MPAKA HOME KWA KIJANA ALIYEJIUNGA FREEMASON AFICHUA PETE YA FREEMASON ILIVYOYEYUKA KISA LUCIFA

Sdílet
Vložit

Komentáře • 436

  • @user-uh1zx5cz5i
    @user-uh1zx5cz5i Před 6 měsíci +7

    Una shiriki kanisagani,chini ya muchungaji mugani,weka watu wazi Samuel utafauli mission yako in Jesus name Amen

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Před 6 měsíci +7

    Mpeleke kwa Mchj Amaniel katekela ,sababu naye alisema alikuwa huko na alikuwa mchawi, anapatjkana promover tv Mungu amsaidie kijana huyu aokoke 100 percent. AMEN

  • @user-ir3ep3kz2b
    @user-ir3ep3kz2b Před 23 dny

    Nimeyasikia yako mungu atakuruzuku kaka mwenyezi mungu akurinde nashari zawaurimwengu na itwa Asumani nitazidi kuku ombeya Aminq

  • @susanmusindi4123
    @susanmusindi4123 Před 6 měsíci +8

    Huyu kijana bado yuko Free maison. Historia yake ina sehemu inazungunzia uongo.
    Bado anamfanyia lucifer kazi .

  • @mwikalijosephine5178
    @mwikalijosephine5178 Před 6 měsíci +13

    I cover my self with blood of Jesus christ Amen

  • @hezekiamhapa7395
    @hezekiamhapa7395 Před 6 měsíci +8

    Samuel Mungu akubariki Sana ! Asante Sana kwa kutufunulia haya ninachokuomba usije ukarudi kule hata akushawishi namna gani usithubutu siku ukirudi anakumaliza hapo hapo Kama Mungu alivyonavyo adui kwake tambua Hali kadhalika wewe Ni adui yake mkuu kwa sasa. Pia ushauri wangu usiwatembelee Sana hao marafiki zako shetani anaweza kuwatumia wakakuwekea hata sumu ili usiendelee kutoa Siri zake kuwa makini na Mimi nitakuombea Mungu akupe ulinzi wake muda wote wasikudhuru

  • @mwaledwardugendo7344
    @mwaledwardugendo7344 Před 6 měsíci +4

    Hongera sana kwakujitoa na MUNGU-YEHOVA anautajiri kuliko ibilisi mimi huwa naaamini

  • @VictorineAchieng
    @VictorineAchieng Před 6 měsíci +52

    Huyu kaka ajatoka freemason acha kumdanganya Mungu baba yako mwenywe ulimtoa kafala Na uliulizwa ukakataa hbr zako tunazo kutoka Kwa dada yako usitudanganye hapa

  • @danielaudax6755
    @danielaudax6755 Před 6 měsíci +2

    uwezi ingia freemason afu eti utoke kizembe acha kudanganya watu kama ni Ivo wengi wangetoka

  • @zipporahbochaberi2694
    @zipporahbochaberi2694 Před 6 měsíci +8

    Samwel napenda sana mawaidha yako wanaosema ati samwel muongo basi hao wa hicho chama

    • @user-ru7hi7cw5u
      @user-ru7hi7cw5u Před 5 měsíci

      Una akili wewe? Mtafute roho wa Mungu kakufundishe kutofautisha. Wewe mi mmoja wa vipofu vya kiroho.

  • @gennetdesta6060
    @gennetdesta6060 Před 6 měsíci +6

    Huyo bado yuko kwa hio chama asiseme huongo

  • @givenykingtv4780
    @givenykingtv4780 Před 4 měsíci +1

    Hicho chama saiz kimekuwa cha kawaida sana halafu uongo mwingi sana

  • @bukurumoise5827
    @bukurumoise5827 Před 6 měsíci +6

    Muongo huyu jama ona sura ngumu kaama ngumi shenzi kwelikweli 😊

    • @EdwardCharles-sz9hd
      @EdwardCharles-sz9hd Před 5 měsíci

      Haaaaaaa we jamaa kwamba umeamua umuchane dogo cyo haya mkuu nmekubal

    • @madinamuzei5520
      @madinamuzei5520 Před 3 měsíci

      I don't know why but I have a strong feeling kwamba Kuna kauongo mahali.

    • @PipyJanuary
      @PipyJanuary Před 2 měsíci

      Am with you hawa watu wanamwaribia jina Ezekiel mbona si mwingine kila mtu ni Ezekiel

  • @kuratijumamarwa
    @kuratijumamarwa Před 6 měsíci +5

    Tunajifunza kwa kuona , wote waliyojitoa freemason walifilisika wengine wanakuwa na magari yoote yanaanguka mengine yanaungua , huyo bila shaka kuna maoatano na shetani

  • @jeannejumanne3054
    @jeannejumanne3054 Před 6 měsíci +2

    Uyusamweli ajatoka uko anatudanganya mbona wengine wakotoka hua wana chukuliwa malizote imekuaje samweli wamuachie malizake mchunguza sana uyo kijana

  • @pammymoraamoraa6702
    @pammymoraamoraa6702 Před 6 měsíci +5

    Samuel nikijana mtaratipu sana , anaujumbe mingi ya kutwambia lakini bia anabita Kona kona mingi sana , kuna mambo bado anatuficha, kama mungu ako mbele yako atwambie ukweli bila kusita sita,atoboke atwambie yote ndio tujue hathari zaidi. Ama wenzagu vipi,kamanikusema sema kaka

    • @MetOrina
      @MetOrina Před 6 měsíci +1

      Kabisi😅

    • @user-rj2bk3hr5r
      @user-rj2bk3hr5r Před 6 měsíci

      Samweli mm ninazidi kukufatiria kwenye mtandao

    • @Juliana-gd8ej
      @Juliana-gd8ej Před 6 měsíci

      Asante kaka,Mungu akubariki unasaidia wengi

    • @sylivestermwasile4203
      @sylivestermwasile4203 Před 6 měsíci

      Huwezi kuongea vitu vyote hii ni tasisi ya siri kuna vingi haitakiwi uvijue ukisema wanakufatilia kuna sku ukijasahau kidogo wanakuua

  • @user-uu7db3kg8y
    @user-uu7db3kg8y Před 6 měsíci +2

    Samuel mjinga mkubwa bd ajtok freemason we umbwa ushauw bab yak muzaz wacha kudanganya mung

  • @user-oe4dh1he1s
    @user-oe4dh1he1s Před 6 měsíci +1

    Wewe unayemhoji na huyo Muongo wote mi kitu kimoja mnatupotezea muda ,wa kufanya mambo ya maana tukae kusikiliza utopolo wako huo. Hovyooo,

  • @stivanto8539
    @stivanto8539 Před 6 měsíci +7

    Kama ni ukweli huyu kaka ashatoka kwenye hiyo chama mbona bado anaficha mambo mengine????
    Rudia mungu wewe, uwache uongo

    • @umutoniyvette8637
      @umutoniyvette8637 Před 5 měsíci

      Uonho mutupu
      Watu wote ambaho wameamua kuachana n'a shetani
      Vitu Viote ama utajiri wote una isha shetani Ana kunyaganya kila kitu ulicho kipata kwake
      Sasa yeye anaongeya kwamba amebaki n'a Mali yote
      Uyu Ana ongeya uongo

  • @user-pd6fh8fy8b
    @user-pd6fh8fy8b Před 5 měsíci +1

    Mali ya shetani haiingii kwa kristo,ukiacha shetani ,acha na mali yake,Jehova Halinganishwi, wakristo tuwe macho

  • @user-sp2hj4ju4t
    @user-sp2hj4ju4t Před 6 měsíci +2

    Professional agent kuweni makini anajichanganya changanya in short ni muongo

  • @VenanceJoshua-me5mz
    @VenanceJoshua-me5mz Před 6 měsíci +2

    Huyu muongo anawadanganya vijana wajiunge huyu bado yupo huko

  • @user-uq7ej9tl9r
    @user-uq7ej9tl9r Před 6 měsíci

    Hongera sana we kijana mungu akubariki😮😮😮

  • @user-lr6qv8fv2m
    @user-lr6qv8fv2m Před 6 měsíci +1

    Mh! Sijui lakini MUNGU ndiye ajuaye ikiwa nikweli ushuhuda huu uafundisha Sana lakini Kama sikweli basi ndugu watazamaji jifunzeni kitu happy...👆

  • @user-dj7tf6se3f
    @user-dj7tf6se3f Před 6 měsíci

    Hongera kijana Kwa kutoa watu kafara kwajili yakupata money hongera sana mnauwa watu kama kuku mungu anaupamba Kwa nguvu zake na nyinyi mnauwa hongereni jaman freemasons

  • @Nyadewaz-dizee
    @Nyadewaz-dizee Před 6 měsíci +9

    Huyu kijana aliombewa kanisa Gani? Ni mchungaji Gani alimwombea? Akiwa na mali kama gari na nyumba Bado Ako ndani. He is just doing a Reversed Psychology and he is out to sell a certain Agenda.

    • @violetnasimiyu8718
      @violetnasimiyu8718 Před 6 měsíci +1

      Yes you are right.

    • @stivanto8539
      @stivanto8539 Před 6 měsíci +1

      Facts

    • @user-ne2kp2hc5i
      @user-ne2kp2hc5i Před 5 měsíci

      Kama uyu samueli ashaachana na lucifer kwa nini hapendi kurudisha mali yake ? Samueli sema kweli kama wewe si mutu wa lucifer

    • @user-ne2kp2hc5i
      @user-ne2kp2hc5i Před 5 měsíci

      Kama uyu samueli ashaachana na lucifer kwa nini hapendi kurudisha mali yake ? Samueli sema kweli kama wewe si mutu wa lucifer

  • @reachelchemtai2604
    @reachelchemtai2604 Před 6 měsíci +12

    Mimi ni nashukuru sana kwa ushuhuda zuri Sana napenda Sana huyu kijana kwa kupenda mungu kwa roho yake yote

  • @faridahshabani9429
    @faridahshabani9429 Před 6 měsíci +6

    Kwa mtu ambae amemskiliza kwa umakini kabisa atagundua kua huyu jamaa bado hajatoka.

    • @mjombawallace4966
      @mjombawallace4966 Před 6 měsíci

      Kuna Kitu Bado sijagundua

    • @ednamwihava1723
      @ednamwihava1723 Před 6 měsíci

      Hakuna urafiki kwa watu wanaotoleana siri,Samweli amegundua NGUVU ya MUNGU against nguvu ya SHETANI.hivyo amejua shetani ni weak,Shetani mbele ya jina la yesu ni dhaifu,Hivyo mtu akishajua udhaifu wako basi umeisha.Huyu kijana kujua silaha za kumpinga na kumpiga IBILISI.Tangaza injili Samweli mtangaze KRISTO

    • @susansusanne6157
      @susansusanne6157 Před 5 měsíci

      Hiyo ni kweli kabisa. Bado shetani anamutumikia huu samuel. May the LORD Jesus Christ find the lost if truly they desire to be found, Amen.

    • @fm.masesi
      @fm.masesi Před 5 měsíci

      He is still there

  • @rosewilliamson2153
    @rosewilliamson2153 Před 6 měsíci +5

    Yeye ni agent

  • @fm.masesi
    @fm.masesi Před 5 měsíci +2

    Huyu Bado hako huko.

  • @madpeoplezzzz5121
    @madpeoplezzzz5121 Před 6 měsíci +2

    Huyuu Jamaa Kaja kutoa siri? au Kaja kututamanisha tujiunge na Chama chake......😅

    • @nelsonneeson620
      @nelsonneeson620 Před 6 měsíci

      Kaja kuwatamanisha mjiunge huyu hajatoka aisee na anaringia kuwa uko. Hata hao marafiki wanapatkanaje.

  • @vomalizavomaliza746
    @vomalizavomaliza746 Před 6 měsíci +1

    Huyu bado huko free mason hache kutanganya watu hili wanjihunge stop that big liar

  • @feihusein
    @feihusein Před 6 měsíci +2

    Kaka apo una2danganya huo niongo kabisa yaan we bado ukofrimason ila unataka kujificha

    • @escapricejordins988
      @escapricejordins988 Před 6 měsíci

      Lakini mbona chuki ya bure kama una akili timamu na ujuzi wa kiroho utajua Kwa kweli anaongea ukweli.hasinge kuwa ametoka hasinge toboa siri.kwani unadhani shetani mtoto wewe...hasingekuwa ametoka hasinge msifia yesu na kuwaimiza mumwabudu mungu.amesema Kwa kinywa chake kwamba yesu ana nguvu sana dhidi ya shetani.

    • @escapricejordins988
      @escapricejordins988 Před 6 měsíci

      Wewe Wacha chuki.kama yesu mwenyewe ashamsamehe wewe nani?

  • @jameswambuku171
    @jameswambuku171 Před 6 měsíci +4

    kaka nakuliza Rohani akokwalushifa ama kwa mungu

  • @LovenessMosha
    @LovenessMosha Před 3 měsíci +1

    Unaongea uongo mwingi na Kuna namna unatudanganya juu ya hao wanaojiita watumishi WA MUNGU ili turudishe IMANI kwao, mwongo hatukuamini Wala hatuwaamini hao unaowapigia debe, nimekusikiliza sana hata hueleweki huna maajabu unajichanganya hovyohovyo

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 Před 6 měsíci +7

    Uyu angaliki nanguvu za Ki frimanson, na mission ya Anatafuta watuu WANADAMU KUWENI MAKINI 😢

    • @AnnaMtulo-fc5tg
      @AnnaMtulo-fc5tg Před 6 měsíci

      Safi sana

    • @lenymutisya9714
      @lenymutisya9714 Před 6 měsíci

      Kweli, unakumbuka alisema Lucifer alimwambia amletee watu wengi kutoka duniani, this young man is on a mission. Jesus grant us divine protection. Jesus, Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus fight all our battles

    • @susansusanne6157
      @susansusanne6157 Před 5 měsíci +1

      ​@@lenymutisya9714
      You have seen well (Jeremiah 1:12)
      May the LORD Jesus Christ open the blind eyes so that they may see the truth, Amen.

    • @susansusanne6157
      @susansusanne6157 Před 5 měsíci

      Micheline
      You are right, huyu kijana bado ni chombo cha shetani. May the LORD Jesus Christ open the blind eyes if they truly desire to see indeed, Amen.

    • @user-ru7hi7cw5u
      @user-ru7hi7cw5u Před 5 měsíci +1

      Hatari sana na bado wajinga wanamtetea akiwapotosha wengine. Akili za watu hutofautiana

  • @user-fs7fe4pq6j
    @user-fs7fe4pq6j Před 6 měsíci +2

    Ujatoka bwana uko kwenye holiday tu😂😂😂😂😂

  • @user-sr8lc9oz9d
    @user-sr8lc9oz9d Před 5 měsíci +1

    Jamaa anatudanganya huyu ndo anatupoteza kabisa😮😮

  • @user-vh5fn8fm5y
    @user-vh5fn8fm5y Před 5 měsíci +1

    Umedanganya bwana.lutifa.alikutuma.umutafutie wateja waende.kule.minaitaji.niende.huko nipate maisha namimi

  • @user-wl4zh8yq7b
    @user-wl4zh8yq7b Před 6 měsíci +2

    Hivi huyo Lucifer unayemzungumzia ndo yule yule ambae alikua mbinguni kupigana na kina Gabriel ? Ndo mkae pamoja halafu aseme kama ulikua hutaki kumtoa father ako si ungesema tu 😂 hivi ni kweli we jamaa upo serious au sisi ndo hatukuielewa biblia jmn

  • @user-yb2qk4iz6i
    @user-yb2qk4iz6i Před 5 měsíci +1

    Mungu hazihakiwi.naona bado,haujaashe vizuri ,Mali yake igemalizika h

  • @user-kn5th2nt9o
    @user-kn5th2nt9o Před 4 měsíci +1

    Mi,naona kama ww ni wakala wa lusifa pia,maana umeelekeza na makanisa yenu uanpo patikana, kimtazamo hujatoka,

  • @user-hh7su5od8n
    @user-hh7su5od8n Před 4 měsíci +1

    Kwa ninavyojua wanachama wa lusifa hawezi kumtaja yesu hata wewe hujalitaja jina la yesuu naona bado haujaokoka ila umetafuta njia ya kujipatia pesa kupitia coment zetu .... Kama kweli umeokoka sema yesu kristo wa nazaret aliye haii

  • @vitalbwemababunga
    @vitalbwemababunga Před 3 měsíci +1

    Frimasoon hayupo ni utapeli na uongo tuu

  • @robertmasai-zz3eu
    @robertmasai-zz3eu Před 6 měsíci +1

    Wewe kijana acha kucheza na mungu mungu hawezi kukaa na mali ya shetani hata siku moja laiti kama ugekuwa umejitoa Mali hizo mungu angezipoteza as wewe bd unazo huo uongo

    • @user-ln7qw3jh7o
      @user-ln7qw3jh7o Před 5 měsíci

      Mimi hta ameanza kunibo na uongo zake 🤣😭🤣🤣

  • @user-mz2wx5dt9v
    @user-mz2wx5dt9v Před 4 měsíci +1

    Wapendwa kuweni makini na huyu ni ajenti wa kuzimu mpaka sshv kazi yake ni kuwaunganisha watu na kuzimu kwa kuwashauri waende kawe na kwa Ezekiel ambapo hao wote ni mawakala wa shetani kwahyo angalieni mtu asiwadanganye yesu alituambia mapema mathayo24

  • @emmilyavilia9146
    @emmilyavilia9146 Před 5 měsíci

    Mutu asimpinge mungu anasiri mingi kumuhusu ibirisi maana yeye huja na kuiba kuaribu na kuua maybe aliiba mtoto mdogo ndio amuvundishe kwaaribu na sio mmocha so wacha mungu avichue yalio sirini watu wamutavute mungu kikweli Samuel mungu akuprotect sana umepata ukweli

  • @Lavieka
    @Lavieka Před 6 měsíci +2

    Hakuna ushirikiyano ya Mwanga na Giza. Kwa nini awe na wa shiriki tena?? Na yeye si wao tena??? Jamaani atusaidiye nasi tusi je tuka jaribiwa. Asante

    • @user-uh1zx5cz5i
      @user-uh1zx5cz5i Před 6 měsíci

      I rebuke the devil in you in Jesus name, Samuel ajatoka freemason,angalieni anavyo ugoe na ishara za vidole zake ni freemason,anawanasa kupitia mutandao,kamua baba,kasema akumua, I cover all the viewers with the blood of Jesus Christ the son of the living God amen

  • @user-xo5yv5fm6g
    @user-xo5yv5fm6g Před 6 měsíci

    Kama kijana katoka freemason. Mwana habari tafadhali tumia neno "aliye kua amejiunga, badala ya 'aliye jiunga" yapendeza MUNGU atukuzwe Amina.

  • @albertmillinga2269
    @albertmillinga2269 Před 6 měsíci +9

    Nimeanza kuwa na mashaka na hii story maana unajichanganya sana mwanzo wa story ulisema uliishia darasa la Saba sasa umesahau anasema uliishia darasa la nne ni makosa mengi unayafanya bila kujua.

  • @catherinemhagama7505
    @catherinemhagama7505 Před 6 měsíci +1

    Hujajenga kwa jasho lako Ni jasho la shetani. Ilikuwa masikini hataari ujenge nyumba kusemaje

  • @user-ld3nh3jr4s
    @user-ld3nh3jr4s Před 6 měsíci +1

    Dah uyu ni ela tu anatafta haiwezekani kurudisha pete na kubaki na ela za freemeson

  • @FrankMchumi
    @FrankMchumi Před 5 měsíci +1

    Jaman wapendwa inavyoonesha kuwa ametoka mana anatoa sir nying sana against Lucifer

  • @Firstjunee-uf6qb
    @Firstjunee-uf6qb Před 5 měsíci +1

    Huyu anadanganya ndio watu wajue si yeye alimuua babake , nonsense guy,, wewe endelea na freemason kitakuramba broo

  • @FloridaSyombua
    @FloridaSyombua Před 6 měsíci

    Usiongope kutoa ushuhuda iwapo umekombolewa na Yesu,,He has power than the devil,,kwa uhakika jitoe zaidi kwa Mungu

  • @atanaskalinga4976
    @atanaskalinga4976 Před 4 měsíci

    Hongera mtumishi nimungu tuu amekutoa emen

  • @user-ms6lp3ye3g
    @user-ms6lp3ye3g Před 6 měsíci +3

    That man is still there

  • @lamechnyaundi4303
    @lamechnyaundi4303 Před 3 měsíci

    May God to continue applifting you bro

  • @SitetiShaly-rs4tn
    @SitetiShaly-rs4tn Před 6 měsíci +1

    Huyo kijana bado hajatoka Freemason. Hakuna uhusiano kati ya Giza na nuru. Then anapewa peasa na rafiki ako Freemason na ako tu comfortable. Bado kuna shida kwa Huyo kijana.

  • @pacifiquemuzo7446
    @pacifiquemuzo7446 Před 6 měsíci +2

    Samuel nimuhongosana yupondani ya freemancons !

  • @EdifauDeusi
    @EdifauDeusi Před 6 měsíci +1

    Pole ndiomana bibliya imeandikwa usitamani Mali yajilani yako maana ujui kaipataje

  • @AlfredMunna-xd1vk
    @AlfredMunna-xd1vk Před 6 měsíci +1

    Wewe kijan huna akili

  • @user-mm2vl1df4x
    @user-mm2vl1df4x Před 6 měsíci +1

    Sidhani kaa ametoka coz bado anasema Kuna Siri zingine hatoboi😮😮

  • @user-Eric203
    @user-Eric203 Před 5 měsíci +1

    Huyu kijana ni muwongo

  • @StelaVictor-xu3sw
    @StelaVictor-xu3sw Před měsícem

    Mungu akubariki

  • @kuratijumamarwa
    @kuratijumamarwa Před 6 měsíci +7

    Kwanza alidanganya kwamba alikataa kumuua baba yake wakati baba yake alifariki ,

  • @davidmuia6285
    @davidmuia6285 Před 6 měsíci +2

    Kijana huyu hasemi ukweli.Anadanganya.Bado yuko huko kazi yake ni kupotosha watu.Hii story haina sense.

  • @maulidkarim8762
    @maulidkarim8762 Před 6 měsíci +1

    Yesu kiboko ya shetani

  • @user-hk6ms7vo1h
    @user-hk6ms7vo1h Před 6 měsíci +2

    Ww kina punguza Bangi..hizo n story za Jaba huku kenya

    • @user-vs5yi6sv8r
      @user-vs5yi6sv8r Před 5 měsíci

      Acha uongo ww umetoka masonic afu una2mia Mali zao au viongozi wako wa dini Wana damu finyu kama Yako au?

  • @user-sd1ys9ev5f
    @user-sd1ys9ev5f Před 5 měsíci +1

    Mbona unawaficha hao watumishi was shetani wafichue kwani bado wewe ni mmoja wao

  • @matimfuko641
    @matimfuko641 Před 6 měsíci +1

    Huyo bado yupo free mason

  • @jayalain4609
    @jayalain4609 Před 6 měsíci +4

    Bado yupo freemason 💯💯

    • @mashramadhani1989
      @mashramadhani1989 Před 6 měsíci

      Kabisa bado argent lkn Kwa sasa anataka kutuamisha kuwa unaweza kuingia na kutoka na mali ukawanazo

    • @davidtentacion3104
      @davidtentacion3104 Před 5 měsíci

      ​@@mashramadhani1989kwahy ni uongo kwamba ukiingia ndo imeisha

  • @damarisnjerunjeru399
    @damarisnjerunjeru399 Před 6 měsíci +2

    Hongera kaka

  • @nelsonneeson620
    @nelsonneeson620 Před 6 měsíci +2

    Kunguru na mwewe ni marafiki ???😂😂😂

  • @seiphyahya5353
    @seiphyahya5353 Před 6 měsíci +1

    Lakini Lord Samwel di bado anampelekea yule Boss LUSFA wao vitoto vichanga ?

  • @agrcem6707
    @agrcem6707 Před 5 měsíci +1

    Umetoka , na watu wa frimasoni wanakupatia hela na unapokea, na unajuwa zinatoka wapi

  • @user-fi9gn6cm5k
    @user-fi9gn6cm5k Před 6 měsíci

    Upo good San nimekubal naomb tuonane

  • @IreneCharo-ft3pq
    @IreneCharo-ft3pq Před 6 měsíci +1

    Regesha vitu vya freemason ukuwe huru bila hivyo bado hujatoka my dear nimependa ushuhuda wako 😢😢😢😢

  • @YosiaJackson-wy7fq
    @YosiaJackson-wy7fq Před měsícem

    Chama cha frimason kama siyo bongo chipowap

  • @user-gl1wd7eh4t
    @user-gl1wd7eh4t Před 4 měsíci +1

    Kama bado yuko kwa hiyo chama MUNGU atamnyoosha

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah439 Před 6 měsíci +3

    Wewe muongo kenge bado upo ujatoka

  • @marryngaiza2061
    @marryngaiza2061 Před 6 měsíci +3

    Nakusihi sana uende nyumbani ukaunganike na familia yako hasa Mama usiendelee kumtia masononeko. Chonde chonde

    • @shadrackmangu8624
      @shadrackmangu8624 Před 6 měsíci

      Unamjua nn jamaa

    • @LeviAnthony-ci4vu
      @LeviAnthony-ci4vu Před 5 měsíci

      Tapeli huyu.Hakuna Freemason Mjinga mjinga kama huyu.Huyu ni Mambo ya WAGANGA wa Jadi ndo yamempa pesa.

  • @agrcem6707
    @agrcem6707 Před 5 měsíci +1

    Hajatoka angeshuhudia

  • @ss-bw9ef
    @ss-bw9ef Před 6 měsíci

    Ambiya ulekaka atafute mungu nimi nichristophe kutoka congo

  • @user-ue4or5rc1j
    @user-ue4or5rc1j Před 4 měsíci

    Kazana ukae kwa mungu muumba mbigu na nchi Safar bado ni mdefu chukua tahadali

  • @zahirrajab7713
    @zahirrajab7713 Před měsícem

    Kijana ni muongo sanaaa huyuu ata freamason hajawai kuwepo😂 anatafuta wa kuwapiga za uso

  • @user-qh1ef8iy7w
    @user-qh1ef8iy7w Před 2 měsíci

    Amina

  • @user-gf7pq7vs5m
    @user-gf7pq7vs5m Před 6 měsíci +1

    Hawa matapeli kama matapeli wengine wanajitafutia pesa ili waish vizuri wawaibie watu

  • @benedictinelusambo069
    @benedictinelusambo069 Před 6 měsíci +4

    Mi kiukwel Bado napata ukakasi hapa kwenye kuonana na mungu

  • @user-qy3zo5dz9w
    @user-qy3zo5dz9w Před 6 měsíci

    Mungu ndie muamuzi wa yote bado yupo ametoka akuna anaejua zaidi ya mungu wetu halie hai

  • @user-nn7ld9ej3b
    @user-nn7ld9ej3b Před 6 měsíci +5

    Huyu hajatoka huko ,so long as uko na vitu vya freemason.tena unaonekana mtu.mwenye maringo bado,na and hes hinding alot .

    • @violetnasimiyu8718
      @violetnasimiyu8718 Před 6 měsíci

      Ni kweli kabisa hajatoka huko yupo kwenye campaign ya kutafuta wafwasi maana free mason ukitoka wanachukua vitu vya kwao.

    • @stivanto8539
      @stivanto8539 Před 6 měsíci +1

      Facts he is still a member

    • @nelsonneeson620
      @nelsonneeson620 Před 6 měsíci +1

      The guy alikuwa na yupo lakini hadanganyi, now hawajamaa wameamua kujitangaza so wanawachukua watu akili kuwa ni rahsi kujiunga na kutoka pia inawezekana kutoka na mali ukabaki nazo uo niuongo kabsa, haiwezekani mtu kutoka na mali akabaki nazo.

  • @sipekato5249
    @sipekato5249 Před 6 měsíci +1

    Ww n mwanachamaa too pesa zote hizo unazitoa wapi enderea na biashara za lusferr

  • @FocusMzuma
    @FocusMzuma Před 6 měsíci +2

    Inaonekana kweli ametoka maana siri zote nje

    • @umutoniyvette8637
      @umutoniyvette8637 Před 5 měsíci

      Uongo
      Hakuna aliye achana n'a shetani
      N'a uka baki na mali yake
      Hata kama ulikuwa umefika hali yajuu kihasi gani
      Shetani Ana jirudishiya bitu yake viote
      Alafu yeye anasema ametoka afafu amebaki n'a Mali zote
      Uongo

  • @navukalunavatanzi6227
    @navukalunavatanzi6227 Před 5 měsíci +1

    Bado haja toka huyo

  • @user-vs5yi6sv8r
    @user-vs5yi6sv8r Před 5 měsíci +1

    Hamna acha uongo ww Bado upo freemason

  • @user-ks9im3cw1s
    @user-ks9im3cw1s Před 6 měsíci +1

    Aaa okey sasa vipi nikujie apa kenya

  • @user-hw4vw3yn4c
    @user-hw4vw3yn4c Před 6 měsíci

    Hongera samweli

  • @bushkayumba3301
    @bushkayumba3301 Před 6 měsíci +3

    Na kusalimia, bagui ilikua n'a mana kani?

  • @sirlimomari2633
    @sirlimomari2633 Před 2 měsíci

    Fuatilia na Angalia alivoanza kujing'ata ng'ata 19:33 usipoamini bado yupo ktk chama ni ww tu

  • @abdallahbalisesa
    @abdallahbalisesa Před 6 měsíci

    🎉🎉
    Achazakoapa jutudanganya ww