Dah , watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa! Hivi hizi si ndo ramli chonganishi ? mdada analazimishwa mbele ya umati wa watu jamani bila. Unamchonganisha huyu biti na Bibi yake mzaa Baba.. SerikaLI IKO KIMYA Bado. Najua anguko la kuhani Musa linakuja, Mungu hata nyamaza juu ya tabili chonganishi namna hii... Hongeni sana ila siku inakuja mtajua kuwa Mungu hachezewi.
Watumishi wa sasa ni waganga kwani Wana roho za utambuzi kwa njia ya uchawi ndiyo maana wanamwambia mtu matatizo yake yote wazi wazi na watu wanaamini huyu ni mtumishi wa mungu
Yesu kristu Mungu mkuu akupake mafuta matakatufu tele naakulinde kwakila tukio kazi iyo ningumu sana ubarikiwe baba kuhani Musa kwayote
Bwana yesu asifiwe mtumishi naomba maombi yako
Mtumishi yesu atukuzwe naitwa joyce naomb uniombee
Mungu akulinde kuhani musa mtumish wa mungu
Watching from kenya Nairobi
Baba lao hakika upo mmoja tu Tanzania hiiiiiiiiiiii ni motooooo
Amen na nyota yangu irudi na ing'aee katika jina la Yesu Amen
Yesu was ngomeni naomba mungu anitendee watesi wakat moto wanantesa San naamini ngome itatend
Na mungu azidii kukubariki katika jina la yesu atakurudia kuwa na imani yako utafungliwa
Pole sana kuhani kazi hii ngumu Sana Mungu akusaidie sana
Mchungaji naomba uniombee baba
Mungu wako atushurukiye nasi
Bwana yesu tusaidie xan tunaomb maisha malef kwa kuhan wetu
Wanafaa kusema katika jina la yesu
Barikiwa baba kwa kazi unayofanya
Wapangeni vizuri siku nyingine 😂😂😂 mana uyo nikama kala pesa za bure tu alaf kaja kuzengua mbele
Wewe unacho andika ukielewi. Ata wewe upo kwenye kifungo Sanaa
usikariri ndugu. sio kila mtu yupo kimaslahi. nenda kanisani kwake siku moja ukashuhudie utukufu wa Mungu
Pole YAKO wewe
Dah , watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa! Hivi hizi si ndo ramli chonganishi ?
mdada analazimishwa mbele ya umati wa watu jamani bila. Unamchonganisha huyu biti na Bibi yake mzaa Baba.. SerikaLI IKO KIMYA Bado. Najua anguko la kuhani Musa linakuja, Mungu hata nyamaza juu ya tabili chonganishi namna hii... Hongeni sana ila siku inakuja mtajua kuwa Mungu hachezewi.
Gomen,,gomen. ,,gomeeen. ,😮niyesu anaongoz wenye
Baba
Musa
Balikiwa mungu
Alinde watito. Wako
Tunachu.jru. Pasta etu
Amiiina
Mungu akulinde maombi yake mchungaji
Bwana yesu asifiwe mzee anaumwa pumu miaka saba haponi naomba kujua tatizo mtume
Nabii naomba maombi naota sana ndoto za manyoka makubwa pia mdada wa kazi simuelewielewi naomba nifunguliwe maanq mume wangu anamuotea vibaya ndoton
Amena ngomeni nyota yangu unarudi kwa damu ya yesu
Bwana yesu asifiwe naomba niombee nina tatzo kweny koo nikienda hospital napima hakun kitu 😢😢
Mchungaji naomba uniombee dhidi ya nguvu za Giza na nyota yangu ing'aee Amina
Amina
Mtume naomba umuombee mzee wangu mohamed mwamlima anaumwa pumu kila cku halali mpaka achome sindano
Nisaidie mtumishi mama yangu anateseka hana kumbukumbu
Mungu aku tiye ngufu
Mchungaji wabalaka zamung namimi nakusii uniombea nafamilia yang tuk namatatiz meng sana ukuburumdi
Yesu akulinde kuhani wetu kazi uliyopewa ni ngumu sana
Bwana yesu asifiwe wapendwa napenda kuja ibada ya chumvi na msalaba mnijylishe
Powerful
Mtumishi nahitaji maombi nipate mume sahihi wakuniowa kwa ndoa na awe mtaftaji mwenye pesa
Bwana yesu kristo atukuzwe wana ngomeni
Yesu kristo wa nazaleti! Naomba uniombee nimefungwa sipati mtu mwenzangu! Usingle mather nimeuchoka!
Umepata mume naomba namba zako
Naomba uniombee nipone h l v
Amina.hataree
Tuombee sana baba
Amen baba namimi vicua nakwangu
Ninaomba uombe familia yetu🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇸🇦
Mungu apewe sifa
Barikiwa
Huyo hamjampanga vizuri leo mbona haeleweki mnamlazimisha akubali
Reaso haikuwa poa kabisa 😂😂
Nakushukur baba maombi yako yamenifungua baba
Mimi nishida nyumbani kaka zangu wanaimba nyimbo mbaya naomba uwaombee
N'a nufataka Lila Siku baba Niko congo
Eeeh kwelii ni kuhani na kaz ya mungu unaifanya kwelii
Mtumishi naomba uniombee nipone tumbo
❤
Kupitiy madhanahu yangome ya kuani musa
Wakate moto
Naomba namba mtumish wa mungu ninashida
Hhhhh kabisha weeee , badala kanaswa .
Mungu apewe nguvu
Nabii naomba msaada wako
hivi unaweza kua mchawi bila kujua
Baba kuhani samahani naitwa Beatrice nna tatizo kwenye kitovu naomba maombi yako nipone mimi na familia yangu
Nimimi eme wenge hapa,Uganda,papa oniwombeye,magonzwa,inanisumbuwaku roh
Amen👏👏👏👏
Ee Mungu terehemu
Amina, mwi, Israeli wetu
Yesu tusaidiye wa toto wetu watoke ndani ya chama icho
Mutumishi niko congo nafataka maombi yako naomba namba yenu ya WhatsApp
Esu wa ngomeni naomba watoto wangu wafunguliwe
Pastor God bless you and give you long life
Mchungaj naomba unisaidie Kuna kit kina nitembea mgongon na miguu inawaka moto naomb kusaidiwa
Baba kuhani Mimi nimepata ajali tangu mwezi wa pili hadi leo cponi nisaidie nisaidie jamani
Niombee na mm baba nifanikiwe wachawi waniepuke
Bila ya kukimbilia kuombewa hata wewe pia Mungu wako hajashindwa kaa chini Soma neno la Mungu vizur
Mtumishi naomba uniombee nasumbuliwa sana na wachawi
May God intervene
naomba maombiyako baba
Wakate motooooooo
Aminaaaa 🙏🙏
AMENA AMENA AMENA AMENA AMENA AMENA AMENA
Anaguchezeya. Hakili ?!
Baba tunaguchukuru kwa
Maombi yote
Tunawona
Kwenye
MutNdawo.
Baba kabisa nachukuru
Saana
Mmmmh
Pray for me apostle
Balikiwa baba nione namimi
acha kumlazimisha mtu
Jaman haya nimajaribu bb mzaa baba. Lin wakarsiana, amemharbu tuu huyu msichana jamani 🙏🙏🙏🙏🙏❤️👍👍👍👍👈
Jj
U
J
Uchawi ni hasara hivi,, hata unakula mtoto wako.
N'a mimi Pia naitaji unijulishe baba yangu
Aminaaa
Jamani dunia imekwisha mtoto mdogo sana
hawezi kukupa mavitu hayo ukiwa na akili yako timamu hawa watu wa zamani elimu yao ndio hiyo maana wangeenda shule wasingetaka vitu vya kijinga
@@samwa9496 nihatal
Pasta waambie wana tunyanyaza tuombee tupate maono ya kufahamu awo wabaya
❤️🌹👍👍🌺🌺🌺⭐⭐⭐🌟🌟🌟🌈🌈🌈💥💥💥
Shalom
Mchungaji nina giza maisha kazi nafanya aieleweki naomba niombee niwe kama mwanzo napigwa vita sana.
Bwana yesu asifiwe sana jmn naweza kupata namba ya kuhani musa
Kanisa liko sehemu gani jamani
Naomba namba ya huyu mtumishi
Amen
Amen Baba una kua wapi
Yupo kimara temboni karibu
Shetan ashindwe kwa jina la yesu 🙏
Watumishi wa sasa ni waganga kwani Wana roho za utambuzi kwa njia ya uchawi ndiyo maana wanamwambia mtu matatizo yake yote wazi wazi na watu wanaamini huyu ni mtumishi wa mungu
Hiyo ni kazi ya roho mtakatifu ht wewe ulitaka aje kwako anakuja Sali sana hasa usiku.acha dhambi
shetan ashindwe kwa jina la yesu
Naomba uniombee nipate mtoto
Nilipowa uchawi nikiwa mtt
Waafrika tunapenda miujiza lakini ...au basi tu
Kwakweli au basiii...😂😂😂
Kwa hii neema wanaonianda wakamatwe
Niombee nami bb
Niombee pasta