Hii ndio namna bora ya kufanya kilimo cha alizeti "Utavuna tani 1.3 kwa hekta"
Vložit
- čas přidán 8. 08. 2023
- Mtafiti wa Kilimo kutoka Tari Hombolo, Deogratius Shirima anatufundisha namna bora ya kufanya kilimo cha zao hili ambapo anaeleza kuwa ikiwa mkulima atalima kitaalamu anaweza kupata mpaka mavunoo ya tani 1.3 kwa hekta moja.
Kama shamba ni jipya( Virginia land) ipo haja ya kutumi mbolea?
Habar nasis tuliopo shin,yanga tutumie mbegu gan
Duh watafiti mmefanya yenu ila tunakosa wataalam wa shamba kusimamia ufanisi
Nipo rorya nitaipataje hii mbegu ya alzeti fupi ni rais kuamia ndege shambani
Tunapataje mbegu