Vijana wawili waliopotea wakati wa maandamano wapatikani kama wameuawa jijini Mombasa

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 07. 2024
  • Familia Zaidi Zinaendela Kujitokeza Kuripoti Kufariki Kwa Jamaa Zao Baada Ya Kupigwa Risasi Na Maafisa Wa Usalama. Mjini Mombasa Familia Ya Denis Otieno Inaomboleza Kufuatia Kifo Cha Kijana Huyo Wanayesema Hakuwa Miongoni Mwa Waandamanaji. Na Kama Anavyoarifu Francis Mtalaki Denis Alipigwa Risasi Zaidi Ya Tatu Kwenye Mgongo Hadi Kufariki.

Komentáře • 128

  • @timothyonyango9
    @timothyonyango9 Před 29 dny +29

    With all looks and facts KK govt is surviving through human blood 😭😭😭😭😭😭😭😭 but God will act soon on this shakahola govt.

  • @StephenWekesa-ul8il
    @StephenWekesa-ul8il Před 29 dny +17

    Ruto must go

  • @HassanAthuman-lf7cz
    @HassanAthuman-lf7cz Před 29 dny +20

    Serekal ndio wauwaji hata hao vjana waliuliwa na maafisa lkn mungu upona anaona

  • @luckyluchano1
    @luckyluchano1 Před 29 dny +11

    The pain of the mother is evident and I pray it won't be in vain😔

  • @MargauxNyambura
    @MargauxNyambura Před 29 dny +13

    This government honestly has caused lots of families to shed tears

  • @Nicholas-yr2sq
    @Nicholas-yr2sq Před 28 dny +4

    Wazazi itabidi mupange maadamano yenu siku moja 😎

  • @aishasaidi1784
    @aishasaidi1784 Před 29 dny +7

    Wakati wa maandamano yenyewe hakukuwa na kazi sema tu polisi ndio wenye lawama kubwa na mauaji😢

  • @msamsa1031
    @msamsa1031 Před 29 dny +7

    Haki gani , na uhai utawahi rudi

  • @rwenji22
    @rwenji22 Před 28 dny +3

    Hata kama alikuwa kwa maandamano, ni ukatili mkubwa wa serikali ya Ruto kutumia risasi za moto dhidi yao.

  • @davidthuks2128
    @davidthuks2128 Před 28 dny +1

    Wangeua kama kumi hivi iwe funzo ya waandamanaji

  • @danlamboghini6427
    @danlamboghini6427 Před 29 dny +2

    Pole mum

  • @wakenyaskytv6937
    @wakenyaskytv6937 Před 29 dny +6

    Ruto stop killing our children

  • @anneorina2975
    @anneorina2975 Před 29 dny

    Condolences to the family

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj Před 29 dny +1

    Kesho Mungu yuwasibi wote wauwaji

  • @alicembari8190
    @alicembari8190 Před 29 dny

    God will answer our prayers

  • @denniscemagik1260
    @denniscemagik1260 Před 26 dny

    Parents (not necessarily concerned with this) Please, kuna watu nawajua wanafanya uhuni na ujambazi na wazazi hawana ufahamu. Mzazi anajua mtoto wake anafanya job ya ki uhaki ilhali wanao wanaficha siri na kuiba chini ya maji. Kuna wengine hata bibi zao hawajui so please, tutafute pesa kwa njia za kiukweli

  • @lynnomondi4899
    @lynnomondi4899 Před 29 dny +1

    Ruto must go yawa....

  • @roseatienoogutu7641
    @roseatienoogutu7641 Před 23 dny

    polesana ai jamani Tuto

  • @mercyserem1821
    @mercyserem1821 Před 28 dny

    Oo mama pole 😢😢

  • @peterjowi3894
    @peterjowi3894 Před 25 dny

    Francis mtalaki hapana sema rwinga, ni runinga ya citizen😂

  • @jamesmwangi9461
    @jamesmwangi9461 Před 28 dny

    rutu must goo

  • @ndarochibingu
    @ndarochibingu Před 28 dny

    Eeeh 😂😂 hasilo tawala

  • @MuthamaSabastian
    @MuthamaSabastian Před 23 dny

    Hawa maaskari ka wanajulikana inafaa watembelewe cos ata wakishikwa wataachiliwa bure...wapewe tu Genzs

  • @josephwairimu6222
    @josephwairimu6222 Před 29 dny +3

    Koome must go

  • @MM-gh8wb
    @MM-gh8wb Před 29 dny

    Mtoto yupi

  • @karutyericscomedies2783
    @karutyericscomedies2783 Před 29 dny +1

    This sounds very unpleasant 😢
    Brutality on peaceful protesters

  • @ZawadiKalume-zb6lb
    @ZawadiKalume-zb6lb Před 18 dny

    Hao mapolisi wachukuliwe hatuwa

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz Před 26 dny

    Ruto hawezi badilika yaelekea are all danger in Kenya Ruto atawamaliz

  • @ExaveryDominick
    @ExaveryDominick Před 28 dny

    Malipo hapahapa😂

  • @edwingichobi1657
    @edwingichobi1657 Před 28 dny +1

    Swali ni je,wenye hayo magari waliochoma ndiyo waliua huo vijana kweli?Na kama hapana,mbona walichoma magari ya wenyewe basi? Asiyefunzwa na mamae hufunzwa na ulimwengu

    • @Borvia109
      @Borvia109 Před 28 dny

      Hehehe no worries hutafikiwa

  • @richardotieno7146
    @richardotieno7146 Před 29 dny

    Tunalani hii kitendo inayofanyika humu Nchini ,Kama vijana Tunaona tukirudi Barabarani Kutetea haki za wenzetu walio Uwawa Kiunyama na Maafisa wa Polisi ,Ruto must Go ,

  • @gabrielngugi3553
    @gabrielngugi3553 Před 22 dny

    Please this very wrong,mr president resign like koome

  • @theozansfamily1029
    @theozansfamily1029 Před 29 dny

    My dad was a Corp and always against police brutality to date 😢. It's so Unfair that a Kenyan killed another Kenyan for fighting for their basic Right. The hatred between the police and raia is Evidently during the training of "makurutu"

  • @GabrielbarakaThoua-fh8ow
    @GabrielbarakaThoua-fh8ow Před 29 dny +2

    Huenda aliuliwa Kwa sababu ya Jina tu "Otieno" maskini.vifo alivyosema raisi Ruto havitatokea.Mungu amlipie.

  • @FredrickOwinyo
    @FredrickOwinyo Před 28 dny

    Bunduki haiuwi watu, watu ndio wanaua watu.

  • @user-qq5wo9vm5s
    @user-qq5wo9vm5s Před 17 dny

    Yenye kuua lasima via wauliwe
    Kivimo wamepimia wengine
    Fia wafimiwe nayo
    Nawatolewe patis zao situpiwe
    Yenye kuitaji walio ua na Buduki
    Wauliwe na Buduki hivyo hivyo

  • @adtvhjnjkivvfw51
    @adtvhjnjkivvfw51 Před 28 dny

    Wauwaji umbwa😢😢😢

  • @KenJuma-tz2hg
    @KenJuma-tz2hg Před 29 dny +1

    Bado wanatuua ?

  • @Tokneetoe
    @Tokneetoe Před 29 dny +1

    This government kazi ni kusafirisha mwili places zingine ndio watu wasipate loved ones wao ....Githurai bado tunajua watu walipass wengi those shots could have been kwa hewa

  • @agripinabukhala649
    @agripinabukhala649 Před 28 dny

    Ipoa wako nao

  • @SalimuNyanje
    @SalimuNyanje Před 29 dny

    Hawana hurum n watu

  • @bensonathewa5956
    @bensonathewa5956 Před 28 dny

    😢😢😢while politicians are just relaxing in there palacual homes

  • @ExaveryDominick
    @ExaveryDominick Před 28 dny

    Malipo haphapa duniani

  • @robertoriato3654
    @robertoriato3654 Před 28 dny

    Hivi serikali imewekewa wanted

  • @charleskiarii-nf5cc
    @charleskiarii-nf5cc Před 29 dny

    Uyuu Ruto n haka Ka serekali kake

  • @mahbubmo
    @mahbubmo Před 29 dny +2

    Im not saying the killings are right but what does kicking a car and destroying you fellow kenyans property got to do with your anger for the government?

    • @peterkariuki9073
      @peterkariuki9073 Před 28 dny +1

      Ruto pays the goons who do that. Ask him that question.

    • @Nicholas-yr2sq
      @Nicholas-yr2sq Před 28 dny

      Rubbish

    • @mahbubmo
      @mahbubmo Před 28 dny

      @peterkariuki9073 No it's a behavior, look at the past. Can't blame all your issues on ruto.

    • @user-td3oo1ye9n
      @user-td3oo1ye9n Před 17 dny

      Good question....alafu mtu akiuliwa wanaannxa kulaumu police...

  • @marypatrick6667
    @marypatrick6667 Před 28 dny

    Gen Z simuwatafutee Hawa wauaji..

  • @GabrielbarakaThoua-fh8ow

    Ombati Jina TU maskini

  • @georginamueni5935
    @georginamueni5935 Před 28 dny

    The killer policemen know that there is God who fights for his people.

  • @Watt-er8or
    @Watt-er8or Před 29 dny +4

    Sorry to the family,, but majority of the people who were shot are Luos..Is it coincidence or some people are just violent.. Usicheze na maisha, maandamano iwe ya amani..

    • @Billcl8nyon
      @Billcl8nyon Před 29 dny

      They are ones causing chaos and breaking into people's businesses in the name of maandamano.

    • @KenJuma-tz2hg
      @KenJuma-tz2hg Před 29 dny +2

      Mjinga ww

    • @kenyanowtv
      @kenyanowtv Před 29 dny

      The most stupid comment,you ate just a fool.

  • @AnkoLolo-mv5bk
    @AnkoLolo-mv5bk Před 29 dny +4

    Pole mama ila naomba tu msiweze tu kulaumu na kusema hakuwa kwa maandamano Ina maana alipigiwa ndani ya nyumba wako watu walirushia askari mawe japo sijasema kijana wenyu Ni mmoja wao

    • @KenyanRapper-lo6fb
      @KenyanRapper-lo6fb Před 29 dny +3

      Fikiria unapozungumuza kumbuka Kuna Leo na kesho🤐🙏🙏

    • @nishaabdula5015
      @nishaabdula5015 Před 28 dny +1

      Hawayaoni hayo na wnachoma moto vitu wnavynja maduka ya raiya wenzao n akuchoma moto ss hayp ndoaandamano gn jmn kaa

    • @Nicholas-yr2sq
      @Nicholas-yr2sq Před 28 dny

      Wako hajauliwa ndio unaongea kama msenge, Ni Sisi Na nyinyi Sasa wakati umefika😎

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 Před 28 dny +1

    Shida ya wtt wenu hawfanyi maandamano ya kutaka hk bali yakuaribu nchi mana wao wnacjoma vigu moto wna iba mali za raiya wenzao nakupiaaskar mawe ss unafikir askar na yy ni mtu anajitete

    • @peterkariuki9073
      @peterkariuki9073 Před 28 dny

      Weee mjinga kweli. Wanaofanya hayo maasi hutumwa na serikali kuharibu maandamano.

  • @DavidNyamongo-un1sc
    @DavidNyamongo-un1sc Před 29 dny +1

    Bado tutawaua wengi kesho,hii si maandamano ni uhuni tu

    • @JosephEmmanuel-eb7gj
      @JosephEmmanuel-eb7gj Před 29 dny

      😢😢😢 wew ni binadam

    • @user-vz7cc3qv9f
      @user-vz7cc3qv9f Před 28 dny

      We jaribu nikupate nakunyonga umfuate

    • @nishaabdula5015
      @nishaabdula5015 Před 28 dny +1

      Kwel uhuni tu km ni maandamano ya kudai hk kwnn wachome vitu moto kwann wavunje madukaya raiya wenzao na kuiba mali ni u huni je

  • @christinechirchir2560
    @christinechirchir2560 Před 29 dny +3

    Ambieni hawa watoto wenu wakae kwa nyumba stay home stay safe bure mtakuwa mkilia kila siku serekali serekali akuna siku serikali itatoa watoto waende maandamano

    • @mercymulwa8917
      @mercymulwa8917 Před 29 dny +5

      Unaongea kama mtu mjinga aje?

    • @christinechirchir2560
      @christinechirchir2560 Před 29 dny +1

      @@mercymulwa8917 ni Nani analia sai ni mjinga ama viherere ndio mnalia

    • @remiomar7154
      @remiomar7154 Před 29 dny

      Soo uogope kufa huku ukilazimishwa maisha uishi maisha usiweza kujimudu siku yake ilikuwa imefika

    • @christinechirchir2560
      @christinechirchir2560 Před 29 dny +1

      @@remiomar7154 sasa hiyo maisha mzuri ataishi akiwa kwa kaburini?

    • @mayaspanic221
      @mayaspanic221 Před 29 dny +1

      Your second name says/explains a lot. I won't even bother to reason with you nor stoop to your level

  • @fredmariita8930
    @fredmariita8930 Před 28 dny

    Ni ruto na police tu lakini MUNGU yupo mtalipia

  • @sarahmbuche5189
    @sarahmbuche5189 Před 28 dny

    Huyo mkora sijui atakubali lini kuondoka kwenye kiti watu wapate amani

  • @SalimuNyanje
    @SalimuNyanje Před 29 dny

    Hawana hurum n watu