Haya yote ni kutafuta kiki tu! Samweli wala sio freemasoni, wanatunga tu haya, hata ye anatungaga maneno na kuleta story! Freemason huwezi kuingia afu ukatoka krahisi na ukaendelea kutamba ukiwasema, freemason sio kanisa! Ukasaliti umeisha! Hata ukipona mali zao watachukua, freemason nani alimpeleka mtoto mdogo hivo?
Heri kuteswa na Mwenyezi Mungu kuliko kuwa napesa zahanasa.hazina faida
Mmi nlijuwa kuwa nmuongo samweli kwa wachungaji anaowaongea Sio wa Mungu but yye anasema niwazuri
Anaonekana alikua ameogwa
Nikumtegemea mungu tu
Mimi nimemskia sana huyo samweli nimtoto amekobolewa ma Mungu kutoka huko kwa Lusifa mimi na jua watakobowela wengi Go on Samweli
Mungu shusha ule moto uliomshushia Elia ili watu wajue upo
Mbona mnamkejeri sana hakuna Aliye kamilifu mbere zangu sawa mama
Hapana simuoko kilakitu mungu Anapanga utakuwa hivi ndivyo hutokeya ndomaana huwezi ukayajuwa yakesho semeni ukweli?
Sawa amekoseya lakini msamaha nimhimu
Poleni Sana
Pole
Wow
Samweli mm nilihisi kuwa yeye ni mpotoshaji sana
Kumbe awa nimbwa samwel anasema alikuwa.daa anachoma chps
Pole😢😢😢
Heeeee
🤔🤔🤔
Heeee jmn
Haya yote ni kutafuta kiki tu! Samweli wala sio freemasoni, wanatunga tu haya, hata ye anatungaga maneno na kuleta story! Freemason huwezi kuingia afu ukatoka krahisi na ukaendelea kutamba ukiwasema, freemason sio kanisa! Ukasaliti umeisha! Hata ukipona mali zao watachukua, freemason nani alimpeleka mtoto mdogo hivo?
😂 nyie ni wangese tu.
Kweli ni ngese iyo😂😂😂
Jamani ohhh😳😭😭
Aise poleni sana
Da jamani😂😂😂😂
Nyie niwaongo tuu