#PART2

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 08. 2023
  • #PART2: ''BOSI ALINISINGIZIA NIMEMBAKA, NIKAFUNGWA MIAKA 30'' - KIJANA YASSIN...
    CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
    ========================
    Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 161

  • @sovajulius3870
    @sovajulius3870 Před 11 měsíci +16

    Kwa Mara ya kwanza nimeshukuru huyo mama kufa.Kufa kabisa potea why umdhurumu kijana maskini Kama huyu

  • @priscamagambo5320
    @priscamagambo5320 Před 3 měsíci +3

    Kumsingizia mtu jambo ambalo hata hajafanya daa!Mungu niepushe kwenye hii laana ambayo inaweza tafuna vizazi vyako

  • @josephnsabiyera6900
    @josephnsabiyera6900 Před 9 měsíci +2

    Pole sana ndugu, maskini atetewa na mwenyezi bora, mimi ni Joseph nikiwa DRCongo Goma mashariki mwa congo

  • @bilihudasaidi3687
    @bilihudasaidi3687 Před 11 měsíci +7

    Pole kwa mkasa Ila chozi lako halijaenda Bure yuko wp Sai Ana mengi akujibu huko akher

  • @nasrasalumu7005
    @nasrasalumu7005 Před 11 měsíci +4

    Kaka usidai tena Mungu atakulipia kwa njia nyingine

  • @user-bw7ve8ce3q
    @user-bw7ve8ce3q Před 11 měsíci +7

    Pole sana kakaangu,Allah atakulipia 😭😭🤲

  • @jumatamimu6841
    @jumatamimu6841 Před 11 měsíci +6

    Pole sana ndugu Yangu yote ni maisha tuu mungu amelipa

  • @aminachiziamina
    @aminachiziamina Před 11 měsíci +2

    😢😢😢😢mm nimesikia vibaya sana ilamungu jee yeye ndo zaidi so kaka pole sana namunguuu akupe akupe kazi nzuri sana enye kwa baada ya 2 uwe uko na kilakituuu unacho kitamannii

  • @salma0000
    @salma0000 Před 11 měsíci +13

    Majaji wengi wa Tanzania watakua na sehemu yao maalum katika moto wa jahannam

    • @fabssaleh7273
      @fabssaleh7273 Před 10 měsíci

      USIWAHUKUMU WATU. SIRI YA ALLAH TABAARAKALLAH WA TA'ALA. WATU HUTUBIA NA ALLAH TABAARAKALLAH WA TA'ALA NI MWINGI WA KUSAMEHE

    • @salma0000
      @salma0000 Před 10 měsíci

      @@fabssaleh7273 kwani nikisema kama mtu akifanya dhambi ataenda motoni ndio nimehukumu hapo

    • @user-uq3ol9jp2u
      @user-uq3ol9jp2u Před 5 měsíci

      26:36 26:37 26:37 26:38

    • @user-uq3ol9jp2u
      @user-uq3ol9jp2u Před 5 měsíci

      ​@@fabssaleh7273😊

    • @user-uq3ol9jp2u
      @user-uq3ol9jp2u Před 5 měsíci

      😅😊😊.

  • @petermboje5839
    @petermboje5839 Před 11 měsíci +5

    Hukumu ya rushwa hiyo tu mahakimu wengne hawana utafiti wanahukumu tu bora mungu ana hukumu yeyote anayempenda mungu kazi yako nzuri kuliko dhuluma za watu na uonevu

  • @rukiauwonde7062
    @rukiauwonde7062 Před 11 měsíci +6

    Masikini pole sana 😢yaan sisi wenye watoto wa kiume aki roho juu juu

  • @MOHAMMEDABDI-lb7yp
    @MOHAMMEDABDI-lb7yp Před 11 měsíci +4

    Usijali mdogo wangu mungu yuko na ww huyo jama na mke wake ni kitu kimoja ni nia yao kukudhulumu tu

    • @Josephat-cw6co
      @Josephat-cw6co Před 3 měsíci

      Pole kwa mara nyingine tena unanikumbusha mtoto mu marekani mweusi WA myaka 7 Alie hukumiwa hadhabu ya kifo kwa kuzingishiwa kuwa ame husika na kifo cha watoto2 WA kike wazungu huyu akanyongwa kwa umeme WA 6600 volt.

  • @indalesiohenery6124
    @indalesiohenery6124 Před 11 měsíci +4

    Nimekusimiliza vizuri nikweli hukubaka ili mungu atakuinua Sana mpaka utashangaa

  • @user-uy3mm6nj2s
    @user-uy3mm6nj2s Před 2 měsíci

    Ukiapa kwenye vitabu vya mungu kizuluma utaweza pona mirere onasasa kilicho mkta mama uyo

  • @AbdurazakiKisoma
    @AbdurazakiKisoma Před 3 měsíci +1

    Pole Sana Wallah Mungu Yupamoja Nawe😢

  • @kudramzee5769
    @kudramzee5769 Před 9 měsíci +2

    Wanaokwenda jera sio wote wanahatia, wengine wanakwenda jera kwa kesi ya kusingiziwa

  • @user-fw5is2fi7q
    @user-fw5is2fi7q Před 3 měsíci

    Pore sana umri unaluhusu pambana maisha yapo mungu atakusimamia

  • @nassornyanyagi5126
    @nassornyanyagi5126 Před 5 měsíci

    Ndg Yaasin pole sana kwa yote uliyopitia ALLAH atakulipa kwa subra yako,kama huyo JAMAA hapokei simu usimfuatile tena, yeye hataki kukulipa hapa duniani laakin atakulipa mbele ya Hakimu wa Mahakimu ambae ni ALLAH "S.W.T" Pambana kupata rizqi sehemu utapata In Shaa Allah

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk Před 11 měsíci +4

    Hakikazuluma nikitu kibaya sana kinafupisha maisha kiliochako mungu kajibu naataendelea kajibu kwa waliotow ushahidi wa uwongo nawalio hukumu walaniwe hao

  • @andrewmtandikile895
    @andrewmtandikile895 Před 6 měsíci

    Pole sana Mr Yassin maana Mungu alisimama nawe
    Sio swala jepesi mm imenigusa mno ila malipo ni hapa hapa .
    Boss wako malipo hapa weee umebaki yeye yuko wap

  • @jeanbigirimana9365
    @jeanbigirimana9365 Před 11 měsíci +2

    Pole kaka Mungu atakufata machozi

  • @nuriaabdiabdiyussuf3191
    @nuriaabdiabdiyussuf3191 Před 10 měsíci

    Pole sana bratha na pia malipo ni hapa hapa duniani na huyo mwanamke Allah kulipizia bado huyo jamaa pia apate chake insha'Allah

  • @user-pb7ig3ji3m
    @user-pb7ig3ji3m Před 11 měsíci +1

    Dar. Pole sn broo.. ILa haki yk haipotei vumilia sn.. ILa Wana wake shida sn

  • @injilinjeyakutazakanisa

    Unajua ingekuwa imetengenezwa vizuri, haya yasingekuwa yanatokea. Hawa wanao singizia wangefungwa, wangelipishwa, na hawa wanao hukumu nao wangekuwa wanalipishwa haya yangekoma

  • @fabssaleh7273
    @fabssaleh7273 Před 10 měsíci

    SUB HAANA ALLAH.
    KILA MCHIMBIA MWENZIWE KISIMA HUINGIA MWENYEWE.
    MTIHANI KWELI. ALLAH TABAARAKALLAH WA TA'ALA AMSAMEHE - AMEEN YAA RABB.

  • @MartinSilungwe-ws2se
    @MartinSilungwe-ws2se Před 19 dny

    Pole sana kijana mwenzangu mngu akusaidie😢

  • @mohamedwwnurumasagcom8171
    @mohamedwwnurumasagcom8171 Před 10 měsíci

    Pole sana kijana mshukuru mungu kwa kuachiwa huru pia mshukuru mungu kwa kumuondolea pumzi yule dada mungu amejibu

  • @abdallahhamic3586
    @abdallahhamic3586 Před 11 měsíci +1

    Daaah inasikitisha sana mungu atakulipia

  • @richardmushi1062
    @richardmushi1062 Před 8 měsíci

    Pole Yasini. Nitakutafuta kwa maongezi pia niangalie namna ya kukusaidia.

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 Před 11 měsíci +8

    Hizi kesi za kubaka zina mitihani sana .sasa hivi wanawake wengi ndio silaha yao ukimuudhi kidogo tu anakufanyia mtego ema yeye mwenyewe au mtoto wake wakike au wakiume na mahakimu wengi ni wanawake hawasikilizi chochote zaidi ya kufunga watu (huzuni sana)

    • @ahmedmukolwe43
      @ahmedmukolwe43 Před 11 měsíci +2

      Mungu yupo na ipo siku yao

    • @maryhanspeter8459
      @maryhanspeter8459 Před 11 měsíci

      Usiogope kijana na huna sababu yakumlani au kumlaumu muachie Mungu ndie mtoa hukumu alisema ktk maandiko matakatifu kua hasira na kisasi ni juu yake ona tayari amepata adhabu ya kifo maana kama yeye ni mke wa mtu ni nini kilipelekea kutoa mimba mpaka akafariki na huyo Mume wake pia Iko cku atapewa adhabu yake wewe endelea kumlilia muumba wako atafanya jambo ninahakika vile ulivyopata mtu gerezani akakusaidia kuandaa rufaa ninahakika utapata atakaekuinua na utainuka watashangaa hata huyo doctor wa mchongo atapata pigo tuu. Pole kijana wangu.

    • @AnnaSimon243
      @AnnaSimon243 Před 11 měsíci +1

      Naumia sana! Mimi nilihukumiwa miaka3, lakini nikakaa gerezani siku 90 nikatoka. Ila kwa kukata rufaa. Mahakamani hakuna haki hata kidogo.😮😮😮😮

    • @MRCHARLES277
      @MRCHARLES277 Před 11 měsíci

      ​@@ahmedmukolwe43qq

  • @OdenialoniNgusi
    @OdenialoniNgusi Před 3 měsíci

    Kaka mungu akutangulie katika maisha yako hv mm nimekuombea mungu akujalie

  • @user-ij9te1ck9p
    @user-ij9te1ck9p Před 2 měsíci

    Tatizo linaanza kwa wenye dhamana ya upelelezi sijuwi hawana weledi ama tamaa za hongo au kudharau viapo na wajibu wao,sidhani ishu km hii ilikuwa na sababu ya hata kufika mahakamani.sijuwi watu hawa wanaopewa dhamana kubwa km hizi zinazobeba maisha ya watu wengine hutumika taratibu gani.kuna haja ya chombo kizima cha polisi kiwe kitengo maalum cha jeshi la wananchi km wenzetu kenya kwa asilimia kubwa wako smart sn na wana mapenzi na raia na wanapendwa pia na raia.

  • @user-ic2cb9gm2j
    @user-ic2cb9gm2j Před 11 měsíci +4

    Majaji pia wanadhulmaa kubwa sanaa

  • @user-uk7or9bd9x
    @user-uk7or9bd9x Před 6 měsíci +1

    Mungu kamuonesha mungu nimwema

  • @user-fl5hw7jq9r
    @user-fl5hw7jq9r Před 3 měsíci

    Pole sana hiyo kesi ilkuwa siihalalli kwa nini hukupelekwa kupimwa namahakama ilifanya makosa

  • @kilamegroup2968
    @kilamegroup2968 Před 11 měsíci +3

    Pole sana ndugu

  • @ahmedmukolwe43
    @ahmedmukolwe43 Před 11 měsíci +3

    Thank God hiyo nuguu alikufa

  • @JusterBagoka-ty7kq
    @JusterBagoka-ty7kq Před 3 měsíci

    Jaman jaman nimeumia sana mungu tutetee sisi binadamu hatuna huruma jaman

  • @wettykznznhuioploko1571
    @wettykznznhuioploko1571 Před 11 měsíci +2

    Mungu kalipa apa apa duniani

  • @demetriajohn2393
    @demetriajohn2393 Před 9 měsíci

    Pole kijana ,Mungu amekunusuru ,nakushauri bora uende nyumbani kwanza utulize akili maisha ya dar bila kazi ni mtihani kwako ,pili hapo kwa rafiki yako kuna mke pia, angalia usije kurukamkojo ukayakanyaga mavi.Alafu najiuliza kwa nini baadhi ya kina mama tunakuwa na roho mbaya kiasi hiki ,! Hivi kweli mtoto wa mwenzio ni wa kwako??Au tunaimba kinafiki tu!!!

  • @hashimmziray7416
    @hashimmziray7416 Před 9 měsíci +1

    pole saana kuhusu mambo ya ushahidi naona umechanganya kutokana na mteso au mfadhaiko wa kisaikologia kwa kuwa victim anayedai kubakwa na Dr lazima watoe ushahidi wao wote kisha ndo mtuhumiwa ajitetee hivyo ushahidi wake ni huo anaoita wa mara ya pili kwa kuwa aliutoa baada ya Dr kuongea.

  • @user-bw7ve8ce3q
    @user-bw7ve8ce3q Před 11 měsíci +2

    Wee ata usimdai tena, haki ya mtu haizami 😢😢

  • @RadjboyBagalwa
    @RadjboyBagalwa Před 11 měsíci +1

    Pole sana kakangu mungu atakusaidia

  • @user-dl2fs8cc8c
    @user-dl2fs8cc8c Před 4 měsíci

    Aiseee yaan mmmmh,kwanzaa tumshukru Allah maana yeye ndo muweza wa yoteee lakn niskufchee ishi ukimpendeza sanaa mungu maana kesi ilikuwa ztooo huyooo mama cc hatulipiz ubaya wala hatutoi hukumu yeyotee ilaa kama kwer cc hatukufanya hcho kitendoo hakika Allah hachelew Anajibu kwa wakat.....Polee Sana kk mi nko Iringaa Ilulaa nmeskilza machoz yamenitoka kabsaaaaa pole Sana mungu atafanya njia paspo na njiaa kk

  • @JumaKhamissi-nh7qn
    @JumaKhamissi-nh7qn Před 6 měsíci

    Malipo ni hapa hapa chini ya juwa ahera kwenda maesabu Kisha tangulia. Atakiona cha moto.

  • @flendersimba9301
    @flendersimba9301 Před 11 měsíci +2

    Pole sana pambana tuu.

  • @rukaraephrem4423
    @rukaraephrem4423 Před 10 měsíci

    Mungu mkubwa hoyo mama mungu ari muhukumu. Pole sana

  • @allykiyanga5402
    @allykiyanga5402 Před 9 měsíci +2

    Mm ni miongoni mwa whangarei nilifungwa miezi sita kwa dhulima

  • @user-no2mq8vs2c
    @user-no2mq8vs2c Před 9 měsíci

    Pole sana kaka angu mungu atakulipia kwahayo yaliyo kukuta

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu Před 4 měsíci

    Sio Tu Aliyemsingizia ana Makosa Ukisikiliza hapo, Utagundua Mahakimu ni Wapuuzi sana... Maana Hata Mtu asiye hakimu Angejua Hii Ni Kesi ya Kutunga... Hakimu Aliyemfunga ALAANIWE MILELE

  • @user-qg5bq4sj9c
    @user-qg5bq4sj9c Před 11 měsíci

    Pole sana arusha kuna kijana anitwa godfrey fund nagar alisingiziwa kulawitwi mungu ampiganie

  • @user-jz2qg8rq4u
    @user-jz2qg8rq4u Před 5 měsíci

    Pole sana kaka Allah akupe mwisho mwema

  • @pulkeriamassawe7354
    @pulkeriamassawe7354 Před 11 měsíci +1

    Pole sana

  • @JacksonLaizer-ul6ek
    @JacksonLaizer-ul6ek Před 10 měsíci +1

    Ama kweli Mungu nimkubwa

  • @roseatienoogutu7641
    @roseatienoogutu7641 Před 10 měsíci +1

    vibaya sana kumdhulumu mwana wa mwezako utalipwatu

  • @user-sp2hk8ow7t
    @user-sp2hk8ow7t Před 11 měsíci

    Pole sana ndg mungu atakupambania

  • @user-fz8kc5dl3y
    @user-fz8kc5dl3y Před 10 měsíci +1

    Poleee Sana

  • @MkumboIddy
    @MkumboIddy Před 3 měsíci

    Pole sana man

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 Před 11 měsíci +4

    Jamani Uwiii Kuna watu wataungua Kwa Mungu acha kabisa

  • @jeannekorona4016
    @jeannekorona4016 Před 11 měsíci +1

    Pole sana kabisa

  • @user-xv8ji2bl1r
    @user-xv8ji2bl1r Před 10 měsíci

    Mungu atakulinda kila jambo huja na sababu ili tujifunza haki haipotei

  • @abushaddad989
    @abushaddad989 Před 11 měsíci +3

    Huyo Mama bora kafa acha akambane aliyotanguliza

  • @user-vw1vk3vc3h
    @user-vw1vk3vc3h Před 9 měsíci

    Pole dogo, Hawa wanawake tujihadhari nao sana.

  • @user-zd9yn2nd2r
    @user-zd9yn2nd2r Před 11 měsíci +2

    Pole dogo maisha ayo

  • @amarually5457
    @amarually5457 Před 9 měsíci

    Pole sana lakini umeona mungu alivyo kulipia uko aliko mungu anampa stahiki yake dhuluma mbaya sana hakiya mtu haipotei

  • @aliymwazoa3051
    @aliymwazoa3051 Před 11 měsíci +1

    Nimewahi kusikia story kama hii zamani kidogo

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 Před 11 měsíci +1

    sasa kama kabakwa xiyuwsjua yy jaman 😭😭 watuwengine jaman😭😭 mungu Amshinde🤗🤗

  • @SalehSalum-ri1jn
    @SalehSalum-ri1jn Před 3 měsíci

    Dah yule mzee alie kua gerezan umshukuru

  • @jumakibomola
    @jumakibomola Před 11 měsíci

    Pole xana mungu Yu pamoja nawe

  • @MohamedMohamed-dx8ve
    @MohamedMohamed-dx8ve Před 3 měsíci

    Allah akbar

  • @user-hh4ex7ps7h
    @user-hh4ex7ps7h Před 9 měsíci

    Pole sana kaka ila malipo ni hapa hapa ww muachie mungu

  • @mussaissa6796
    @mussaissa6796 Před 10 měsíci

    POLE SANA BRO,HAKI YAKO ITALIPWA TU NA HUYO MALUUNI ALIYEKUSINGIZIA MUNGU AMESHAMLIPA TAYARI NA BADO.

  • @jacksonbasenile-nu8bf
    @jacksonbasenile-nu8bf Před 7 měsíci

    Pole Sana kupatwa na tatizo hilo

  • @plumbingtanzaniaplumber7570
    @plumbingtanzaniaplumber7570 Před 8 měsíci

    Pole sana mungu atakusimamia

  • @betinesjulius
    @betinesjulius Před 2 měsíci

    jaman pole san

  • @user-xh4jt7nt7z
    @user-xh4jt7nt7z Před 7 měsíci

    Dogo pole sana mimi kwanza nakuomba ata hapo kwa lafikiako uwondoke mana wanawake hawana huluma kabisa pambana dogo

  • @SereneBoxer-kz4fs
    @SereneBoxer-kz4fs Před 6 měsíci

    Pole mweye nguvu ni Mungu

  • @salisali3738
    @salisali3738 Před 11 měsíci +1

    Aliapia kiapo cha uongo Mungu ame hukumu kiapo sio cha mchezo kuapia uongo

  • @salma0000
    @salma0000 Před 11 měsíci +1

    Hivi Tanzania hamjaweza tu kucheki ushahidi wa dna za wabakaji mpk leo.

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Před 11 měsíci +1

    Mhh 🤔🤔. Mbona alishahojiwa na Mbengo , miaka miwili iliyopita. Leo anasema katoka mwaka huu. Simuelewi kiukweli.

  • @user-ro7xv7bk3y
    @user-ro7xv7bk3y Před 11 měsíci

    Wewe kijana pole sana kijana bado mdogo tena mshamba sio jasiri kwanini hukumtafuta mumewake 😢😢😢

  • @nicholaskavuwa6780
    @nicholaskavuwa6780 Před 3 měsíci

    Ukora wa mahakimu wakenya na tanzania wao ndio watakua kuni jikoni la jehonamu

  • @JumaKhamissi-nh7qn
    @JumaKhamissi-nh7qn Před 6 měsíci

    Jasho LA mtu aliliki hizo pesa zako alizo kudhululu atakulipa mbele ya Allah

  • @Josephat-cw6co
    @Josephat-cw6co Před 3 měsíci

    Pole mwanangu

  • @simaecim3211
    @simaecim3211 Před 11 měsíci +2

    😢😢😢

  • @user-zd2zn8yj2e
    @user-zd2zn8yj2e Před 11 měsíci +1

    Tuma,hiyo,number, tena,niko,hapa,Saudi, namimi,nimukenya,nitakutumia,pasa,kidongo,mwisho,wamwezi,

  • @omarihasani7569
    @omarihasani7569 Před 11 měsíci +2

    Hakika haikuw rahx mung akubariki

  • @OdenialoniNgusi
    @OdenialoniNgusi Před 3 měsíci

    Aloo kumbe alikufa mungu yupo

  • @JumaMario-px8tt
    @JumaMario-px8tt Před 11 měsíci

    Pole kaka yangu

  • @stellah3844
    @stellah3844 Před 11 měsíci +3

    😢😢😢😢

  • @zachariaobama8616
    @zachariaobama8616 Před 6 měsíci

    Pole sana broo

  • @user-vo7oq3gz9c
    @user-vo7oq3gz9c Před 3 měsíci

    Tatizo la mahakim wetu haki nyuma mwiko

  • @PijeyWilliam
    @PijeyWilliam Před 3 měsíci

    Pole san nduguyang unanikumbush mbali san maan Keaikama yako kuna mdogowangu kafungwa miak 30 kama hiyo mpaka sas sijuw yuko wap

  • @nyamhangamaseke
    @nyamhangamaseke Před 3 měsíci

    Pole sana kaka

  • @AwzaMstafa
    @AwzaMstafa Před 2 měsíci

    Angekutaka angesema

  • @KejyomboJames-hm7nr
    @KejyomboJames-hm7nr Před 11 měsíci +2

    😭😭😭

  • @salimalharrasi3943
    @salimalharrasi3943 Před 6 měsíci

    SIKU ZOTE MALIPO NI HAPA HAPA DUNIANI...

  • @OdenialoniNgusi
    @OdenialoniNgusi Před 3 měsíci

    Aloo kumbe alikufa mungu yupo 23:35 24:00

  • @user-og5bq6qq6c
    @user-og5bq6qq6c Před 11 měsíci

    Pole sana jamaa

  • @user-dj9wd9up6g
    @user-dj9wd9up6g Před 11 měsíci +1

    Pole sana ila huyo bosi wako hanautu hatakkulipa huyo