Mpeleke kwa Mchj Amaniel katekela ,sababu naye alisema alikuwa huko na alikuwa mchawi, anapatjkana promover tv Mungu amsaidie kijana huyu aokoke 100 percent. AMEN
Samuel Mungu akubariki Sana ! Asante Sana kwa kutufunulia haya ninachokuomba usije ukarudi kule hata akushawishi namna gani usithubutu siku ukirudi anakumaliza hapo hapo Kama Mungu alivyonavyo adui kwake tambua Hali kadhalika wewe Ni adui yake mkuu kwa sasa. Pia ushauri wangu usiwatembelee Sana hao marafiki zako shetani anaweza kuwatumia wakakuwekea hata sumu ili usiendelee kutoa Siri zake kuwa makini na Mimi nitakuombea Mungu akupe ulinzi wake muda wote wasikudhuru
Huyu kaka ajatoka freemason acha kumdanganya Mungu baba yako mwenywe ulimtoa kafala Na uliulizwa ukakataa hbr zako tunazo kutoka Kwa dada yako usitudanganye hapa
Tunajifunza kwa kuona , wote waliyojitoa freemason walifilisika wengine wanakuwa na magari yoote yanaanguka mengine yanaungua , huyo bila shaka kuna maoatano na shetani
Samuel nikijana mtaratipu sana , anaujumbe mingi ya kutwambia lakini bia anabita Kona kona mingi sana , kuna mambo bado anatuficha, kama mungu ako mbele yako atwambie ukweli bila kusita sita,atoboke atwambie yote ndio tujue hathari zaidi. Ama wenzagu vipi,kamanikusema sema kaka
Uonho mutupu Watu wote ambaho wameamua kuachana n'a shetani Vitu Viote ama utajiri wote una isha shetani Ana kunyaganya kila kitu ulicho kipata kwake Sasa yeye anaongeya kwamba amebaki n'a Mali yote Uyu Ana ongeya uongo
Hongera kijana Kwa kutoa watu kafara kwajili yakupata money hongera sana mnauwa watu kama kuku mungu anaupamba Kwa nguvu zake na nyinyi mnauwa hongereni jaman freemasons
Huyu kijana aliombewa kanisa Gani? Ni mchungaji Gani alimwombea? Akiwa na mali kama gari na nyumba Bado Ako ndani. He is just doing a Reversed Psychology and he is out to sell a certain Agenda.
Hakuna urafiki kwa watu wanaotoleana siri,Samweli amegundua NGUVU ya MUNGU against nguvu ya SHETANI.hivyo amejua shetani ni weak,Shetani mbele ya jina la yesu ni dhaifu,Hivyo mtu akishajua udhaifu wako basi umeisha.Huyu kijana kujua silaha za kumpinga na kumpiga IBILISI.Tangaza injili Samweli mtangaze KRISTO
Lakini mbona chuki ya bure kama una akili timamu na ujuzi wa kiroho utajua Kwa kweli anaongea ukweli.hasinge kuwa ametoka hasinge toboa siri.kwani unadhani shetani mtoto wewe...hasingekuwa ametoka hasinge msifia yesu na kuwaimiza mumwabudu mungu.amesema Kwa kinywa chake kwamba yesu ana nguvu sana dhidi ya shetani.
Unaongea uongo mwingi na Kuna namna unatudanganya juu ya hao wanaojiita watumishi WA MUNGU ili turudishe IMANI kwao, mwongo hatukuamini Wala hatuwaamini hao unaowapigia debe, nimekusikiliza sana hata hueleweki huna maajabu unajichanganya hovyohovyo
Kweli, unakumbuka alisema Lucifer alimwambia amletee watu wengi kutoka duniani, this young man is on a mission. Jesus grant us divine protection. Jesus, Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus fight all our battles
Micheline You are right, huyu kijana bado ni chombo cha shetani. May the LORD Jesus Christ open the blind eyes if they truly desire to see indeed, Amen.
Hivi huyo Lucifer unayemzungumzia ndo yule yule ambae alikua mbinguni kupigana na kina Gabriel ? Ndo mkae pamoja halafu aseme kama ulikua hutaki kumtoa father ako si ungesema tu 😂 hivi ni kweli we jamaa upo serious au sisi ndo hatukuielewa biblia jmn
Kwa ninavyojua wanachama wa lusifa hawezi kumtaja yesu hata wewe hujalitaja jina la yesuu naona bado haujaokoka ila umetafuta njia ya kujipatia pesa kupitia coment zetu .... Kama kweli umeokoka sema yesu kristo wa nazaret aliye haii
Wewe kijana acha kucheza na mungu mungu hawezi kukaa na mali ya shetani hata siku moja laiti kama ugekuwa umejitoa Mali hizo mungu angezipoteza as wewe bd unazo huo uongo
Wapendwa kuweni makini na huyu ni ajenti wa kuzimu mpaka sshv kazi yake ni kuwaunganisha watu na kuzimu kwa kuwashauri waende kawe na kwa Ezekiel ambapo hao wote ni mawakala wa shetani kwahyo angalieni mtu asiwadanganye yesu alituambia mapema mathayo24
Mutu asimpinge mungu anasiri mingi kumuhusu ibirisi maana yeye huja na kuiba kuaribu na kuua maybe aliiba mtoto mdogo ndio amuvundishe kwaaribu na sio mmocha so wacha mungu avichue yalio sirini watu wamutavute mungu kikweli Samuel mungu akuprotect sana umepata ukweli
I rebuke the devil in you in Jesus name, Samuel ajatoka freemason,angalieni anavyo ugoe na ishara za vidole zake ni freemason,anawanasa kupitia mutandao,kamua baba,kasema akumua, I cover all the viewers with the blood of Jesus Christ the son of the living God amen
Nimeanza kuwa na mashaka na hii story maana unajichanganya sana mwanzo wa story ulisema uliishia darasa la Saba sasa umesahau anasema uliishia darasa la nne ni makosa mengi unayafanya bila kujua.
Huyo kijana bado hajatoka Freemason. Hakuna uhusiano kati ya Giza na nuru. Then anapewa peasa na rafiki ako Freemason na ako tu comfortable. Bado kuna shida kwa Huyo kijana.
The guy alikuwa na yupo lakini hadanganyi, now hawajamaa wameamua kujitangaza so wanawachukua watu akili kuwa ni rahsi kujiunga na kutoka pia inawezekana kutoka na mali ukabaki nazo uo niuongo kabsa, haiwezekani mtu kutoka na mali akabaki nazo.
Uongo Hakuna aliye achana n'a shetani N'a uka baki na mali yake Hata kama ulikuwa umefika hali yajuu kihasi gani Shetani Ana jirudishiya bitu yake viote Alafu yeye anasema ametoka afafu amebaki n'a Mali zote Uongo
Una shiriki kanisagani,chini ya muchungaji mugani,weka watu wazi Samuel utafauli mission yako in Jesus name Amen
Mpeleke kwa Mchj Amaniel katekela ,sababu naye alisema alikuwa huko na alikuwa mchawi, anapatjkana promover tv Mungu amsaidie kijana huyu aokoke 100 percent. AMEN
Nimeyasikia yako mungu atakuruzuku kaka mwenyezi mungu akurinde nashari zawaurimwengu na itwa Asumani nitazidi kuku ombeya Aminq
Huyu kijana bado yuko Free maison. Historia yake ina sehemu inazungunzia uongo.
Bado anamfanyia lucifer kazi .
I cover my self with blood of Jesus christ Amen
Mmmh
Samuel Mungu akubariki Sana ! Asante Sana kwa kutufunulia haya ninachokuomba usije ukarudi kule hata akushawishi namna gani usithubutu siku ukirudi anakumaliza hapo hapo Kama Mungu alivyonavyo adui kwake tambua Hali kadhalika wewe Ni adui yake mkuu kwa sasa. Pia ushauri wangu usiwatembelee Sana hao marafiki zako shetani anaweza kuwatumia wakakuwekea hata sumu ili usiendelee kutoa Siri zake kuwa makini na Mimi nitakuombea Mungu akupe ulinzi wake muda wote wasikudhuru
Kweli umetoka Freemason
@@user-yy3xe8cx8ohakuna juk9 ndani sanaaa tena
Hongera sana kwakujitoa na MUNGU-YEHOVA anautajiri kuliko ibilisi mimi huwa naaamini
Huyu kaka ajatoka freemason acha kumdanganya Mungu baba yako mwenywe ulimtoa kafala Na uliulizwa ukakataa hbr zako tunazo kutoka Kwa dada yako usitudanganye hapa
Oy naona shetani anakulipa uje kutuletea wazimu
Unauwakika
Ukweli mtupu huyu yupo freemason bado
True hajatoma ni kutufunika tu macho
@@stivanto8539 we do b
uwezi ingia freemason afu eti utoke kizembe acha kudanganya watu kama ni Ivo wengi wangetoka
Samwel napenda sana mawaidha yako wanaosema ati samwel muongo basi hao wa hicho chama
Una akili wewe? Mtafute roho wa Mungu kakufundishe kutofautisha. Wewe mi mmoja wa vipofu vya kiroho.
Huyo bado yuko kwa hio chama asiseme huongo
Hicho chama saiz kimekuwa cha kawaida sana halafu uongo mwingi sana
Muongo huyu jama ona sura ngumu kaama ngumi shenzi kwelikweli 😊
Haaaaaaa we jamaa kwamba umeamua umuchane dogo cyo haya mkuu nmekubal
I don't know why but I have a strong feeling kwamba Kuna kauongo mahali.
Am with you hawa watu wanamwaribia jina Ezekiel mbona si mwingine kila mtu ni Ezekiel
Tunajifunza kwa kuona , wote waliyojitoa freemason walifilisika wengine wanakuwa na magari yoote yanaanguka mengine yanaungua , huyo bila shaka kuna maoatano na shetani
Uyusamweli ajatoka uko anatudanganya mbona wengine wakotoka hua wana chukuliwa malizote imekuaje samweli wamuachie malizake mchunguza sana uyo kijana
Samuel nikijana mtaratipu sana , anaujumbe mingi ya kutwambia lakini bia anabita Kona kona mingi sana , kuna mambo bado anatuficha, kama mungu ako mbele yako atwambie ukweli bila kusita sita,atoboke atwambie yote ndio tujue hathari zaidi. Ama wenzagu vipi,kamanikusema sema kaka
Kabisi😅
Samweli mm ninazidi kukufatiria kwenye mtandao
Asante kaka,Mungu akubariki unasaidia wengi
Huwezi kuongea vitu vyote hii ni tasisi ya siri kuna vingi haitakiwi uvijue ukisema wanakufatilia kuna sku ukijasahau kidogo wanakuua
Samuel mjinga mkubwa bd ajtok freemason we umbwa ushauw bab yak muzaz wacha kudanganya mung
Wewe unayemhoji na huyo Muongo wote mi kitu kimoja mnatupotezea muda ,wa kufanya mambo ya maana tukae kusikiliza utopolo wako huo. Hovyooo,
Kama ni ukweli huyu kaka ashatoka kwenye hiyo chama mbona bado anaficha mambo mengine????
Rudia mungu wewe, uwache uongo
Uonho mutupu
Watu wote ambaho wameamua kuachana n'a shetani
Vitu Viote ama utajiri wote una isha shetani Ana kunyaganya kila kitu ulicho kipata kwake
Sasa yeye anaongeya kwamba amebaki n'a Mali yote
Uyu Ana ongeya uongo
Mali ya shetani haiingii kwa kristo,ukiacha shetani ,acha na mali yake,Jehova Halinganishwi, wakristo tuwe macho
Professional agent kuweni makini anajichanganya changanya in short ni muongo
Huyu muongo anawadanganya vijana wajiunge huyu bado yupo huko
Hongera sana we kijana mungu akubariki😮😮😮
Mh! Sijui lakini MUNGU ndiye ajuaye ikiwa nikweli ushuhuda huu uafundisha Sana lakini Kama sikweli basi ndugu watazamaji jifunzeni kitu happy...👆
Hongera kijana Kwa kutoa watu kafara kwajili yakupata money hongera sana mnauwa watu kama kuku mungu anaupamba Kwa nguvu zake na nyinyi mnauwa hongereni jaman freemasons
Huyu kijana aliombewa kanisa Gani? Ni mchungaji Gani alimwombea? Akiwa na mali kama gari na nyumba Bado Ako ndani. He is just doing a Reversed Psychology and he is out to sell a certain Agenda.
Yes you are right.
Facts
Kama uyu samueli ashaachana na lucifer kwa nini hapendi kurudisha mali yake ? Samueli sema kweli kama wewe si mutu wa lucifer
Kama uyu samueli ashaachana na lucifer kwa nini hapendi kurudisha mali yake ? Samueli sema kweli kama wewe si mutu wa lucifer
Mimi ni nashukuru sana kwa ushuhuda zuri Sana napenda Sana huyu kijana kwa kupenda mungu kwa roho yake yote
Kwa mtu ambae amemskiliza kwa umakini kabisa atagundua kua huyu jamaa bado hajatoka.
Kuna Kitu Bado sijagundua
Hakuna urafiki kwa watu wanaotoleana siri,Samweli amegundua NGUVU ya MUNGU against nguvu ya SHETANI.hivyo amejua shetani ni weak,Shetani mbele ya jina la yesu ni dhaifu,Hivyo mtu akishajua udhaifu wako basi umeisha.Huyu kijana kujua silaha za kumpinga na kumpiga IBILISI.Tangaza injili Samweli mtangaze KRISTO
Hiyo ni kweli kabisa. Bado shetani anamutumikia huu samuel. May the LORD Jesus Christ find the lost if truly they desire to be found, Amen.
He is still there
Yeye ni agent
Huyu Bado hako huko.
Huyuu Jamaa Kaja kutoa siri? au Kaja kututamanisha tujiunge na Chama chake......😅
Kaja kuwatamanisha mjiunge huyu hajatoka aisee na anaringia kuwa uko. Hata hao marafiki wanapatkanaje.
Huyu bado huko free mason hache kutanganya watu hili wanjihunge stop that big liar
Kaka apo una2danganya huo niongo kabisa yaan we bado ukofrimason ila unataka kujificha
Lakini mbona chuki ya bure kama una akili timamu na ujuzi wa kiroho utajua Kwa kweli anaongea ukweli.hasinge kuwa ametoka hasinge toboa siri.kwani unadhani shetani mtoto wewe...hasingekuwa ametoka hasinge msifia yesu na kuwaimiza mumwabudu mungu.amesema Kwa kinywa chake kwamba yesu ana nguvu sana dhidi ya shetani.
Wewe Wacha chuki.kama yesu mwenyewe ashamsamehe wewe nani?
kaka nakuliza Rohani akokwalushifa ama kwa mungu
Unaongea uongo mwingi na Kuna namna unatudanganya juu ya hao wanaojiita watumishi WA MUNGU ili turudishe IMANI kwao, mwongo hatukuamini Wala hatuwaamini hao unaowapigia debe, nimekusikiliza sana hata hueleweki huna maajabu unajichanganya hovyohovyo
Uyu angaliki nanguvu za Ki frimanson, na mission ya Anatafuta watuu WANADAMU KUWENI MAKINI 😢
Safi sana
Kweli, unakumbuka alisema Lucifer alimwambia amletee watu wengi kutoka duniani, this young man is on a mission. Jesus grant us divine protection. Jesus, Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus Jesus fight all our battles
@@lenymutisya9714
You have seen well (Jeremiah 1:12)
May the LORD Jesus Christ open the blind eyes so that they may see the truth, Amen.
Micheline
You are right, huyu kijana bado ni chombo cha shetani. May the LORD Jesus Christ open the blind eyes if they truly desire to see indeed, Amen.
Hatari sana na bado wajinga wanamtetea akiwapotosha wengine. Akili za watu hutofautiana
Ujatoka bwana uko kwenye holiday tu😂😂😂😂😂
Jamaa anatudanganya huyu ndo anatupoteza kabisa😮😮
Umedanganya bwana.lutifa.alikutuma.umutafutie wateja waende.kule.minaitaji.niende.huko nipate maisha namimi
Hivi huyo Lucifer unayemzungumzia ndo yule yule ambae alikua mbinguni kupigana na kina Gabriel ? Ndo mkae pamoja halafu aseme kama ulikua hutaki kumtoa father ako si ungesema tu 😂 hivi ni kweli we jamaa upo serious au sisi ndo hatukuielewa biblia jmn
Ndio huyu moja kweli
Mungu hazihakiwi.naona bado,haujaashe vizuri ,Mali yake igemalizika h
Mi,naona kama ww ni wakala wa lusifa pia,maana umeelekeza na makanisa yenu uanpo patikana, kimtazamo hujatoka,
Kwa ninavyojua wanachama wa lusifa hawezi kumtaja yesu hata wewe hujalitaja jina la yesuu naona bado haujaokoka ila umetafuta njia ya kujipatia pesa kupitia coment zetu .... Kama kweli umeokoka sema yesu kristo wa nazaret aliye haii
Frimasoon hayupo ni utapeli na uongo tuu
Wewe kijana acha kucheza na mungu mungu hawezi kukaa na mali ya shetani hata siku moja laiti kama ugekuwa umejitoa Mali hizo mungu angezipoteza as wewe bd unazo huo uongo
Mimi hta ameanza kunibo na uongo zake 🤣😭🤣🤣
Wapendwa kuweni makini na huyu ni ajenti wa kuzimu mpaka sshv kazi yake ni kuwaunganisha watu na kuzimu kwa kuwashauri waende kawe na kwa Ezekiel ambapo hao wote ni mawakala wa shetani kwahyo angalieni mtu asiwadanganye yesu alituambia mapema mathayo24
Mutu asimpinge mungu anasiri mingi kumuhusu ibirisi maana yeye huja na kuiba kuaribu na kuua maybe aliiba mtoto mdogo ndio amuvundishe kwaaribu na sio mmocha so wacha mungu avichue yalio sirini watu wamutavute mungu kikweli Samuel mungu akuprotect sana umepata ukweli
Hakuna ushirikiyano ya Mwanga na Giza. Kwa nini awe na wa shiriki tena?? Na yeye si wao tena??? Jamaani atusaidiye nasi tusi je tuka jaribiwa. Asante
I rebuke the devil in you in Jesus name, Samuel ajatoka freemason,angalieni anavyo ugoe na ishara za vidole zake ni freemason,anawanasa kupitia mutandao,kamua baba,kasema akumua, I cover all the viewers with the blood of Jesus Christ the son of the living God amen
Kama kijana katoka freemason. Mwana habari tafadhali tumia neno "aliye kua amejiunga, badala ya 'aliye jiunga" yapendeza MUNGU atukuzwe Amina.
Nimeanza kuwa na mashaka na hii story maana unajichanganya sana mwanzo wa story ulisema uliishia darasa la Saba sasa umesahau anasema uliishia darasa la nne ni makosa mengi unayafanya bila kujua.
Hujajenga kwa jasho lako Ni jasho la shetani. Ilikuwa masikini hataari ujenge nyumba kusemaje
Dah uyu ni ela tu anatafta haiwezekani kurudisha pete na kubaki na ela za freemeson
Jaman wapendwa inavyoonesha kuwa ametoka mana anatoa sir nying sana against Lucifer
Huyu anadanganya ndio watu wajue si yeye alimuua babake , nonsense guy,, wewe endelea na freemason kitakuramba broo
Usiongope kutoa ushuhuda iwapo umekombolewa na Yesu,,He has power than the devil,,kwa uhakika jitoe zaidi kwa Mungu
Hongera mtumishi nimungu tuu amekutoa emen
That man is still there
May God to continue applifting you bro
Huyo kijana bado hajatoka Freemason. Hakuna uhusiano kati ya Giza na nuru. Then anapewa peasa na rafiki ako Freemason na ako tu comfortable. Bado kuna shida kwa Huyo kijana.
Akili mingi
Samuel nimuhongosana yupondani ya freemancons !
Pole ndiomana bibliya imeandikwa usitamani Mali yajilani yako maana ujui kaipataje
Wewe kijan huna akili
Sidhani kaa ametoka coz bado anasema Kuna Siri zingine hatoboi😮😮
Huyu kijana ni muwongo
Mungu akubariki
Kwanza alidanganya kwamba alikataa kumuua baba yake wakati baba yake alifariki ,
Kijana huyu hasemi ukweli.Anadanganya.Bado yuko huko kazi yake ni kupotosha watu.Hii story haina sense.
Yesu kiboko ya shetani
Ww kina punguza Bangi..hizo n story za Jaba huku kenya
Acha uongo ww umetoka masonic afu una2mia Mali zao au viongozi wako wa dini Wana damu finyu kama Yako au?
Mbona unawaficha hao watumishi was shetani wafichue kwani bado wewe ni mmoja wao
Huyo bado yupo free mason
Bado yupo freemason 💯💯
Kabisa bado argent lkn Kwa sasa anataka kutuamisha kuwa unaweza kuingia na kutoka na mali ukawanazo
@@mashramadhani1989kwahy ni uongo kwamba ukiingia ndo imeisha
Hongera kaka
Kunguru na mwewe ni marafiki ???😂😂😂
Lakini Lord Samwel di bado anampelekea yule Boss LUSFA wao vitoto vichanga ?
Umetoka , na watu wa frimasoni wanakupatia hela na unapokea, na unajuwa zinatoka wapi
Upo good San nimekubal naomb tuonane
Regesha vitu vya freemason ukuwe huru bila hivyo bado hujatoka my dear nimependa ushuhuda wako 😢😢😢😢
Chama cha frimason kama siyo bongo chipowap
Kama bado yuko kwa hiyo chama MUNGU atamnyoosha
Wewe muongo kenge bado upo ujatoka
Nakusihi sana uende nyumbani ukaunganike na familia yako hasa Mama usiendelee kumtia masononeko. Chonde chonde
Unamjua nn jamaa
Tapeli huyu.Hakuna Freemason Mjinga mjinga kama huyu.Huyu ni Mambo ya WAGANGA wa Jadi ndo yamempa pesa.
Hajatoka angeshuhudia
Ambiya ulekaka atafute mungu nimi nichristophe kutoka congo
Kazana ukae kwa mungu muumba mbigu na nchi Safar bado ni mdefu chukua tahadali
Kijana ni muongo sanaaa huyuu ata freamason hajawai kuwepo😂 anatafuta wa kuwapiga za uso
Amina
Hawa matapeli kama matapeli wengine wanajitafutia pesa ili waish vizuri wawaibie watu
Mi kiukwel Bado napata ukakasi hapa kwenye kuonana na mungu
Mungu ndie muamuzi wa yote bado yupo ametoka akuna anaejua zaidi ya mungu wetu halie hai
Huyu hajatoka huko ,so long as uko na vitu vya freemason.tena unaonekana mtu.mwenye maringo bado,na and hes hinding alot .
Ni kweli kabisa hajatoka huko yupo kwenye campaign ya kutafuta wafwasi maana free mason ukitoka wanachukua vitu vya kwao.
Facts he is still a member
The guy alikuwa na yupo lakini hadanganyi, now hawajamaa wameamua kujitangaza so wanawachukua watu akili kuwa ni rahsi kujiunga na kutoka pia inawezekana kutoka na mali ukabaki nazo uo niuongo kabsa, haiwezekani mtu kutoka na mali akabaki nazo.
Ww n mwanachamaa too pesa zote hizo unazitoa wapi enderea na biashara za lusferr
Inaonekana kweli ametoka maana siri zote nje
Uongo
Hakuna aliye achana n'a shetani
N'a uka baki na mali yake
Hata kama ulikuwa umefika hali yajuu kihasi gani
Shetani Ana jirudishiya bitu yake viote
Alafu yeye anasema ametoka afafu amebaki n'a Mali zote
Uongo
Bado haja toka huyo
Hamna acha uongo ww Bado upo freemason
Aaa okey sasa vipi nikujie apa kenya
Hongera samweli
Na kusalimia, bagui ilikua n'a mana kani?
Fuatilia na Angalia alivoanza kujing'ata ng'ata 19:33 usipoamini bado yupo ktk chama ni ww tu
🎉🎉
Achazakoapa jutudanganya ww