Maneno ya Wakenya baada ya Rais Magufuli kuwasili
Vložit
- čas přidán 30. 10. 2016
- Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli ameanza ziara nchini Kenya ambapo kwenye siku yake ya kwanza October 31 2016 alipokelewa na Rais Kenyatta Nairobi - Ripoti ya AzamTV
Wao this so lovely the 2 country being together
hongera My President JPM
Love my country, love east Africa unity and Africa in general, long live ourcontinent
Magufuli amekua namba wani afrika
Magufuli president of Kenya💪
Kheeeeeee president of kenya
Hhhhhhhha
Welcome and feel at om Mr JPM
Welcome to Kenya the president of Tanzania we love you feel at home
👍👍👍
Magufulification from 254 tunawapenda kenya
thank you guys..Kenya ni watu wanaupendo sana. mlimkaribisha Rais wetu kwa upendo mkubwa na heshma kubwa sana
NABII AKUBARIKI KWAO ONA WENZETU WANAVYOMPENDA
RAISI WETU TUJIFUNZE UPENDO MIMI BINAFSI NAMPENDA RAISI WANGU JOHN POMBE MAGUFULI
Kwani uneona wap hawampend tanzania acha unafiki ww watanzania wengi wanampenda sana
Hongera sana amiri jeshi mkuu rais John Magufuli raisi wetu Mungu akulinde dady.
welcome mr John Pombe toboa majipu wafuate mkondo na kauli ya msisitzo hapa kazi tu na umwambie prezo pia apunguze salary ya wana bunge wananyima wengine uhuru wa kujikimu kimaisha kwa sku mahitaji yake ni 100 its not fair
huyo magufuli rais wetu wa Tanzania
Mashallah tabarakallah
Hiyo speed ya magariii
Sema tu wasije kumbeba na kuanza kudai ni rais wao.....maana hawa wakenya kila kitu kizuri chetu wanadai chao
Makufuu at home manzee👍👍
Waelewa... Kazi kwetu
Safiiiiii
mmh
Vinzur sna
Hapo poa
Ww kk umeongea point
God bless you man of God long live you are Joshua in the bible God bless you l love you you us a true love good president l had never seen in this world l covered you with the blood of JESUS ✝️✝️✝️✝️🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪
karibu magufuli tupendanee sana
Heshima kubwa
ongera john pombe kwakenda kenya
Unajisumbuwa Kikuyu hawezi Acha uwizi hata ulie machozi ya Damu
Magufuli kipenzi cha watu Mungu azidi kukupigania🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
MR MAGUFULI NAMPENDA SANA ANAVYO FANYA KAZI YAKE
Mali ya kenya
Rais Magufuli,Karibu Kenya
All the best magufuli
Mungu ampe maisha malefu mana amekuwa mfano wakuigwa mataifa jilani baba piga kazi usjali mano ya waza kalanga mtahani
Kenya Tz ni Ndgu,lazima tuungane.
Nyinyi🇰🇪 muna tabu kweli
wanatesa magar ya tz huko
Haruna Chiff wanayatesa vip
MOJA YA TENDO LA HASARA UNALOWEZA KUFANYA MWEZI OCT NI PAMOJA NA KUTO KUMPIGIA KURA RAIS WETU JPM KUONGOZA TZ 5YRS.
JIEPUSHE NA HASARA.
alafu utaniambia kuna upinzani ukawa wanajisumbua tu
achen ujinganyie mnawashwa
Livione Mwangemile twawshwa na nini jmn mbona miyayusho-tulia
Livione Mwangemile kvp ss
Sasa matusi ya nini? kipi kinachokuuma mpaka unatukana hovyo??!!
zaburikwayatunduma
I love Kikwete and Mkapa...
No offense..
Pambana
pooooooole
JPM JUUUU JUUUU JUUUU ZAID
ww boya magufuli unamjuwa unamsikia mpkan umuwekee sifa sisi wenyewe tumemshangaa
baba yako ni boya aliliwa na magu
Twampenda magufuli wenye wivu mjinyonge tu na roho mbaya yako
mmh