KUHANI MUSA AKAMATA NJIWA WA KICHAWI NA SANDA ZILIZOTAKA KUANGAMIZA FAMILIA MBILI IBADA IKIENDELEA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2019
  • KUHANI MUSA AKAMATA NJIWA WA KICHAWI NA SANDA ZILIZOTAKA KUANGAMIZA FAMILIA MBILI IBADA IKIENDELEA

Komentáře • 446

  • @neemasamweli9214
    @neemasamweli9214 Před 2 lety +10

    Napokea kufunguliwa Mimi na familya yangu mume wangu watoto wangu kwajna LA yesu

  • @user-th4ut7zw8m
    @user-th4ut7zw8m Před 11 dny

    Baba katika jina la Yesu naomba kufunguliwa Mimi na familia nzima ,mama,mume wangu, mtoto mdogo wangu naomba haya mateso yakawe mwisho,naomba toba kwajili ya familia hii km ni laana ya familia Mungu tusaidie
    Naomba Nabii wa Mungu utuombee

  • @rithersospeterkati2303
    @rithersospeterkati2303 Před 3 lety +15

    Amen amen. Hakuna uchawi juu ya Yakobo na Islael. Kwa jina la YESU Amen.

  • @user-kb4tq8tx2q
    @user-kb4tq8tx2q Před 14 dny

    Amen! Nabii naomba unitembelee nami kwenye familia yangu iko shida kubwa

  • @francinelumuna8470
    @francinelumuna8470 Před 2 lety +1

    Nafuatiliya hapa saudi arabia 🇸🇦 from congo 🇨🇩 🙏🙏 asante yesu

  • @agnesmwina1034
    @agnesmwina1034 Před 4 lety +4

    Yan wewe baba nakuombea maisha marefu nakupenda Sana kuhan umenifanya niwe karibu na MUNGU Asante kuhan

  • @mariathomas4850
    @mariathomas4850 Před 2 lety +2

    Amina......napeleka upako huo nyumban kwetu mbuyu wa mjeruman-manyara,chochote kilichowekwa nyumbani kwetu chakichawi na wachawi kinateketea kwa jina la Yesu.

  • @jayzeem14
    @jayzeem14 Před rokem +1

    Asante Mungu Baba kwa miujiza yako kwenye maisha yetu Asante kwa kutushindia vita za kuzimu!!

  • @EdinaKonga
    @EdinaKonga Před 4 měsíci +2

    Amen napokea uponyaji Kwa jina la yesu

  • @geoginamwanzia1544
    @geoginamwanzia1544 Před 2 lety +12

    Thank you Jesus for your manifestation ,signs and wonders Jesus arrest every power that doesn't come from you.

  • @elizabethcharles5811
    @elizabethcharles5811 Před 2 lety +1

    Ee Mungu mapando yoyote yaliyaopandwa na mababu juu yetu nayavunja nayangoa kwa jina la Yesu..uniondolee ugumu kwenye maisha yangu na familia yangu unitendee na Mimi Yesu

  • @deopende8202
    @deopende8202 Před 2 lety +5

    Ubarikiwesana pastor Mungu akuongezee nguvu zakumutumikia

    • @emeranceefile6893
      @emeranceefile6893 Před 2 lety

      Gloire à Jésus Christ,prie pour moi aussi, pour mon mariage

  • @user-qv3td4vw7p
    @user-qv3td4vw7p Před 11 dny

    Bwana yesu asifiwe mtumishi naitwa yona Niko Kenya naomba uniombee kuna ntoto inanisumbuaga sana

  • @pendofrancis4007
    @pendofrancis4007 Před 2 lety +3

    Hakika ni neema ya mungu aliye hai, ameeeen

  • @alexjeremia7610
    @alexjeremia7610 Před 2 lety +2

    Kwa neema ya mungu yote yanawezekana ameandikwa nayaweza Mambo yote kwa yule anitiaye nguvu amen amen and amen

  • @user-sq7pz9ex5g
    @user-sq7pz9ex5g Před rokem

    Ameen barikiwa babaa mimi ni muislam ila nimepokea uponyaji siamini nilipokuwa tanzania kuna mchungaji aliitabiri safari yangu hiyo siku nilijikuta tu naenda kanisani na safari yangu ikaonekana nashukuru nipo sehemu salama 🇴🇲sasa miaka mitatu nikirudi tanzania kuhani anibatize nimpokee yesuu nina vita saana

  • @joycewafula935
    @joycewafula935 Před 2 lety +5

    Amen distance is not barrier I connect in the name of Jesus Christ

  • @dastanmboera8445
    @dastanmboera8445 Před 2 lety +2

    Mungu akubariki na akulinde Nabiii; wa Mungu ufungue wengi.

  • @ZainabuZainabu-u5c
    @ZainabuZainabu-u5c Před 20 dny

    Ameen baba yes wa ngomeni akulinde akupe Marshall marefu

  • @LauSeven-vj1tf
    @LauSeven-vj1tf Před 2 měsíci

    Namuomba mungu amubariki mpezi wangu RAULENT afunguliwe katika maisha yake na kazi zake zote ameni🙏

  • @GraceMbele-j6z
    @GraceMbele-j6z Před měsícem

    Kuhani nitembelee na mimi kwenye familia yangu niombee kwa uwezo na maulana uliyopew na mungu niko mbali sana na madhabau yako

  • @vailethkalinga764
    @vailethkalinga764 Před 2 lety

    amina mtumishi nami na familia yangu najiungamanisha na mazabahu tunapokea uzima katika jina la yesu

  • @OzonMwangosi
    @OzonMwangosi Před 4 měsíci

    Ubarikiwe mtumish wa mungu kwa kazi uliyotumwa na mungu aliye hai niombee na mm mtumish kwa jina naitwa malia rabi nakumbana na majaribu meng niombee baba

  • @kayitarecharles6993
    @kayitarecharles6993 Před 2 lety

    Amen napokea kufunguliwa kutoka kwenye vifungu vya mizimu kwajina la YESU.

  • @martinmkumbo4569
    @martinmkumbo4569 Před 2 lety +2

    Thank you Jesus, Son of the Living God.

  • @user-cg1wb3jj2n
    @user-cg1wb3jj2n Před 2 lety

    Ameen akuna uchawi kwajina la YESU KIristo aliye hay

  • @annelunazo6660
    @annelunazo6660 Před 2 lety +1

    I connect my kids and I with this aulter in Jesus name

  • @kayitarecharles6993
    @kayitarecharles6993 Před 2 lety

    Asante YESU Ngome yangu Asante kwakunifunguwa Niko huruuu 👏👏👏🙏🙏🙏🇬🇦🇬🇦🎻🎺🪗🎸💘

  • @suzgogondwe9267
    @suzgogondwe9267 Před rokem

    Aminaaa YESU fichua kila kilichojificha kwa jina la YESU kristo alie hai Amen

  • @habibakhamis4701
    @habibakhamis4701 Před 2 lety

    Aminaaaa kubwaaaa ubarikiwe baba lao Kwa kazi nzuri

  • @jumaeduardo
    @jumaeduardo Před 2 lety +1

    Amen, muito obrigado

  • @jumaeduardo
    @jumaeduardo Před 2 lety +1

    Asante Sana,tunakupata vizuri apa Mozambique

  • @happymathias8670
    @happymathias8670 Před 2 lety +1

    Halafu na mashart eti usiyanguse ukiwa piliod kweli kwa yesu Kuna hayo mambo mtoto awekewe mafuta sehemu ya sili kabla ya kulala na mengn mengi ila hilo kanisa mm ni mwanadam siukumu anaukumu Mungu IPO siku Mungu anaeishi atafichua maana natumia jina lake eti kuhani mnavaaa mavazi mekundu na meusi yesu naomba awafichue neno lake lilisema watatokea manabii wa uogo makuhan na mtume nao watatenda isharaaa na miujiza kama yake ndio hayaaaaaaa wee unapandajee katikati ya nyumb na unafikaje kanisani huo muda na jiwa kafungwa alirukaje Mungu babaaa wa mbingun tupe macho ya rohon

  • @kayitarecharles6993
    @kayitarecharles6993 Před 2 lety

    Majina Charles Leo siku yetu yakufungiliwa naamini kwamba hapa Rwanda kigali napokea kufunguliwa kwangufu Yamaha Aho Ngome yetu YESU 🇬🇦🇬🇦🙏🙏👏👏🎺🎺😀😃

  • @mpekethureuben241
    @mpekethureuben241 Před 2 lety +1

    Setani hamesidua kwa jina la Jesus amen 🙏🙏🙏

  • @benganabenjamin3304
    @benganabenjamin3304 Před rokem

    Baba kuhani Musa Mungu akubariki baba nina tamani nikuone ila sina uwezo ila nina mahali naweza pata pesa junikuone baba wajomba zangu wana uwezo ila tuna fungwa awapendi kutusaidia baba kuhani Musa nisaidiye nipate nauli nifike apo nawajomba wangu wanisaidiye

  • @kevinntibonera
    @kevinntibonera Před měsícem

    Mungu amuzidishiye upako Nabi wetu

  • @BahatiCharles-wm5dp
    @BahatiCharles-wm5dp Před 16 dny

    Mimi ni naitwa Elizabeth nzilani ni shinda twataka maobi kutoka kwako mtumishi was mungu

  • @amosnyongesa9160
    @amosnyongesa9160 Před rokem

    Wajawi hawana nafasi,damu ya yesu inawamalisa wote, kuhani Musa mungu akubariki uyishi miaka mungu Sana ili uendeleye kuwanasa hao

  • @welongoasende-b3y
    @welongoasende-b3y Před 13 dny

    amen bwana yesu asifiwe

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice8077 Před 4 lety

    Amina,Yesu nipe macho,Kuhani unaheri

  • @jijoaly3946
    @jijoaly3946 Před 2 lety

    Kuhani Musa ubarikiwe milele daima na maisha marefu

  • @maidachawe2294
    @maidachawe2294 Před 10 měsíci

    Waharibiwe wote na nguvu zao za giza wanaofatiria maisha ya familia yangu.Amiiiiiiiiiiiina

  • @stellahokworo6561
    @stellahokworo6561 Před 2 lety +1

    Amen glory to Jesus

  • @justinaninga5628
    @justinaninga5628 Před 2 lety +1

    Napokea kufunguliwa katika jina la yesu na kataa roho ya madeni ,nakataa roho ya kukataliwa nakataa roho ya umaskin na pokea kufunguliwa katika jina la yesu Kristo

  • @junne657
    @junne657 Před 2 lety +8

    Amen 🙏 amen,no weapon formed against me shall prosper 🔥🔥I would like one day to visit this church

  • @NeemaPhilip-q2w
    @NeemaPhilip-q2w Před 25 dny

    Kuhani mungu akupe maishan makefu

  • @adrophinamwanguse1510
    @adrophinamwanguse1510 Před 2 měsíci

    Napokea uponyaji Kwa jina la yesu

  • @user-ws9jx9tz9b
    @user-ws9jx9tz9b Před 9 měsíci

    Mungu wamiujiza mupe kohani musa miaka mingi ya kuishi apa duniani baba uishi miaka mingi

  • @sivinusgoha-lw9wt
    @sivinusgoha-lw9wt Před rokem +1

    Huyu mungu mwacheni aitwe mungu jamani

  • @sukariyao6537
    @sukariyao6537 Před 2 lety

    Kwa kupitia mazabahu haya ya kuani mussa naenda kuifungua familia yangu na uzao wangu nguvu za giza zikapate kushindwa kwa jina la yesu na naomba mungu aweze kumpa ufahamu mdogo wangu grace popote alipo akapokee ufahamu na kurejea nyumbani kwa jina la yesu kristo wa mungu aliye hai Amina 🙏

    • @JosefinaGabrielmogo
      @JosefinaGabrielmogo Před 24 dny

      O meu deus peço para toda minha família nos dar paz Acer respeito os feiticeiros não conseguir nos tocar termos requeza

  • @AyshaSliman-cg8dr
    @AyshaSliman-cg8dr Před 6 měsíci

    Jamani mungu hashindwi na chochote acha kulia anza kuamini🖐️

  • @babuloliondo5975
    @babuloliondo5975 Před 2 lety +1

    Daa Daa wasani niwengi Sana bongo kiboko

  • @arbogastshayo1527
    @arbogastshayo1527 Před 2 lety

    Mungu Nami naomba maombe yko juu ya familia yangu na Watu wote wanaonizunguka

  • @annelunazo6660
    @annelunazo6660 Před 2 lety +1

    Nafungua watoto wangu na Mimi katika minyororo ya Giza in Jesus name

    • @husseinnuru7544
      @husseinnuru7544 Před 8 měsíci

      Naampataje kuhani nateseka naloho nzaginza nzinanitesa mm eewe mungu ninsaidia hakika nimuisilam ila nokupata uponaji nabadili dini kwaamli yangu mm

  • @OzonMwangosi
    @OzonMwangosi Před 4 měsíci

    Eee mungu mtakatifu wa watakatifu kwakupitia maomb ya mtumish wako unikumbuke na mm malia rabi,

  • @mbarakajuma4640
    @mbarakajuma4640 Před rokem

    Mungu akuongoze milee amina kuhani musa mwacha

  • @daudomary9308
    @daudomary9308 Před 3 lety

    Mungu akuweke maisha malefu baba lao amen sanaa

  • @user-mz2wx5dt9v
    @user-mz2wx5dt9v Před 5 měsíci

    Jaman anaestahili kuinuliw, kutukuzwa, kupewa sifa,shukrani ni mwenyezi mungu muumba wa mungu na nchi peke yake Wala sio watumishi feki

  • @rumonambinji4985
    @rumonambinji4985 Před 2 lety +3

    Amen amen 🙏🙏🙏🙏

  • @esterlwanda9824
    @esterlwanda9824 Před 2 lety

    huu ni uganga wa kienyeji sio Yesu hapa manapotea Unyakuo uko karibu Sana Sana Hawa watu wanaenda wapi jehanamu tu hakuna fundisho la wokovu ujazo wa Roho Mtakatifu ni hatari Sana Sana nawaonea huruma kuanzia kiongozi Hadi washirika

  • @estermisigalo5522
    @estermisigalo5522 Před 2 lety

    Uko vizuli natamani namm siku moja nifike huko nionane nawewe amina sana

  • @rodamwajuma8043
    @rodamwajuma8043 Před 2 lety +3

    Amen 🙏 🙏 🙏.

  • @victoriavalenci441
    @victoriavalenci441 Před 2 lety

    Napokea uponyaji nikiwa nyumbani na familiya yangu kuanzia Sasa kwa jina la yesu

  • @irenekhaifa
    @irenekhaifa Před rokem

    I connect my children with the alter in Jesus name amen

  • @djumazuena52
    @djumazuena52 Před 2 lety

    Yesu kristo wa ngomeni ni mimi ni tasa nahomba unikumbuke nami nipate kuzaha

  • @zainabubakari1394
    @zainabubakari1394 Před 2 lety

    Mtumishi wa mungu kuhan Richard mwacha naomba niombee nipone miguu nasumbuliwa sana ee baba niteteee

  • @user-ku5so9sb2t
    @user-ku5so9sb2t Před měsícem

    Napokea kwa jina la yesu

  • @julietkahindi8804
    @julietkahindi8804 Před 2 lety +3

    Amen Amen

  • @rithersospeterkati2303
    @rithersospeterkati2303 Před 3 lety +1

    Amen amen.

  • @Rachel-je5eo
    @Rachel-je5eo Před rokem

    Naji ungamanisha n'a kuhani musa ili namimi sanda zinazo tafuta familiya yangu zi futwe mbali. N'a Mungu afuchuwe uchawi ulio fichwa

  • @magrethmollel1078
    @magrethmollel1078 Před 3 lety +3

    yaani hata sijui niseme nini jamani Mungu atupe macho ya rohoni

    • @janviersobhane6492
      @janviersobhane6492 Před rokem

      Ni elimu inatumika wala hakuna muujiza wa kiuchawi wala wa.Kiungu.

  • @anidhoman7932
    @anidhoman7932 Před 2 lety +1

    Amen🙏🙏amenowea

  • @UpendoNyingo-jq1th
    @UpendoNyingo-jq1th Před rokem

    Mungu..mbariki.huyu.tumishi..wetu

  • @witnesskessy8828
    @witnesskessy8828 Před 3 lety +2

    Amen baba

  • @nebatmwangomba8427
    @nebatmwangomba8427 Před 4 lety +2

    Kuhani MUSA MWACHA baba wewe ubarikiwe Sana yaana ibada hii usingepewa jicho na rohon hawa wazee wangekufa

  • @aishaabdallah3906
    @aishaabdallah3906 Před 2 lety

    Napokeaaaa kufunguriwaaa me na watoto wng na Mume wngu ktk jina la yesu

  • @tyrawanga563
    @tyrawanga563 Před rokem

    I connect my kid and my bro and sister with ultor

  • @LazaroMikael-fj2rv
    @LazaroMikael-fj2rv Před 3 měsíci

    Kwajina la yesu mapepo iyondolewe

  • @geladinemukindia7578
    @geladinemukindia7578 Před 2 lety

    All powers of darkness shindwa in Jesus Mighty Name

  • @mwazanialiymwazanimpakarah7816

    Amiinaaaaaa

  • @reginasingano313
    @reginasingano313 Před 2 lety

    Amina fungua ndoa yangu iwe na amani amina

  • @freddybakulikira9600
    @freddybakulikira9600 Před rokem

    Thank you jesus for your power of cross

  • @restkalemile5274
    @restkalemile5274 Před 2 lety

    Wazishikao amri za Mungu na kumwamini Kristo, Malango ya kuzimu haitawashinda.

  • @ursulalucika4502
    @ursulalucika4502 Před 2 lety +2

    Amen 🙏

  • @adisabetty2173
    @adisabetty2173 Před 10 měsíci

    Amiiiina
    Baba
    Yes
    Yes 🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️

  • @estaromanus8351
    @estaromanus8351 Před rokem

    Mtumishi naomba kufunguliwa katika kila kifungo kwa jina la yesu

  • @FiveFunny
    @FiveFunny Před 8 měsíci

    Amina achawapinga kilistowapinge

  • @marysuley1572
    @marysuley1572 Před 2 lety

    Ubarikiwe baba kwa kazi nzuri

  • @hassantamim6867
    @hassantamim6867 Před 9 měsíci

    Ubarikiw baba Kwa kaz

  • @user-sl1ih1ct6n
    @user-sl1ih1ct6n Před rokem

    Mmmmm yesu atusaidie maana kumbe tunateseka ivi Asa wanawake yesu atusaidie

  • @josephmosha-wl1mj
    @josephmosha-wl1mj Před 11 měsíci

    Kila anayepanga baya kwenye familia yangu washindwe kwadamu ya yesu

  • @jenipherobwolo6735
    @jenipherobwolo6735 Před 2 lety

    Families mamangu , dadangu na ndugu yangu walipata ajali kutoka mazishi, naomba uwaombee wapone kwa jina la Yesu Kristo.

  • @dada1151
    @dada1151 Před 7 měsíci

    Ameni 🙏🙏 jitukuze mwenyewe baba

  • @suzgogondwe9267
    @suzgogondwe9267 Před rokem

    Bwana YESU naamini ulinzi wako

  • @danJG537
    @danJG537 Před rokem

    Thank you,Jesus 🙏

  • @felixbaussi8595
    @felixbaussi8595 Před 5 měsíci

    Nami najiunga n'a kuhani,naomba uniombeye kwani nimefungwa kabisa ni Felix kambale ju toka congo

  • @aniphalookmoneylookmoney8881

    Amen

  • @user-mz2wx5dt9v
    @user-mz2wx5dt9v Před 5 měsíci

    Jamani angalieni mtu asiwadanganye yesu ameshatuambia mathayo24

  • @magrethkibajja6365
    @magrethkibajja6365 Před 2 lety

    Mungu akubariki nabii musa