Kanyimbo kazuri sana hongera ila msiende na Matokeo sababu Darb ni Darb msije mkafa kihoro hakunaga Simba mbovu mbele ya yanga Imara Tufanye wajibu wetu kama mashabiki na wanachama kuingia kwa wingi uwanjani ili tukawape Vaib la kutosha wachezaji wetu.Mungu bariki Timu yangu Yanga africa.
Majirani sio watu ukiwa nacho utaombwa chumvi,ukiwa hauna maneno kibao mpaka kwa mkeo..twendeni nao kama mamelodi au beluzdad ,namkubuka marehemu mdingi..ngao wakiwa kama mamelodi,mpira sio siasa haturudi kwenye bakuli...love u yanga...kuna wanangu nishawalipia tiketi japo nitakuwa kazini ,watoto wa jangwani..
Nahc ktk huu mchezo,game approach itakayotumika,ni ile ya "Mamelodi Vs Yanga".Kwa maana kwmb,Yanga atakuja kama Mamelodi na Simba atakuja kama Yanga,ili kumzuia huyo Mamelodi wa Kariakoo asipate goli llt.So very tactical game
Hii ngoma mkifanyia promotion ,hatuwahitaji watani hata kama hawatokuja.washaanza kususa kwenye mechi yetu ,sisi wengine tuko mbali ,ila tunachangia chama.
Kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
Best derby song bravo sana MC Mbogo
Hatunaga majirani ....hapa soka tu na magoli kwa sanaa ...kalale njaa kwenu 🔰🔰🔰💪
Kanyimbo kazuri sana hongera ila msiende na Matokeo sababu Darb ni Darb msije mkafa kihoro hakunaga Simba mbovu mbele ya yanga Imara Tufanye wajibu wetu kama mashabiki na wanachama kuingia kwa wingi uwanjani ili tukawape Vaib la kutosha wachezaji wetu.Mungu bariki Timu yangu Yanga africa.
Inshaallah mungu tusimamie tushinde
Jamani hii hbr ya Mzize kwenda Azam mbona siitaki kuisikia !asuende atapotea kabisaaa
Ila Yanga yangu Raha sana
Walahi raha du maana wanafrahisha sana
Wapili jamani wimbo huu jamani umesababisha nimepata mke mwe!
DAIMA MBELE
Ubunifu wa hali ya juu
Allaah Akbar
Point 3 muhimu ikiwezekana tuzilipe zile 6 tusiwe na deni nao tunahitaji ushindi haijalishi kutokee Nini ushindi ndio furaha yetu
Wakwanza 💛💚
Majirani sio watu ukiwa nacho utaombwa chumvi,ukiwa hauna maneno kibao mpaka kwa mkeo..twendeni nao kama mamelodi au beluzdad ,namkubuka marehemu mdingi..ngao wakiwa kama mamelodi,mpira sio siasa haturudi kwenye bakuli...love u yanga...kuna wanangu nishawalipia tiketi japo nitakuwa kazini ,watoto wa jangwani..
Wengine wote wanaiga tu,hii ndiyo original!!
Oyo Oyo oyoooooooooooooooooooooooooooooo
Mzee yuko vzr anatembea haraka haraka kweli🤣🤣🤣🤣 kumbe bado hajazeeka bhana.
Hataleeee sana
Wananchiii hatuna majirani😅😅😅
Nahc ktk huu mchezo,game approach itakayotumika,ni ile ya "Mamelodi Vs Yanga".Kwa maana kwmb,Yanga atakuja kama Mamelodi na Simba atakuja kama Yanga,ili kumzuia huyo Mamelodi wa Kariakoo asipate goli llt.So very tactical game
Jiulize kwa nn wameenda kufanyia feri na jamqa walipita hapo
One love wana inchii🎉🎉
Dar bila YANGA huzuni
Wabunifunsana yni da raha sana
Hakika nimecheka kama chiz sawa bhana kwa mkapa kuzika na suhna
❤❤❤
💚💚💚💚💛💚💛
💚💚💚💚
💛💚💛💚💛💚💛💚
My timu❤❤❤❤❤
Nimeipenda, vipaji vipo Tz
Hatari
Hii ngoma mkifanyia promotion ,hatuwahitaji watani hata kama hawatokuja.washaanza kususa kwenye mechi yetu ,sisi wengine tuko mbali ,ila tunachangia chama.
🔥🔥🔥🔥
💛💚💛💚🫶