Baba katika jina la Yesu naomba kufunguliwa Mimi na familia nzima ,mama,mume wangu, mtoto mdogo wangu naomba haya mateso yakawe mwisho,naomba toba kwajili ya familia hii km ni laana ya familia Mungu tusaidie Naomba Nabii wa Mungu utuombee
Amina......napeleka upako huo nyumban kwetu mbuyu wa mjeruman-manyara,chochote kilichowekwa nyumbani kwetu chakichawi na wachawi kinateketea kwa jina la Yesu.
Ee Mungu mapando yoyote yaliyaopandwa na mababu juu yetu nayavunja nayangoa kwa jina la Yesu..uniondolee ugumu kwenye maisha yangu na familia yangu unitendee na Mimi Yesu
Ameen barikiwa babaa mimi ni muislam ila nimepokea uponyaji siamini nilipokuwa tanzania kuna mchungaji aliitabiri safari yangu hiyo siku nilijikuta tu naenda kanisani na safari yangu ikaonekana nashukuru nipo sehemu salama 🇴🇲sasa miaka mitatu nikirudi tanzania kuhani anibatize nimpokee yesuu nina vita saana
Ubarikiwe mtumish wa mungu kwa kazi uliyotumwa na mungu aliye hai niombee na mm mtumish kwa jina naitwa malia rabi nakumbana na majaribu meng niombee baba
Halafu na mashart eti usiyanguse ukiwa piliod kweli kwa yesu Kuna hayo mambo mtoto awekewe mafuta sehemu ya sili kabla ya kulala na mengn mengi ila hilo kanisa mm ni mwanadam siukumu anaukumu Mungu IPO siku Mungu anaeishi atafichua maana natumia jina lake eti kuhani mnavaaa mavazi mekundu na meusi yesu naomba awafichue neno lake lilisema watatokea manabii wa uogo makuhan na mtume nao watatenda isharaaa na miujiza kama yake ndio hayaaaaaaa wee unapandajee katikati ya nyumb na unafikaje kanisani huo muda na jiwa kafungwa alirukaje Mungu babaaa wa mbingun tupe macho ya rohon
Baba kuhani Musa Mungu akubariki baba nina tamani nikuone ila sina uwezo ila nina mahali naweza pata pesa junikuone baba wajomba zangu wana uwezo ila tuna fungwa awapendi kutusaidia baba kuhani Musa nisaidiye nipate nauli nifike apo nawajomba wangu wanisaidiye
Napokea kufunguliwa katika jina la yesu na kataa roho ya madeni ,nakataa roho ya kukataliwa nakataa roho ya umaskin na pokea kufunguliwa katika jina la yesu Kristo
Kwa kupitia mazabahu haya ya kuani mussa naenda kuifungua familia yangu na uzao wangu nguvu za giza zikapate kushindwa kwa jina la yesu na naomba mungu aweze kumpa ufahamu mdogo wangu grace popote alipo akapokee ufahamu na kurejea nyumbani kwa jina la yesu kristo wa mungu aliye hai Amina 🙏
huu ni uganga wa kienyeji sio Yesu hapa manapotea Unyakuo uko karibu Sana Sana Hawa watu wanaenda wapi jehanamu tu hakuna fundisho la wokovu ujazo wa Roho Mtakatifu ni hatari Sana Sana nawaonea huruma kuanzia kiongozi Hadi washirika
Napokea kufunguliwa Mimi na familya yangu mume wangu watoto wangu kwajna LA yesu
Baba katika jina la Yesu naomba kufunguliwa Mimi na familia nzima ,mama,mume wangu, mtoto mdogo wangu naomba haya mateso yakawe mwisho,naomba toba kwajili ya familia hii km ni laana ya familia Mungu tusaidie
Naomba Nabii wa Mungu utuombee
Amen amen. Hakuna uchawi juu ya Yakobo na Islael. Kwa jina la YESU Amen.
Amen! Nabii naomba unitembelee nami kwenye familia yangu iko shida kubwa
Nafuatiliya hapa saudi arabia 🇸🇦 from congo 🇨🇩 🙏🙏 asante yesu
Yan wewe baba nakuombea maisha marefu nakupenda Sana kuhan umenifanya niwe karibu na MUNGU Asante kuhan
Amina......napeleka upako huo nyumban kwetu mbuyu wa mjeruman-manyara,chochote kilichowekwa nyumbani kwetu chakichawi na wachawi kinateketea kwa jina la Yesu.
Asante Mungu Baba kwa miujiza yako kwenye maisha yetu Asante kwa kutushindia vita za kuzimu!!
Amen napokea uponyaji Kwa jina la yesu
Thank you Jesus for your manifestation ,signs and wonders Jesus arrest every power that doesn't come from you.
yhiye.nidiyo wachawi
Ee Mungu mapando yoyote yaliyaopandwa na mababu juu yetu nayavunja nayangoa kwa jina la Yesu..uniondolee ugumu kwenye maisha yangu na familia yangu unitendee na Mimi Yesu
Ubarikiwesana pastor Mungu akuongezee nguvu zakumutumikia
Gloire à Jésus Christ,prie pour moi aussi, pour mon mariage
Bwana yesu asifiwe mtumishi naitwa yona Niko Kenya naomba uniombee kuna ntoto inanisumbuaga sana
Hakika ni neema ya mungu aliye hai, ameeeen
Kwa neema ya mungu yote yanawezekana ameandikwa nayaweza Mambo yote kwa yule anitiaye nguvu amen amen and amen
Amen napokea kufunguliwa.kwajina la Yesu
Ameen barikiwa babaa mimi ni muislam ila nimepokea uponyaji siamini nilipokuwa tanzania kuna mchungaji aliitabiri safari yangu hiyo siku nilijikuta tu naenda kanisani na safari yangu ikaonekana nashukuru nipo sehemu salama 🇴🇲sasa miaka mitatu nikirudi tanzania kuhani anibatize nimpokee yesuu nina vita saana
Amen distance is not barrier I connect in the name of Jesus Christ
Mungu akubariki na akulinde Nabiii; wa Mungu ufungue wengi.
Ameen baba yes wa ngomeni akulinde akupe Marshall marefu
Namuomba mungu amubariki mpezi wangu RAULENT afunguliwe katika maisha yake na kazi zake zote ameni🙏
Kuhani nitembelee na mimi kwenye familia yangu niombee kwa uwezo na maulana uliyopew na mungu niko mbali sana na madhabau yako
amina mtumishi nami na familia yangu najiungamanisha na mazabahu tunapokea uzima katika jina la yesu
Ubarikiwe mtumish wa mungu kwa kazi uliyotumwa na mungu aliye hai niombee na mm mtumish kwa jina naitwa malia rabi nakumbana na majaribu meng niombee baba
Amen napokea kufunguliwa kutoka kwenye vifungu vya mizimu kwajina la YESU.
Thank you Jesus, Son of the Living God.
Ameen akuna uchawi kwajina la YESU KIristo aliye hay
I connect my kids and I with this aulter in Jesus name
Asante YESU Ngome yangu Asante kwakunifunguwa Niko huruuu 👏👏👏🙏🙏🙏🇬🇦🇬🇦🎻🎺🪗🎸💘
Aminaaa YESU fichua kila kilichojificha kwa jina la YESU kristo alie hai Amen
Aminaaaa kubwaaaa ubarikiwe baba lao Kwa kazi nzuri
Amen, muito obrigado
Asante Sana,tunakupata vizuri apa Mozambique
Halafu na mashart eti usiyanguse ukiwa piliod kweli kwa yesu Kuna hayo mambo mtoto awekewe mafuta sehemu ya sili kabla ya kulala na mengn mengi ila hilo kanisa mm ni mwanadam siukumu anaukumu Mungu IPO siku Mungu anaeishi atafichua maana natumia jina lake eti kuhani mnavaaa mavazi mekundu na meusi yesu naomba awafichue neno lake lilisema watatokea manabii wa uogo makuhan na mtume nao watatenda isharaaa na miujiza kama yake ndio hayaaaaaaa wee unapandajee katikati ya nyumb na unafikaje kanisani huo muda na jiwa kafungwa alirukaje Mungu babaaa wa mbingun tupe macho ya rohon
Majina Charles Leo siku yetu yakufungiliwa naamini kwamba hapa Rwanda kigali napokea kufunguliwa kwangufu Yamaha Aho Ngome yetu YESU 🇬🇦🇬🇦🙏🙏👏👏🎺🎺😀😃
Setani hamesidua kwa jina la Jesus amen 🙏🙏🙏
Baba kuhani Musa Mungu akubariki baba nina tamani nikuone ila sina uwezo ila nina mahali naweza pata pesa junikuone baba wajomba zangu wana uwezo ila tuna fungwa awapendi kutusaidia baba kuhani Musa nisaidiye nipate nauli nifike apo nawajomba wangu wanisaidiye
Mungu amuzidishiye upako Nabi wetu
Mimi ni naitwa Elizabeth nzilani ni shinda twataka maobi kutoka kwako mtumishi was mungu
Wajawi hawana nafasi,damu ya yesu inawamalisa wote, kuhani Musa mungu akubariki uyishi miaka mungu Sana ili uendeleye kuwanasa hao
amen bwana yesu asifiwe
Amina,Yesu nipe macho,Kuhani unaheri
Kuhani Musa ubarikiwe milele daima na maisha marefu
Waharibiwe wote na nguvu zao za giza wanaofatiria maisha ya familia yangu.Amiiiiiiiiiiiina
Amen glory to Jesus
Napokea kufunguliwa katika jina la yesu na kataa roho ya madeni ,nakataa roho ya kukataliwa nakataa roho ya umaskin na pokea kufunguliwa katika jina la yesu Kristo
Amen 🙏 amen,no weapon formed against me shall prosper 🔥🔥I would like one day to visit this church
Kuhani mungu akupe maishan makefu
Napokea uponyaji Kwa jina la yesu
Mungu wamiujiza mupe kohani musa miaka mingi ya kuishi apa duniani baba uishi miaka mingi
Huyu mungu mwacheni aitwe mungu jamani
Kwa kupitia mazabahu haya ya kuani mussa naenda kuifungua familia yangu na uzao wangu nguvu za giza zikapate kushindwa kwa jina la yesu na naomba mungu aweze kumpa ufahamu mdogo wangu grace popote alipo akapokee ufahamu na kurejea nyumbani kwa jina la yesu kristo wa mungu aliye hai Amina 🙏
O meu deus peço para toda minha família nos dar paz Acer respeito os feiticeiros não conseguir nos tocar termos requeza
Jamani mungu hashindwi na chochote acha kulia anza kuamini🖐️
Daa Daa wasani niwengi Sana bongo kiboko
Mungu Nami naomba maombe yko juu ya familia yangu na Watu wote wanaonizunguka
Nafungua watoto wangu na Mimi katika minyororo ya Giza in Jesus name
Naampataje kuhani nateseka naloho nzaginza nzinanitesa mm eewe mungu ninsaidia hakika nimuisilam ila nokupata uponaji nabadili dini kwaamli yangu mm
Eee mungu mtakatifu wa watakatifu kwakupitia maomb ya mtumish wako unikumbuke na mm malia rabi,
Mungu akuongoze milee amina kuhani musa mwacha
Mungu akuweke maisha malefu baba lao amen sanaa
Jaman anaestahili kuinuliw, kutukuzwa, kupewa sifa,shukrani ni mwenyezi mungu muumba wa mungu na nchi peke yake Wala sio watumishi feki
Amen amen 🙏🙏🙏🙏
huu ni uganga wa kienyeji sio Yesu hapa manapotea Unyakuo uko karibu Sana Sana Hawa watu wanaenda wapi jehanamu tu hakuna fundisho la wokovu ujazo wa Roho Mtakatifu ni hatari Sana Sana nawaonea huruma kuanzia kiongozi Hadi washirika
Uko vizuli natamani namm siku moja nifike huko nionane nawewe amina sana
Amen 🙏 🙏 🙏.
Napokea uponyaji nikiwa nyumbani na familiya yangu kuanzia Sasa kwa jina la yesu
I connect my children with the alter in Jesus name amen
Yesu kristo wa ngomeni ni mimi ni tasa nahomba unikumbuke nami nipate kuzaha
Mtumishi wa mungu kuhan Richard mwacha naomba niombee nipone miguu nasumbuliwa sana ee baba niteteee
Napokea kwa jina la yesu
Amen Amen
Amen amen.
Naji ungamanisha n'a kuhani musa ili namimi sanda zinazo tafuta familiya yangu zi futwe mbali. N'a Mungu afuchuwe uchawi ulio fichwa
yaani hata sijui niseme nini jamani Mungu atupe macho ya rohoni
Ni elimu inatumika wala hakuna muujiza wa kiuchawi wala wa.Kiungu.
Amen🙏🙏amenowea
Mungu..mbariki.huyu.tumishi..wetu
Amen baba
Kuhani MUSA MWACHA baba wewe ubarikiwe Sana yaana ibada hii usingepewa jicho na rohon hawa wazee wangekufa
Napokeaaaa kufunguriwaaa me na watoto wng na Mume wngu ktk jina la yesu
I connect my kid and my bro and sister with ultor
Kwajina la yesu mapepo iyondolewe
All powers of darkness shindwa in Jesus Mighty Name
Amiinaaaaaa
Amina fungua ndoa yangu iwe na amani amina
Thank you jesus for your power of cross
Wazishikao amri za Mungu na kumwamini Kristo, Malango ya kuzimu haitawashinda.
Amen 🙏
Amiiiina
Baba
Yes
Yes 🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️
Mtumishi naomba kufunguliwa katika kila kifungo kwa jina la yesu
Amina achawapinga kilistowapinge
Ubarikiwe baba kwa kazi nzuri
Ubarikiw baba Kwa kaz
Mmmmm yesu atusaidie maana kumbe tunateseka ivi Asa wanawake yesu atusaidie
Kila anayepanga baya kwenye familia yangu washindwe kwadamu ya yesu
Families mamangu , dadangu na ndugu yangu walipata ajali kutoka mazishi, naomba uwaombee wapone kwa jina la Yesu Kristo.
Mfate kanisan kwake kwa msaada zaidi
Ameni 🙏🙏 jitukuze mwenyewe baba
Bwana YESU naamini ulinzi wako
Thank you,Jesus 🙏
Nami najiunga n'a kuhani,naomba uniombeye kwani nimefungwa kabisa ni Felix kambale ju toka congo
Amen
Jamani angalieni mtu asiwadanganye yesu ameshatuambia mathayo24
Mungu akubariki nabii musa