Hicho ndicho kinachotakiwa katika mpira, YANGA onyesheni njia na timu zingine zifuate. Hongera sana SAFARI LARGER kwa kuibua vipaji na kuwatumia wachezaji wa zamani kuto mafunzo.
Tumalize deni hata ktk ya msimu tusajili tunahitaji marekebisho kidogo tuu kulingana na bajeti yetu ,kuna uchovu na injuries.,i love u yanga watoto wa jangwani.
Yanga ni timu yangu damu uwanja wa jangwani uko sawa nashukuru uongozi , hatutaki wachezaji washaridhika na hela,tunahitaji wachezaji wenye malengo na nini wanahitaji kwenye brand ya yanga ,hatuhitaji wachezaji washaridhika na hela .daima mbele nyuma kwetu mwiko,irusheni yanga kids.
HUYO ALIELETA WAZO HILI LA KUWATUMIA WACHEZAJI WA ZAMANI KATIKA KUWAJENGA KIMCHEZO WACHEZAJI VIJANA,MUNGU AMUWEKE,NA AMPE UPEO ZAIDI,SIJAMUONA OMARI HUSENI KEEGAN ZAIDI YA MIAKA 20.
Hilo sio lengo la hii programme!! Lengo ni kuwapa vijana ,elimu, experience, confidence, kumbukumbu na kuwaonjesha raha ya kucheza kiwango cha juu pia kuwapa fursa ya kuonyesha uwezo wao! Sio mechi ya ligi au michuano🤣🤣🤣
Mashallah hakika najivunia san kuwa shabiki wa timu iyi ya wananchi ni timu ya watu kbs hakika allah awalinde viongozi wetu kwa upendo nakujitoa
Nafurahishwa sana na program hii ya kuwakumbuka ma legendary wetu tena kuwapa hazi kama izo yaan hawa ni watu wa muhimu sana.
Hicho ndicho kinachotakiwa katika mpira, YANGA onyesheni njia na timu zingine zifuate. Hongera sana SAFARI LARGER kwa kuibua vipaji na kuwatumia wachezaji wa zamani kuto mafunzo.
Asante Sana Midfielder wangu Sekilojo Chambua Kwa kumtaja striker WA vitu Said Mwamba kizota
Watu wa maana sana hawa nimefurahi sana timu yangu kua karibu na wakongwe wetu safi sana
Hongereni sana wananchi
Tumalize deni hata ktk ya msimu tusajili tunahitaji marekebisho kidogo tuu kulingana na bajeti yetu ,kuna uchovu na injuries.,i love u yanga watoto wa jangwani.
awa vijana watacheza na team gan hiy tareh 29
hii nzuri
Kweli Yanga ni shule ya soka
Yanga ni timu yangu damu uwanja wa jangwani uko sawa nashukuru uongozi , hatutaki wachezaji washaridhika na hela,tunahitaji wachezaji wenye malengo na nini wanahitaji kwenye brand ya yanga ,hatuhitaji wachezaji washaridhika na hela .daima mbele nyuma kwetu mwiko,irusheni yanga kids.
Yanga ibaki kuwa Yanga tu
Yanga bingwa
Stephen Nemes mkae nae karibu ni mtu wa mazoezi sana.na alikuwa kipa mzuriìi mno .Yanga.Nyota nyekundu......ni kipa aliekuwa anafanya mazoezi sana
Sijui kama kwenye historia ya nyerere au yanga kama imeandikwa cos wasungu waliotutawala wanazo hizo history kwenye vitabu vyao vya ukoloni
Mwanaume kuwa na deni lenye manufaa kama kubeba makombe huo ndiyo uanaume. Siyo unalalala tuu bila kujibidisha na kukosa makombe huo siyo uanaume.
Tuangalie vijan watatfaa
Safii
Mbona awakwenda kwa madunduka na awkutumia uwanja wa bunju si nasikia madunduka wanauwanja?
Mbona sauti kama changamoto
Samahani mbona Keneth Mkapa simuoni kwani yupo wapi huyu mwamba💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛
Yupo hapo tazama vizuri
HUYO ALIELETA WAZO HILI LA KUWATUMIA WACHEZAJI WA ZAMANI KATIKA KUWAJENGA KIMCHEZO WACHEZAJI VIJANA,MUNGU AMUWEKE,NA AMPE UPEO ZAIDI,SIJAMUONA OMARI HUSENI KEEGAN ZAIDI YA MIAKA 20.
Mafunzo kama hay tuwspe timu ze2 B kwausha uli mwema
Sawa mnawafundisha lakini kama wa nenda cheza na yanga hii tunaowajua 😢😢 wanakula nyingi😅
Hata kama watakjla nyingi lakini haziwezi kufika 7 kama za jirani😂😂
Hilo sio lengo la hii programme!! Lengo ni kuwapa vijana ,elimu, experience, confidence, kumbukumbu na kuwaonjesha raha ya kucheza kiwango cha juu pia kuwapa fursa ya kuonyesha uwezo wao! Sio mechi ya ligi au michuano🤣🤣🤣
Acha kuropoka ropoka, deni la babu yako, nani anadaiwaa?
Utopolo lipeni Hela za watu kenge nyie
Tunakuhusu nini kama siumbea
Mnafanya kazi ya kutimua timua baadae mna anza kulia mbwa nyie mabundi fc
Unaumia nn
Achana na dunduka kolo, akili ya panzi keshasahau mkono!
Mwanaume ni deni
awa vijana watacheza na team gan hiy tareh 29