Part 1_USHUHUDA WA MWALIMU ALIYEKUWA FREEMASON NA BAADA YA KUJITOA AKAPEWA MASAA 72 YA KUISHI
Vložit
- čas přidán 19. 03. 2021
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/Cm8cBgjxQhM...
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp.com/KOzwX8N7rqy...
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/EhBM3Od8c1B...
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Waah heri kufa maskini nikiwa ndani ya kristo yesu
Wana wa Mungu, duniani mna dhiki lakini nina waambieni mjipe moyo. Tuvumilie kwa safari katika Jina la Bwana Yesu.
EMANUEL ...namuomba ALLAH akupe nguvu na afya uendelee kuongoza watu kataika njia ya sawa wewe ni mtu muhimu sana AMIN AMIN AMIN
YESU ANAOKOA
Duniani kuna mambo ya ajabu jamani. Mungu Awabariki Promover tv 📺. Jacktan Barikiwa sana
Mimi huwa siamini nielekeze sehemu hiyo nikathibitishe nami nikapate cha kusimulia kwani TZ pekee ni nchi inayoshangaa sana hbr ya Philimasonic wakt uingereza USA na nchi za NATO Philimason ni kawaida kwao na wanaalika watu kusherekea sawa na Harusi unavyoalikwa na kadi zao.
Part two please usitugawishe jama anajieleza vizuri kabisa na kukanya watu mungu akubariki kaka
Asante kwa kutufunulia siri
Thanks for sharing this testimony to God be the glory sikujua promover TV iko na mafunzo mengi hivi
Nasubiri kwa hamu part 2
Mungu akutie nguvu kwakurudi kwenye Nuru ya kweli,Wewe Sasa unatufunza kwamba tusiipende dunia na Fahari yake,Barikiwa Sana hawak u wezi hao Mapepo😅😅😅
Barikiwa na Bwana YESU ALIE HAI ushuhuda mzuri sana
Mungu Hamjaribu mtu yeyote ni tamaa zetu za mwili ndio tunageuka ushuhuda wa BWANA
Amen mtumishi wa mungu unasema ukweli kabisa mungu akakubariki sana sana
Thank you Jesus
No doubt huu ushuhda n kwel kabs,asante kwake Mungu,kaka jack ubarikiwe
Wazazi tuwape watoto wetu majina mazuri.
Kahama pana shuhuda za hatarii!! Barikiba mtumishi wa Mungu.
Huu ushuuda ni wakujenga sana tuzidi kumtegemea Mungu licha ya mapito atatengeza njia
Hizo sehemu zenye madini ,migodi ya dhahabu in hatari kwa mambo ya Giza! Maana watu wanashindana kimaisha!