Kundi la sungusungu ladaiwa kuuwa vijana watatu Mombasa

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 08. 2024
  • Wasiwasi umetanda mtaani Shanzu Kisauni kaunti ya Mombasa baada ya vijana watatu kudaiwa kuuwawa na kundi lijulikanalo kama Sungusungu wakiandamana na chifu wa eneo hilo. Baadhi ya vijana walitaka kulipiza kisasi hii leo kabla ya viongozi kuwatuliza. Jamaa za waliouwawa wamekana kuwa vijana hao ni wahalifu.

Komentáře • 105

  • @Aisha_houses
    @Aisha_houses Před 7 měsíci +7

    Congratulation chief and sungusungu kazi ifanyike kama ya marwa❤❤❤❤

  • @remiomar7154
    @remiomar7154 Před 7 měsíci +29

    Watu wa mombasa hawakubali ukisema n waizi mtakosana sana hufichia watoto wao maovu yao

  • @geoffreykioko3317
    @geoffreykioko3317 Před 7 měsíci +14

    Kazi safii sana....sungungusu hao wako sawa kabisa...hao watoto hawana huruma na watu wala mali za watu

    • @brianlumumba5494
      @brianlumumba5494 Před 7 měsíci +1

      Unaongea ujinga maana huju kilichotokea naomba mungu kwa family yako nayo itoke

    • @piusnyaboga903
      @piusnyaboga903 Před 4 měsíci

      ​@@brianlumumba5494ww tulia hawa vijana wanasumbua sana

  • @RAJ-R64
    @RAJ-R64 Před 7 měsíci +3

    good work chief... maliza wao

  • @juliusjamanda7313
    @juliusjamanda7313 Před 7 měsíci +10

    Good work watu wa Shanzu mkuje huku mshomoroni na Barsheba pia

  • @asusasimba9877
    @asusasimba9877 Před 7 měsíci +10

    Shanzu hawapendi ujinga sungusungu waje Mtwapa

  • @user-nw5cl1jz8h
    @user-nw5cl1jz8h Před 7 měsíci +5

    Kazi nzuri chifu

  • @nickmumba2170
    @nickmumba2170 Před 7 měsíci +5

    Kijana alikua mwizi kweli na amehangaisha watu sana ila tu kuwaua pia nayo sio sawa

  • @waywepet6871
    @waywepet6871 Před 7 měsíci +7

    Hakuna siku Sungusungu wataua mtu bila ukweli.Kama sio Sungusungu kuamka chini 2011 Bokole Changamwe ilikuwa tunakatwa mapanga.Polisi hawawezi hao wahalifu heri Sungusungu.I wish Likoni pia iwe na Sungusungu tumechoka.Mtu anaiba Leo kesho anaachiliwa anarudi mtaani unatarajia wananchi wafanyeje.Nyumba yangu Likoni ilivunjwa twice na wanaiba mpaka Royco aki tu wezi.

  • @Guest-fm8sb
    @Guest-fm8sb Před 7 měsíci +6

    Wamama wamezoea kutetea watoto wao wahalifu

  • @user-dv7vg1wm9c
    @user-dv7vg1wm9c Před 6 měsíci +1

    Ni vizuri mwizi anafaa kukufa kuenda uko

  • @juliusjamanda7313
    @juliusjamanda7313 Před 7 měsíci +8

    Afadhali hvyo...JU hamjui vile Hawa vijana wamefanya watu walemavu na kuuwa...

  • @lucymwai7645
    @lucymwai7645 Před 7 měsíci +5

    Oh my God, sasa hii ni maneno gani jameni wooiyie Kenya yetu 😢😢

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc Před 7 měsíci +2

    Sungu Sungu hawezi ua mtu hovyo kabisa!!! Hao vijana ni wahalifu na niwaizi kabisa!!! Eti walifatwa nyumbani kama wamelala hiyo sio sababu sio wahalifu.....hao vijana wakikupata njiani ndio utaelewa maana ya uhalifu.....good job sungu sungu

  • @SmasherBee
    @SmasherBee Před 7 měsíci +3

    Mtalaki aendelee kuripotii tu akiwa coast..his swahili is just fluent😊

  • @omodesigner
    @omodesigner Před 7 měsíci +5

    Sheria kwa wananchi.

  • @mufush
    @mufush Před 7 měsíci +3

    Welldone chief

  • @abigaelmokandu8978
    @abigaelmokandu8978 Před 7 měsíci +5

    Hao vijana ni wanaua watu Mombasa ukipatwa usiku wakatwa mapnga

  • @AffectionateCabin-fp6qs
    @AffectionateCabin-fp6qs Před 7 měsíci +7

    I remember when i was attacked by two armed robbers i managed to disarm one of them and caught one of them took him to nyali police station with his armed knice but later the ocs released him its useless to take thieves to police station because they are the same guys who are self armed

  • @Sodea-ej9qg
    @Sodea-ej9qg Před 7 měsíci +2

    Siku za mwizi ni arobaini, next ni mungiki sasa, mulisikia maneno ni matatu mukafikiria ni mchezo🤣🤣

  • @BABAGIFTBOY
    @BABAGIFTBOY Před 6 měsíci

    Wakati wakipora na kuwaua watu wengine nyinyi mkiletewa pesa na haukuulza mtoto wako anatoa wap pesa na Hana kazi kumbe sai mkonna uchungu nanyi

  • @husainsmith3103
    @husainsmith3103 Před 7 měsíci +2

    Wauliwe tu vipanga vimezidi mtaani

  • @janendegwa5462
    @janendegwa5462 Před 7 měsíci +1

    Rogue Chief

  • @user-jk4od9vv3c
    @user-jk4od9vv3c Před 7 měsíci +2

    Sungusungu kuna wakati waliua watu sana kongowea maweni, walikuwa wakishika mmoja kabla auliwe anataja wenzake nao wanafuatwa wanatolewa nje usiku walikuwa wanachomwa, mwingine alikuwa yuaitwa ball chini alichijwa mchana kama kuku

    • @BABAGIFTBOY
      @BABAGIFTBOY Před 6 měsíci

      Hiyo ndio dawa yao kwa sababu ukikutana nao Kona mbaya hautaamini vile wakikufanyia

  • @USDisdoomed
    @USDisdoomed Před 6 měsíci

    Sungusungu hua wamefanya uchunguzi wakapata uthibitisho,,,,,,,wazazi wamombasa wanaficha wahalifu hao watoto wao

  • @jackymonga6971
    @jackymonga6971 Před 7 měsíci +2

    Kwani sungusungu wako kote nchini? Before I thought they only discipline until my husband was killed ndio nilielewa. Uzuri we were separated already. Wazazi wengine wanapalilia uchafu wa wanao bila kujali matokeo baadaye. 2004 Oct was the year!

  • @nassernasser1457
    @nassernasser1457 Před 5 měsíci

    Police plz don't bother to investigate, naibu kamishna good statement

  • @charlesbii6749
    @charlesbii6749 Před 7 měsíci +3

    Hawa ni wahalifu waliuliwa

  • @allanmwangoma4925
    @allanmwangoma4925 Před 6 měsíci

    The sad part is that wahalifu wanashtakiwa, askari wanakula pesa na wanawaacha tu 😢hii Kenya sijui inatakaje

  • @PatrickKihugi-vu3ki
    @PatrickKihugi-vu3ki Před 7 měsíci +1

    Wapelekwe jela wote

  • @marykinuthia6067
    @marykinuthia6067 Před 7 měsíci +4

    😢😢😢😢crazy villagers.

  • @aishasaidi1784
    @aishasaidi1784 Před 7 měsíci +1

    Nkubaya

  • @ammonkipkoech3027
    @ammonkipkoech3027 Před 6 měsíci

    Huyo chief anafaa ashikwa

    • @estheragiza161
      @estheragiza161 Před 6 měsíci

      Wewe cheza na hao vijana hawana huruma mkikutana na WA mama wa coast huficha maovu ya watoto wao ju wanawaletea

  • @user-cg3vf2bl6b
    @user-cg3vf2bl6b Před 7 měsíci +1

    Ghai gordon omwenga ,ndio dactari?waaaa,anakaa sungusungu

    • @user-pn1dp2ee9x
      @user-pn1dp2ee9x Před 7 měsíci

      Ati anakaa sungusungu?Hapo ni ukweli kabisaa

    • @user-cg3vf2bl6b
      @user-cg3vf2bl6b Před 7 měsíci

      @@user-pn1dp2ee9x 🤣🤣🤣🤣

    • @user-cg3vf2bl6b
      @user-cg3vf2bl6b Před 7 měsíci +1

      @@user-pn1dp2ee9xyes the doctor himself is more scary than sungusungu 🤣🤣🤣

  • @katebelver4707
    @katebelver4707 Před 7 měsíci +1

    Ni sawa huo mtindo ulikuw kisauni mama zao walikuwa wanakataa

  • @salimbilali5174
    @salimbilali5174 Před 7 měsíci +1

    Inaletwa na pale mzazi unaona kijana wako anajieka mhuni but haumwambii matatizi mengine n hayo

  • @nassernasser1457
    @nassernasser1457 Před 5 měsíci

    Afya chifu, afya ni sawa ulivyo fanya

  • @abigaelmokandu8978
    @abigaelmokandu8978 Před 7 měsíci +1

    Hongereni

  • @raphaelmurage5527
    @raphaelmurage5527 Před 7 měsíci +5

    Is that a real or quak doctor😂😂😂

  • @taifakali1981
    @taifakali1981 Před 7 měsíci +1

    Uwa

  • @afandehassan1
    @afandehassan1 Před měsícem

    Ka Betty Masha

  • @susanaseyonyundo9689
    @susanaseyonyundo9689 Před 6 měsíci

    Why this 😢😢😢😢😢😢😢 this is our Kenya so sadness

  • @andallaathman3856
    @andallaathman3856 Před 7 měsíci

    Wazazi hawakubali kabisa makosa ya watoto wao

  • @abigaelmokandu8978
    @abigaelmokandu8978 Před 7 měsíci

    Mombasa tunateseka sana hao vijana ni hatari sana walai huwezitembea usiku wakikupata mapanga utasikizia mwilini they don't talk akiua Kwa panga atakufa Kwa panga

  • @Wisedonn
    @Wisedonn Před 7 měsíci +1

    Sungu sungu wamerudi walikuwa wameisha kongowea waliua wakikuyu wengi sana

    • @user-jk4od9vv3c
      @user-jk4od9vv3c Před 7 měsíci

      Walisaidia sana wakati huo, waizi walichomwa sana na kuuliwa

    • @Wisedonn
      @Wisedonn Před 7 měsíci

      @@user-jk4od9vv3c wapi washenzi waliua watu wa bara pekee..kibaki disbanded it imerudi na zakayo itvwas powerful wakati wa moi

  • @bestofbothworlds4990
    @bestofbothworlds4990 Před 7 měsíci

    Watoto Mombasa huiba kisha kuwaletea wazazi. Ndio maana wazazi wao huwaficha.

  • @vincentndonye7989
    @vincentndonye7989 Před 7 měsíci

    Welldone sungusungu

  • @evanschaedirectoreffortcon6264

    Fanya kazi, wahalifu wamalizwe. If you had embraced this Idea long ago we wouldn't be having even jihadist

  • @sankara8939
    @sankara8939 Před 2 měsíci

    Kuna Rasta pale nyuma….
    Mjomba asinzia mbaya mbovu

  • @margaretnamubi4565
    @margaretnamubi4565 Před 6 měsíci

    Wezi wame zidi kisauni

  • @user-yn7ix9vi5n
    @user-yn7ix9vi5n Před 7 měsíci +4

    Nimakosa lakini

  • @jamessila3219
    @jamessila3219 Před 7 měsíci +1

    Ulimwengu itawafuza nyinyi waalifu

  • @alzubarapark3736
    @alzubarapark3736 Před 7 měsíci +1

    I have never ever heard this pple accepting, that those pple are thieves, so when thieves invade you stop complaining, just keep quiet,

  • @user-uf4ke7dl9v
    @user-uf4ke7dl9v Před 6 měsíci +1

    Stop menicide 😂😂😂

  • @kilogreekachananawatuwasio4054

    CHIFU FAMILY YAKE HIWAWE NAYO NDIO KUKOMESHA MACHIFU WENGINE 🇹🇿 🇹🇿 😢😢

  • @MuhammadAhmad-ie8dl
    @MuhammadAhmad-ie8dl Před 7 měsíci

    We want sungu sungu waamke vikwatani, it's becoming too much, mali za watu zinapotea,uchumi mbaya, vijana chini ya Miaka 18 wanafanya uharibifu,

  • @b.3940
    @b.3940 Před 7 měsíci

    Mimi nilivamiwa na kijizi kimoja usiku wa manane nikakipiga kichwa na shoka kikakufia papo hapo. Hakuna haja ya kuita polisi. Mara nyingi wa mtaa huniita mwanashoka siku hizi. Sipendi ujinga.

  • @MuhammadAhmad-ie8dl
    @MuhammadAhmad-ie8dl Před 7 měsíci

    Hii ndio mambo inaendelea huku kwetu vikwatani, wanapouwa watu hakuna anaeongea, wanapouwawa wawakilishi na wazazi wanawakania watoto wao, shame on the leaders MCA are same arrogant human beings awaiting for a chance to strike siasa....wakiuwa wauwawe!

  • @japoshjuma1957
    @japoshjuma1957 Před 7 měsíci

    MWIZI AKIKUPATA ANAKUPELEKA POLISI? MKO NA UJINGA SANA

  • @amanihenry7981
    @amanihenry7981 Před 7 měsíci +2

    Nyinyi watu ni washenzi saana mnatetea hao vijana ambao ni waizi na hawana huruma wakipatana na watu mtaani,kumbavu zenu

  • @KevinMahare
    @KevinMahare Před 7 měsíci

    Kwendeni uko mwizi auliwe wakikata mapanga hamsemi....sungusungu uweni kabsa nyongeni na waya za stima wakufr

    • @user-pd3im1ir2t
      @user-pd3im1ir2t Před 6 měsíci

      Hapo sasa niwabaya sana hawa vijana na mama zao wanawafunikia hio ndio daw yao

  • @lookbabes8710
    @lookbabes8710 Před 7 měsíci +1

    If mungiki can't dare eldoret town, what is sungusungu

  • @evanschaedirectoreffortcon6264
    @evanschaedirectoreffortcon6264 Před 7 měsíci +2

    Huyu medic ni fake

  • @silviamwaura1570
    @silviamwaura1570 Před 7 měsíci

    Ruto chief, what do we expect

  • @gulfmusic254
    @gulfmusic254 Před 7 měsíci

    Wezi nao wamalizwe TU juu wananeza ma tap tap time wanakuibia hawana remorse kuku ua ni pap bila kufkiria Hawa Wacha wapambane vile wanajua

  • @felixthuranira7995
    @felixthuranira7995 Před 7 měsíci

    Kabisa wauwawe

  • @aplokimo405
    @aplokimo405 Před 7 měsíci

    Kwani wameanza kuuwa leo...

  • @halimaadan3412
    @halimaadan3412 Před 7 měsíci +1

    Huyo chifu ni shetani anafaa akamatwe

  • @victoriashiko7172
    @victoriashiko7172 Před 7 měsíci

    Why watu wakukukataa na kuchukua hatua

  • @user-rz4bg7bt9w
    @user-rz4bg7bt9w Před 6 měsíci

    Sungusungu ni nini?

  • @user-wq9ij3oc5t
    @user-wq9ij3oc5t Před 6 měsíci

    Huyo chifu Afwatwe achomwe

  • @radicalljinari3863
    @radicalljinari3863 Před 7 měsíci +1

    Ni wezi chifu kafanya poa

  • @Kissbaby267
    @Kissbaby267 Před 7 měsíci +1

    Yaani in 2 weeks kila siku hakuna news zinasomwa bila killings? Tumerogwa nini? Chief that was wrong!

  • @user-ng1ks9lx5o
    @user-ng1ks9lx5o Před 7 měsíci

    huyo chifu shoga na hao sungu sungu wote masenge ati hakuna kulipiza kisasi huyo chifu akamatwe Kisha achinjwe kama kuku msenge huyo

  • @Hamisi8465
    @Hamisi8465 Před 7 měsíci

    Wakipiga watu mapanga ni sawa pia ushenzi tu

  • @janaleokesho8374
    @janaleokesho8374 Před 7 měsíci +1

    Crazy killings in Kenya

  • @steuerveronicah9676
    @steuerveronicah9676 Před 7 měsíci

    Washikwe. Na police

  • @evansmahate
    @evansmahate Před 7 měsíci +1

    uyo chifu afutwe kazi

  • @user-nw5cl1jz8h
    @user-nw5cl1jz8h Před 7 měsíci +1

    Na ni kina mama ndio watetezi, huku ni kuaribu watoto

  • @hassanabdala7383
    @hassanabdala7383 Před 7 měsíci

    Watoto wakiiba mnawatetea wakiuliwa mnabweka

  • @dickersonkorir865
    @dickersonkorir865 Před 7 měsíci

    Mwizi ni mwizi awaji uwizi solution ni kuwawa tu