UJUMBE WA RAIS DKT. MAGUFULI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • UJUMBE WA RAIS DKT. MAGUFULI

Komentáře • 10

  • @emmanuelkatambi6036
    @emmanuelkatambi6036 Před 7 lety +1

    Mungu akuzidishie maisha marefu marefu rais baada ya miaka kumi nchi itakuwa levosit!

  • @laurentmalima6828
    @laurentmalima6828 Před 7 lety +1

    very nice our president

  • @swagatdebracy6447
    @swagatdebracy6447 Před 3 lety +1

    1:08

  • @jooniegodsony2168
    @jooniegodsony2168 Před 7 lety +1

    askari itabidi waheshimiwe kwan kazi yao co rafiki sana na mapuuza

  • @josephtimothmbulu8677
    @josephtimothmbulu8677 Před 7 lety +2

    hakuna cha very nice hapo kinachomsumbua huyu rais ni kuona mahusiano mazuri yaliyopo baina ya raia na vyombo vya ulinzi, na hata wewe unaeshabikia kwa mihemko ya kisiasa ipo siku utakuwa wa kwanza kulalamika eti oooh police haitendi haki, sasa mwenye busara aniambie hapo raisi anasema kwa kutumia kanuni gani au kifungu gani cha sheria? jamani si huo ni uchonganishi tu baina ya raia na vyombo vya usalama

    • @andrewdukho8795
      @andrewdukho8795 Před 7 lety +1

      Kwani wao walienda kwa kanuni gani?? Walikuwa wameitwa. Tatizo mnapenda mazoea.

    • @josephtimothmbulu8677
      @josephtimothmbulu8677 Před 7 lety +1

      Hivi ndugu yako anapokamatwa na police we huwezi kwenda hata kidogo we Andrew? Na kama huwa unaenda huwa unaenda kwa kanuni gani? Uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo na hujajua madhara yake yanaweza kukupata hata wewe siku moja, unafikiri kila siku atakamatwa Gwajima na Manje tu

    • @andrewdukho8795
      @andrewdukho8795 Před 7 lety +2

      Kukmatwa na kuitwa ni vitu viwili tofati kaka. Manji na Gwajima waliitwa. Kulikuwa hakuna haja ya kwenda na kwaya. Hizo nidharau kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama. Sioni mantiki ya kupeleka kwaya kwenye masuala ya sheria. Tusije dhani tuanonewa kumbe twajichanganya wenyewe.

    • @abeidmayanga809
      @abeidmayanga809 Před 7 lety +1

      andrew dukho unajielewa sana according to ur Short statement bt nimekuelewa sanaa