Rais Eng.Hersi Said,yuko kazini kutafuta wafadhili wa Yanga,na pia timu ya Yanga kuwa Ambassador wa Serengeti sadaru + Safari balloon wakatangaze nje ya nchi hasa zile watakazokuwa wanaenda kucheza nazo.Tumia pesa upate pesa,hakuna kulalia masikio. Big up sana Eng. Hersi Saidi❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉.
Asante president of yanga umenitangazia kampuni yangu ya urushaji balloon hapa serengeti, Tarangire na kogatende ,karibuni sana MIRACLE EXPERIENCE BALLOON 🎈
Kula Maisha Kijana Mwenzangu Unastahili Zaidi Na Zaidi, Mungu Akulinde Ndugu Yangu,,🙏🙏🙏🙏💪💪💪💚💚💚💚💛💛💛💛
Kwa uwepo wako tu hapo tayari umeutangaza utalii wetu hongera sana hersi rais wetu wa yanga
Yang Africa imetangaza utalii like never before.
Asante kwa ubunifu mkubwa sana.
Peekaboo wachezaji na wapenzi serengeti
MUNGU ni mwema hongera Sana Engineer Hers kila la kheri kwenu kazi njema barikiwa Sana nyote shalom
We are proud of Tanzania, we are proud of Young African SC and we are proud happy to happy to have you Eng.Herse 💐🙏🙏
Serengeti is amazing.. Seems was nice experience. One day I will be there 💚💛🇹🇿🇹🇿
Mungu akuweke raisi wetu daima mbele
Such a so much respected figure in our country. Not only in football arena,but he earns from all the aspects of life. Nampenda sana Eng. Hersi🎉🎉🎉🎉
Rais wa team kubwaaaa💚💛💪🙏
Rais Eng.Hersi Said,yuko kazini kutafuta wafadhili wa Yanga,na pia timu ya Yanga kuwa Ambassador wa Serengeti sadaru + Safari balloon wakatangaze nje ya nchi hasa zile watakazokuwa wanaenda kucheza nazo.Tumia pesa upate pesa,hakuna kulalia masikio.
Big up sana Eng. Hersi Saidi❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉.
Jamani huyu rais anawapenda sana wachezaji wake yaani mpaka kasema kuna kila sababu wachezaji wakainjoi nao
Mambo niyapendao ndoto zangu mbaka zikamilike nipande baluni💛💛💚
Pumzika raisi wetu kazi unayoifanya ni ngumu
Big up and much congrats Eng. Hersi
Mungu akusimamie rais wetu
Una vitu vingi sana Rais wetu kipenzi hakika yanga oyeeeeee
YANGA hiyo 💛💚💛💚💛💚Daima Mbele nyuma mwiko
Hii inaitwa royal tour part 2, hongera eng hersi kwa kuutangaza utalii
Hongera kwa kutangaza utalii
Safi sana Rais wetu Unatisha
Hard work pays,....enjoy your holiday president eng💚💛🏆🙏
Amazing!! This is perfect
Hongera sana Rais wetu Kwa kuzidi kuifanya YANGA yetu iwe juu na ama Kwa hakika next season ni juu zaidi na zaidi hakika mungu akulinde siku zotee
Wahenga walisema "raha jipe mwenyewe", big up Engineer!
hongera jembe la wananchi
Shwari 🎉🎉🎉
Yan yang no stres honger Rais wet
Inshaallah mtafika tu
Ebhana kama vile movie 🎉
dah ira we mwamba kweri unawapenda wachezajiwako maana naona ujasaau kuwataja ongera sana
arafu awa always uwa wanakimbia2😂😂😂😂
Kabisa
Mwache apumzike kumchapa mtu nje ndani si mchezi
😂😂😂😂😂 kabsaa
Kiongoz 🔰🏆
Kiongozi wetu shupavu Sana big up🎉🎉🎉🎉
Yang bhn Raha tuu asante rais
Enjoy baba...umefanya makubwa ni wakati wa kula Raha sasa💚💛💚
Allaah Akbar
Mtoko wa kiwango cha juu huo Engineer wa TZ wengi matajiri hawajui kula bata huyo🇹🇿🇹🇿💛💚💛💚🇹🇿🇹🇿💛💚💛💚🇹🇿🇹🇿
mtashobya josia nikiwa Kenya ongera sana mnatisha atari sanaa
Imekaa vizuri
YANGA BINGWAAA 🎉🎉🔥💯💐🇹🇿
🎉🎉🎉our president
Nimepamiss sana Serengeti national park hakika Serengeti haijawahi kumuboa mtu.
😂😂😂😂😂😂 yanga bingwa
Kupanda ilo shingapi ivi !?
Kilalakheir kiongozi wetu
Namna gani Eng unawajali wachezaji wetu kwa hio kauli "natamani wachezaji wetu wa yaoung africans waje hapa wafanye utalii wa hot air baloon"
Nimelipia yanaga app lkn inanigomea jamn
Mbebeni taratibu raisi wetu usajili unaendelea na bado tunamuitaji sana
😅😅😅😅😅😅
Kabisaa
😂😂 nimecheka kifara sana aiseee
Kwa wazawa ni gharama kiasi gani kutarii kama vile Raisi wetu wananchi.means kupanda balloon nk
Big leader.. eng
Je inaruhusiwa kupanda na watoto
I believe I can fly one day!❤
Mungu amzidishie busara ili yanga izidi kupiga hatua
Pilot ni mtaliano huyu maana lafudhi yake ni ya kitaliano.
Raha sanaaa
Asante president of yanga umenitangazia kampuni yangu ya urushaji balloon hapa serengeti, Tarangire na kogatende ,karibuni sana MIRACLE EXPERIENCE BALLOON 🎈
Ok
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🔥
Why does it not support downloading?? 😢😢😢
💛💚💛💚💛
Mm wakwanza naomben like zenu😊
😂😂😂😂😂 wao watazani anacheza kumbe anajambo lake uyo!
🔥🔥🔥🔥
Inshaallah nami ntaenda kutaliiiii
Nakaya unaelekea wapi?😢😢
Enjoy
Eng vp umewaona cmba😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Sasa huyu mzungu avutae kamba ndio dereva
Simba anawidwa Kila seem😂
Peleka Timu nzima Baba yote nzima na bench la ufundi tafadhali
Fahren Sie gut.
Sehr gut
💚💛💚💛
Naomba kuliza huyu dada hizi kamba anazovuta zinamana gan
Apo ni kubalance ballon liwe na ukubwa kazaa na distance flan
Mbona kipind leo kimekua kifupiii
Aiseee haha mimi nitaenda huko
7-2
❤❤❤
Apo sasa kataa mh
waweke bei za kitanzania, kumchaji mtz $400-500 kama mgeni wa nje sio fair
eng hers naomba uwalete wachezaji wetu huko serengeti
Perezi
Asieudie tn ivi km ndo anapata ajal inamaana ndo tusiwe nae hpn kwakweri bado tunamuhitaji san
Ok