Kijana wa miaka 13 apigwa risasi na kuuawa Kiamaiko, Huruma

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 30. 03. 2020
  • Jioni ya leo, maafisa wa polisi bado wanasalia kwenye darubini kufuatia mauaji ya kijana wa miaka 13 aliyepigwa risasi akiwa kwenye roshani ya nyumba yao katika eneo la Kiamaiko mtaani Huruma hapa Nairobi. Yassin Hussein alikuwa akifuatilia yaliyokuwa yakiendelea nje wakati wa oparesheni ya kuhakikisho agizo la kutotoka nje usiku linatimizwa. Huku uchunguzi ukiagizwa kufanywa, mwanahabari wetu Gatete Njoroge amehudhuria mazishi ya kijana huyo aliyetarajiwa kufanya mtihani wa KCPE mwaka huu

Komentáře • 638

  • @nusaibahassan5842
    @nusaibahassan5842 Před 4 lety +49

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭Yaa Allah Mpokee Kijana Wetu Mpe Kauli Thabit lifanye Kaburi Lake kuwa kiwanja Miongoni mwa Viwanja Vya Peponi Allahumma Ameen

  • @nimonimo7657
    @nimonimo7657 Před 4 lety +70

    So painful seeing the dad breakdown in tears..

  • @ochiengatienolilian8921
    @ochiengatienolilian8921 Před 4 lety +43

    😭😭😭OH no, but why? I can feel the pain jamani, innocent boy gone just like that? God why

  • @Moses-Kuria
    @Moses-Kuria Před 4 lety +44

    This is too much ,we have idiots at the helm
    Imagine the pain of the parents

    • @esthernyaboke1764
      @esthernyaboke1764 Před 4 lety

      Why ??why Lord help my country stop this Ni ujungu Uhuru ajana na his city Aja Corona ituue kuliko kuuliwa bila kids pliz mbona Kenya yetu polisi wanatumaliza bila uharibifu

    • @mahbubdawood2909
      @mahbubdawood2909 Před 4 lety

      And was preparing for KCPE exams

    • @rubenprince8990
      @rubenprince8990 Před 4 lety +1

      Kenya 🇰🇪 is a war zone since long time but the world is not aware of that I feel pity for my African brothers and sisters here in abroad we don’t hear such inhuman behaviour

  • @judemasika9652
    @judemasika9652 Před 4 lety +19

    I almost bursted in tears when I saw that papa shedding bitter tears 😭😭😭😭

  • @kifaxalii8064
    @kifaxalii8064 Před 4 lety +36

    Inalillah waina ileyhi raajicuun😭😭😭 poleni sana😭😭😭😭😭😭

  • @mawia9004
    @mawia9004 Před 4 lety +15

    This is not right! Many policemen in Kenya are very ignorant, arrogant and foolish!
    We need wise ones! Poleni sana familia.

  • @nunoaraye4322
    @nunoaraye4322 Před 4 lety +21

    “Nataka kuona haki ya huyu mtoto kama kuna haki hii Kenya” thats the mother’s words 😭😭😭

  • @naimkangi6027
    @naimkangi6027 Před 4 lety +13

    We want justice ya hiyo mtoto police wenye kulinda watu dio hao wamekuwa wakuua kheri waache kulinda

  • @achesa120
    @achesa120 Před 4 lety +10

    This is so bad! I can imagine that father shedding the tear for his son.
    The government is failing us

  • @supumoto6819
    @supumoto6819 Před 4 lety +10

    ALHAMDULILAH uhuru umewaua waislamu 2 BURE tu, ALLAH ATAWALIPIA in sha ALLAH . Yassin umekufa shahid in sha ALLAH makazi ya peponi

    • @somaliskysports1673
      @somaliskysports1673 Před 4 lety

      Wacha kuleta mambo ya dini ndugu yangu

    • @tanumzalendo1567
      @tanumzalendo1567 Před 4 lety +1

      Updy Jamal
      Yep! This has nothing on dini! More kenyans have dead through police brutality 😰

    • @supumoto6819
      @supumoto6819 Před 4 lety

      @@somaliskysports1673 wataka niseme walioliwa ni akina NANI? Ikiwa ww huoni uchungu Kwa waislamu kuuliwa kiholela bila SABABU ntakuita MNAFIKI Ama vipi, unaweza niambia sababu yakuuliwa ilikua nini ? Walifanya makosa gan ? Naomba unijibu

    • @salumsaid6572
      @salumsaid6572 Před 4 lety

      INSHAALLAH AMEEN

  • @coyoluo
    @coyoluo Před 4 lety +16

    It’s time regular police to be stripped off all weapons, let’s have a special armed unit.

  • @abdik3531
    @abdik3531 Před 4 lety +16

    Inalilahi waina ileyhi rajicun......better Corona than shotting.....may Allah give us better life than this

  • @charleenhills9622
    @charleenhills9622 Před 4 lety +38

    Wait. They are using live bullets on citizens? Why?

  • @magdalenemajala180
    @magdalenemajala180 Před 4 lety +3

    Very sad indeed. Is just an innocent child. Our Condolences to the family and relatives. Pamoja❤️🙏.RIP.

  • @nasraabassnasraabass1888
    @nasraabassnasraabass1888 Před 4 lety +4

    Poleni sana pia mimi ni mama naskia uchungu sana Allah akupee subra dear hata mimi sijue nigefanya nini coz mimi hata naweza kuuwa huyo police akuna vile utauwa mtoto wangu na haja fanya makosa na wewe utempe free 😪😪

  • @mildredjael1338
    @mildredjael1338 Před 4 lety +16

    Polisi hawajui wanaua taifa la kenya 🇰🇪" sio kazi rahisi kufikisha mtoto Hadi huo umri" ni kazi ngumu" hao polisi wajue hivyo' badala waende kupambana na al-shaabab military

    • @nasraabassnasraabass1888
      @nasraabassnasraabass1888 Před 4 lety +1

      😂😂kweli

    • @mildredjael1338
      @mildredjael1338 Před 4 lety +1

      @@nasraabassnasraabass1888 yes" al-shaabab military wanachoma Hadi tractors" Sasa mtoto hana hata silaha yeyote" kwani imekuwa mzaha kwao?

    • @salmanamianga9868
      @salmanamianga9868 Před 4 lety +1

      Inauma kweli 😭😭😭😭😭😭

    • @mildredjael1338
      @mildredjael1338 Před 4 lety +1

      @@salmanamianga9868 wamezuia coronavirus

    • @mildredjael1338
      @mildredjael1338 Před 4 lety +1

      @@salmanamianga9868 ilikuwa vigumu polisi wa kitambo kufyatua risasi" sijui siku hizi kunaendaje

  • @lmdelos7609
    @lmdelos7609 Před 4 lety +8

    So sad.may his soul rest in eternal peace 😭😭😭

  • @samiasalim8322
    @samiasalim8322 Před 4 lety +3

    Poleni kwa yasin mungu awape subra yasin amekufa shahid inshalla

  • @ngigepaul1569
    @ngigepaul1569 Před 4 lety +2

    A father lossing a son is very painful.That pain cannot measured to anything

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 Před 4 lety

    Tupoe sana kwa msiba.
    Mtoto wetu tayari amepokewa katika bustani ya M/Mungu na atakuwa kinga ya wazee wake kwenda motoni.
    Subiri Sister subiri brother wangu.

  • @stellahnjagiakaemma9057
    @stellahnjagiakaemma9057 Před 4 lety +6

    Wewe polisi may you never know peace..this is so inhuman.

  • @elema5859
    @elema5859 Před 4 lety +2

    This is so sad😭😭😭 RIP may God comfort the family. While people are stressed about corona Kenya police are causes much more stress and depression the incosent citizens.

  • @GKilowatt
    @GKilowatt Před 4 lety +1

    Poleni sana kwa familia na marafiki wa huyu Kijana. Mungu awafariji na awape amani. Wale waliomuua huyu mtoto hataepuka hukumu ya Mungu.

  • @gideonmuchina9242
    @gideonmuchina9242 Před 4 lety +19

    And all of this after they let in the virus through the airport

    • @stephenimbo5830
      @stephenimbo5830 Před 4 lety +1

      Senseless use of force on innocent civilians . Yet when they are needed to patrol our neighborhoods to curb crime they are no where to be seen. Kenya police need to be retrained and to be reminded that they are members of society with just but a responsibility of enforcing the law. They are not the law , neither are they above the law.

    • @gideonmuchina9242
      @gideonmuchina9242 Před 4 lety

      I think they even need to be arrested
      it feels like we are safer without the police

  • @matanobaya7660
    @matanobaya7660 Před 4 lety +4

    Misishangai polisi wa Kenya kufanya Jambo hili.HAWANA DISPLIN. Wametrain kuwa agresive kwa mwananchi wakenya. Ninauhakika vile atanitreat Mimi sio vile atamtreat mzungu.

  • @artisthusnatalal3099
    @artisthusnatalal3099 Před 4 lety +5

    *From Allah we belong and to him is our return!* 😢

  • @nassernasser1457
    @nassernasser1457 Před 4 lety +12

    We want to see the bottom of this!!

  • @marriammarango7532
    @marriammarango7532 Před 4 lety +2

    Poleni sana kwa njaga hili pole sana babangu kumwanga machozi ni uchungu sanah

  • @widdytaj2204
    @widdytaj2204 Před 4 lety +8

    Ya Allah let it be justice

  • @leahjoram7693
    @leahjoram7693 Před 4 lety +7

    Why why why police? Innocent boy. May God revenge for him

  • @mariamgitau3614
    @mariamgitau3614 Před 4 lety +2

    Innalillahi wainna ileyhi raajiun poleni Sana Wana Familia mungu awape subra

  • @rahmamohammed1830
    @rahmamohammed1830 Před 4 lety +3

    Allah atawapa subra familiya ya yasin na inshaallah malipo ya mtoto Allah hakeem

  • @amnahnyangasi8330
    @amnahnyangasi8330 Před 4 lety +1

    😭😭😭😭Allah awajalie wazazi wake sabr,hakika ni uchungu

  • @sureladykiba5608
    @sureladykiba5608 Před 4 lety +10

    😭😭😭😭 Innalillah wainahillah rajiuon

  • @mohamedmohd8373
    @mohamedmohd8373 Před 4 lety +6

    Inallilahi wainailahi rajiun😭😭😭😭😭 mrs🇰🇪

  • @moxamudmudy1730
    @moxamudmudy1730 Před 4 lety +2

    Inallilahi wa inna ilehi rajiun so painful wallahi... May Allah give the family the patience and sabr

  • @salmasaidi2875
    @salmasaidi2875 Před 4 lety +1

    Pesa na mtoto nikipi cha maana 😭😭😭😭imeniuma sana tena sana hadi machozi yananitoka ila tu Inna Lillahi wainna ilayhi Rajiun

  • @wlkmwlkm3381
    @wlkmwlkm3381 Před 4 lety +2

    Broken my heart 💔💔 why don't they dill with Corona virus waihitafute waipate na wahipige na gun kuliko kuhuwa mtoto innocent like that .

  • @deborasoa3653
    @deborasoa3653 Před 4 lety +6

    Inauma sana bora ufe na corona kuliko kuua mtoto kwa mikono yenu

  • @preciouslynn8358
    @preciouslynn8358 Před 4 lety +1

    This is so painful!I feel for His parents😢😢😢😢Kenya,Kenyaaaaa

  • @khadijaomar7529
    @khadijaomar7529 Před 4 lety

    Jamani police wa wakenya mnaelekea wapi mbona mtaletea nchi laana badala ya ugonjwa mnawamaliza wananchi kwa mikono yenu
    Nimelia sana leo kwani hata mimi niko na mtt 13 old kila mzazi lazima aumie zaidi haki mungu amlaani alie katisha maisha ya huyo mtoto kwa kisingio cha Corona na mungu amlipe maumivu zaidi walio pata family yake huu mto is so beautiful 😢😢😢😭

  • @GoogleAccount-ur8os
    @GoogleAccount-ur8os Před 4 lety +2

    Juzi MTU wa NTV alipigwa na baadae ati ameomba msamaha kisiri kwanini hatujaonyeshwa hadarani.
    Na hii pia lazima tuonyeshwe ni huyu ndio amemuua mtoto ahukumiwe kifo!!

  • @winnieapunda4834
    @winnieapunda4834 Před 4 lety +3

    Very sad indeed my condolence to the family, RIP innocent soul

  • @fhblessedfamily6873
    @fhblessedfamily6873 Před 4 lety

    The pain of losing a child hurts so bad 😢. May GOD comfort the family.

  • @adnanbossy4097
    @adnanbossy4097 Před 4 lety +1

    Very painful 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 young and innocent kid,Mungu tukumbuke qwa Imani yako 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @titusmaina1573
    @titusmaina1573 Před 4 lety +2

    Which hearts do these guy's have honestly 😭😭😭 surely you shoot an innocent boy for no reason,,why why why????mi Sina uwezo .. condolence to the family 😒😒Almighty God will see you through . Mr President just see this and do something.. it's really hearting 😒

  • @paulsoprin4797
    @paulsoprin4797 Před 4 lety +5

    Uhuru must intervene this.waandike watu wa C and above kazi.kuandika watu wa D ndo shida coz hawana akili ya kufikiria

    • @francknjosh7081
      @francknjosh7081 Před 4 lety

      Akili zao ziko chini ya miguu jameni

    • @p.be.s
      @p.be.s Před 4 lety

      He cant intervene...he is one of them. Ask Bensouda.

  • @ladymashaallahilikeuaadvis997

    Allah awape subra kubwa jamii yote waliopatwa na msiba huu mkubwa, tena mzito

  • @rukiamwakuzimu3863
    @rukiamwakuzimu3863 Před 4 lety +4

    Innalilahy wainnaillay rajiuni 😭😭😭poleni ila mungu yuko nanyi

  • @abouhamidu9623
    @abouhamidu9623 Před 4 lety

    Mwenyezi mungu atalipa hili kwa aliye litenda hili pamoja na kikosi chote kilicho kuwa kwenye dolia hawa machizi tunao waona barabaran sio wote wamerogwa wengine dam za binadam za Watu naamini hili Allah atalipa Alhamdulilah

  • @michaelblumer69
    @michaelblumer69 Před 4 lety +1

    Me singewai acha kulia....this is so painful to imagine it happening to me 😖😯

  • @mercymungai812
    @mercymungai812 Před 4 lety +1

    😭😭😭😭😭 Wooiiiii, why now, why?? Such an innocent soul. May God give you peace.

  • @alicewanjiku3610
    @alicewanjiku3610 Před 4 lety +1

    Huyo mama amesema ukweli afadhali mtu akufe na corona kuliko kuuliwa na binadamu mwenzako.. police r not Human at all

  • @haipaabdu3991
    @haipaabdu3991 Před 4 lety +1

    Woiye pole kwa familia ,aki kenya ni lazima kukitokea jambo ,damu isiyo na hatia imwagike .

  • @Reg2545
    @Reg2545 Před 4 lety +1

    I can`t watch for more than one time.. i feel paaaiiin inside my heart...very sad,,but why??????????????????????????? 😭😭😭😭

  • @fatumaramadhanmashaallahal9966

    Ina lilah waina ilahi rajiu Pole sana mungu ampe subra wakati huu inshaallah

  • @nyachotiokari6626
    @nyachotiokari6626 Před 4 lety +2

    Huyu polisi akamatwe na afungwe kinyonge kama iko please, poleni wazazi!

  • @chocolateblended
    @chocolateblended Před 4 lety +5

    How is murder and violence fighting the pandemic.

  • @shamreenkhaemba3674
    @shamreenkhaemba3674 Před 4 lety +1

    Heartless officers na mko na watoto surely:? May God fight for Kenyans against this freemasons

  • @rahmasuweyd827
    @rahmasuweyd827 Před 4 lety +1

    Very sad indeed 😢😢 kiukweli police wengine niwabaya Sana

  • @amashbaibe8361
    @amashbaibe8361 Před 4 lety +1

    The police will get away with it as that's kenya but in the eyes of God they will never. My condolences to the family and friends may he rest in peace

  • @lucymuthonilucy4882
    @lucymuthonilucy4882 Před 4 lety +1

    So painful 😢and I can't hold my tears,

  • @isaactanjeu4629
    @isaactanjeu4629 Před 4 lety +2

    I feel the pain in that family the police that are supposed to protect the lives of Kenyans are the same taking their lives...too bad failed state

  • @willomo-fire1677
    @willomo-fire1677 Před 4 lety

    It's even more worrying that neither Matiang'i or the president have commented nothing on the police brutality so far. God help Kenya.

  • @jecintahkamau327
    @jecintahkamau327 Před 4 lety

    Am fully in support of lockdown and police at work to keep order, but this not the way to do it. Let there be justice for that young soul. It's painful...😭😭😭

  • @suziehennessy9829
    @suziehennessy9829 Před 4 lety +3

    Soo painful 💔😭😭😭 Rip Child

  • @empressgee
    @empressgee Před 4 lety +1

    This is so heartbreaking.
    We need justice.

  • @jonnyaga8904
    @jonnyaga8904 Před 4 lety +2

    I feel for the young man Yassin whose life has just been wasted by trigger happy cops. Curfew doesn't require use of live bullets in the hands of rogue cops. There is so much transformation work that's required in our police service, especially those in localities that are economically deprived. I doubt the same behavior could be seen at Karen, Runda, Kitisuru, Muthaiga etc. The IG Mutambai, should just go back to the Barack where he was. Policing is not military and it deals with civilians and not enemy soldiers or Al Shebab fighters. President Uhuru needs to review policing and listen to experts not rogues like Matangi & Kebichi who are masquerading as security experts. We have lost so many lives in the hands of rogue cops while others try to imagine they're Sherlock Holmes in the manner they investigate crimes that end up more where. The curfew has already claimed two lives in just three days of it effectiveness. The president has to decide if he will have Kenyans killed by the police if Corona spairs us. Government squandered public funds on useless Reggae BBI fun fair and now there no medical PPE supplies to help medical personnel in their work of saving lives. A small land locked state like Rwanda has demonstrated what quality leadership isn't or is it?

    • @paulmwinga8739
      @paulmwinga8739 Před 4 lety

      When a police force acts with impunity then the government it represents forfeits it's legitimacy!
      The police chief and Mr Matiang'i should do the decent thing and resign or be sacked immediately.

  • @matanobaya7660
    @matanobaya7660 Před 4 lety +2

    Corona imeua =1
    Polisi imeua =2
    Bado wakenya tunahesabu.😷😷😷😷😷

  • @nuria7234
    @nuria7234 Před 4 lety +1

    I went to give pole kwa family of this innocent soul.They own the house from ground to third floor huezi sema wezi waliingia hapo ama wenye walichelewa nje walijificha ati kwa hiyo nyumba.They are in their own balcony.why was he killed he was in his dad's residential home.soo sad

  • @kevohwapipelinetransami4351

    So sadi indeed and in Kenya always there is no justice.. the scene makes me to recall baby Pendo mbaya sana poleni familia Yasin

  • @breakingnews8978
    @breakingnews8978 Před 4 lety

    May Almighty intervine through...

  • @moniquewilliams5417
    @moniquewilliams5417 Před 4 lety +3

    Police hawajui kazi yao,WAJINGA police, alshaabab imewashinda takataka kabisa, najihurumia kuwa mkenya

    • @mariyammaria3366
      @mariyammaria3366 Před 4 lety

      Monique Williams maze waende wakapambane na alshaabab kwanza hao sio mapolisi tena itabdi tuwaite covin19 coz wanauwa kuliko iyo ugonjwa

  • @mabyserolouchcraig2431
    @mabyserolouchcraig2431 Před 4 lety +4

    Innalilah rajiun this is too much jamani😭😭😭😭😭😭

  • @rosenelima8618
    @rosenelima8618 Před 4 lety +1

    Kenya,kenya,kenya where will we hide our selfs?so sad,I feel the pain,,,

  • @GucciPabz
    @GucciPabz Před 4 lety

    May Allah grant Yassin Entry into Jannah,may yo family find peace In Shaa Allah

  • @mwanamwinyibmwakinalo4094

    😢😢😢😢😭😭😭😭😭😭😭. Innalillah waina illah rajiun,pole sana Allah awape subra katika kipindi hiki kigumu inshaallah, Kenya hakuna haki ila ALLAH NDIE HAKIMU WA HAKI 😭😭😭😭 .Ya Allah wahukumie waja wako wanaodhulumiwa bila hatia Amiin

  • @getuamamo6974
    @getuamamo6974 Před 4 lety +1

    Asikari wa huruma wanatusumbua sana akishika mtu wanasema leta pesa kwani sisi tuna wokota pesa chin

  • @malekjr9699
    @malekjr9699 Před 4 lety +1

    Inna lillahi wainna ilayhi rajiun, maskari Corono imewachanya akili wamekua wandawazimu watumia bunduki kiholeholela huyu mtt mulie mua mungu atamlipia

  • @alicewambui3979
    @alicewambui3979 Před 4 lety

    Polisi wako na makasiriko juu hawana hongo raundii hii,Mungu awaone xna kwaza hao wana viatua risasi ujinga ujinga,rip bby boi😭😭😭

  • @siyamaibrahim2773
    @siyamaibrahim2773 Před 4 lety

    Inna lillahi Wainna Illayhi rajiun aki uruma sana alie fanya hayo atakwa na amani katika maishani mwake😢😢😢😭😭😭😭

  • @ahmedibrahim-bg2uz
    @ahmedibrahim-bg2uz Před 4 lety +1

    Sad this not police officer gangster unit, nothing will no justice injustice will continue.

  • @scharlethearttitular4368
    @scharlethearttitular4368 Před 4 lety +2

    Rest with the angels baby boy it's so painful 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @miriammutheu106
    @miriammutheu106 Před 2 lety

    God shall repay it for the family . A cool boy my neighbour sikuaminu

  • @nikapu8170
    @nikapu8170 Před 4 lety +6

    Polisi wakora💔

  • @KenRazy
    @KenRazy Před 4 lety

    They should not be shooting in the 1st place.... This is so painful may God comfort you. Pole sana Baba na Mama Yasin .And may justice be done!!!

  • @bettykenyausatv
    @bettykenyausatv Před 4 lety

    Poleni sana aki so sad Mungu awafariji wakati huu.

  • @commons3nse883
    @commons3nse883 Před 4 lety

    So sad.. may they find Justice.. Prayers to the Family

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 Před 4 lety +2

    Inna lillahy wa inna illayhi Rajioun, Poleni Sana.

  • @gideonmuchina9242
    @gideonmuchina9242 Před 4 lety

    It is sad to say in kenya we are safer without the police😞😞😞

  • @malkiafatiya4397
    @malkiafatiya4397 Před 4 lety

    The sad thing is that justice is not for the common mwananchi in kenya, wanadanganya wakenya ati wanafanya uchunguzi which is nonesense. Uchungunguzi ni ya kazi gani na polisi ameuwa mtoto Nkt
    Mungu lakini halali.

  • @tamimwatamim3427
    @tamimwatamim3427 Před 4 lety +1

    THIS POLICE DEPARTMENT ARE BUSHIT. THE GOVERNMENT IS BUSHIT. MTOTO BASI JAMANI!!! NAYUKO HOME!!! HAWA CYO POLICE BALI NIWASHENZITU KUMAMAZAWO.

  • @lissajeruu8301
    @lissajeruu8301 Před 4 lety

    So sad. So sad...may God give u courage that you've lost your beloved ones...

  • @user-nr1bf7iu8z
    @user-nr1bf7iu8z Před 4 lety +3

    innalillahi wainnaileyhi rajaoun rahmaAllah

  • @rabikozeth
    @rabikozeth Před 4 lety +2

    This time hakutakuwa na case na police but the only way ya kuwakomesha ni kuzika mwili na dawa za kiganga the killed body to follow the killer

    • @rafokizo5429
      @rafokizo5429 Před 4 lety

      True nimesubiri tu wajikute wameuwa wangu it will be a lesson to the rest of other police hakuna case tutafanya but kuondoa yule aliye muua .yani wataamini wasio yajua

  • @KipZachary
    @KipZachary Před 4 lety

    So painful to the family and friend, we as kenyans we are not happy, huyo police anafeel aje akiwa kwake akicheza na mtoto wake kwa nyumba. Kenyan police je kitumbua kiliingilia mchanga wapi? Why is the law in Kenya?

  • @joanmwangi5624
    @joanmwangi5624 Před 4 lety +2

    Wah😭😭rest in peace,

  • @joanatemo1858
    @joanatemo1858 Před 4 lety

    Naomba serekalini ya Kenya kuandika kazi watu waakili timamu,walevi wanamua malaika was mungu inauma sana.

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 Před 4 lety +2

    Si muende mkapigane na Alshabab mbwa nyinyi.