Hii ndio namna bora ya kufanya kilimo cha alizeti "Utavuna tani 1.3 kwa hekta"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 08. 2023
  • Mtafiti wa Kilimo kutoka Tari Hombolo, Deogratius Shirima anatufundisha namna bora ya kufanya kilimo cha zao hili ambapo anaeleza kuwa ikiwa mkulima atalima kitaalamu anaweza kupata mpaka mavunoo ya tani 1.3 kwa hekta moja.

Komentáře • 5

  • @nurusaid563
    @nurusaid563 Před 10 měsíci

    Kama shamba ni jipya( Virginia land) ipo haja ya kutumi mbolea?

  • @WelibertPeter
    @WelibertPeter Před 2 měsíci

    Habar nasis tuliopo shin,yanga tutumie mbegu gan

  • @amanijampion3045
    @amanijampion3045 Před 11 měsíci

    Duh watafiti mmefanya yenu ila tunakosa wataalam wa shamba kusimamia ufanisi

  • @geraldnyamita
    @geraldnyamita Před 2 měsíci

    Nipo rorya nitaipataje hii mbegu ya alzeti fupi ni rais kuamia ndege shambani

  • @AhmadHussein-fl1wb
    @AhmadHussein-fl1wb Před 8 měsíci

    Tunapataje mbegu