Part 1_USHUHUDA WA MWALIMU ALIYEKUWA FREEMASON NA BAADA YA KUJITOA AKAPEWA MASAA 72 YA KUISHI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 03. 2021
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
    1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/Cm8cBgjxQhM...
    2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp.com/KOzwX8N7rqy...
    3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/EhBM3Od8c1B...
    Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
    #ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Komentáře • 168

  • @leydaihal9332
    @leydaihal9332 Před 2 lety +6

    Waah heri kufa maskini nikiwa ndani ya kristo yesu

  • @roselineatamba916
    @roselineatamba916 Před 3 lety +17

    Wana wa Mungu, duniani mna dhiki lakini nina waambieni mjipe moyo. Tuvumilie kwa safari katika Jina la Bwana Yesu.

  • @jjarawajjarawa7386
    @jjarawajjarawa7386 Před 2 lety +6

    EMANUEL ...namuomba ALLAH akupe nguvu na afya uendelee kuongoza watu kataika njia ya sawa wewe ni mtu muhimu sana AMIN AMIN AMIN

  • @aminaally4163
    @aminaally4163 Před 3 lety +14

    YESU ANAOKOA

  • @tamaraeliz7114
    @tamaraeliz7114 Před 3 lety +13

    Duniani kuna mambo ya ajabu jamani. Mungu Awabariki Promover tv 📺. Jacktan Barikiwa sana

  • @a.j.m9740
    @a.j.m9740 Před rokem +1

    Mimi huwa siamini nielekeze sehemu hiyo nikathibitishe nami nikapate cha kusimulia kwani TZ pekee ni nchi inayoshangaa sana hbr ya Philimasonic wakt uingereza USA na nchi za NATO Philimason ni kawaida kwao na wanaalika watu kusherekea sawa na Harusi unavyoalikwa na kadi zao.

  • @biblianenolaukweli5616
    @biblianenolaukweli5616 Před 3 lety +11

    Part two please usitugawishe jama anajieleza vizuri kabisa na kukanya watu mungu akubariki kaka

  • @lilymwashumbe4890
    @lilymwashumbe4890 Před rokem +3

    Asante kwa kutufunulia siri

  • @miria659
    @miria659 Před 2 lety +5

    Thanks for sharing this testimony to God be the glory sikujua promover TV iko na mafunzo mengi hivi

  • @egospeltz9486
    @egospeltz9486 Před 3 lety +11

    Nasubiri kwa hamu part 2

  • @simonliwawa864
    @simonliwawa864 Před rokem +1

    Mungu akutie nguvu kwakurudi kwenye Nuru ya kweli,Wewe Sasa unatufunza kwamba tusiipende dunia na Fahari yake,Barikiwa Sana hawak u wezi hao Mapepo😅😅😅

  • @servantofalmightygoddranth2511

    Barikiwa na Bwana YESU ALIE HAI ushuhuda mzuri sana

  • @xiwuyan457
    @xiwuyan457 Před 3 lety +13

    Mungu Hamjaribu mtu yeyote ni tamaa zetu za mwili ndio tunageuka ushuhuda wa BWANA

  • @emilynekesa4476
    @emilynekesa4476 Před 3 lety +7

    Amen mtumishi wa mungu unasema ukweli kabisa mungu akakubariki sana sana

  • @JuliasRanga-dd8zn
    @JuliasRanga-dd8zn Před rokem +5

    Thank you Jesus

  • @ivonaevarista4654
    @ivonaevarista4654 Před 3 lety +3

    No doubt huu ushuhda n kwel kabs,asante kwake Mungu,kaka jack ubarikiwe

  • @flourishing_wilderness6072

    Wazazi tuwape watoto wetu majina mazuri.

  • @rmaryp6269
    @rmaryp6269 Před 3 lety +5

    Kahama pana shuhuda za hatarii!! Barikiba mtumishi wa Mungu.

  • @Joyjoy-ym6th
    @Joyjoy-ym6th Před rokem +1

    Huu ushuuda ni wakujenga sana tuzidi kumtegemea Mungu licha ya mapito atatengeza njia

  • @elizabethchiwamba8372
    @elizabethchiwamba8372 Před 3 lety +7

    Hizo sehemu zenye madini ,migodi ya dhahabu in hatari kwa mambo ya Giza! Maana watu wanashindana kimaisha!