ESMA AFICHUA DIAMOND ALIVYOGOMA KUMUOA BINTI HUYU "ALISHONA MPAKA SARE"
Vložit
- čas přidán 27. 02. 2024
- ESMA AFICHUA DIAMOND ALIVYOGOMA KUMUOA BINTI HUYU "ALISHONA MPAKA SARE"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zábava
Zuchu, ataolewa tu one day ata kama si diamond, ana roho safi, Allah atafungulia njia one day
Unapelekaje mahali na hamjijajitambulisho huo ni uongo,unashona sare na ndugu wa mwanamke hamjawajua huo ni uongo
Hivi unafahamu maana ya "kujitambulisha rasmi"? Huyo demu ni real ingawaje mahusiano yao yalikuwa hayafahamiki na wengi. Ni demu wa Kiburundi ambae alikuwa anaishi Dubai tena akiwa anatoka familia bora sana. Hata ukiangalia post za Esma za zamani utakuta akiwa amem-post huyo demu labda iwe amefuta tu hizo picha.
Utafika lakini huo muda maana umri nao unaenda na mama zetu hupenda tuoe bado wawe hai,wapate wajukuu.
Shida ni masharti ya freemason
we umejuaje?
😂😂itakua ni mwanachama
Diamond aowe tanasha
Zuchu hailewi ngoooooo
Maigizooo yamekosa producer makini
Kabisa mnategemea awe tayari kuoa mtu kama Diamond😅😅
Waongo nyinyi, kafanya kafara hawezi kuoa hata Jini ndoa hawezi kuoa
Itakuwa kweli
Subhana Allah dhana ni mbaya sana
Aoe jamani ili apunguze madhambi maana kuoa ni Ibada apate mke mwema sio wa mitandoni kila siku
Nilijua tuu interview itafuata kuona Diamond kapiga goti.
Bora angeoa uyo sophia sio zuchu
Hamuna cha Sofia wala nini ni story tu
Muambie Diamond onja onja yake hiyo aache kabisa kuonja onja kila mwanamke na atafute mke .
Walivunja hiyo harusi. Zuchu huyo
😂😂😂😂mpk useme mahali au nchi walioshonea khe
Tangu lini illuminati akaoa
Kwahiyo nyie kwenye familia yenu Zinaa mnaikubali na mmeihalalisha na ni bora kwenu kuzini kuliko kufunga ndoa? Sasa ni Lazima mubadilike na muwe na hofu na Mungu, kwasababu Zinaa ni dhambi kubwa sana na Mnyeezi Mungu hapendi kabisa.
Hawezi kuowa huyo mashariti magumu chezea pesa wewe