MTOTO AMUWEKEA TEGO LA KICHAWI MAMA YAKE NYUMA YA KABATI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 09. 2024

Komentáře • 47

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm Před měsícem +1

    Unione we Yesu ingawa ni mwezi umepita. Nkomo bwana Yesu utende Amina.

  • @MatildaMakawia
    @MatildaMakawia Před 3 měsíci +5

    Hakika Yesu Kristo anatisha hakuna mahali asipoona...zab 139
    Asante kwa mtumishi wako Kuhani Musa Richard Mwacha
    T

  • @SindeBajuta-u2c
    @SindeBajuta-u2c Před měsícem

    Naomba uniombee na mimi mtumishi. Namatatiso sana

  • @maryaugustino8716
    @maryaugustino8716 Před 3 měsíci +7

    Jamani mbona haya mauza uza toka nizaliwe na niwe mkiristo sijawahi kushuhudia haya mambo. Hakika tu akoelekea Mungu mwenyezi ndio anayejua, ila ipo siku atakuja bwana wa majeshi na kuwatawanya wote wenye kiini macho na kutupwa kwenye ziwa la moto. Mungu tusaidie na utufunulie uelewa wakung'amua mema na mabaya

    • @constanciamosha5144
      @constanciamosha5144 Před 3 měsíci

      Hujawahi una nini wewe

    • @yukundapeter8200
      @yukundapeter8200 Před 3 měsíci

      Kama hujawahi fanyiwa ubaya shukuru Mungu,Sisi tumeteseka toka tumbo hadi leo kwa hiyo funga baki,au na wewe ndo wale2

    • @Danielmilia
      @Danielmilia Před 3 měsíci +2

      Daniel milili

  • @JeskaMringo
    @JeskaMringo Před měsícem

    Yesu anatenda jaman

  • @ChristineKhangwi
    @ChristineKhangwi Před 2 měsíci

    Numbee mwoyo wangu unafuraha

  • @RebekaQawoga
    @RebekaQawoga Před 2 měsíci +1

    YESU KRISTO wanazareti aliyehai hai wakuhani kusa nisadie

  • @MawazoMamy-eu9bl
    @MawazoMamy-eu9bl Před měsícem

    Bwana asifiwe

  • @victoriambithe8801
    @victoriambithe8801 Před 2 měsíci

    Amen Amen Amen

  • @LovenessJohn-ht7xh
    @LovenessJohn-ht7xh Před 3 měsíci

    Yani mungu akupe maisha maref Kuhn muss umenisaidia sn kwenye maisha yang baba

  • @user-ef2mt4ye6q
    @user-ef2mt4ye6q Před 3 měsíci +1

    sasa huyu anasema watajuaje ,,roho wa mungu akiona chenye kiko sirini lazima kitolewa wenye mnapinga ukweli nanyi mnajijua

  • @StelaJohn-nj5yf
    @StelaJohn-nj5yf Před 3 měsíci

    Yesu Kristo wa Ngomeni Okoa familia yangu..

  • @estherndungo1872
    @estherndungo1872 Před 3 měsíci

    Yesu wangomeni ni Mukubwa

  • @sospeterAlex
    @sospeterAlex Před 3 měsíci

    Yesu wangomen fichua nakwangu

  • @user-fc4vl8zi4r
    @user-fc4vl8zi4r Před 3 měsíci

    Mhhh tusiwadanganye watu tumuogope M/Mumgu

  • @elizabethsimonmapunda7678
    @elizabethsimonmapunda7678 Před 3 měsíci

    Yesu wa kuhani Musa R Mwacha fichua na kwangu

  • @user-jq9bf3po8u
    @user-jq9bf3po8u Před 3 měsíci

    Yesu nifunuliye namimi

  • @user-gm4qi3nn9n
    @user-gm4qi3nn9n Před 3 měsíci +1

    Niko omani lakin tangu nijiunganishe na ngomeni hakika naona muujiza mwenyewe Tu sijaamua kusimama

    • @user-rl5qu4zj9b
      @user-rl5qu4zj9b Před 3 měsíci

      Unanifurahisha mwezangu sasa unasubili nini kuamua

  • @user-ox2uw9ds5o
    @user-ox2uw9ds5o Před 2 měsíci

    Mbna ilikanisa wamevaa vilemba🥴

  • @marywanjiku1704
    @marywanjiku1704 Před 2 měsíci

    🙏🙏🙏

  • @hedayawangara153
    @hedayawangara153 Před 3 měsíci

    Good comedy

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry Před 3 měsíci

    Kiasi nyumba iingie makuhani eti. Imepakwa ragi nyekundu kama nyumba ya mumiani

  • @HappyGreenTea-fo8lz
    @HappyGreenTea-fo8lz Před 3 měsíci

    Kuhani fungua familia yetuu mchawi anaechezea familia yetu afeee kwa jinn La yesuu

  • @kaoretosha6668
    @kaoretosha6668 Před 2 měsíci

    Watu wananunua mambamutu kufanya "KAZI" kwa jina la "YESU".

  • @user-uz5cu7cr9h
    @user-uz5cu7cr9h Před 3 měsíci

    Watu umewapanga wacha kudanganya watu

  • @LovenessJohn-ht7xh
    @LovenessJohn-ht7xh Před 3 měsíci

    Mungu anatenda jmn

  • @user-zz1sj6sp8z
    @user-zz1sj6sp8z Před 3 měsíci +1

    Yy atajuaje. Bado.mtt.acha.upotoshaji.nauongo

  • @niyiesther6571
    @niyiesther6571 Před 3 měsíci

    YESU KRISTO wa NGOMENI ATUKUZWE saaana

  • @user-ox2uw9ds5o
    @user-ox2uw9ds5o Před 2 měsíci

    Mbna kama kweli

  • @salvatorymyumbilwa9335
    @salvatorymyumbilwa9335 Před 3 měsíci

    Pastor nitabirie shida hii niliyonayo na familia yangu hasa hasa mke wangu.

  • @ashuramachinja
    @ashuramachinja Před 2 měsíci

    Duu

  • @RebekaQawoga
    @RebekaQawoga Před 2 měsíci

    Najiungamanisha naiba ya ngomeni najiunamanisha namimi nitendewe

  • @lilianwaflotina1288
    @lilianwaflotina1288 Před 3 měsíci

    Comed show and Cheka tu😅

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 Před 3 měsíci

    Cku xote wachawi yanasema viini macho.Tena popote mlipo duniani.

  • @salemkambuteh1409
    @salemkambuteh1409 Před 3 měsíci

    Yaani nyie wakiristo akili zenu zinashikiliwa na wahuni wanaojiita viongozi wa ukiristo.
    Ushauri wangu kwenu tumieni muda huu kuutafuta ukweli katika Imani vyenginevyo mutadanganywa na hao wahuni na hatimae hakuna mtakachoambulia baada ya mauti yenu.
    Mkiamua kuwa waislamu kusilimu ni free of charge.

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu8873 Před 3 měsíci

    Mbona naona kama ni utapeli huu yani kama akina maji marefu.uwongo uliopitiliza

  • @user-eg3fg3ic9q
    @user-eg3fg3ic9q Před 3 měsíci

    shauli mnaangamia kukosa maarifa

  • @user-tw9wu2gz4g
    @user-tw9wu2gz4g Před 3 měsíci

    Usanii huu

    • @DaheerK
      @DaheerK Před 3 měsíci

      😂😂😂mbona kuna msalaba huo usanii kweli

    • @rahmakikoti
      @rahmakikoti Před 3 měsíci

      Mchawi lazima utasema usanii maana unaona wenzio wanafichuliwa,NGOMENI MCHAWI HACHOMOI

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Před 3 měsíci

    Sasa huyo mtoto anajua nini

    • @maryammaryam7354
      @maryammaryam7354 Před 2 měsíci

      Acha,nikwambie, mtot anaeza ingizwa kwa Chama,hata aikiwa n mwez moj,n awe Wana mchukua,so mtoto hakupenda,Ola aliibgizws