Video není dostupné.
Omlouváme se.
PENZI LA RAFIKI 1 || Love story 💕💕|| bongo movie mpya 2024
Vložit
- čas přidán 26. 06. 2024
- #bongomovie #netflix #movie #penzilarafiki #benroyalmovies #swahilimovies #comedy #chekatu #juakaliseries #film #zaidiyarafiki
#diamondplatnumz #comedy #love #rafiki #zaidiyarafiki #video #filamyamapenzi
Miss you guys nilikuwa najiuliza mmeenda wapi wanangu
nzuri sanh lkn mwakaa sana bila kutuletea vitu watu wagu❤ bonny nakupenda banh
Kazi nzuri nawapenda sana❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Movi zenu ni nzuri saaana tu tunapenda kufuatiria kwa mfurulizo mzuri A to z
Safi brother kazi nzuri rafiki
Jaman benroyar munaweza Hadi munaweza Tena mungu awajalie mufikie malengo❤❤❤❤❤
Daaah jamani ongereni Sana kwa hiyi movies Kali Sana big un sama
Nawakubali sanaa. Jitahidini kupandisha kaz kwa wakati
Alafu @mbanga napenda sana hip-hop zenyu + nala mzalendo🎉🎉
😂😂😂😂Nafurahi ombilangu limejibiwa maan nilikuwa napenda san hawa jama wataweza movie pamoja
niliwamiss sana alafu nawapenda sana Ndiyo mnafanya kazi nzuri sana🌹♥
Nmecheka sana 😂😂 kazi nzuri sana
Kazi nimoto sana
ntatupia kakofia kangu na kakiatu kangu hapo, ntakusanya watoto, kumbe hunijuagi. My favourite part❤❤
Wakwanza Leo hapa...
I really love this channel. Thanks 🙏 on the behalf of Ugandans who missed this 😊
Thanks for watching
Yup well cme back
Benroyal my best channel in Tanzania huwa mnaangusha vitu Kali Kali sana ila tu mnatufanya tungoje sana
Karibu sana
Ila barnaba na mona.mona sauti kama katoto❤❤❤.barinba pacha wa luka sura mpaka sauti mpaka tabasam naisi ndungu🎉🎉🎉🎉🎉🎉
❤❤❤mlikua wapi wanangu,mbona mlipotea hivyo tunawapenda sanaa 2 mtupewendelezo wa zile mlizo acha basi
Nimefurahi sana kumuona bavo humu ndani
Napenda sanaa movie zenu naomba nitoe kama ushauri tunaomba muwe mnatuwahishia pls
Kazi kazi bila kuchoka mzigo ni wamoto 🔥🔥🔥
Bora mmetuletea, maana tulihitaji sana kazi kama hizi
Kazi nzuri Sana tumetoka mbali. Salimika Sana Modesta love you
Mr benroyal
Kaka benloyalty hii movie nzur sana maana mmeelezea changamoto ambazo tunazipitia mitaani kwenye mahusiano na maisha ya kawaida
namkubali sana boni
daaah nikajua mmedata na bunji mmetukosea sana 😂😂😂😂😂
Huwa nawafuatilia sana movie zenu mko vzuri na mpo tofauti sana ❤
sema nampenda uyu dada paula dah bas tu
Mlipotea sana wazee ijue cc tupo dar akin tunawafuatilia sana kazi zur ongezen juhudi
Mlikaa kimyaa sanaa
Amani itawale,,,,malizieni❤❤basi
Dah hio sound track noma xana
My brother umerudi ila baadhi ya vipaji nilivyo viona kwako now naviona katika bunji ni furaha
Kazi nzuri wanangu
Dah mwanetu umepotea sana
Next ❤❤❤❤❤❤❤❤
Aisee turikua tumewamiss saana kaka bonny
Oyaa!! Wanakubl sn ❤ ila shid sauti bro increase the volume please, na wekeni dizeni chach ya kichapo mwanangu 👊 yaan namanish ngumi bro
Duuuh.....huyo Jamaaa namuonea huruma sanaaaa
Ila haunaga kaz mbaya
Bonge la move
Bonny (Barnaba) ni fundi sana
Nice one
Saaafiiiii,
Yan nimefurahi atari,
Kama kuna comedy fran hivi,
❤❤
naona mmeniwekea mwanangu wa michezo yenu ya 👊 nimependa sana iyo
Kuwamiss tu nimewamiss mmejua kututelekeza jaman ❤❤❤
Zaidi ya Rafiki@benroyal@Bon@miss chuleha❤❤.love u gys
Hongera sana ❤❤❤❤❤ part two lini inatoka
BP mmekimya sana watunguyaz...watching from Mombasa
Duh, niliwamiss sana asee. Kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉🎉
😂😂😂😂😂😂watu wanao sali hawafanikiwi
Napenda sana kazi zenu
Jamaangu ndevu moja Mr max kaua sanaaa...but Kazi nzuri myamba
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 ni nomaaa kikosiiiiiiiii
Jaman malizieni na series ya amani, alaf mtuletee msatari wa dam muendelezo wake
Mnakaa sana hadi tunawasahau,naona hata bavo mlimchukua
Tunaomba Mwendelezo Wa amaniii Basii ndug zangu
Tuna miss sana kazi zenu asee
❤❤ mko vizuri ndugu zangu
Sema mnajua sana✊
Sema mmekaa kuachia kaz
Oyaaa humu kuna bavoooo
Bonny inapendeza sana mkawa mke na mume yani ww bonny na Paula mnapendezana sana niwe wafatilia muda mrefu sana kiufupi mnaendana sana.
Mona Lisa. ni msichana mrembo sana ningekua na uwezo nimpa zawadi. halafu nawapenda wote. likes zikuje
Mkopowa
🔥🔥🔥Rafiki
Wow...
Oyo oyo❤
Daah wanangu wa benroyal mmepotea san leten kaz nawakubli san kaz zenu
Jamani vp kuhsu series ya AMANI tulitegemea muendelezo wake 😢
Tunafurahia uwepo wenu
I appreciate you guys💥👊👊💪
Wow 😮
Napenda sana kazi zako Ben❤
Mnaish maish ya furah san good job Big ap san
Ngoma ya mbanga mc🙌🙌✊️✊️
Hakika films zako zinasisimuwa
Mfanye chap Ben leteni part 2... FASTAAAAAA
Turikua tumewakumbuka san wanangu ❤❤❤❤❤❤
Wow, this movie is so amazing, it made my day. Watching from Uganda
Benroyal,nilikuwa naomba ikiwezekana mututumie link ya wastap au link ya izi hiphop sehemu salama na husika pa mashabiki zenukuzipata,tafadhali
I'm watching from Kenya give me likes
Location zenu pia ziko sawa I love it
natamani sana bony na paula liwe kapo mnaendana sana
From254 bigup manzee but watu hawanyamazangi hivyo wakuu😂
Jamani tusiombe like 👍 😂😂😂tafadhaliii una weza uka ozea jela kama #msanii see more.....................
Mbn kama madam mona anabastola kwenye kiuno chake
Vipi kuhusu AMANI series kwani ilikwama kabsa?
Muendelezo wake
Nala mzalendo
Nawakubali sana
Nakbal wazee wa kazi
😢😢 Where is part 2 Benroyal
Ileteeee babaaa
❤❤❤
kitu kikali sana❤❤
1:27
Unyama ni mwingiiiiii
Kk unajua mpaka unaumwa