Jinsi vijana wa Mulot wanashiriki wizi wa pesa kupitia mtandao

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 07. 2024
  • Mji wa Mulot katika kaunti ya Bomet unajulikana kuwa na wezi wa pesa mtandaoni kupitia simu,wahusika wengi wakiwa vijana wanaokosa ajira wenye umri kati ya miaka 14 na 35. Ili kubaini kiini cha uhalifu huo, mwanahabari wetu Aron kipkoech alitagusana na wakazi wa eneo hilo na kutuandalia taarifa hii.

Komentáře • 77