PENZI LA MWANAFUNZI MSELA | LOVE STORY | 2024 FULL BONGO MOVIE
Vložit
- čas přidán 9. 09. 2024
- Ni Story Inayomhusu binti wa shule anaejiingiza kwenye matumizi ya bangi na dawa za kulevya sambamba na mahusiano na mwalimu wake wa Tuisheni!! Fatilia kisa hiki cha kusisimua!!
Follow Bravoo Genius on Instagram / bravoogenius
Follow Bravoo Genius on Facebook / bravoogx
Follow Bravoo Genius on TikTok www.tiktok.com...
#bongomovie #bongomoviesfullmovie #bongomovies2024fullmovie #mwanafunzimsela #hemedychande #africanmovievideos #ruthkadiri247 #mauricesamtv #comasavaremix #diamondplatnum
Comasavaremix
Diamondplatnum
Marioo
Jay melody
Wrong house 14
Wrong house
Harmonize
Siri ya huba
Hemedy chande
Nakama unamkubali #Bravo gonga liké
Huyu dada huwa mzuri sana aisee na hiyo sauti yake ya kukwangua ndio balaa huyu mwanafunzi
Am here because of the love I have for Sophia ❤❤ jameni more love from Kenya nipe likes 💯
kazi njema,,, kutoka Kenya nawapenda
@@MosesDanielGitonga Asante sana
Kaz nzur sana bravo nakubali kwa huyo mda saf my bro❤
Asante sana
Bravo uyu ndio Sophia wa kanumba
Maombi ya kakake sophy yamenichesha sana😂😂😂 ati ashushiwe mama tu aje mchukua mwanae wakalale wote baba aachwe alale,khaaa! 🙌 🙌 ila sophy huu mchezo umeuaaaa # safi sana team bravo 🎉🎉🎉
Oya mwanangu sophia chukua maua yako❤❤❤ umeuaaaa
Tatizo lenu hampo siliasi hamjui kazi mbaya jitaidini haswa hupande wa wanawake bado sana From Oman😊
Mpo vizurii mungu awatangulie katika kazi zenuu mkafike mbele zaidii
Shukran sana
Pambana bravooo❤❤
Bongee laa movie Sophia kacheza vizuri sana 🎉❤
Kazi nzuri sana ❤
Hongera sana , kazi nzur
Mwanafunzi balaa afu sio kwa sauti iyo ya ya kisela 😂😂😂❤❤🇧🇮🇧🇮
Kazi iko bomba sanaa bravoo
Shukran sana
From Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 kama wewe ni mkongo konga liké
Kazi nzuri
Yaan hii movie kali san huna baya bravoo genius nakubali kaz zak san san san 🎉🎉❤❤ mung akuekee enjoy dear🥰🥳🥳
Mtu wa maana kabisa
Kazi nzuri sana mbarikiwe ❤❤❤🎉🎉
Amen ❤❤❤
Kazi poa hiyo tunakupenda sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Nomaaaaaaa
Hongela Sana Mungu azidi Kukuinuwa🎉🎉🎉
Ameen
Kazi mzureee bravo
Asante sana
Hii stori yake naona kabisa ntaielewa maaana mzee movie zako kali ila sasa mpaka uelewe sasa unatumia hedex sema big up mzee sema rahisisha sana stori mzee unatuchanganya sana😂😂😂😂😂😂😂
Shukran sana 🙌🏽🙏🏽🔥
We utakuwa unakili ndogo sana ya kufikilia na kuchambua mambo
Ni Story Inayomhusu binti wa shule anaejiingiza kwenye matumizi ya bangi na dawa za kulevya sambamba na mahusiano na mwalimu wake wa Tuisheni!! Fatilia kisa hiki cha kusisimua!!
😂😂😂baba teacher eti noma san wallah bravoo❤❤❤
@@ashamwanganzi6400 Asante sana 😁😁😁♥️♥️♥️
Big up brother🎉
😂 fanyaa mkalee mtoto
Mm napnda kazi zako ni full sio utoto wa dkk tano tano
Kubababake 😂😂😂😂😂
good movie
Thank you
Kazi mzur brow❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Asante sana
🔥🔥
Ila Sophia n mzuri jaman ❤❤
nakubali kaka
Safi
Mm nampenda Sophia jmn
Na sapoti sana
@@SheckinahAmisi Shukran sana
Mmetishaaaa mnoo
Unasauti nzuri soph
Binti kanumba jmn 🎉🎉
❤❤❤❤🎉🎉🎉
Alafu umenenepa sana sophiya
Mr B htr ...sophy umeweza mwenetu😂😂
Sema Sophia humu katisha San
Sophia Teacher B❤❤❤
Hawa unajuwa cna jitaidi lakin hao wenqine bado Cna
Sophia bonge la pic
❤❤❤❤❤
@@user-zj3hm8wm5f 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Huyo sister anazingua anazani mapenzi ndo maisha anashindwa kusema anataka wanaume
Ya leo sio poa
🎉🎉🎉🎉
Kaka bravo 🫡🫡🫡
Yeah
Achana naye mwenyewe hata hamuendani huyo bee
Bigup sana #bravogeneus kazi zako ni nzuri sana❤
@@annaki318 Thank you ❤
Sophie nakupenda Jamani 😍😍😍😍
Sophia much loves 💕❤️
❤❤❤❤❤❤❤❤
Ka b upo vizuli sana hongera jaman
Asante
❤
SAWA SAWA is =
Jamaa piga mabanzi huyo
Bravo ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Sofi nimekupenda jaman ntampata vip huyo nko taar hata kumuo
Huyu sophia nampenda jamani nani ana namba yake kuna liten linazagaa hapa
B nimekupenda sana naomba namb zak
Chukua kwenye bio hapo
Nimefk mzenj ap
😂😂😂piga hata ngumi gari iyo, 😂😂noma sanà
😅😅😅km vp piga Ata ngumi gari iyo😅😅
Hapa kidog mumezengua mwanafunz had maskan anafomu hatujui mda gani wa kusoma mda gan yupo nyumbn
@@SaidAlly-u4i Shule haendi anaenda maskani muda wa shule
Ushaambiwa msela jamani muda wa shule yupo maskani na hata akienda shule hawez kukaa zaido ya masaa hata mawili
Wangap wameona teacher B kafanana na John bocco 😅😅
😂😂
From itaka mbozi
@@kelvinpeter5666 Wasalimie vwawa kaka
@@bravoogenius kabisa
🔥🔥
Muendelezooo hakuna
Sophia namkubal sna
Sophia naomba namba yako ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
sofi una baya
😂😂😂😂😂🎉
Huyu Sophia mbona kafanana na yule Sophia wa Kwenye movie ya Kanumba? Kwani amefafa sura na sauti.
Siyo yeye ila naye ni mkubwa kabisa
@@BintChaula-yj2xw ooh shukrani kwa maelezo yako, ila wamefanana sana kila kitu.
Mim napenda sauti yake
@@user-sv6zy3hc8o uyo anavuta bangi kweli ndo maana sauti yake inakwaruza sana
Kwel jmn🙄hata ongea yake
Alooh so poa story imetulia🎉❤
@@Tiffany-n9y Thank you Sharifa ❤
❤❤❤