MCHAWI AKIRI KUMLA MTOTO WAKE MWENYEWE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 10. 2022

Komentáře • 147

  • @user-jt4gd8wt8z
    @user-jt4gd8wt8z Před 9 měsíci +1

    Yesu kristu Mungu mkuu akupake mafuta matakatufu tele naakulinde kwakila tukio kazi iyo ningumu sana ubarikiwe baba kuhani Musa kwayote

  • @user-np4nv7cv3k
    @user-np4nv7cv3k Před 7 dny

    Bwana yesu asifiwe mtumishi naomba maombi yako

  • @user-jl2jg2dt1i
    @user-jl2jg2dt1i Před 14 dny

    Mtumishi yesu atukuzwe naitwa joyce naomb uniombee

  • @salmaayoub-p3t
    @salmaayoub-p3t Před 2 dny

    Mungu akulinde kuhani musa mtumish wa mungu

  • @josephobegi
    @josephobegi Před rokem +1

    Watching from kenya Nairobi

  • @alvinemmanuel8431
    @alvinemmanuel8431 Před 2 měsíci +1

    Baba lao hakika upo mmoja tu Tanzania hiiiiiiiiiiii ni motooooo

  • @anthonykiwia1997
    @anthonykiwia1997 Před rokem

    Amen na nyota yangu irudi na ing'aee katika jina la Yesu Amen

  • @peninalazaro8704
    @peninalazaro8704 Před rokem +1

    Yesu was ngomeni naomba mungu anitendee watesi wakat moto wanantesa San naamini ngome itatend

  • @user-vt3mo2gy1t
    @user-vt3mo2gy1t Před 10 měsíci

    Na mungu azidii kukubariki katika jina la yesu atakurudia kuwa na imani yako utafungliwa

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 Před rokem

    Pole sana kuhani kazi hii ngumu Sana Mungu akusaidie sana

  • @sisterzumba9718
    @sisterzumba9718 Před rokem +3

    Mchungaji naomba uniombee baba

  • @BalagiziFikirinathanaeli

    Mungu wako atushurukiye nasi

  • @philemonichitinya4682
    @philemonichitinya4682 Před 11 měsíci

    Bwana yesu tusaidie xan tunaomb maisha malef kwa kuhan wetu

  • @silviahnyakeri2891
    @silviahnyakeri2891 Před rokem +2

    Wanafaa kusema katika jina la yesu

  • @KhadijaMhenangu
    @KhadijaMhenangu Před 6 měsíci

    Barikiwa baba kwa kazi unayofanya

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 Před 3 měsíci +3

    Wapangeni vizuri siku nyingine 😂😂😂 mana uyo nikama kala pesa za bure tu alaf kaja kuzengua mbele

    • @alvinemmanuel8431
      @alvinemmanuel8431 Před 2 měsíci +1

      Wewe unacho andika ukielewi. Ata wewe upo kwenye kifungo Sanaa

    • @mwinyihabiba366
      @mwinyihabiba366 Před měsícem

      usikariri ndugu. sio kila mtu yupo kimaslahi. nenda kanisani kwake siku moja ukashuhudie utukufu wa Mungu

    • @OLIVERMBWILO-fx6cy
      @OLIVERMBWILO-fx6cy Před 29 dny

      Pole YAKO wewe

  • @emmanuelkilembe8366
    @emmanuelkilembe8366 Před rokem

    Dah , watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa! Hivi hizi si ndo ramli chonganishi ?
    mdada analazimishwa mbele ya umati wa watu jamani bila. Unamchonganisha huyu biti na Bibi yake mzaa Baba.. SerikaLI IKO KIMYA Bado. Najua anguko la kuhani Musa linakuja, Mungu hata nyamaza juu ya tabili chonganishi namna hii... Hongeni sana ila siku inakuja mtajua kuwa Mungu hachezewi.

  • @SmilingJellyFish-vf6xy
    @SmilingJellyFish-vf6xy Před 6 měsíci

    Gomen,,gomen. ,,gomeeen. ,😮niyesu anaongoz wenye
    Baba
    Musa
    Balikiwa mungu
    Alinde watito. Wako
    Tunachu.jru. Pasta etu
    Amiiina

  • @AdamKina
    @AdamKina Před 2 měsíci

    Mungu akulinde maombi yake mchungaji

  • @JaphariOmary
    @JaphariOmary Před 5 měsíci

    Bwana yesu asifiwe mzee anaumwa pumu miaka saba haponi naomba kujua tatizo mtume

  • @RabieGerard
    @RabieGerard Před rokem

    Nabii naomba maombi naota sana ndoto za manyoka makubwa pia mdada wa kazi simuelewielewi naomba nifunguliwe maanq mume wangu anamuotea vibaya ndoton

  • @mariamumasudi2970
    @mariamumasudi2970 Před rokem

    Amena ngomeni nyota yangu unarudi kwa damu ya yesu

  • @user-kb1xf9cu6x
    @user-kb1xf9cu6x Před měsícem

    Bwana yesu asifiwe naomba niombee nina tatzo kweny koo nikienda hospital napima hakun kitu 😢😢

  • @anthonykiwia1997
    @anthonykiwia1997 Před rokem

    Mchungaji naomba uniombee dhidi ya nguvu za Giza na nyota yangu ing'aee Amina

  • @HidayaHidayajuma-vt3jr
    @HidayaHidayajuma-vt3jr Před měsícem

    Amina

  • @JaphariOmary
    @JaphariOmary Před 5 měsíci

    Mtume naomba umuombee mzee wangu mohamed mwamlima anaumwa pumu kila cku halali mpaka achome sindano

  • @EutropiaMlay
    @EutropiaMlay Před 29 dny

    Nisaidie mtumishi mama yangu anateseka hana kumbukumbu

  • @bienfaitmugisho62
    @bienfaitmugisho62 Před rokem +1

    Mungu aku tiye ngufu

  • @GGg-mi6uy
    @GGg-mi6uy Před 11 dny

    Mchungaji wabalaka zamung namimi nakusii uniombea nafamilia yang tuk namatatiz meng sana ukuburumdi

  • @daynesspatrick824
    @daynesspatrick824 Před rokem +1

    Yesu akulinde kuhani wetu kazi uliyopewa ni ngumu sana

  • @rosemarymathew9215
    @rosemarymathew9215 Před rokem

    Bwana yesu asifiwe wapendwa napenda kuja ibada ya chumvi na msalaba mnijylishe

  • @josephobegi
    @josephobegi Před rokem +1

    Powerful

  • @InnocentBorderCollie-jc4ig
    @InnocentBorderCollie-jc4ig Před 2 měsíci

    Mtumishi nahitaji maombi nipate mume sahihi wakuniowa kwa ndoa na awe mtaftaji mwenye pesa

  • @InnocentBorderCollie-jc4ig
    @InnocentBorderCollie-jc4ig Před 2 měsíci

    Bwana yesu kristo atukuzwe wana ngomeni

  • @FORTUNATAFIDELISI
    @FORTUNATAFIDELISI Před 3 měsíci

    Yesu kristo wa nazaleti! Naomba uniombee nimefungwa sipati mtu mwenzangu! Usingle mather nimeuchoka!

  • @user-es7ln4dj6n
    @user-es7ln4dj6n Před 10 měsíci +1

    Naomba uniombee nipone h l v

  • @coletasilayo8771
    @coletasilayo8771 Před rokem +1

    Amina.hataree

  • @isakalupia891
    @isakalupia891 Před rokem +1

    Tuombee sana baba

  • @daynadiny3791
    @daynadiny3791 Před rokem

    Amen baba namimi vicua nakwangu

  • @ludaomaina6088
    @ludaomaina6088 Před rokem

    Ninaomba uombe familia yetu🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇸🇦

  • @sofiajohn4062
    @sofiajohn4062 Před rokem +1

    Mungu apewe sifa

  • @rubenmangoli5035
    @rubenmangoli5035 Před rokem +1

    Barikiwa

  • @rastamabuki1768
    @rastamabuki1768 Před rokem +1

    Huyo hamjampanga vizuri leo mbona haeleweki mnamlazimisha akubali

  • @AishaJambia-wi7ur
    @AishaJambia-wi7ur Před měsícem

    Nakushukur baba maombi yako yamenifungua baba

  • @YusuphKulwa
    @YusuphKulwa Před 3 měsíci

    Mimi nishida nyumbani kaka zangu wanaimba nyimbo mbaya naomba uwaombee

  • @user-ff6ru5fd3r
    @user-ff6ru5fd3r Před 6 měsíci

    N'a nufataka Lila Siku baba Niko congo

  • @babyte-lp9me
    @babyte-lp9me Před rokem

    Eeeh kwelii ni kuhani na kaz ya mungu unaifanya kwelii

  • @bahatikilonzo7218
    @bahatikilonzo7218 Před měsícem

    Mtumishi naomba uniombee nipone tumbo

  • @neemamwihava8191
    @neemamwihava8191 Před měsícem

  • @AishaJambia-wi7ur
    @AishaJambia-wi7ur Před měsícem

    Kupitiy madhanahu yangome ya kuani musa

  • @addymsola4625
    @addymsola4625 Před rokem +2

    Wakate moto

  • @OzonMwangosi
    @OzonMwangosi Před 4 měsíci

    Naomba namba mtumish wa mungu ninashida

  • @cecilendayishimiye8548

    Hhhhh kabisha weeee , badala kanaswa .

  • @JaphariOmary
    @JaphariOmary Před 5 měsíci

    Mungu apewe nguvu

  • @MaryMseswa
    @MaryMseswa Před měsícem

    Nabii naomba msaada wako

  • @mwanaiddi9660
    @mwanaiddi9660 Před rokem

    hivi unaweza kua mchawi bila kujua

  • @NuruNurufrances-fy2vn
    @NuruNurufrances-fy2vn Před 5 měsíci

    Baba kuhani samahani naitwa Beatrice nna tatizo kwenye kitovu naomba maombi yako nipone mimi na familia yangu

  • @user-nb6mq6vl7g
    @user-nb6mq6vl7g Před 10 měsíci

    Nimimi eme wenge hapa,Uganda,papa oniwombeye,magonzwa,inanisumbuwaku roh

  • @gisttya8416
    @gisttya8416 Před rokem

    Amen👏👏👏👏

  • @joshuamollel2105
    @joshuamollel2105 Před rokem +1

    Ee Mungu terehemu

  • @EVERGREENMOSES
    @EVERGREENMOSES Před 6 měsíci

    Amina, mwi, Israeli wetu

  • @benganabenjamin3304
    @benganabenjamin3304 Před rokem

    Yesu tusaidiye wa toto wetu watoke ndani ya chama icho

  • @EugenieOmba
    @EugenieOmba Před 2 měsíci

    Mutumishi niko congo nafataka maombi yako naomba namba yenu ya WhatsApp

  • @monikajuma9012
    @monikajuma9012 Před 9 měsíci

    Esu wa ngomeni naomba watoto wangu wafunguliwe

  • @dollohkumwenda2861
    @dollohkumwenda2861 Před rokem

    Pastor God bless you and give you long life

  • @user-vq1ln8xx4j
    @user-vq1ln8xx4j Před 4 měsíci

    Mchungaj naomba unisaidie Kuna kit kina nitembea mgongon na miguu inawaka moto naomb kusaidiwa

  • @hassanzuber
    @hassanzuber Před 2 měsíci

    Baba kuhani Mimi nimepata ajali tangu mwezi wa pili hadi leo cponi nisaidie nisaidie jamani

  • @user-xt8pr8ju3e
    @user-xt8pr8ju3e Před 4 měsíci

    Niombee na mm baba nifanikiwe wachawi waniepuke

    • @aminajuma1156
      @aminajuma1156 Před 4 měsíci

      Bila ya kukimbilia kuombewa hata wewe pia Mungu wako hajashindwa kaa chini Soma neno la Mungu vizur

  • @atunowa
    @atunowa Před 5 měsíci

    Mtumishi naomba uniombee nasumbuliwa sana na wachawi

  • @barbraosh8491
    @barbraosh8491 Před rokem

    May God intervene

  • @PriscaRashidi-um4tz
    @PriscaRashidi-um4tz Před měsícem

    naomba maombiyako baba

  • @happyeusebius3407
    @happyeusebius3407 Před rokem +1

    Wakate motooooooo

  • @mbarakajuma4640
    @mbarakajuma4640 Před rokem

    Aminaaaa 🙏🙏

  • @yeshuruniirakozealainlion-5983

    AMENA AMENA AMENA AMENA AMENA AMENA AMENA

  • @SmilingJellyFish-vf6xy
    @SmilingJellyFish-vf6xy Před 6 měsíci

    Anaguchezeya. Hakili ?!
    Baba tunaguchukuru kwa
    Maombi yote
    Tunawona
    Kwenye
    MutNdawo.
    Baba kabisa nachukuru
    Saana

  • @KilimanjaroPalaceHotel-fl3tc

    Mmmmh

  • @carolinewakesho273
    @carolinewakesho273 Před rokem

    Pray for me apostle

  • @AminaNasoro-gi6sy
    @AminaNasoro-gi6sy Před 5 měsíci

    Balikiwa baba nione namimi

  • @user-eg3fg3ic9q
    @user-eg3fg3ic9q Před 3 měsíci

    acha kumlazimisha mtu

  • @qwqw1665
    @qwqw1665 Před rokem

    Jaman haya nimajaribu bb mzaa baba. Lin wakarsiana, amemharbu tuu huyu msichana jamani 🙏🙏🙏🙏🙏❤️👍👍👍👍👈

  • @HabituJoella-ww4qz
    @HabituJoella-ww4qz Před rokem

    N'a mimi Pia naitaji unijulishe baba yangu

  • @suzanymushi9805
    @suzanymushi9805 Před rokem

    Aminaaa

  • @mosesjoel9644
    @mosesjoel9644 Před rokem +2

    Jamani dunia imekwisha mtoto mdogo sana

    • @samwa9496
      @samwa9496 Před rokem

      hawezi kukupa mavitu hayo ukiwa na akili yako timamu hawa watu wa zamani elimu yao ndio hiyo maana wangeenda shule wasingetaka vitu vya kijinga

    • @lilianeerica3318
      @lilianeerica3318 Před rokem +1

      @@samwa9496 nihatal

  • @ezekielmolel4975
    @ezekielmolel4975 Před rokem

    Pasta waambie wana tunyanyaza tuombee tupate maono ya kufahamu awo wabaya

  • @princemozes9923
    @princemozes9923 Před 9 dny

    ❤️🌹👍👍🌺🌺🌺⭐⭐⭐🌟🌟🌟🌈🌈🌈💥💥💥

  • @margaretdidas6250
    @margaretdidas6250 Před rokem

    Shalom

  • @rosemarymathew9215
    @rosemarymathew9215 Před rokem

    Mchungaji nina giza maisha kazi nafanya aieleweki naomba niombee niwe kama mwanzo napigwa vita sana.

  • @anethrobert-pk8jd
    @anethrobert-pk8jd Před rokem

    Kanisa liko sehemu gani jamani

  • @LAICKSANGA
    @LAICKSANGA Před 10 měsíci

    Naomba namba ya huyu mtumishi

  • @Agness-sp9xg
    @Agness-sp9xg Před 4 měsíci

    Amen

  • @carenoronyi1617
    @carenoronyi1617 Před rokem

    Amen Baba una kua wapi

  • @joycewafula935
    @joycewafula935 Před rokem +2

    Shetan ashindwe kwa jina la yesu 🙏

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Před 11 měsíci

    Watumishi wa sasa ni waganga kwani Wana roho za utambuzi kwa njia ya uchawi ndiyo maana wanamwambia mtu matatizo yake yote wazi wazi na watu wanaamini huyu ni mtumishi wa mungu

    • @JosephNgasala
      @JosephNgasala Před 10 měsíci

      Hiyo ni kazi ya roho mtakatifu ht wewe ulitaka aje kwako anakuja Sali sana hasa usiku.acha dhambi

  • @elizabethmloka7999
    @elizabethmloka7999 Před rokem

    shetan ashindwe kwa jina la yesu

  • @user-es7ln4dj6n
    @user-es7ln4dj6n Před 10 měsíci

    Naomba uniombee nipate mtoto

  • @mashakaadam1871
    @mashakaadam1871 Před rokem

    Nilipowa uchawi nikiwa mtt

  • @user-vv6pr4bj8p
    @user-vv6pr4bj8p Před 5 měsíci

    Waafrika tunapenda miujiza lakini ...au basi tu

  • @josephobegi
    @josephobegi Před rokem

    Kwa hii neema wanaonianda wakamatwe

  • @user-gn3mq1ht5u
    @user-gn3mq1ht5u Před 11 měsíci

    Niombee nami bb

  • @phenninahndawii1838
    @phenninahndawii1838 Před rokem

    Niombee pasta