Waislamu mko wapi tupongeze kijana wetu kwa mambo ya kheri. Ingekua ni mtoto amehifadhi wanasiasa na wasanii ungeona coment 1k. Tujivunie na Watoto wenye faida km hawa wakuhifadhi Quran. MashaAllah Mungu amulinde mtoto huyo
Richard Soka wewe fala. Mtume wetu Mohammed Salalal aleihi wa salaam. Hakuna sku tutaandika ufupi. MUOB. fatana na mambo ya yesu. Munae muita Mungu wachana na mambo hasio kuhusu. Sis waislam tunajivunia Watoto km huyo unae muona amehifadhi Quran hajahifadhi nyimbo za kwaya ama kipa imara vitu visvyo na faida. Kuja kwangu uone Watoto wa miaka 7 anavyo kuchambulia Quran. Fatana na misalaba
Faraja Ally @ Amiyn hakika Allah ni msikivu wa dua. kilichopo ni sisi kutakasa nia zetu kwaajiri yake isiwe tuombe kupata maafidh ama sisi kuhifadh kwaajiri ya mashindano laa hasha! bali iwe ni kwaajiri ya kupata ujira kutoka kwake Allah subhaana wata'ala na hayo ndo mafunzo ya deen yanavyosema. ndo maana unakuta kunamaafidh hifdhi zao haziwasaidii chochote katika twaa ya Allah kwasababu ya nia zao katika kuhifadhi Qur'an
Bunafsi siyo muislam lakini nimeyapenda haya malezi na matumizi ya akili za watoto wetu. Hakika ni jambo jema na fahari umma wa waaminio katika imani yenu. Angekuwa karibu ningempa zawadi hata mimi. Tuwafundishe watoto mambo ya Kimungu zaidi. Amazing....... Wow
mashaallah,Allah amhifadhi na amjaalie watakao ingia jannatul firdaus na yy in shaa Allah,,, Allah aturuzuku na Sie kizazi bora kama hiki in shaa Allah
Maa shaa Allah Tabarakallah Laahawla Walaquatha Ila Billahi Allah Akujaze kheyr duniani na Akhera na Akuepushe na shari za waja Na watoto wetu Allah Awajalie Khifidhul Qu'an
Masha Allah. Allah ampe ujuzi zaid ya hapo alipofikia. Akasha Daawa. Naombeni mnisaidie mawasiliano ya sheikh Abuu Hamza ambaye kwa mujibu wa maelezo hapo yeye ndiye mwalimu wa Ramadhani Nasri. Allah atakulipeni InshaAllah
Mashaallah Allah akuzidishie ufaham zaid ya hapo ..napenda kuwasomesha watt wangu elim ya kumujua mungu namtume wake ila uwezo wangu duni ..naumia sana kiukweli 😭😭😭
Allah akulinde mdogo wangu ila na mm namuomba Allah anipe mke bora anaejua dini ili nami nijue vizuri na naomba mawasiliano ya Sehem wanako hifadhi quruan mawasiliano 0656215121
A alekum kumbuka huyu n mtoto msimchanganye kwa mambo mazito zaidi hakika amehifadhi mashaallah mungu akuzidishie.awajaalie na watoto wetu kuongoka inshaallah jazaka llahu her
Mabrouk mwanangu Allah akupe umri mrefu sana kwani dunia inakuhitaji kwa kuwapa mfano bora wa kuhifadh maneno ya ALLAH! Pamoja na kubanwa mda wa kujisomea lakini UMEWEZA KUSOMA NA KUHIFADH. ALHAMNDULILLAHI
Waislamu mko wapi tupongeze kijana wetu kwa mambo ya kheri. Ingekua ni mtoto amehifadhi wanasiasa na wasanii ungeona coment 1k. Tujivunie na Watoto wenye faida km hawa wakuhifadhi Quran. MashaAllah Mungu amulinde mtoto huyo
amin yarrabil alamin insha Allah
Alllah azidi kumjalia mwanadam huyu!
Richard Soka usitake elim kwa mambo yasio kuhusu. Fatana na bibilia yako
Richard Soka una lazima gani kujua kitu na hukipendi. Kwanzaa Mtume Mohammed haitwi. PBUH
Richard Soka wewe fala. Mtume wetu Mohammed Salalal aleihi wa salaam. Hakuna sku tutaandika ufupi. MUOB. fatana na mambo ya yesu. Munae muita Mungu wachana na mambo hasio kuhusu. Sis waislam tunajivunia Watoto km huyo unae muona amehifadhi Quran hajahifadhi nyimbo za kwaya ama kipa imara vitu visvyo na faida. Kuja kwangu uone Watoto wa miaka 7 anavyo kuchambulia Quran. Fatana na misalaba
Ya Rabbi nijalie watoto wema wachamungu na waifadhi Qur'an na sunna Aamiiny ya Allah
YAARAB
Mashaallah
Maashallah
Mashaallah
Amiin kwasote
jamani kadogo kangu ka like nako Allah Akaweke in sha Allah
Tabaraka llahu
Ma shallah mdogo wangu mungu akuzidishiye hapo zaidi yani nasikiya raha sana hadi machozi 😭😭 yananitoka
MAASHAA ALLAAAH. Ewe Allaah nijaalie na mim nijepata mtoto kama huyu.pia mkinge yeye Na macho ya HUSDA.ASSALAAMU ALAYKUM
Faraja Ally @ Amiyn hakika Allah ni msikivu wa dua. kilichopo ni sisi kutakasa nia zetu kwaajiri yake isiwe tuombe kupata maafidh ama sisi kuhifadh kwaajiri ya mashindano laa hasha! bali iwe ni kwaajiri ya kupata ujira kutoka kwake Allah subhaana wata'ala na hayo ndo mafunzo ya deen yanavyosema. ndo maana unakuta kunamaafidh hifdhi zao haziwasaidii chochote katika twaa ya Allah kwasababu ya nia zao katika kuhifadhi Qur'an
juma mashaslah
Mashallah Allah ewe Mola mzidishie kijana huyu.....
Masha allah allah akuzidishie kila lakheri.
YAARAB
Yaa Allah give me pious children 👪❤💜💛💚💙👍
Bismillah mashaAllah jicho la husda lisikufike 😍
Mashaallah
Maashallah
mashaallah umenitoa machozi Allah azidi kukuongoza
Mashallah mungu amzidishie na sisi watoto wetu wawe Kama yy
Allah awakinge mabaya
Mungu akulinde na hadad
Masha allah
Amiin amiin ma shaa Allah
Ameen
mashaallah mashaallah mashaallah
Allah nami anijaalie kupata watoto kama hao watakaokua wamehifadhi qur an na kuifanyia kazi
Ahmad Akida J
Amiin ila wanaaandaliwa na waxaz kwahyo jitihada tuwe nayo
Amen
Mashaanlla
Mashaalh allh tujaalie watot wem kizazi chem cheny kupendeza kam huy mtot alivojaaliwa
Lela Al Lububa Ameen rabeel alamin
Masha'Allah Masha'Allah Masha'Allah yarab mlinde na fitna za sheitwan.
Amiin inshaallah
Ameen
mashaallah mashaallah mungu akupe mwisho mwema
Allah mjaalie Mtoto huyu Màisha marefu , mkinge na mabaya yote ili awe kiongozi kwa vizazi vya sasa
Amiina
MA SHA ALLAH
Ameen ya Allah
Ewe Mola wetu mjalie huyu mtoto maisha marefu awe kianguzi wa dini yetu
Maashaallh
mashallaah Allah akupe kila lenye kheri akuzidishie imani ktk moyo wako kijana ramadhan
Ma sha Allah, tunamwomba Allah amzidishie na amwongoze ktk. njia iliyo nyooka,amin.
Allah amzdishie kipaji chake allahuma amiin 🙏🏻🔥
Bunafsi siyo muislam lakini nimeyapenda haya malezi na matumizi ya akili za watoto wetu.
Hakika ni jambo jema na fahari umma wa waaminio katika imani yenu.
Angekuwa karibu ningempa zawadi hata mimi.
Tuwafundishe watoto mambo ya Kimungu zaidi.
Amazing....... Wow
Ukosawa kabisa nduguyangu🤝
Amin
Nice
Mashaallah chanda chema uviswa Pete mungu kamuongoza huu kijana na azindi kumlinda
Am not a Muslim but I love to listen to Qur'an and I enjoy it inshaallah
May Allah give u hidaya
Inshallah,Allah akurejeshe kwa dini ya kweli
Allah akujaalie dini ya haki
Welcome to Islam, the true religion and the religion of all the Prophets. From Adam, Noah, Ibrahim, Musa, Issa (Jesus), Muhammad the last one. etc..
Masha allah
Mashaallah mashaallah mashaallah Allah akupe kila lakheri
MashaAllah Allah amuhifadhi pamoja na watoto wengine Allah awaongoze wote.
ManshaAllah !Ewe Molawetu mjaalie kheri nyingi huyu kijana wetu kama ulivyowa aalia waliotangulia InshaAllah!
mashaalllwah
masha Allah may Allah protect him 4rm evil eye Ameeeen
Hadi raha eallah Allah nujalie kizazi chenyema chenye kukujua ww na myume wako amiin numekapenda hako katoto kalouliza japo sijakaona
MashaAllah
Kila muisalamu atakae iyangalie ii lazima atatamani a we ni yeye . Asa tusiliyo ijua dini ya kiisalamu .
Mashaallah tabarakallah allah amuepushe na vijicho vya ulimwengu allah atuongozee watoto wetu ya rabbil alamiin
Allah ajalie mwanagu ahifadhi kitabu chake 🙏🙏
Amiin.
Cha kiingilish au ?
Maa sha Allah,Allah akuhifadh mdogo wangu
Khadija Bayaga
mashaallah,Allah amhifadhi na amjaalie watakao ingia jannatul firdaus na yy in shaa Allah,,, Allah aturuzuku na Sie kizazi bora kama hiki in shaa Allah
Allah amemchagua, maana si kazi rahisi
Mashaallah Allah akulinde dhidi ya husda
Pb
Ya rabby nijaliy watot weny kher na kukujuw wey Allah na kuhifadh Qur'an in shaa Allah
Mashallah may Allah protect u and your family and Muslim ummah may Allah give as children just like him
Mungu nijalie kizazi changu kiwe kama iki
Meju Baraza Aamiin kwa wote🙏🙏🙏
Maryam Khamfar amiin daa
amen
Ameeen...Atujalie sote
Amin
mashll allah akuhifadhi insh waalimu nawaombeni muendeleeni kumkomaza kijana katik fani nyengine za ilmu insh ili aje kuwa ulaamaa wa kiislamu
Waniliza mdogo wangu kwani namoyo wakutaka kuifadhi lkn cjui nn chanishinda
si pekeako mm hata kuijua dintu ntafurah zaid
Ilham Modlick inshaallah utajuwa daa
Meju Baraza reduce sins
YASINI SELEMANI mm kwani umekuwa mungu mwenzangu mpaka wajuwa ka nadhambi nizipunguze
Tukifanya juhudi za kutaka kuifahamu basi insha allah tutaifahamu....Meju naomba unitafute kama hutojali 0657-621515
mashaAllha Allha atujalie vizazi vyema
mashallah Allah akulinde na akujalie maisha mema file dunia Wal akhera.
MashaAllah... M/mungu akuzidishie zaid ya hap.. InshaaAllah
Jazakallah
Allah amzidishie ridhik na amfanyie wepec katk shughuli zake inshaallah
allah akuzidixhie
Mashallah Allah akuzidishie na ukulinde na mahasidi wa Dunla
Mashaalah
Amiin.
allah akuhifadhi na mahasidi
mashaallah M/mungu akujaalie uendekeze dini yetu nasi vizazi vyetu viwe ni vyenye kuifadhi Qur'an
Maa shaa Allah Tabarakallah Laahawla Walaquatha Ila Billahi
Allah Akujaze kheyr duniani na Akhera na Akuepushe na shari za waja
Na watoto wetu Allah Awajalie Khifidhul Qu'an
Maashallah Allah sw akulinde na husda pamoja na madui
Masha Allah. Allah ampe ujuzi zaid ya hapo alipofikia.
Akasha Daawa. Naombeni mnisaidie mawasiliano ya sheikh Abuu Hamza ambaye kwa mujibu wa maelezo hapo yeye ndiye mwalimu wa Ramadhani Nasri.
Allah atakulipeni InshaAllah
+254 722 713 927 Abu hamza
Jazakallahu kheri
MashaAllah MTT wetu
Masha Allah jazaka Allah
Mashallwa
Mashallah Ramadhani Allah a kuifadhi... In shaa Allah
mashaallah amakweli Bidii ndio ngao.
Mashaalla.ewe.alla.tupe.nasi..kizazi.chema
Ma shaa Allah TabarakAllah.....Allah Atufanyie wepesi wa kuifadhi Quran na kufwata mafudisho yake ameern
Mashaallah Allah Azidi kumwepesia kila akitakacho akipate InShaAllah
Salmina Salim
Mashaallah Allah akuzidishie ufaham zaid ya hapo ..napenda kuwasomesha watt wangu elim ya kumujua mungu namtume wake ila uwezo wangu duni ..naumia sana kiukweli 😭😭😭
Pole sana dada angu mungu akuinue
ما شاء الله
Mashaallah mashaallah
Mashaallah
Allah akuhifadhi mdogo wangu
Masha Allah may Allah bless you my younger brother
Allahumma ameen
Masha Allah Takbiiiiiiiiiiiir nimetokwa na machozi kwa kweli Allah atujaalie vizazi vyema
Allahumma Ameen Yarabb jamii Islam
Mashaallah
MashAllah
MASHAALLAH TAKBIR
Yaaallah nijalie nam nipate
Watt kama huy kjn anayesoma Quran vzr
Mashallah hasid asikuone mdog ang yarab tuongozee vizaz vyet na cc
Jamani huyu mtoto yuko vizur sana
Mungu akuzidishie
Mashaallah jazakallah kheyr
Mashaallah jazakallah kheyr
Ma shaa Allah ma shaa Allah mungu tujalie na cc wana wetu wawe waifahi quran tukufu yarraby
mashallah may Allah blessing your parents and yourself
Maaha allah machoz yananilenga nataman watoto wangu wawe kama hyu sijui nifanyeje
Mashalla jazakallahu lkheir mungu atujaalie sisi pamoja na watoto wetu
Mash Allah tabaraka Allah my brother mola azidi kukuhifahi Ndugu yangu
Madha Allah Taqbeerrrr
Allah akuwezeshe uje uifanyie Kazi Qur an Ili jamii ya binadamu ipate salama kama Qur an yenyewe inavyo jieleza nikwaajili ya Uongozi wa watu 2:185
MashaAllah.. 🤲🏾🙏🏽
Allah akulinde mdogo wangu ila na mm namuomba Allah anipe mke bora anaejua dini ili nami nijue vizuri na naomba mawasiliano ya Sehem wanako hifadhi quruan mawasiliano 0656215121
MaashaAllah MaashaAllah MaashaAllah
May Allah increase him in knowledge & memory
Mashallah Mashallah Mashallah Yarab nijaalie na watt wang wawe nibwenye kuhifadh qur-anilkariim😚😚
Bismilah Masha Allah Allah akufunguliye yote ya kheir akuepushe na hassad Aamen
Maa Shaa Allaah.
Mwakani 2024 ingia katika mashindano ya Qur'an, Africa, In Shaa Allaah.
mashaallah
Mashallah mashallah Allah akuhifadhi kamaulivyo hafidhz al Qur an tukuff
Mashallah
jazzakhallah herei
MASHAALLAH TABARAKALLAH
JAZAKALLAHU KHAIR. ALLAHUMMA BARIK
Maanshaalhu.allahu.akujalie.
Abrar Abgao umemaliza shule?
Abrar Abgao research?
tumuombe sana ndungu yetu dua maana amefanya jambo kubwa sana
MashaAllah Allah amuhifadhi na atujaalie kuipenda quran nakuisoma
Maa shaa Allah,, Allah amlinde na mabalaa yote ya ulimwengu ,, ALLAH AKBAR
Manshallah may Allah protect as the day of Qiyama
Allah amuhifadh kijana wetu na awe kiongozi wa dinii tukufu,inshaAllah
Mashallah Allah amjalie ktk watt walofuzu , na awajalie na watoto wetu wafuzu Yarab
Masha Allah, mpaka raha
Mashaallah
ya Allah grant us knowledge that translates into taqwa in our hearts.
Mashallh mungu akuzidishie inshallh amina
Mash alla alla akujalie na akufikishe. Mwisho mwema
Mashaallah❤
MASHALLAH MABRUK RAMADHANI ALLAH AKUHIFADHI
Yaa rabi na Mimi nijalie wanangu wawe miongoni mwa watoto wema wenye kuhifadhi qur-an mfano wa huyu kijana Masha Allah 😘😘😘
Mashallah tabaraka rrahman mola akuhifadhi kama ulivohifadhi kitabu chake akuzidishie elmu na akulinde na mabaya yote akupe afya alhamdulillah
Mashaallah Allah akukkinge na makhasidi
A alekum kumbuka huyu n mtoto msimchanganye kwa mambo mazito zaidi hakika amehifadhi mashaallah mungu akuzidishie.awajaalie na watoto wetu kuongoka inshaallah jazaka llahu her
Mashaallah Tabarak Allah. Allah amuhifadhi na azidi kumpa akili na amuzawadie uchamungu aendelee kufahamu Qurani na mwisho mwema
ما شاء الله ،نسأل الله أن يحفظنا وحفاظنا عن العين والحسد ...
Ma Shaa Allah Tabarakallah
Furaha ya machozi yanitoka mashaAllah Allah akuhifadhi atujaliye tupate watoto wengi mfano wake Ameen
Maa shaa ALLAH yuko vzur sana ila kulingana na ukali wa watoto wa pemba akienda hata yy naamini atashangaa na atazidi kujifunza maa shaa ALLAH
MashaAllah MashaAllah
Masha Allah Allah atujalie kizazi chema
Amiin
Maashaallah
Allah amzidishie na kumdumishia hiyo hifadhi ya Quran huyo kijana walaah
ماشاء الله تبارك الرحمن، ما شاء الله تبارك الرحمن.، ماشاء الله تبارك الرحمن 😍😍😍💝💝💝💖💖💖💓💓💓
MashaAllah
mungu amlinde mashaalaah
Mabrouk mwanangu Allah akupe umri mrefu sana kwani dunia inakuhitaji kwa kuwapa mfano bora wa kuhifadh maneno ya ALLAH! Pamoja na kubanwa mda wa kujisomea lakini UMEWEZA KUSOMA NA KUHIFADH. ALHAMNDULILLAHI
Mashalaah Allah akupe ujira wenye manufaa maishani akupe kila la kheri akuepushe na kila la shariii 🙏🙏