#ZaNdaaani

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 115

  • @shaameshaame2837
    @shaameshaame2837 Před měsícem +6

    Wamechelewa usajili umeisha, kikosi kiko full😂😂😂

  • @putilegamagama6049
    @putilegamagama6049 Před měsícem +3

    😂😂INGEKUWA SIMBA HAPO STUDIO
    MAMAMAMAMAAA.

  • @SijapataMathiasJosephat
    @SijapataMathiasJosephat Před měsícem +5

    Me binafsi namwomba Eng Hersi aelewe uongozi ni gunia la misumari aswaze kuhusu maumivu inabidi atizame zaidi makusudio na malengo yako kwa ajili ya maslahi ya Young Africans

  • @zakaria924
    @zakaria924 Před měsícem

    Mnajifariji, bahasha inafanya kazi, wengine mnacheka kwa kujilazimisha

  • @Conrad-c4r
    @Conrad-c4r Před měsícem +2

    Swali langu kwenu nyote hapo studio" Hivi mnahisi Hilo Jambo Lina madhara gani kwa wanachama na mashabiki pia na wachezaji kwa ujumla ??

  • @JolotaErastoJuma
    @JolotaErastoJuma Před měsícem +2

    I LOVE YOU 🎉🎉❤❤ SIMBA NGUVU MOJA MAJILAN MKOWAP 😢😢😅😅😂😂😂😂

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 Před měsícem +2

    Dah mafanikio ya yanga yata towa watu roho😢

  • @edwardmbonika5102
    @edwardmbonika5102 Před měsícem +21

    Jamanii sipati picha ingelikuwa ni Simba iyo studio leo ingekuwa ni furaa

  • @ABDALLAHMWATANDA
    @ABDALLAHMWATANDA Před měsícem +2

    Studio Ina uyanga ....

  • @chisongastephen7299
    @chisongastephen7299 Před měsícem

    Hongereni hapo studio,na nina wakubali kinoma.

  • @zakaria924
    @zakaria924 Před měsícem

    Assumptions & Gossip za wapokea hahaha 🤣🤣

  • @bymnyaru
    @bymnyaru Před měsícem +2

    Napenda kuuliza kwenye huyo magoma yupo kwenye balaza la wazeee

    • @khamisihussein8777
      @khamisihussein8777 Před měsícem +1

      hahah wazee wenyewe wanasema wamemfukuza mzee wamigogoro

    • @DottoMoshi-x9o
      @DottoMoshi-x9o Před měsícem

      Hakuna ata anae mjuwa kwenye balaza chura tu huyo

  • @user-hj9fc6it1y
    @user-hj9fc6it1y Před měsícem +5

    chuki ni katumiwa ni vtu vibaya sana mzeee unatumiwa 😂 mungu atujaliee maishaa mazuri atuepushe na njaaa tusije kuwa kama hawa wazeee kutumiwa kufanyaaa ujinga😂

  • @why-ir8zl
    @why-ir8zl Před měsícem +1

    Yanga fm ipo hewani😂

  • @mkamaboy2016
    @mkamaboy2016 Před měsícem

    ONA KITENGE NA WASENGE WENZAKE ETI WAMETULIA TULIIIIIIII😂

  • @ZubeidaRashid-tq1yd
    @ZubeidaRashid-tq1yd Před měsícem +1

    Sasa mbona maamuzi yametoka bila hata mshtakiwa kuulizwa?

  • @evansmoshi1923
    @evansmoshi1923 Před měsícem

    Yanga uwaneniii kabisaa tutakula nyama zeni

  • @martinejohn714
    @martinejohn714 Před měsícem +2

    Huyo magoma njaa zinamsumbua atafute chakufanya yanga siku hizi imeacha kushibisha matumbo ya watu

    • @bone102
      @bone102 Před měsícem

      😂😂😂 we kweli dishi limeyumba kushibisha matumbo wakat mshatapeliwa billioni 1 mnaambiwa ni hasara ya timu😂😂

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 Před měsícem

    Mbona mambo ya Simba mnafurahi sana

  • @user-np4di2lg5u
    @user-np4di2lg5u Před měsícem

    Tanzania 🇹🇿 eeeeee nchi yangu eeeeee

  • @ABDALLAHMWATANDA
    @ABDALLAHMWATANDA Před měsícem +2

    HATA SIMBA SUALA LA LAWI SIMBA IMETULIA TULIIIIIII......

  • @samwelmasunga8293
    @samwelmasunga8293 Před měsícem +1

    Kama anauwezo huyo magoma apeleke mguu wake apo jangwani aone

  • @Funyvideos708
    @Funyvideos708 Před měsícem

    Yani ingekuwa Simba wangeua sanaaaaa yani

  • @user-xr2hw3om9z
    @user-xr2hw3om9z Před měsícem +1

    Makomandoo wanatafuta njia ya kuingia kwenye mfumo. Njaa imekuwa kali mtaani huko.

  • @JabirAthuman-d6d
    @JabirAthuman-d6d Před měsícem

    Mlikuwa wapi kujua kma ayupo mwenyewe

  • @stephenmalilo9833
    @stephenmalilo9833 Před měsícem

    Ndio maana nmeacha kusikiliza hili li REDIO uchwara. Hawa sio watangazaji, ni machawa wa Utopolo.......

  • @ZubeidaRashid-tq1yd
    @ZubeidaRashid-tq1yd Před měsícem +3

    Kwa hiyo kumbe mnajua km jamaa hakukaa kihalali?
    Sasa mbona mnatetea

  • @rbayoub1181
    @rbayoub1181 Před měsícem +2

    Wasafi na yanga yao

  • @why-ir8zl
    @why-ir8zl Před měsícem

    😅😅Kisu kimechoma kwenyewe!

  • @goodlucksalumu1818
    @goodlucksalumu1818 Před měsícem

    nani akupe like kenge wewweeeee

  • @kamandamlimaog3430
    @kamandamlimaog3430 Před měsícem +1

    wasafii mnauyanga yanga sana katikaa uchambuzi wenuu
    Simba hawana shidaa na matatzoo ya yangaa
    Simba wanaangalia Yao ya lawii

  • @AllanKabuga-k2d
    @AllanKabuga-k2d Před měsícem

    Ingekua Simba hapo studio kungechafuka

  • @RashidRajab-oz5ec
    @RashidRajab-oz5ec Před měsícem

    Mzee wa zandani wewe c ni mdudu mwenzetu tu

  • @user-mz4ik1hx1q
    @user-mz4ik1hx1q Před měsícem

    Makumaaaaaa awaaaa

  • @nickdr_tv
    @nickdr_tv Před měsícem

    MWAIPOPOOOOOO.....

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya4286 Před měsícem

    Mbona tunakereheka na huyo magma ambassador sio mwanachama? Nahiyo mahakama inatoaje hukumu kwa sahihi za kugushi,kama nikweli waligushi ni aibu sana kwa mhimili huu

  • @khamisihussein8777
    @khamisihussein8777 Před měsícem

    nimewaelewa wakuu

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs Před měsícem

    Za ndaniiiiiiiii

  • @davidjohn540
    @davidjohn540 Před měsícem

    Ingekuwa Simba mamamaaaaaaa

  • @JohnEugeni-f8m
    @JohnEugeni-f8m Před měsícem

    SUBILINI MO MUIONE HII STUDIO

  • @felixmwayeya6716
    @felixmwayeya6716 Před měsícem +1

    Huyu ndo debora magoma mwenyewe sasa😂😂

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 Před měsícem +1

    Mmmmmmmmhhhhhhhhhhh mrudisheni madarakani huyo ataleta tafrani jangwani

  • @user-np4di2lg5u
    @user-np4di2lg5u Před měsícem

    Malipo hapa hapa dunian

  • @ludovickkimaro6362
    @ludovickkimaro6362 Před měsícem

    Wasafi na Yanga yao sasa ingekuwa Simba ohooo sipati picha

  • @aminangano3635
    @aminangano3635 Před měsícem +1

    Popo mnyama😂

  • @thejoeclassicsoldier
    @thejoeclassicsoldier Před měsícem

    Popo sio ndege, acheni ujinga

  • @gilbertfrancis217
    @gilbertfrancis217 Před měsícem

    Wachambuzi hamnazoo hasa maulidi kichwa majii kabisaa

  • @Conrad-c4r
    @Conrad-c4r Před měsícem +1

    Jibun koment

  • @SaidiMkome-qq7hy
    @SaidiMkome-qq7hy Před měsícem

    Ingekuwa simba Leo hpo cjui ingekuwaje wangese nyinyi Leo mmepoaaaaaaaa😁😁🏃🏃🏃

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Před měsícem

    Mhuuuu magoma chambo atakoma

  • @HamisMdamu-en5fe
    @HamisMdamu-en5fe Před měsícem

    Popo ni mnyama sio mdudu wala ndege

  • @MohammedJaizan-yf5yt
    @MohammedJaizan-yf5yt Před měsícem

    Kipindi Cha michezo kimebadilika kimekuwa udaku wa dida

  • @salumobed5980
    @salumobed5980 Před měsícem

    Simba Huwa inakomaliwa balaaa dah.... Ila kwa sabAbu ni Yanga

    • @HappyKitindi
      @HappyKitindi Před měsícem

      Za simba zinakuwa na evidence ndo maana zinakomalia, mfano unakumbuka mzee kilomoni na hati ya Simba? Sasa huyu magoma ya kwake haina hata circumstancial evidence 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @AthumanKais
    @AthumanKais Před měsícem

    Mzee wa kudele nkbl sana🤜🤜🙂

  • @user-jy1wm8do8w
    @user-jy1wm8do8w Před měsícem

    Ubaya ubwela machambuzi machoko

  • @manfredmlay2743
    @manfredmlay2743 Před měsícem

    Popo ni mbuzi sio mdudu

  • @luqmanomary3558
    @luqmanomary3558 Před měsícem

    Kuanzia leo viongoz wa simba na wansimba tuhme hii media inauyanga sana sasa mamb ya yanga na simba wapi kwa wpai eti wakti sisi tunaongea mzee kaamkia avic na wanae aloo dah nije nion msemaj wa simb akiend wasafi nahama timu

  • @Athmanichambuso
    @Athmanichambuso Před měsícem +1

    nimikulewa hap

  • @dicsonbiko-wz7ym
    @dicsonbiko-wz7ym Před měsícem

    wasafi imekaa kiuyanga yanga tu😅😅😅

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324 Před měsícem

    maambo ya simba mnashabikia lakn ya yanga aaaah kuma zenu

  • @Mumewangu
    @Mumewangu Před měsícem

    Wote hawa ni uto wanaongea kiwoga woga

  • @user-ft4ii2jx5d
    @user-ft4ii2jx5d Před měsícem

    mjukuu wng momo upo sawa mie babu yako muba

  • @SaimonAnton-rj3vt
    @SaimonAnton-rj3vt Před měsícem +1

    Mwaipopo

  • @peterkissiri9821
    @peterkissiri9821 Před měsícem

    Magoma ni Messi mtupu😂😂😂

  • @WilfredSaidi-st3tn
    @WilfredSaidi-st3tn Před měsícem

    GEN Z'S are typing 😅😅😅😅

  • @zainabbakari-vw4jy
    @zainabbakari-vw4jy Před měsícem

    Na huu ndo ukwel

  • @SaidiMkome-qq7hy
    @SaidiMkome-qq7hy Před měsícem

    Machawa😁😁😁😊

  • @williammajani2152
    @williammajani2152 Před měsícem +1

    Hawa ndio watu wameaniniwa na TV walete habari za michezo shame of you

  • @user-ft4ii2jx5d
    @user-ft4ii2jx5d Před měsícem

    momo msalimie ndg yng mauridi

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 Před měsícem +1

    Magoma Yuko sawa😂😂😂

  • @edwardlesian9318
    @edwardlesian9318 Před měsícem

    Mwai popo hyo

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 Před měsícem

    Studio yenu ni utopolo kabisa Yani Yanga

  • @ABDALLAHMWATANDA
    @ABDALLAHMWATANDA Před měsícem +1

    INGEKUWA SIMBA MNGESEMA SIMBA Haijielewi.....LEO .MNASEMA kimajungu

    • @HappyKitindi
      @HappyKitindi Před měsícem

      Ongea fact bro, we hapo unadhani magoma ana evidence gan ya maana katika Hilo?

    • @HappyKitindi
      @HappyKitindi Před měsícem

      Za simba zinakuwa na evidence ndo maana zinakomalia, mfano unakumbuka mzee kilomoni na hati ya Simba? Sasa huyu magoma ya kwake haina hata circumstancial evidence 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @JechaMakameIssa-gs2bl
    @JechaMakameIssa-gs2bl Před měsícem +2

    wakwanza nipeni like zngu😢

  • @bonfacemassawe3394
    @bonfacemassawe3394 Před měsícem +1

    Popo si ndege bali ni mnyama.

  • @HermanJoseph-mi2og
    @HermanJoseph-mi2og Před měsícem

    Mnazinguaaaaa mna waponda simba sana acheni ushabikiii naona Leo habar y yangaa yn mnawadefend

  • @hassanabdala7383
    @hassanabdala7383 Před měsícem +1

    Momo wacha uongo

  • @AziziAbdala-tw6uf
    @AziziAbdala-tw6uf Před měsícem

    bundi limeanza kuzagaa yanga

  • @AyubuMwakalibule
    @AyubuMwakalibule Před měsícem +1

    Sheli zipo ili zilindwe ko kama mtu kawafanyia mema ndio avunje shelia mgebadili ndio mmpe mtu uongozi mbona ingewezekana tu alaka sio nzuri,

  • @mussakunenga8866
    @mussakunenga8866 Před měsícem +1

    Acheni uyanga

  • @jonasfrank1758
    @jonasfrank1758 Před měsícem

    Ingekuwa lunyasiiiii

  • @mjuaelias3681
    @mjuaelias3681 Před měsícem +1

    Bundi huyoo jangwani,

  • @chamyluna8030
    @chamyluna8030 Před měsícem

    Mnadhihirisha wazi kua mnaongea kiyanga yanga tu mbona Mambo ya simba hamuyapambi hivyo mungeongeza chumvi kibao mbwa nyie

  • @BarakaMalekela-nf6gv
    @BarakaMalekela-nf6gv Před měsícem

    Bola mgombane tu

  • @GosheSecurity
    @GosheSecurity Před měsícem

    Mwaipopo ni mshamba toka malawi ndio maana anatumika kifala afu hana hata kadi ya uanachama

  • @PaulMuasya-z8c
    @PaulMuasya-z8c Před měsícem +1

    Hivi wewe Kitenge wataka kusema Yanga hawakuwahi kufika mahakamani kwa hii kesi ?
    Hii ni mahakama ya kisheria na sio wale Tff. Wacha kuwapotosha wanachama wa Yanga.

  • @user-xf3lv5xp1i
    @user-xf3lv5xp1i Před měsícem +1

    Jangwani kumekucha

  • @JohnEugeni-f8m
    @JohnEugeni-f8m Před měsícem +2

    Hapa angekuwa Mo hii studio wangeshambulia lakin hapa wanajaribu kutetea kila kaeneo hapo ndipo utatambua hawa wachambuz wala lushwa

  • @LucyMtweve-i9b
    @LucyMtweve-i9b Před měsícem

    Sipati picha ingekuwa simba momo unavyoivumisha zandaaaaaaani

    • @HappyKitindi
      @HappyKitindi Před měsícem

      Za simba zinakuwa na evidence ndo maana zinakomalia, mfano unakumbuka mzee kilomoni na hati ya Simba? Sasa huyu magoma ya kwake haina hata circumstancial evidence 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂