"NILIMUONYA" - MAMA ZUCHU (KHADIJA KOPA) Afunguka Baada ya MWANAE KUFUNGIWA ZANZIBAR

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024
  • "NILIMUONYA" - MAMA ZUCHU (KHADIJA KOPA) Afunguka Baada ya MWANAE KUFUNGIWA ZANZIBAR
    Mama Mzazi wa Msanii Zuchu, Khadija Kopa, Kupitia Mashamsham ya Wasafi Fm amekiri kuwa alimuonya Zuchu kuhusu tukio alilolifanya visiwani Zanzibar lililopelekea Baraza la Sanaa Visiwani humo kumfungia Zuchu Kwa Miezi 6
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 75

  • @kajikaone
    @kajikaone Před 5 měsíci +13

    Nampenda sana Bi Kopa, mimi Kama mkenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @user-yg8yo3ul8h
    @user-yg8yo3ul8h Před 5 měsíci +13

    Weweeeee tujuane ambao hatuna tress ya wanaume 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @hanifaally4694
    @hanifaally4694 Před 5 měsíci +3

    Nampenda huyu mama 😂😂😂❤❤❤❤❤

  • @fatimasalim9387
    @fatimasalim9387 Před 5 měsíci +6

    Aamiin mama Alhamdulillah Alhamdulillah

  • @user-cl9dz6kk7u
    @user-cl9dz6kk7u Před 5 měsíci +2

    Nikweli yataisha ajali kazini mungu atamsaidia ❤

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 Před 5 měsíci +6

    ❤❤❤❤❤❤leo umengea vizuri mama👏

  • @kiri5807
    @kiri5807 Před 5 měsíci +1

    Mimi nampenda khadija kopa hajikorogi .

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 Před 5 měsíci +2

    Jamani semeni Mashaallah

  • @keyla3641
    @keyla3641 Před 5 měsíci +2

    Nampenda sana huyu mama

  • @abdusultan79
    @abdusultan79 Před 5 měsíci +1

    Huyu mama was ajabu sana mwanao alipokuwa kwenye uesharati live bila chenga ukasema we hujui Sasa ooh nilimuonya hakusikia .Kama unabusara hupaswi kukasirika bali ufurahie mahusiano ya kiuesharat yamekwisha

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl Před 5 měsíci +2

    Kazeeka bhana msimfariji mwenzenu

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Před 5 měsíci +2

    Wanakudanganya hao mama, kiukweli umezeeeka!!!

  • @EshaHamd-ed9yv
    @EshaHamd-ed9yv Před 5 měsíci

    Muongo Fisadi Mtu Mzima ovyo kushazeeka si mdogo kujiheshimu ni jambo zuri huna stara nywele nje ati ni Muislam ogopa Allah ati aomba M.Mungu ampe mwisho mwema mpaka leo hujatubia miaka sitini na Moja tubia

    • @TatuHusseni-hs7mu
      @TatuHusseni-hs7mu Před 5 měsíci

      We une ongea hivo unatubia kwa Allah 🙏🙏 au unaongea to

  • @mohamedali7544
    @mohamedali7544 Před 5 měsíci +3

    Sema kweli bahati mbaya na kutangaza Umalaya na uxinifu. Muogopeni mungu dunia mapito

  • @Octavinaelisa-fn6js
    @Octavinaelisa-fn6js Před 5 měsíci

    Safi sana mama

  • @mwadawaibrahimmohamed6089
    @mwadawaibrahimmohamed6089 Před 5 měsíci

    Upo sawa mama anajishusha sana kisa mapenzi alikuwa anaenda vizuri ile hii amezalilika kila mtu kamwona chooo laaah jamani TUSI KAMA HILO JAMANI AIBU KWA JAMII

  • @user-gs7tf2lz4b
    @user-gs7tf2lz4b Před 5 měsíci +1

    Amin

  • @user-hu1ev9pt8q
    @user-hu1ev9pt8q Před 5 měsíci +1

    Nicheki inbox❤❤

  • @amina2044amin-zv2gh
    @amina2044amin-zv2gh Před 5 měsíci

    Mamatlepa en want hierdie 💥💙💙💙🇰🇪🇰🇪🇰🇪😂

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj Před 5 měsíci +15

    Yataisha hajaua 😢kila mtu ana mapungufu yke

  • @modestkissima6771
    @modestkissima6771 Před 5 měsíci +6

    Hapo anasemwa mondi, ila waliosoma cuba tu ndo wataelewa

  • @mesaidikazungu4299
    @mesaidikazungu4299 Před 5 měsíci

    Kopa huyo ❤❤❤

  • @user-bc3lh5ss6c
    @user-bc3lh5ss6c Před 5 měsíci

    😂😂😂😂😂😂haloooo stresss za wanaume tunatupa kule mama umenisemea hasa😂😂😂😂❤❤❤

  • @hamedsuleiman3544
    @hamedsuleiman3544 Před 5 měsíci +4

    maa

  • @Neema-qm9kk
    @Neema-qm9kk Před 5 měsíci +2

    Mama anachangia kumuharibu mtoto wake kwa sababu mara kadhaa amekuwa akimtetea mtoto wake kuwa anachofanya ni sanaa,mpaka inasababisha zuchu anafanya sanaa ya kujidharirisha.Mtoto siku zote hakui kwa mzazi hata ukiolewa mzazi ananafasi kubwa ya kumueleza mtoto pale anapokosea.kuna usemi unasema asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu.

  • @charleshotay8229
    @charleshotay8229 Před 5 měsíci

    Mejifunza jambo hapa

  • @annayambayamba8614
    @annayambayamba8614 Před 5 měsíci +1

    Amen 🙏

  • @hamedsuleiman3544
    @hamedsuleiman3544 Před 5 měsíci +4

    maa zuuh

  • @user-sp2hu8lb1c
    @user-sp2hu8lb1c Před 5 měsíci

    😂😂😂😂😂 uyu Mama Nima sana❤

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 Před 5 měsíci +1

    B.k.H anajibu vyema

  • @aminashayo9263
    @aminashayo9263 Před 5 měsíci +1

    Heeee waniniiii wa kazi ganiiii duuuuuu jamani Bi Hadija anastahili kupewa kipindi japo cha dakika kumi na tano tu atoe darasa

  • @bongo39
    @bongo39 Před 5 měsíci +1

    Mnamdanganya hazeeki nini ushazeeka mama wanakusanif tuu rudi kwa mola wako sasa tafuta msada uende ukahiji mama umei ushaenda

  • @estheroscar6520
    @estheroscar6520 Před 5 měsíci +1

    Mimi nilijua mwanamke wa kiisilamu anafunika kichwa

  • @aaminaasljbgbvf745
    @aaminaasljbgbvf745 Před 5 měsíci +1

    Napita sina mudi leo🏃🏃🏃🏃

  • @user-db1uy6hv9q
    @user-db1uy6hv9q Před 5 měsíci +4

    Dida mipombe😁😁😁😁

  • @halimashaban3858
    @halimashaban3858 Před 5 měsíci +2

    Dida anapenda umbey😅😅😅

  • @omarndege811
    @omarndege811 Před 5 měsíci +4

    😂😂😂😂😂wambie. Malikia. Kopan khadja. Kiboko yao. Hamna. Kama. Wewe. Malikia😂❤

  • @Yness-vh4yy
    @Yness-vh4yy Před 5 měsíci +8

    Sasa na mwanao Zuchu anayajuwa hayo?

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 Před 5 měsíci +1

      Anayajuwa vizuri…Zuchu halewi wala havuti sigara. Lakini watoto wote siku hizi hawasikii. Tuombe stara kwa watoto wote.

    • @Octavinaelisa-fn6js
      @Octavinaelisa-fn6js Před 5 měsíci

      Hapo wote tuko darasani siyo kwamba anamwambia zuchu

  • @sidikassim6759
    @sidikassim6759 Před 5 měsíci

    kubwa anapata maokoto kwa mwanae kwahio lazima amtetee tu .mwisho mwema mtto wko utajibu nni kw mungu wko .Kila ukikaa unaswali huku mtto wko ypo show

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Před 5 měsíci

    Mambo ya kawaida kutukana matusi ya nguoni hadharani?

  • @sidikassim6759
    @sidikassim6759 Před 5 měsíci

    Wwe mma kiukwli unamtetea mwanao snaa tuongee ukweli we SEMA kateleza

  • @pengefeza2563
    @pengefeza2563 Před 5 měsíci

    Waache kumuathiri Zuchu kisaikologia tafadhali.

  • @user-xd4lu1xl6c
    @user-xd4lu1xl6c Před 5 měsíci

    Didactic unasikia?

  • @mozasuliman3959
    @mozasuliman3959 Před 5 měsíci

    Kwani zuchu muslim muislam anafanya vile mavazi uchi kuzini vpi utaishi na mwanamme bila kuolewa huo siyo uislam acheza na dini wako waislam wana imba na wana jihishim waimbaji wakubwa wameslim na vichwa ssa wanafunika ssa ivi Ramadhan zuchu atafunga hijabu wapi sali kabla hujasaliwa

  • @mwadawaibrahimmohamed6089
    @mwadawaibrahimmohamed6089 Před 5 měsíci

    Huku kopesha umechana makavu

  • @chawahirelmymashlalltaabar4949

    Why you not telling your daughter

  • @Bmsecret
    @Bmsecret Před 5 měsíci

    HADIJA KOPA HAKUNA MUME ATAKAE KUOWA WW HUNA ADABU WW

  • @user-vk4zb8fo9u
    @user-vk4zb8fo9u Před 5 měsíci

    Dongo la zuchu iro😂😂😂😂😂 mama kampa dongo mwanae naona kamwambia ndania ajasikia kaja kumpa mafumbo sasa mimi mwelevu nimeelewa kamwambia zuchu sababu king'ang'a nizi kwa mondi kula chuma icho zuhu😂😂😂😂

  • @estermathias8354
    @estermathias8354 Před 5 měsíci +1

    Kwakweli hazeeki.

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před 5 měsíci

      Msimpe moyo mwenzenu, kiukweli amezeeka!!

    • @estermathias8354
      @estermathias8354 Před 5 měsíci

      @@jumakapilima7295 hujaelewa.ndio amezeeka .sasa ndo analingana watu wa lika lake kwa muonekano na nguvu?.kila mtu na neema yake

  • @user-ok6ir7zc6z
    @user-ok6ir7zc6z Před 5 měsíci

    Zuchu amefanyanini jm

  • @uwimana6533
    @uwimana6533 Před 5 měsíci +3

    Huyu mamamwenye akili imepinda akili 😂😂😂 na mawigi yautuzima

    • @elizabethchabluma-zw5qz
      @elizabethchabluma-zw5qz Před 5 měsíci +1

      Yani wewe mwehu kweli kwani mawigi Yana umri tafuta pesa acha makasiliko

    • @Jafreez
      @Jafreez Před 5 měsíci +2

      Heshim mama wawenziyo na mama yako aheshimiwe,...

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 Před 5 měsíci +4

      @@elizabethchabluma-zw5qz Sio mila ya Kiislam, izo ni mila za watu wengine wasiorizika walivyoumbwa na MwenyeziMungu.

    • @agnesswai7174
      @agnesswai7174 Před 5 měsíci +2

      Umenena My mom Khadija kopa❤Haina haja ya kujipa stress kisa eti mwanaume,,Apite hivi👉👉👉👉👉

    • @agnesswai7174
      @agnesswai7174 Před 5 měsíci

      Umenena My mom Khadija kopa❤Haina haja ya kujipa stress kisa eti mwanaume,,Apite hivi👉👉👉👉👉

  • @user-fu5yr4fn8e
    @user-fu5yr4fn8e Před 5 měsíci

    Huyu nilimchukia kua sku ulisema ati yy ndo ameza wengi wamekunya 😢mjinga sana

  • @ConstantineCoscardrov-wb6ih
    @ConstantineCoscardrov-wb6ih Před 5 měsíci

    Kwani mama kopa wewe ulishatafuna dungudungu ngapi?

  • @annatemu4488
    @annatemu4488 Před 5 měsíci

    Mbona ma jack nini,mama Zuu bhana😂😂😂😂

  • @Smokeylucas
    @Smokeylucas Před 5 měsíci +3

    Mama wetu huyo❤❤❤

  • @Mshuta
    @Mshuta Před 5 měsíci +1

    Uko vizur mama