RAIS DKT.MAGUFULI AKIZUNGUMZA NA WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2018

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • RAIS DKT.MAGUFULI AKIZUNGUMZA NA WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU .OKTOBA 15,2018 IKULU JIJINI DAR ES SALAAM.

Komentáře • 44

  • @imanimtumbi9670
    @imanimtumbi9670 Před 5 lety +6

    Hongereni sana Vijana wenzetu kwa kuaminika na kupata pongezi toka kwa Mh Rais.
    Vile vile Pongezi kwa Mh Rais kwa juhudi zake za kuhakikisha Rasilimali za watanzania hazichezewi

  • @shukurumwangosi1537
    @shukurumwangosi1537 Před 5 lety +6

    Aiseeeh kazi nzuri sana.
    Kwa Mara ya kwanza nasikia feedback za zoez la mwenge as Uhuru.
    JPM shikamoooo viva viva Mh kipenzi changu.
    Maagizo yametolewa shauri yenu watekelezaji msipo mzee wa majipu atafanya kazi yake.
    Mwenge Angaza angaza angaza mulika chafuu safi tuone.

    • @shaabanabassmohd4216
      @shaabanabassmohd4216 Před 5 lety

      ahsante sana bro wangu Issa Abass umewakilisha our family u are great bro

  • @neemajoshuaer9562
    @neemajoshuaer9562 Před 5 lety +8

    Hongereni sana vijana kwa kazi nzuri

  • @athumanomary1438
    @athumanomary1438 Před 5 lety +3

    Asante san raisi wetu kwa upendo mkuwa wa taifa retu la TANZANIA mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe raisi wetu na viyongoz wengen ote wanaomsaidia raisi wetu kuriongoza taifa retu

  • @neemajoshuaer9562
    @neemajoshuaer9562 Před 5 lety +6

    Kweli bado kuna viongoz wanamdanganya Nyerere haiwezekani duka la dawa linafunguliwa then baada ya mwaka hakuna dawa kwenye duka hilo

  • @shungushula4340
    @shungushula4340 Před 5 lety +3

    hongereni sana mwenge nitunu ya taifa letu mungu ubaliki mwenge wetu baliki nchi yetu tanzania ameni...

  • @japhetmombia
    @japhetmombia Před 5 lety

    Hongereni sana... Kwasisi tuliowahi kukimbiza Mwenge kiwilaya tunajua umuhimu na kazi wanayoifanya hawa wakimbiza Mwenge!!!! TZ nakupenda. Mungu ibariki Tanzania

  • @neemajoshuaer9562
    @neemajoshuaer9562 Před 5 lety +5

    Hongera Rais

  • @suleimanally5870
    @suleimanally5870 Před 5 lety

    Mh RAIS hongera sana hakika wewe ndie RAIS ambae tulikua tunakusubir kwa miaka mingi wewe ni RAIS wawa nyonge unaejali wananchi wote shida za wananchi zitaisha iwapo viongozi wote ulowateuwa watakua tayar kufanya kazi M/mungu akujalie umri mrefu ilikulitumikia taifahili

  • @nyanda427
    @nyanda427 Před 5 lety

    Kazi nzuri sana Vijana.. hongera sana President Dr. John Pombe Magufuli pamoja Na Prime minister

  • @hapakazitu7364
    @hapakazitu7364 Před 5 lety

    Safi sana ndo mara ya kwanza kuona taarifa nzuri ya mwenge, hii ndo kazi ya Mwenge wetu wa uhuru

  • @josephnchunga6554
    @josephnchunga6554 Před 5 lety

    hongera Sana rais Wetu Mungu akusimamie

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 Před 5 lety

    Hongera sana watanzania endeleeni kujipanga kuboresha Nchi iliyo na utajiri mkubwa bila ya wananchi kufaidika kiufasaha kutokana na UFISADI. Wataalamu wamegunduwa kiinimacho DANGANYATOTO inayo danganya Taifa kuiba mali za uma washindwe wote wenye nia mbaya AMIN🙏🏿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @leonardp.bundala6989
    @leonardp.bundala6989 Před 5 lety

    Uzalendo Kwanza.... Hongereni Sana Makamanda

  • @sylvestrengwelu2012
    @sylvestrengwelu2012 Před 5 lety

    Vijana ni Nguzo ya Taifa,Hongera Rais wetu,hongera vijana wa Tz.

  • @sylvestrengwelu2012
    @sylvestrengwelu2012 Před 5 lety +2

    Asante Serikali yetu

  • @peterchula1990
    @peterchula1990 Před 5 lety

    Miladi mingi ya maji ni majanga Rais wetu naomba uliangalie hilo ni muhimu sana

  • @athumanomary1438
    @athumanomary1438 Před 5 lety

    Mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe raisi wetu

  • @kajiarashid2771
    @kajiarashid2771 Před 5 lety

    HONGERA SANA RAISI MAGUFULI. HAKIKISHA KABLA YA 2020 UCHAGUZI; MAMBO MAWILI HAYA UMEYASIMIKA.
    1) DINI YA IKULU YETU...
    a-uaminifu
    b-heshima na
    c)-utii
    2)KATIBA kutoka mbinguni yenye ibara saba (mihuri saba) aliyopewa Yesu (AS).....
    a-Wema
    b-Utajiri
    c-Hekima
    d-Nguvu
    e-Heshima
    f-Utukufu na
    g-Baraka.
    ufu 5:1, 6, 12.
    Muhammad (SAW) Q6:83-90 Aliagizwa na Mungu kufuata uongozi huo. Nasi ni jukumu langu KUFIKUSHA Q5:67 tufanikiwe kuwakwepa nahasidi wa nje na ndani kwa Mungu Kukulinda.

  • @olivermartin3747
    @olivermartin3747 Před 5 lety

    Mmefanya kazi nzuriii

  • @athumanomary1438
    @athumanomary1438 Před 5 lety +1

    Asante san viyongoz wetu mwenyez MUNGU yupo pamoja nanyi

  • @petercharles1819
    @petercharles1819 Před 5 lety

    ikiwezekana waongezewe mwaka mmoja wamefanya kazi kubwa sana hapa mufindi

  • @shindanopapaya2084
    @shindanopapaya2084 Před 5 lety

    Safi sana vijana shikamoo Jpm

  • @olivermartin3747
    @olivermartin3747 Před 5 lety

    Hongereni sana vijana wetu

  • @angelanather9640
    @angelanather9640 Před 5 lety

    Hongereni wapendwa

  • @kajiarashid2771
    @kajiarashid2771 Před 5 lety

    UAMINIFU, HESHIMA na UTII ni dini yetu Watu Weusi Asili. mh J. Muhagama hii ndiyo NURU. 2019 MWENGE UZINDUE DINI YETU HII IKULU. ILI USEMI WA RAISI MAGUFULI UKAMILIKE ' TUMWEKE MUNGU MBELE .

  • @k2plusstudio858
    @k2plusstudio858 Před 5 lety

    Kamanda na vijana uliowaongeza mpo makini ongereni sana

  • @kajiarashid2771
    @kajiarashid2771 Před 5 lety

    2019 MWENGE UZINDUE IKULU DINI YA TAIFA LETU, NDIPO UTOKE. DINI YETU IKULU NO UAMINIFU, HESHOMA na UTII. TAIFA LISILO NA DINI KITAIFA, HALIWEZI KURA HUYU. kasema maneno haya Raisi wa marikani wa awamu ya tatu...Thomas Jefferson...jaribu kugougle

  • @giftofhope9553
    @giftofhope9553 Před 5 lety

    tanzania kwanza

  • @jamesngundateresia2600

    HESHIMA YAKO JPM SHIKAMO BABA MPYA WA TAIFA

  • @shukurumwangosi1537
    @shukurumwangosi1537 Před 5 lety

    Kwann wanamdanganya nyerere??

  • @williamngazija7284
    @williamngazija7284 Před 5 lety

    Makamanda wanasitahiri pongezi, wamejitoa kwa tz, kwanza.

  • @aldoba2826
    @aldoba2826 Před 5 lety +1

    Makamanda wote mguu pande.......

  • @MusaNgao
    @MusaNgao Před 5 lety

    pongezi zina stahili

    • @osikawenga669
      @osikawenga669 Před 5 lety

      Hongera mheshimiwa raisi

    • @sylvesterzambert6027
      @sylvesterzambert6027 Před 5 lety

      Mimi reo nimeripia Umeme ninamiezi 10 tangy nimeripia mpakasasa Nina miezi 10 sijapata Umeme

  • @williamngazija7284
    @williamngazija7284 Před 5 lety

    Safi cn mwexhimiwa rais, na viongoz wako wa serikali, tz, kwasasa inasitawi kwa uongozi wako uliyotukuka, mungu akubariki.Amen.

  • @aldoba2826
    @aldoba2826 Před 5 lety

    Makamanda wote mguu pande.......