Bwana Shamba Akitoa maelekezo ya Upandaji wa Alizeti katika shamba la Kampuni - Mapilinga , Misungwi
Vložit
- čas přidán 2. 12. 2020
- Hatua ya upandaji wa mbegu ya Alizeti katika shamba la kampuni
Bwana shamaba kutoka Ofisi ya Kilimo (Misungwi) akielekeza jinsi ya kupanda Alizeti kisasa katika Shamba la Kampuni.
Tupe namba tafadhari
jamani wakati mwengine hebu tujipeni hadhi sisi wa africa mtu anaitwa bwana shamba lakini anenda kutoa elimu huku kavaa mocas utadhani aenda kanisani au enda aapishwa ikulu haipendezi hata kidogo
Anapanda bila kuzingatia kipimo anatudaganya huyu
Maafisa uchwara hao,wajinga wakubwa,wanashindwa kuvaa kulingana na kazi yao? Hovyo kabisa.