Tz yetu ndio nchi ya kucfiwa/furaha/upendo/urafiki/amani.Kuipenda Yanga/michezo ni RAHA SANA hakuna burdan zaidi ya hii ❤❤❤❤
Wananchiiiiiiiiii😂😂❤❤
What a vibe!!!amazing
JPM✊
Naijua hiyoo😅😅
Ibwe anatamani awe msemaji wa Yanga princess 😅
Mechi 🎉saa ngapi
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Behewa la wasanii mbona likikuwa na nanafasi hd Love jua kali kapata nafasi ya kukata mauno kwann nyie mmebanwa hivyo😂😂😂
Yanga raha
Mbona Pamela haonekani
Kuna wajamaa wawili wamenuna kinoma,,,,, au madunduka????😅😅
Jamani mtuoneshe chama nae acheze kidogo afurahiye, maana kwao kunatabuu
Club ya nguvu🎉🎉🎉🎉🎉
Mpaka Ustazati amecheza nyimbo ya marioo bia tam
Kuna mtu nimemuona kapanda juu ya seat
Mambo ya jembe from chato
Kweli panapotakiwa kufurahi furahi hongereni
Kuna walio nuna sijui wana stress za maisha itakuwa ni kolo hao
Mbona kuna mijitu imenuna apooo au macho yangu min tu?
Allaah Akbar
Tukutane YANGA DAY
Inaonyeshw wap
The club above all
💕💕💕❤💖
😂😂😂😂ila yanga mmeona ibwe kacheza kafaidi ikabid mpige umtu
Mosilim girl nani kamwaga pombe yangu naulizaa😂😂
Habari njema.YANGA RAHA😂😂😂😉😆😆😆😆
Sijamuona shemeji yetu Pamela
💛💛💛💚💚
Yani yanga hatuna dogo hapa ligi Bado haijaanza
Basi kumekucha hawa ndio waharibifu wa miundo mbinu yetu basi
kuna mashabiki wa makolo wako hapo pembeni kwenye siti wamenuna aho😂
R.I.P JPM
Mara pap yanga wanaingia mkataba na sgr nyiee
GSM kesha tuma maombi awekeze kwenye sgr
hongeraaa sanaa mama samiaaa bila weweee hakuna tren ya umeme wenyeee roho za enziii ya mwarrrriiiim hawana la kukutishaaa tupoo na wewee daimaa😂😂😂😂😂😂
Chonde chonde train yetu mama kaweka pesa mingi tunzeni miundombinu ya ndani humo
Mama kaweka pesa gani hapo
Mama kaweka pesa gani hapo
Huy ni fara kwel mama kaweka pesa ipi wakati ni magufuli ndo alimaliza kila kitu
@@EliaMkumbo-wn7bm na Magufuli hakuagiza hizi treni za mifugo! Watu wajinga sana! Kusifia ujinga! JPM kaacha kalipia ,Meli,ndege zote, SGR,ela za bwawa aliziacha,madaraja nk! Na angekuwepo vyote vingekuwa vimekamilika na anafanya mengine makubwa,kwa kutumia asilimia kubwa ya mapato ya ndani! Hili chura instead,kakopa kuliko AWAMU ZOTE 3 ZA MWISHO,KAUZA MBUGA,MADANDARI,KARUHUSU RUSHWA KUKIDHIRI,WIZI,UFISADI,NIDHAMU KUTOWEKA,UBADHIRIFU KUKIDHIRI,MIRADI KUFA NA KUZOROTA ,nk! Wapumbavu wanasifia! Watanzania wana hali mbaya sasa beyond repair!
magufuliii yuko wapiii hivii makodooo kweliii rohoo za ubaguziii zitawauwaaa wal hairudiii tenaaa enzi ya kipumbavuuuu ngungunii nyieee😂😂😂😂