Bwana Shamba Akitoa maelekezo ya Upandaji wa Alizeti katika shamba la Kampuni - Mapilinga , Misungwi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 12. 2020
  • Hatua ya upandaji wa mbegu ya Alizeti katika shamba la kampuni
    Bwana shamaba kutoka Ofisi ya Kilimo (Misungwi) akielekeza jinsi ya kupanda Alizeti kisasa katika Shamba la Kampuni.

Komentáře • 4

  • @enjoyridhiwan4264
    @enjoyridhiwan4264 Před 3 lety

    Tupe namba tafadhari

  • @suleimankhamis8298
    @suleimankhamis8298 Před 2 lety

    jamani wakati mwengine hebu tujipeni hadhi sisi wa africa mtu anaitwa bwana shamba lakini anenda kutoa elimu huku kavaa mocas utadhani aenda kanisani au enda aapishwa ikulu haipendezi hata kidogo

  • @yusuphmussa554
    @yusuphmussa554 Před 2 lety

    Anapanda bila kuzingatia kipimo anatudaganya huyu

  • @magambojackson5370
    @magambojackson5370 Před 2 lety

    Maafisa uchwara hao,wajinga wakubwa,wanashindwa kuvaa kulingana na kazi yao? Hovyo kabisa.