BILA HURUMA! MREMBO ACHANWA Kwa VIWEMBE Kisa UGOMVI wa MAPENZI ya RAFIKI Yake

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 11. 2020
  • BILA HURUMA! MREMBO ACHANWA Kwa VIWEMBE Kisa UGOMVI wa MAPENZI ya RAFIKI Yake
    Binti Angel Peter ameendelea kuuguza makovu aliyoyapata baada ya kuchanwa na viwembe na wasichana ambao walikuwa wamelenga kumfanyia tukio hilo rafiki wa Angel kwa kile kinachodaiwa kuwa alikuwa akitembea na mwanaume wa mtu..
    Makovu hayo yamevamiwa na bakteria ambao wamefanya yavimbe na kwa mujibu wa daktari huenda baadae akapata kansa na hivyo anaomba msaada ili aaweze kufanyiwa upasuaji wa makovu hayo..
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 1,3K

  • @mosesg.pendael8381
    @mosesg.pendael8381 Před 3 lety +217

    Umebaki kuwa mwanamke mrembo sana. Wewe ni shujaa! Una uzuri usio kifani. Usiogope! Usiogope! Jivunie sana majaribu uliyopitia! Wewe ni shujaa! Pole.

  • @mamaahmad8615
    @mamaahmad8615 Před 3 lety +89

    Pole sana mwanangu huyu mama mwenye nyumba yaani mwenyez mungu atakulipa mama una moyo sana sana mungu akubariki

  • @consolathambuya2563
    @consolathambuya2563 Před 3 lety +56

    Mama mwenye Nyumba Hakika Mungu aonae sirin akujaze na akuongezee zaid na zaid mama yangu😭🙏

  • @carolinetalam5832
    @carolinetalam5832 Před 3 lety +22

    Naomba Mungu anipe moyo mzuri kama wa huyu mama may God bless her she's one in a million

  • @josephinesiril9521
    @josephinesiril9521 Před 3 lety +82

    Mama mwenyewe nyumba mungu akubariki Sana, na akupe zaidi na zaidi mama

  • @kamalissabig2429
    @kamalissabig2429 Před 3 lety +152

    Ucjal mama nakuunganisha sasa ivi na Maximum Tv atakuja apo Kigamboni cc group letu ya whataup la Maximum hiyo pesa n ndogo sana utaipata naamin adi kesho iyo pesa itakuwa imepatikana

  • @khalilyjuma4325
    @khalilyjuma4325 Před 3 lety +33

    Mama uliyemsaidia huyo dada Allah atakulipa hapahapa duniani na akhera wabillah toufeeq

  • @aminasuleiman6402
    @aminasuleiman6402 Před 3 lety +9

    Daahh!! pole sana😭😭😭najaribu kuvaa viatu vyako nashindawa kwakweli binadamu wabayaa!!😭😭😭pia nakupongeza mama kwa moyo wako mwemaa hongera na Allah akujaze heri ww na babaaetu 🙏🙏🙏

  • @thuwaibaabdallah6880
    @thuwaibaabdallah6880 Před 3 lety +48

    Mwili unanisisimka mm jamani huu mtihani binadamu tunapenda wapi hata unajitiya kiburi chakumkata mwenzio hivyo Pole sana allah kareem malipo duniani nawao watalipwa NA mungu hawo 😭😭😭

    • @sherrysalim50
      @sherrysalim50 Před 3 lety

      Yaani acha mi mwenyewe nimehisi baridi

    • @thuwaibaabdallah6880
      @thuwaibaabdallah6880 Před 3 lety

      @@dullahjuma6137 yani siku fikiriya haswaaaa🤔🤔ila kama hujafa hujaumbika

    • @saumuhassan6365
      @saumuhassan6365 Před 3 lety

      Jamani

    • @mariamsaid7076
      @mariamsaid7076 Před 3 lety +1

      Pole pole mdogo wangu mungu atakupa wepesi urudi kama zamani, yarab yarb😭😭😭😭

    • @Saif-bs1hr
      @Saif-bs1hr Před 3 lety

      Mama mwenye nyumb honger san mungu akujaalie maish maref mnoo.

  • @evakiwia6768
    @evakiwia6768 Před 3 lety +23

    Mungu ambariki sana huyu mama aishi maisha marefu apate hela ajenge mijengo mingine

  • @jacquelinegg327
    @jacquelinegg327 Před 3 lety +8

    For the first nimelia😭😭😭😭😭,Mungu akupiganie kipenzi na malipo Ni hapa hapa dunian...pole mweeee.

  • @tumainijonas1765
    @tumainijonas1765 Před 3 lety +10

    Mama mwenye nyumba Mungu akupe maisha marefu!😢

  • @ramadhanikibenga6317
    @ramadhanikibenga6317 Před 3 lety +25

    Dah imeniuma sana aisee, pole sana binti Mungu atakulipia

  • @rukiakhamsin9220
    @rukiakhamsin9220 Před 3 lety +6

    Mama bimwana Allah akupe umri mrefu na akulinde na kila Shari, Allah Akujaaliye neema na baraka katika familia yako,
    Wa llahi, wewe mama ni mfano wa kuigwa kwa binaadamu sote waislamu na hata madhehebu mengine

  • @dumamnyama5131
    @dumamnyama5131 Před 3 lety +7

    😭😭😭😭Mama mwenye nyumba mungu akubarik Zaid na Zaid Kwan Ni mfano was kuigwa🙏🙏🙏🙏🙏

  • @winfridaakyoo2196
    @winfridaakyoo2196 Před 3 lety +6

    Mama mwenye nyumba. Mungu akubariki kweli. Una Moyo wa Pekee. Upate Neema Kwa Mungu.

  • @shaniissa8804
    @shaniissa8804 Před 3 lety +10

    Tuna matatizo ila kuna wenye matatizo zaidi yetu Allah ukupe wepesi msichana mwenzangu Allah akupe wepesiiiii utapona tuu Mungu wetu sote 🤲🤲🤲🙏😢😢

  • @zhmzzz9061
    @zhmzzz9061 Před 3 lety +22

    MAMA MWENYE NYUMBA ALLAH AKUBARIKI SANA. THAWABU ZAKO ZIPO KWA ALLAH IN SHAALLAH

    • @conchestaoisso6471
      @conchestaoisso6471 Před 3 lety

      Dada pole sana ila nakushauli kama unatuma losheni nunua asari changanya naiyo losheni alafu nyingine tumia kuwa unakunywa itakusaidia sana izo alama

    • @robertsure146
      @robertsure146 Před 3 lety

      Mungu wa binguni

  • @stellamathias8976
    @stellamathias8976 Před 3 lety +5

    Mama mwenye nyumba pamoja na mume wako mungu awazidishie na awabariki sana kwakumsaidia huyo Dada nyie ni watu Wa tofauti sana

  • @shafiiroyalfreemason5833
    @shafiiroyalfreemason5833 Před 3 lety +6

    God bless her for everything

  • @nebarthmoses6504
    @nebarthmoses6504 Před 3 lety +41

    Pole dada angu! Mpaka nimelia na mie!

  • @sam201031
    @sam201031 Před 3 lety +48

    Come on guys, this young lady needs some urgent help. I am not a Tanzanian but I am willing to give $150, anyone else to lend a hand?

  • @saitotisaitoti6734
    @saitotisaitoti6734 Před 3 lety +2

    Huyu mama mwenye nyumba Mungu ambariki sana.ana moyo wake wa dhahabu.Mungu alinde na ampe zaidi

  • @rehemambito7989
    @rehemambito7989 Před 3 lety +5

    Pole sana daa Allah yupo nawe utapata usaidizi in shaa Allah...from 254😭😭😭

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 Před 3 lety +3

    Mungu akubariki sana mama kwa moyo wako wa huruma hakika umeokoa maisha ya binti huyu Mungu atakulipa kwa wema wako wote uliomfanyia binti huyu.

  • @priscaakyoo3628
    @priscaakyoo3628 Před 3 lety +3

    Mungu akubariki sana mama mwenye nyumba,..hakuna ambacho tunafanya duniani ambacho hakina malipo, Mungu atakulipa wema wako mama...

  • @lucasmhagama8166
    @lucasmhagama8166 Před 3 lety +42

    *ETI KAHUKUMIWA KIFUNGO CHA NJE MIAKA 3 HII SHERIA YA KIPUUZI SANA*

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 Před 3 lety +1

      Mungu amuangamize huyo mnyama aliemvamia bila kumkosea

    • @hadijalukas5959
      @hadijalukas5959 Před 3 lety +2

      rais wetu baba wa wanyonye na watanzania wote kwa jumla na viongozi wote kwa ujumla tunawaomba mumsaidie huyu binti enjoy aperekwe hospital arejee katika hali yake na waliohusika wote na tukio hili wawajibishwe kwa kina ili iwe fundisho kwa watu wengine kama hawa kifungo cha nje kwa majeraha kama haya hajatendewa haki huyu enjoy tusaidie rais wetu baba yetu

    • @alwinahexperius8198
      @alwinahexperius8198 Před 3 lety +1

      Mmmmm pole sanaaa

    • @heritier5119
      @heritier5119 Před 3 lety

      Halafu wakosoaji upigwa miaka 7.

    • @johnmrindoko7875
      @johnmrindoko7875 Před 3 lety

      Ujinga kabisa hao not wanatakiwa wanyongwe kabisa, Sheria Ina madhaifu mengi Sana daaaah

  • @lidyanapegwa8154
    @lidyanapegwa8154 Před 3 lety +2

    Duuh, pole Sana dada mungu afanye njia pasipo na njia. Mungu ambariki Sana mama mwenye nyumba yako ana moyo wa pekee

  • @furahafanuel6917
    @furahafanuel6917 Před 3 lety +13

    Jamani jamani jamaniii serikali.iko wapi jamani uonevu huu nimeumia sana mimi.ninankovu mgongoni la kiwembe lkn hali fikii ivo pole my dear

  • @chido_wa_south2171
    @chido_wa_south2171 Před 3 lety +28

    Pole yake Sana huyu Dada,lakini Wadada au vijana kwa ujumla tujifunze kuchagua marafiki wazuri , Marafiki wengine wabaya, matokeo yake Ndo Kama haya,kosa la Mtu Mwingine anadhurika Mtu tofauti ambaye c mlengwa,pia wanadamu tuwe na roho ya Huruma,ata Kama Mtu kakukosea kiasigani c vyema kumdhuru Kama ivi.

    • @aishakhamis2996
      @aishakhamis2996 Před 3 lety

      Kweli kabisa" SO SAD!

    • @jumakazumba6662
      @jumakazumba6662 Před 3 lety

      Wew huwez jua huyu n rafik wa kukuumiza..mim nilikuwa na rafk tunafanyia ana kila kitu lkn kumbe n sumu nakuhakikishia kumjua mtu moyo wake nkaz sana

    • @aishaabdallah4560
      @aishaabdallah4560 Před 3 lety

      Moyo wa mtu msitu huwezi jua lilojificha

    • @jacklinekisamo4270
      @jacklinekisamo4270 Před 3 lety

      Kwanza pole Sana Dada. Mwenyekiti mungu akuponye kwa haraka.pili mama mungu akuzidishea Sana TENA sana duuu imeniuma Sana 😗

    • @lauraonesmo9139
      @lauraonesmo9139 Před 3 lety

      Pole mamy

  • @lilianjamil5930
    @lilianjamil5930 Před 3 lety +4

    Mama mwana kwa mwenyezi mungu unafungu lako kibwa sana insha allah mungu akuzidishie kila la kheri

  • @wahiduitsverycommentmane5421

    Jaman dah imagine hii ni halii ganii huyuu dada anapitia jmn mungu msaidiee 😭😭😭😭

  • @ishqmeinmarjawan1048
    @ishqmeinmarjawan1048 Před 3 lety +64

    Huyu mama mwenye nyumba ni wa mfano kbs

    • @vickyshoo1812
      @vickyshoo1812 Před 3 lety +1

      Mungu atampa fungu jema hapa duniani na kesho ahera. Mungu akubariki Sana mama

    • @shahama6663
      @shahama6663 Před 3 lety +1

      Mama munguu akulipe akuzidishie ulipotoa mama

    • @saumuhassan6365
      @saumuhassan6365 Před 3 lety

      Pole Sana Dadaangu, hongera Sana Mama Allah akulipe kila lenye kher 🙏

    • @neemamayco3238
      @neemamayco3238 Před 3 lety

      Yaan huyu mama malipo ake kwa mungu tu binadam hawez kumlipa

    • @fatmachadoe6764
      @fatmachadoe6764 Před 3 lety

      Pole

  • @mdzainb3722
    @mdzainb3722 Před 3 lety +32

    Pole sana dada ....Mma mwenye nyumba anamoyo sana daah mungu akubariki😭😭😭

  • @sheryomy6909
    @sheryomy6909 Před 3 lety +1

    Mshukuru Allah kwa kila kitu hakika ndo kaona wew unaweza mtihani huu hakuna mwingine Futa machozi Sema Alihamdulilah Allah atakupa Shufaaa na kupata pesa na upaona kwa Uwezo wake wew ni mdada jasiri. Thanx kwa mama mwenye nyumba

  • @evamacha7896
    @evamacha7896 Před 3 lety +2

    Pole sana

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 Před 3 lety +5

    Daaah watu wana roho mbayaaaa,mapenzi tuu ya kumuotea mtu unakwenda kumjeruhi mwenzio hivi,haki Mungu siku akishuka daah😭😭

  • @beingmamu7736
    @beingmamu7736 Před 3 lety +14

    Dah pole dada yangu hakika hujafa hujaumbika

  • @sarahlangweni1702
    @sarahlangweni1702 Před 3 lety +7

    Am speechless ayseee

  • @joycenicodemus.2232
    @joycenicodemus.2232 Před 3 lety +31

    Wakina Mama wenye nyumba mmesikia Mama mwenye nyumba mwenzenu?mungu akubariki Mama mpaka machozi yamenitoka😭😭

    • @kidaguyumasahi5534
      @kidaguyumasahi5534 Před 3 lety

      Polee sana Dada yangu MUNGU hatakuacha kamwe

    • @petermuganda7322
      @petermuganda7322 Před 3 lety

      Hiyo mama nimfano na Mungu ambariki san...
      Dada toa mawasiliano yako tutachobarikiwa uongezee kwenye matibabu

  • @mwljuliusallany3155
    @mwljuliusallany3155 Před 3 lety +4

    Pole sana. Naomba Mungu akusaidie urudie hali yako ya kwanza ya uumbaji ambao Mungu alikupa tangu hapo mwanzo

  • @vero57
    @vero57 Před 3 lety +16

    Huo wembe ulikua umewekwa kitu sio buree, pole sana dada yangu

    • @giftielinganga3128
      @giftielinganga3128 Před 3 lety +1

      Hapana ngozi yake ni mbaya tu nimewahi kuina MTU.

    • @marymamntine1909
      @marymamntine1909 Před 3 lety +1

      Hapana wembe ndivyo ulivyo niliwahi kushuhudia mdada nae amechanjwa akawa hvyhvy

  • @ladymuna4945
    @ladymuna4945 Před 3 lety +17

    MashaAllah mama mwenye nyumba, hujapoteza jaza yako iko kwa Allah.

    • @zamdarashid3920
      @zamdarashid3920 Před 3 lety

      Pole sana mdogo wangu aiseee binaadamu tunaroho mbaya sana

  • @khaijajumanne1317
    @khaijajumanne1317 Před 3 lety +20

    Mashaallah mama nataman nikuon na nikukumbatie ww nimama bora ktk ya wamama mung atakulipa ujira wak mama nakupend sana inshaallah unafung rak kwa mung

  • @makulaikuku6909
    @makulaikuku6909 Před 3 lety +7

    Mama anaiman huyu Allah akubariki sanaa sanaa pole sana dada yangu😭😭😭😭

  • @lailmeeea4908
    @lailmeeea4908 Před 3 lety +4

    Dah! 😭😭😭😭😭

  • @fadhilplatnumz6209
    @fadhilplatnumz6209 Před 3 lety +2

    Dah- pole sana Enjo

  • @pichunakichuna2111
    @pichunakichuna2111 Před 3 lety +33

    Maskini nimeona huruma sana, heshima kubwa kwa huyo mama mwenye nyumba nataka number ya mama nimutumie kakitu kidogo pole kwa hiyo familia 🙏🏾🇰🇪🇨🇭

  • @jasminjuma6390
    @jasminjuma6390 Před 3 lety +6

    Subhanallah yarabi

  • @hadijapazia8255
    @hadijapazia8255 Před 3 lety +4

    Pole sn M’Mungu atakusaidia 🙏🙏

  • @yasristeven1135
    @yasristeven1135 Před 3 lety +3

    Daah so sad nimesikia leo kwenye clouds pole sanaa n ur still so cute malaika pole sana god be with you n u will be ok my darling n watanzania tujitahidi kuwachangia wahitaji kama hawa waweze kua poa ili warudishe furaha usoni mwao n god atatulipa inshalah

  • @lucymacha1853
    @lucymacha1853 Před 3 lety +5

    Mungu akuongezee mama ubarikiwe Kwa kuuguza

  • @eliassanga6907
    @eliassanga6907 Před 3 lety +7

    Daah pole sana dada yangu utapona unamdhuru binadamu mwenzio kiasi iko kisa mwanaume😔😔

  • @dijaimu2211
    @dijaimu2211 Před 3 lety +4

    Allah amlipe huyu mama mwenye nyumba pepo ya daima inshallah

    • @maryamhamisi4257
      @maryamhamisi4257 Před 3 lety

      Dada pole sana nimeumia sana my usilie sana mpenzi pole walokufanyia hivyo wakamatwe kabisa

  • @salmaalbarwani2618
    @salmaalbarwani2618 Před 3 lety +3

    Mama mwenye nyumba God bless you 🙏 ❤ u r kind

  • @saumsiraji9870
    @saumsiraji9870 Před 3 lety +4

    Mashaallah mama mwenyezi Mungu atakulipa hapa duniani na kesho akhera

  • @oscarsiwale2838
    @oscarsiwale2838 Před 3 lety +3

    Mama mungu akuzidishie kwa moyo uliokuanao niwachache sana kwahaya ulio yafanya mungu akubaliki sana

  • @Abalsashaame088
    @Abalsashaame088 Před 3 lety +2

    Subhanallah

  • @evodiajovinaly7741
    @evodiajovinaly7741 Před 3 lety +7

    Mamamwenyenyumba ubalikiwe sana kwawema unaoufanye

  • @rahmamohamed1253
    @rahmamohamed1253 Před 3 lety +3

    The lady is so kind may God bless her and family

    • @lucyhusein4043
      @lucyhusein4043 Před 3 lety

      Pole mdogo wangu mungu akubark kwamoyo wako Dada mwenye nyumba

    • @lucyhusein4043
      @lucyhusein4043 Před 3 lety

      Pole enjoo uilie unaniliza namm

  • @lizzybahati9833
    @lizzybahati9833 Před 3 lety

    Pole sana😭😭😭

  • @dynesshirima5611
    @dynesshirima5611 Před 3 lety +2

    Mama mwenye nyumba mungu akubariki akujaalie mema ckuzote za maisha yko

  • @Victorabuto142
    @Victorabuto142 Před 3 lety +4

    Pole jamani mungu atakusidia 😢😢

  • @jessydaktari5209
    @jessydaktari5209 Před 3 lety +5

    Mama mwenye nyumba.. Mungu akuazidishie

  • @catherneernest9459
    @catherneernest9459 Před 3 lety +2

    Pole sana na hongera yake mama mwenye nyumba kwa ujasili wa roho nzuri

  • @cleofasladislaus2177
    @cleofasladislaus2177 Před 3 lety +2

    Mungu ambariki sana huyo mama mwenye nyumba God bless you more and more

  • @fatumaomy4858
    @fatumaomy4858 Před 3 lety +14

    Sio bure izo nyembe ziliwekwa sumu..pole dada 😭😭

    • @zainabomar9139
      @zainabomar9139 Před 3 lety +1

      Chembelecho vijembe havifanyi hivyo

    • @marypaulo1650
      @marypaulo1650 Před 3 lety +1

      Kabisa aisee😭😭😭

    • @salamawadh6150
      @salamawadh6150 Před 3 lety +1

      Yaan n kwl sio bure hizo nyembe waliweka sumu sio kw kumdhakilisha mwenzao hvy
      Mungu anawaona wahusika wa tukio na atawashughulikia ipasavyo

    • @mahmoodalghefeili5370
      @mahmoodalghefeili5370 Před 3 lety

      @@salamawadh6150 mm najiuliza kwanini uyo rafiki yake ambae ndo muhusika mbona wamemuacha

    • @salamawadh6150
      @salamawadh6150 Před 3 lety

      @@mahmoodalghefeili5370 nna Shaka huyu shogaake anahusika moja kw moja kwa sababu toka mwenzake alipopata matatizo hajatia mguu
      Akamatwe ahojiwe vizur huyu

  • @ashuraabdulmaalik5319
    @ashuraabdulmaalik5319 Před 3 lety +4

    Dada wawatu mrembo kweli wivu tu usilie sana dada utapona tu Mungu ni mkubwa

  • @maryamanalisi197
    @maryamanalisi197 Před 3 lety +2

    Mungu wangu mungu wangu😭😭😭😭😭😭😭pole sana mdg wangu mama. Allah akuzidishie eeeh mungu yani nmelia mpka basi 😭

  • @zamdamasondole8272
    @zamdamasondole8272 Před 3 lety +1

    Mashallah, ALLAH atakupa fungu lako Mamayngu.. Allah akujaliee umri mrefu, Pole Sanasana ANGEL.

  • @abdurahamansebeku6996
    @abdurahamansebeku6996 Před 3 lety +8

    Subhanallah huu mtihani wanadamu twaenda wapi dunia simama mie nishuke

  • @mariamhamisi598
    @mariamhamisi598 Před 3 lety +1

    Mm mweny nyumba mungu amzidishie kila her mungu amzidishie umr mref azidi kuwa na Moyo mzur kam alivyofanya

  • @zennahmtoto1867
    @zennahmtoto1867 Před 3 lety +2

    Allah amzidishia huyu mama

  • @hawakiza6067
    @hawakiza6067 Před 3 lety +27

    Kifungo cha nje muuaji mkubwa sheria imchukulie hatua huyu kampa mwenzie ulemavu wa maisha

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta2227 Před 3 lety +6

    Subhannallah polesana mungu atakulipiya jamani siyo utu huu

  • @safy2225
    @safy2225 Před 3 lety +1

    Wew mama mwenye nyumba mungu akubariki mungu akutangulie kila utokapo NA uingiapo NA akuzidishie kwenye mfuko wako kila utoapo mungu atakulipa zaidi ya hizo ulizotumia

  • @salhamrisho8138
    @salhamrisho8138 Před 3 lety +4

    Uyo mama m2 mzuri mnooh allah atakufanyia wepesi katika kila lakher 🙏🤲

    • @abdallahswaleh6625
      @abdallahswaleh6625 Před 3 lety

      Du mung akusaidie enger mm mwenyenyumb pole na mungu atakulip tu

  • @shaadenshaduni7755
    @shaadenshaduni7755 Před 3 lety +3

    Mama Mungu akulipe mema. Jamani bin adam tuwe namoyo wahuruma mtu akiwa kwenye matatizo tuwe tunasaidia

  • @shifamakame4622
    @shifamakame4622 Před 3 lety +3

    Daaaaahhh YAH-RABBY naumia hadi nimewaza visiwepo nyembe ht moja Tanzania nzima unyama gani huu

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 Před 3 lety +1

    Pole sana dada yangu na mama mwenye nyumba mungu akubariki sana allah atakulipa njaanaa kesho 🙏🙏😭

  • @zuenamohamed2021
    @zuenamohamed2021 Před 3 lety +1

    Pole sana my dear mungu atakufanyia wepesi utapona Inshaallah.

  • @arqamibnarqam.7185
    @arqamibnarqam.7185 Před 3 lety +18

    Machozi yangu yatalipwa!!!

  • @SophieSpira
    @SophieSpira Před 3 lety +10

    The problem with these Tanzanian interviewers, they never help where there is a problem like this... Please do fundraising for your fans. She needs help. Be like Kenyan interviewers who raise millions for those in need. Please itisha pesa tuchangie mkasa huu....

  • @bendictorheremani3570
    @bendictorheremani3570 Před 3 lety +2

    Duniani tunapita tu jamani pole dada angu. Mungu Akufanyie wepeasi

  • @shukrihassan8794
    @shukrihassan8794 Před 3 lety +1

    on top of the injuries she is cute...
    am awfully sorry walah.pole dada

  • @mcrithawaukweli4885
    @mcrithawaukweli4885 Před 3 lety +6

    Pole sana dada , Mungu akutunze bi mwana endelea na moyo huo

  • @janethlilja9975
    @janethlilja9975 Před 3 lety +14

    Pole sana! Jamani hizi nyama na makovu yote vinatoka akifanyiwa operation. Insha’Allah utapona!

  • @winnienguma45
    @winnienguma45 Před 3 lety +1

    Angel rudi mahakamani ufungue kesi upya upate haki yako mamy Mwenyezi Mungu akutie nguvu na huyu mama Mungu ambariki mara 10000 ampe kila hitaji la moyo wake

  • @aishaaa1757
    @aishaaa1757 Před 3 lety

    Pole sana dada 😭😭

  • @arqamibnarqam.7185
    @arqamibnarqam.7185 Před 3 lety +4

    Innaalillah wainnaailayhi raajiuun.

    • @omanimujsa9756
      @omanimujsa9756 Před 3 lety

      Analia kwauchungu sana mungu wangu saidia choz lahuyu dada

  • @amourchunde1732
    @amourchunde1732 Před 3 lety +2

    Mungu atkujalia utapona ishallah

  • @moridohome4790
    @moridohome4790 Před 3 lety +1

    Polesana Allah akuafu

  • @bbb6nnn561
    @bbb6nnn561 Před 3 lety +7

    Pole mdog wang allah atakupa wepes daah mtumeeeee

  • @scolamayomba4662
    @scolamayomba4662 Před 3 lety +4

    Jmn hadi huruma jmm 😭😭😭😭

  • @treccydaniel3216
    @treccydaniel3216 Před 3 lety +1

    Mungu Baba akuzidishie Mara dufu mama mwenye nyumba naomba Mungu anipe moyo kama wew..na Dada mwenyez Mungu akuponye

  • @kataninyido962
    @kataninyido962 Před 3 lety +1

    Pole sana dada aangu Mungu yupo atakusaidia endelea kujitia nguvu malipo ni hapa hapa Duniani

  • @jestinamagembe2125
    @jestinamagembe2125 Před 3 lety +3

    Aisee!!mpk nimelia😭😭polee sana dada

  • @sharifafatawy9874
    @sharifafatawy9874 Před 3 lety +3

    😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳

  • @linahsemindu9575
    @linahsemindu9575 Před 3 lety +2

    Dah anamwili mbaya kavimba mno mm tu nilichanjwa chanja na mganga mgongon na liuvimbe hd leo ! Jmn huyu Dada kaumia sana pole sana😭

  • @benedictsanga6149
    @benedictsanga6149 Před 3 lety +1

    Pole Sana Mungu mwema atakufanyia Jambo jema