BILA HURUMA! MREMBO ACHANWA Kwa VIWEMBE Kisa UGOMVI wa MAPENZI ya RAFIKI Yake
Vložit
- čas přidán 10. 11. 2020
- BILA HURUMA! MREMBO ACHANWA Kwa VIWEMBE Kisa UGOMVI wa MAPENZI ya RAFIKI Yake
Binti Angel Peter ameendelea kuuguza makovu aliyoyapata baada ya kuchanwa na viwembe na wasichana ambao walikuwa wamelenga kumfanyia tukio hilo rafiki wa Angel kwa kile kinachodaiwa kuwa alikuwa akitembea na mwanaume wa mtu..
Makovu hayo yamevamiwa na bakteria ambao wamefanya yavimbe na kwa mujibu wa daktari huenda baadae akapata kansa na hivyo anaomba msaada ili aaweze kufanyiwa upasuaji wa makovu hayo..
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Umebaki kuwa mwanamke mrembo sana. Wewe ni shujaa! Una uzuri usio kifani. Usiogope! Usiogope! Jivunie sana majaribu uliyopitia! Wewe ni shujaa! Pole.
Aiseeh nimekupenda we kaka
Ujumbe mzuri wakaka km wewe walishapotea
@@mosesg.pendael8381 pole sana wajina wang
Yes bado mrembo chenyew
@@mosesg.pendael8381 mungu akuongezee moyo uliona uwe. Mtamu zaid
Pole sana mwanangu huyu mama mwenye nyumba yaani mwenyez mungu atakulipa mama una moyo sana sana mungu akubariki
Duh pole Sana dada malipo yapo hap hap duniani
Uyomama ana roho nzuri sana
Pole Sana dafa
Mama mwenye Nyumba Hakika Mungu aonae sirin akujaze na akuongezee zaid na zaid mama yangu😭🙏
Mungu amlipeuyu mamaana moyowapekeake sijuikabila ganiuyomama
Kwakweli mwenyezi mungu amjaaliye
Ubarikiwe mother house wewe ni strong mama uishi miak mia tano mama
Naomba namba yako ya cm enjo
Naomba Mungu anipe moyo mzuri kama wa huyu mama may God bless her she's one in a million
Mama mwenyewe nyumba mungu akubariki Sana, na akupe zaidi na zaidi mama
Ucjal mama nakuunganisha sasa ivi na Maximum Tv atakuja apo Kigamboni cc group letu ya whataup la Maximum hiyo pesa n ndogo sana utaipata naamin adi kesho iyo pesa itakuwa imepatikana
Pole sana
amen
Mh
@@merymichael5513 😂😂mimi mwenyewe nimeguna kama ww
dah wamekuja bhna nimeichek leo
Mama uliyemsaidia huyo dada Allah atakulipa hapahapa duniani na akhera wabillah toufeeq
Polebiti allha atakupeya mazuri
Daahh!! pole sana😭😭😭najaribu kuvaa viatu vyako nashindawa kwakweli binadamu wabayaa!!😭😭😭pia nakupongeza mama kwa moyo wako mwemaa hongera na Allah akujaze heri ww na babaaetu 🙏🙏🙏
Mwili unanisisimka mm jamani huu mtihani binadamu tunapenda wapi hata unajitiya kiburi chakumkata mwenzio hivyo Pole sana allah kareem malipo duniani nawao watalipwa NA mungu hawo 😭😭😭
Yaani acha mi mwenyewe nimehisi baridi
@@dullahjuma6137 yani siku fikiriya haswaaaa🤔🤔ila kama hujafa hujaumbika
Jamani
Pole pole mdogo wangu mungu atakupa wepesi urudi kama zamani, yarab yarb😭😭😭😭
Mama mwenye nyumb honger san mungu akujaalie maish maref mnoo.
Mungu ambariki sana huyu mama aishi maisha marefu apate hela ajenge mijengo mingine
Amiin inshaallah
For the first nimelia😭😭😭😭😭,Mungu akupiganie kipenzi na malipo Ni hapa hapa dunian...pole mweeee.
Mama mwenye nyumba Mungu akupe maisha marefu!😢
Dah imeniuma sana aisee, pole sana binti Mungu atakulipia
Mama bimwana Allah akupe umri mrefu na akulinde na kila Shari, Allah Akujaaliye neema na baraka katika familia yako,
Wa llahi, wewe mama ni mfano wa kuigwa kwa binaadamu sote waislamu na hata madhehebu mengine
😭😭😭😭Mama mwenye nyumba mungu akubarik Zaid na Zaid Kwan Ni mfano was kuigwa🙏🙏🙏🙏🙏
Mama mwenye nyumba. Mungu akubariki kweli. Una Moyo wa Pekee. Upate Neema Kwa Mungu.
Tuna matatizo ila kuna wenye matatizo zaidi yetu Allah ukupe wepesi msichana mwenzangu Allah akupe wepesiiiii utapona tuu Mungu wetu sote 🤲🤲🤲🙏😢😢
Kweli kabisa
MAMA MWENYE NYUMBA ALLAH AKUBARIKI SANA. THAWABU ZAKO ZIPO KWA ALLAH IN SHAALLAH
Dada pole sana ila nakushauli kama unatuma losheni nunua asari changanya naiyo losheni alafu nyingine tumia kuwa unakunywa itakusaidia sana izo alama
Mungu wa binguni
Mama mwenye nyumba pamoja na mume wako mungu awazidishie na awabariki sana kwakumsaidia huyo Dada nyie ni watu Wa tofauti sana
God bless her for everything
Pole dada angu! Mpaka nimelia na mie!
Uchungu Sana
Come on guys, this young lady needs some urgent help. I am not a Tanzanian but I am willing to give $150, anyone else to lend a hand?
Pole dadangu mungu yuko nawe aki uko mrembo usijali
may God bless you
Amin
Mungu akubariki na mimi nitamtafuta.
Hello
Hello Mohammed Francis
Huyu mama mwenye nyumba Mungu ambariki sana.ana moyo wake wa dhahabu.Mungu alinde na ampe zaidi
Pole sana daa Allah yupo nawe utapata usaidizi in shaa Allah...from 254😭😭😭
Mungu akubariki sana mama kwa moyo wako wa huruma hakika umeokoa maisha ya binti huyu Mungu atakulipa kwa wema wako wote uliomfanyia binti huyu.
Mungu akubariki sana mama mwenye nyumba,..hakuna ambacho tunafanya duniani ambacho hakina malipo, Mungu atakulipa wema wako mama...
*ETI KAHUKUMIWA KIFUNGO CHA NJE MIAKA 3 HII SHERIA YA KIPUUZI SANA*
Mungu amuangamize huyo mnyama aliemvamia bila kumkosea
rais wetu baba wa wanyonye na watanzania wote kwa jumla na viongozi wote kwa ujumla tunawaomba mumsaidie huyu binti enjoy aperekwe hospital arejee katika hali yake na waliohusika wote na tukio hili wawajibishwe kwa kina ili iwe fundisho kwa watu wengine kama hawa kifungo cha nje kwa majeraha kama haya hajatendewa haki huyu enjoy tusaidie rais wetu baba yetu
Mmmmm pole sanaaa
Halafu wakosoaji upigwa miaka 7.
Ujinga kabisa hao not wanatakiwa wanyongwe kabisa, Sheria Ina madhaifu mengi Sana daaaah
Duuh, pole Sana dada mungu afanye njia pasipo na njia. Mungu ambariki Sana mama mwenye nyumba yako ana moyo wa pekee
Jamani jamani jamaniii serikali.iko wapi jamani uonevu huu nimeumia sana mimi.ninankovu mgongoni la kiwembe lkn hali fikii ivo pole my dear
Pole Sana
Pole yake Sana huyu Dada,lakini Wadada au vijana kwa ujumla tujifunze kuchagua marafiki wazuri , Marafiki wengine wabaya, matokeo yake Ndo Kama haya,kosa la Mtu Mwingine anadhurika Mtu tofauti ambaye c mlengwa,pia wanadamu tuwe na roho ya Huruma,ata Kama Mtu kakukosea kiasigani c vyema kumdhuru Kama ivi.
Kweli kabisa" SO SAD!
Wew huwez jua huyu n rafik wa kukuumiza..mim nilikuwa na rafk tunafanyia ana kila kitu lkn kumbe n sumu nakuhakikishia kumjua mtu moyo wake nkaz sana
Moyo wa mtu msitu huwezi jua lilojificha
Kwanza pole Sana Dada. Mwenyekiti mungu akuponye kwa haraka.pili mama mungu akuzidishea Sana TENA sana duuu imeniuma Sana 😗
Pole mamy
Mama mwana kwa mwenyezi mungu unafungu lako kibwa sana insha allah mungu akuzidishie kila la kheri
Jaman dah imagine hii ni halii ganii huyuu dada anapitia jmn mungu msaidiee 😭😭😭😭
Huyu mama mwenye nyumba ni wa mfano kbs
Mungu atampa fungu jema hapa duniani na kesho ahera. Mungu akubariki Sana mama
Mama munguu akulipe akuzidishie ulipotoa mama
Pole Sana Dadaangu, hongera Sana Mama Allah akulipe kila lenye kher 🙏
Yaan huyu mama malipo ake kwa mungu tu binadam hawez kumlipa
Pole
Pole sana dada ....Mma mwenye nyumba anamoyo sana daah mungu akubariki😭😭😭
Mshukuru Allah kwa kila kitu hakika ndo kaona wew unaweza mtihani huu hakuna mwingine Futa machozi Sema Alihamdulilah Allah atakupa Shufaaa na kupata pesa na upaona kwa Uwezo wake wew ni mdada jasiri. Thanx kwa mama mwenye nyumba
Pole sana
Daaah watu wana roho mbayaaaa,mapenzi tuu ya kumuotea mtu unakwenda kumjeruhi mwenzio hivi,haki Mungu siku akishuka daah😭😭
Dah pole dada yangu hakika hujafa hujaumbika
Am speechless ayseee
Wakina Mama wenye nyumba mmesikia Mama mwenye nyumba mwenzenu?mungu akubariki Mama mpaka machozi yamenitoka😭😭
Polee sana Dada yangu MUNGU hatakuacha kamwe
Hiyo mama nimfano na Mungu ambariki san...
Dada toa mawasiliano yako tutachobarikiwa uongezee kwenye matibabu
Pole sana. Naomba Mungu akusaidie urudie hali yako ya kwanza ya uumbaji ambao Mungu alikupa tangu hapo mwanzo
Huo wembe ulikua umewekwa kitu sio buree, pole sana dada yangu
Hapana ngozi yake ni mbaya tu nimewahi kuina MTU.
Hapana wembe ndivyo ulivyo niliwahi kushuhudia mdada nae amechanjwa akawa hvyhvy
MashaAllah mama mwenye nyumba, hujapoteza jaza yako iko kwa Allah.
Pole sana mdogo wangu aiseee binaadamu tunaroho mbaya sana
Mashaallah mama nataman nikuon na nikukumbatie ww nimama bora ktk ya wamama mung atakulipa ujira wak mama nakupend sana inshaallah unafung rak kwa mung
Inauma sanaaa,nimeshindwa kujizuia kabisa nimelia sanaaa
Pole Sana mamiy
Mama anaiman huyu Allah akubariki sanaa sanaa pole sana dada yangu😭😭😭😭
Dah! 😭😭😭😭😭
Dah- pole sana Enjo
Maskini nimeona huruma sana, heshima kubwa kwa huyo mama mwenye nyumba nataka number ya mama nimutumie kakitu kidogo pole kwa hiyo familia 🙏🏾🇰🇪🇨🇭
Mungu akubariki sana
Pole San dada yangu mung yupo
Subhanallah yarabi
Pole sn M’Mungu atakusaidia 🙏🙏
Daah so sad nimesikia leo kwenye clouds pole sanaa n ur still so cute malaika pole sana god be with you n u will be ok my darling n watanzania tujitahidi kuwachangia wahitaji kama hawa waweze kua poa ili warudishe furaha usoni mwao n god atatulipa inshalah
Mungu akuongezee mama ubarikiwe Kwa kuuguza
Daah pole sana dada yangu utapona unamdhuru binadamu mwenzio kiasi iko kisa mwanaume😔😔
Aisee
@@pendomgandi1016 😔😔
Allah amlipe huyu mama mwenye nyumba pepo ya daima inshallah
Dada pole sana nimeumia sana my usilie sana mpenzi pole walokufanyia hivyo wakamatwe kabisa
Mama mwenye nyumba God bless you 🙏 ❤ u r kind
Mashaallah mama mwenyezi Mungu atakulipa hapa duniani na kesho akhera
Mama mungu akuzidishie kwa moyo uliokuanao niwachache sana kwahaya ulio yafanya mungu akubaliki sana
Subhanallah
Mamamwenyenyumba ubalikiwe sana kwawema unaoufanye
The lady is so kind may God bless her and family
Pole mdogo wangu mungu akubark kwamoyo wako Dada mwenye nyumba
Pole enjoo uilie unaniliza namm
Pole sana😭😭😭
Mama mwenye nyumba mungu akubariki akujaalie mema ckuzote za maisha yko
Pole jamani mungu atakusidia 😢😢
Mama mwenye nyumba.. Mungu akuazidishie
Pole
Pole sana na hongera yake mama mwenye nyumba kwa ujasili wa roho nzuri
Mungu ambariki sana huyo mama mwenye nyumba God bless you more and more
Sio bure izo nyembe ziliwekwa sumu..pole dada 😭😭
Chembelecho vijembe havifanyi hivyo
Kabisa aisee😭😭😭
Yaan n kwl sio bure hizo nyembe waliweka sumu sio kw kumdhakilisha mwenzao hvy
Mungu anawaona wahusika wa tukio na atawashughulikia ipasavyo
@@salamawadh6150 mm najiuliza kwanini uyo rafiki yake ambae ndo muhusika mbona wamemuacha
@@mahmoodalghefeili5370 nna Shaka huyu shogaake anahusika moja kw moja kwa sababu toka mwenzake alipopata matatizo hajatia mguu
Akamatwe ahojiwe vizur huyu
Dada wawatu mrembo kweli wivu tu usilie sana dada utapona tu Mungu ni mkubwa
Mungu wangu mungu wangu😭😭😭😭😭😭😭pole sana mdg wangu mama. Allah akuzidishie eeeh mungu yani nmelia mpka basi 😭
Mashallah, ALLAH atakupa fungu lako Mamayngu.. Allah akujaliee umri mrefu, Pole Sanasana ANGEL.
Subhanallah huu mtihani wanadamu twaenda wapi dunia simama mie nishuke
Pole sana mudogo wangu mungu akuponywe
Sasa ndugu yangu ushuke wende wapi haha
Mm mweny nyumba mungu amzidishie kila her mungu amzidishie umr mref azidi kuwa na Moyo mzur kam alivyofanya
Allah amzidishia huyu mama
Kifungo cha nje muuaji mkubwa sheria imchukulie hatua huyu kampa mwenzie ulemavu wa maisha
Eti jamani 😭😭😭
Wallah hakutakiwa kabsa huyo mtu
@@khadijamasoudkhadijamasoud2335 kabisa ndugu
Pole Dada Angu mungu atakuponya usikate tamaaa ! Maana hii vita siyo yako ni ya mungu pekee utapona
😪😥😥😥
Subhannallah polesana mungu atakulipiya jamani siyo utu huu
Wew mama mwenye nyumba mungu akubariki mungu akutangulie kila utokapo NA uingiapo NA akuzidishie kwenye mfuko wako kila utoapo mungu atakulipa zaidi ya hizo ulizotumia
Uyo mama m2 mzuri mnooh allah atakufanyia wepesi katika kila lakher 🙏🤲
Du mung akusaidie enger mm mwenyenyumb pole na mungu atakulip tu
Mama Mungu akulipe mema. Jamani bin adam tuwe namoyo wahuruma mtu akiwa kwenye matatizo tuwe tunasaidia
Daaaaahhh YAH-RABBY naumia hadi nimewaza visiwepo nyembe ht moja Tanzania nzima unyama gani huu
Pole sana dada yangu na mama mwenye nyumba mungu akubariki sana allah atakulipa njaanaa kesho 🙏🙏😭
Pole sana my dear mungu atakufanyia wepesi utapona Inshaallah.
Machozi yangu yatalipwa!!!
Na wewe
emuuu wa izrael mponye huuyu dada muongezee iman mama mwenye nyumba
The problem with these Tanzanian interviewers, they never help where there is a problem like this... Please do fundraising for your fans. She needs help. Be like Kenyan interviewers who raise millions for those in need. Please itisha pesa tuchangie mkasa huu....
Huyu angekua tuko news angekua ashachangiwa
@@suezanna2690 eeh
True, wangetoa namba za simu au bank account watu wachangie.
🇰🇪 yes
@@suezanna2690 kabisa.kenya tuko mbele
Duniani tunapita tu jamani pole dada angu. Mungu Akufanyie wepeasi
on top of the injuries she is cute...
am awfully sorry walah.pole dada
Pole sana dada , Mungu akutunze bi mwana endelea na moyo huo
,duh kuna wa2 wana roho mbaya dunian
@@braysontz5671 yani sana
Pole sana! Jamani hizi nyama na makovu yote vinatoka akifanyiwa operation. Insha’Allah utapona!
Makovu yatabaki makubwa tu ila itakua nauafadhali
Duniani kuna watu wanyama sana.pole sana enjoy mungu akusaidie nakukuponya
Pole Sana jmni
Angel rudi mahakamani ufungue kesi upya upate haki yako mamy Mwenyezi Mungu akutie nguvu na huyu mama Mungu ambariki mara 10000 ampe kila hitaji la moyo wake
Pole sana dada 😭😭
Innaalillah wainnaailayhi raajiuun.
Analia kwauchungu sana mungu wangu saidia choz lahuyu dada
Mungu atkujalia utapona ishallah
Polesana Allah akuafu
Pole mdog wang allah atakupa wepes daah mtumeeeee
Nambie
Jmn hadi huruma jmm 😭😭😭😭
Mungu Baba akuzidishie Mara dufu mama mwenye nyumba naomba Mungu anipe moyo kama wew..na Dada mwenyez Mungu akuponye
Pole sana dada aangu Mungu yupo atakusaidia endelea kujitia nguvu malipo ni hapa hapa Duniani
Aisee!!mpk nimelia😭😭polee sana dada
😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳
Dah anamwili mbaya kavimba mno mm tu nilichanjwa chanja na mganga mgongon na liuvimbe hd leo ! Jmn huyu Dada kaumia sana pole sana😭
Pole Sana Mungu mwema atakufanyia Jambo jema