Watu watatu wafariki baada ya kuvamiwa na wahuni kwenye jumba la Sunbeam jijini Nairobi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 07. 2024
  • Imebainika Kuwa Watu Watatu Walipoteza Maisha Yao Siku Ya Jumanne Wiki Iliyopita Baada Ya Kuvamiwa Kwenye Jumba La Kibiashara La Sunbeam Jijini Nairobi. Uvamizi Huo Uliotekelezwa Na Wahuni Walioingilia Maandamano Ya Kupinga Mswada Wa Fedha Mwaka 2024, Ulisababisha Kuporwa Na Kuteketezwa Kwa Jumba La Sunbeam. Familia Ya Bernard Mungai, Mmoja Wa Wafanyibiashara Aliyepoteza Maisha Imezungumzia Machungu Na Masikitiko Ya Kumpoteza Mpendwa Wao.

Komentáře • 91

  • @Watt-er8or
    @Watt-er8or Před 29 dny +29

    Human Rights groups and LSK,, should also call press conference on this... If they don't then they are working with criminals

    • @KaraniBonge
      @KaraniBonge Před 29 dny +4

      Sure

    • @vincentsawe611
      @vincentsawe611 Před 29 dny +3

      According to lsk and human rights,these are none issues.

    • @mimimkenya2325
      @mimimkenya2325 Před 29 dny +3

      Unfortunately, they'll never talk about this or the police who were injured or killed as if these are not human beings😢

    • @susanngigi1164
      @susanngigi1164 Před 29 dny +3

      Those people are always advocates of evil. We can't expect them to do any better.

    • @derrickbiwott9393
      @derrickbiwott9393 Před 28 dny +1

      Exactly 💯.Huyo mumama Odhiambo aangalie hii

  • @imranbasy4022
    @imranbasy4022 Před 29 dny +25

    Ruto alisema ni Criminals mkasema Ruto ni wazimu. Sasa ona

    • @itssimplyivy
      @itssimplyivy Před 29 dny +9

      We kwani uko kenya gani. Haujaona kwa news na videos zimekua zikicirculate vile goons wanatumwa na politicians kumake protests zikue violent?
      Kama bado mnaita vijana wanafight for your rights criminals then uko na shida kubwa sana

    • @esthermwaniki9091
      @esthermwaniki9091 Před 29 dny +1

      Yes evil crriminals

    • @susanngigi1164
      @susanngigi1164 Před 29 dny

      I'll shout to the whole world from the rooftops that all these posing as peaceful protesters were actually all criminals. For now we are hearing many well-prepared scripts of how the government hired goons to infiltrate those peaceful protests so that they can make the Gen Zees look bad but I maintain the plot was hatched from the other direction. In a bid to show supporters and especially from Mount Kenya that they made a mistake in voting for William, someone was prepared to stoop this low. It doesn't matter how bad the finance bill was but couldn't they be contented with the few amendments that were made while they sought audience with the state over the issue?!

    • @TiredKenyan
      @TiredKenyan Před 29 dny

      Are you stupid?? This is not maadamano, this is a criminal act. Maandamano is allowed in Kenyan law, and if they police wanted, they can ensure its peaceful

    • @Patoh254Somie
      @Patoh254Somie Před 29 dny +1

      ​@@itssimplyivyvijana wagani wakora hao unaiba mali ya mkenya mwenzako ukijiita genz ghasia hao.....demo zilikua peacefull until akina Babu Owino wakaanza mambo zao

  • @danielsitati543
    @danielsitati543 Před 29 dny +13

    Let the rights groups also come forward and condemn these hooligans. We hope that they'll not blame the police on this!

    • @KaraniBonge
      @KaraniBonge Před 29 dny +3

      Mm nashangaa watu wanalaumu police hawalaumu wahuni walikua wakiibia watu

    • @membasamuel4218
      @membasamuel4218 Před 29 dny +2

      They won't trust me and if they do the police will be blamed for inaction

    • @susanngigi1164
      @susanngigi1164 Před 29 dny

      They already had their script premeditated on how they would blame the police and "government-hired" goons on this. They always know what protests would bring and they psychologically prepare early.

  • @mugishajeanclaude2949
    @mugishajeanclaude2949 Před 29 dny +5

    Hii ni ujinga wanaiba alafu wanauwa
    Ohh God my God comfort this family 🙏

  • @wamytree8944
    @wamytree8944 Před 29 dny +7

    kila mtu aliye onekana kwa kamera akifanya uhuni au kuvunja sheria hio tuesday ashtakiwe na ahukumiwe. hawa watu hawafai kukua huku nje na sisi tunao heshimu sheria za kenya

  • @derrickbiwott9393
    @derrickbiwott9393 Před 28 dny +2

    Where's is this so called LSK AZIMIO BRANCH

  • @wamytree8944
    @wamytree8944 Před 29 dny +12

    wezi ndio wamejaa kenya. law abiding citizens tutaenda wapi sasa?

  • @thegratenjambinimurungah1219

    Poleni mum and your children. May a good Samaritan visit you. It shall be well....

    • @BROTHERBEN-ic4uk
      @BROTHERBEN-ic4uk Před 28 dny

      Y don't you be one of good samaria. Start with you stupid person

  • @DavidNyamongo-un1sc
    @DavidNyamongo-un1sc Před 29 dny +4

    Journalists,raila, human rights activists,the assmio LSK should condemn this

    • @mremmm5902
      @mremmm5902 Před 29 dny +1

      Naskia kulia saasa hii n mambo gani

    • @DavidNyamongo-un1sc
      @DavidNyamongo-un1sc Před 29 dny

      @@mremmm5902 wewe kojoa ulale,usilie

    • @Patoh254Somie
      @Patoh254Somie Před 28 dny

      @@DavidNyamongo-un1sc the president should arrest all those fools who stole and were burning Kenyans property in the name of peaceful Demo

  • @danielsitati543
    @danielsitati543 Před 29 dny +6

    Oh no. My God! Comfort the widow and the now orphan daughter!
    Condolences

  • @charleswahome7721
    @charleswahome7721 Před 29 dny +12

    endeleeni kusifu takataka eti gen zee nonsense

    • @sjsm8578
      @sjsm8578 Před 29 dny

      Hao ni Gen Z kweli? Tumia akili saa zingine si kuibeba tu. Ndio maana tuliibiwa 7 trillion na Uhuru na mkanyamaza while he raped you

    • @esthermwaniki9091
      @esthermwaniki9091 Před 29 dny

      Media is to blame they split the Screens to support destruction now we are burying our own Kenya against kenya

    • @Fexxy69
      @Fexxy69 Před 29 dny

      Kojoa hulale😂

    • @susanngigi1164
      @susanngigi1164 Před 29 dny +4

      We tried warning our people that going to the streets was not honourable but wakasema their protest was peaceful. There's nothing peaceful in any protest where the devil has already claimed his territory. Hawa mavijana I no longer care what their agenda is. Am off their cause! 🚶🚶🚶

    • @alextercisio
      @alextercisio Před 28 dny +1

      True ni takataka tu

  • @susanngigi1164
    @susanngigi1164 Před 29 dny +6

    Mimi.after watching this episode I have no more support or sympathy for Gen Zees. Their cause could have been noble but after seeing that criminals were infiltrating their protests why did they insist on pressing on with the marches?! Ama wacha tu tuseme wao wenyewe bado ndio mikora?! ☹️☹️☹️

    • @mremmm5902
      @mremmm5902 Před 29 dny +1

      Kabisa

    • @sharersale6480
      @sharersale6480 Před 28 dny

      There were no protests on Thursday because of these criminals and you folks are now doing what the government wants, turning against people demonstrating for a better Kenya.

    • @alextercisio
      @alextercisio Před 28 dny +1

      Wao ni criminals

  • @rizikimohamed2449
    @rizikimohamed2449 Před 28 dny +1

    Jamani SS mwandamana ama waiba Mali za watu na kuwaa watu kuchoma Mali za umaa😢😢 jamani waizii wauliwe kabisa

  • @user-dd2ut8ef1z
    @user-dd2ut8ef1z Před 25 dny

    Pole sana

  • @user-ti6dl5xv1l8
    @user-ti6dl5xv1l8 Před 28 dny +1

    Polisi wangewakilisha hapo lakini bahati mbaya. Poleni sana familia. RIP

  • @abdiahaji5653
    @abdiahaji5653 Před 29 dny +1

    When your leaders call it a spade don't cool it a spoon.😎.
    Condolences to the family

  • @user-sc8mp6tc3n
    @user-sc8mp6tc3n Před 29 dny +4

    Real shame to Kenyans mkimaliza haribu kesho msike kwetu

  • @user-dt6yw2qr8n
    @user-dt6yw2qr8n Před 29 dny +3

    Wah God help us

  • @mmilly8952
    @mmilly8952 Před 29 dny +1

    😢😢😢😢Pole kwa mjane aki Wooiye... Hao wahuni wa stakiwe aki. 😭😭

  • @josephmwaniki7171
    @josephmwaniki7171 Před 29 dny +7

    sad, the goverment must not relent on these goons, despite what toothless LSK says

    • @user-xx6ot2du7d
      @user-xx6ot2du7d Před 29 dny +2

      You don't know what the game is,the same government ooerate with goons to steal and destroy properties.gikuyu mnamalizwa ni serikali yenu

    • @Patoh254Somie
      @Patoh254Somie Před 28 dny

      @@user-xx6ot2du7d tribal fools

    • @josephmwaniki7171
      @josephmwaniki7171 Před 28 dny

      @@user-xx6ot2du7d I dont operate on hypothesis and rumour mongering

  • @ibrahimomar4514
    @ibrahimomar4514 Před 29 dny +3

    Useless news anchots why are you telling us this news late wachenzi genz ni criminals

  • @bensonathewa5956
    @bensonathewa5956 Před 28 dny +1

    😢😢😢very sad

  • @micaangote2138
    @micaangote2138 Před 29 dny

    Pole

  • @danlamboghini6427
    @danlamboghini6427 Před 29 dny +6

    N ndio wanaanguka kotini juu ya njaa maumbwa

  • @NancyOdongo-xi4gv
    @NancyOdongo-xi4gv Před 28 dny

    God's grace is the Lord ❤😂🎉😢😮

  • @GathufuKali1
    @GathufuKali1 Před 29 dny +2

    Nairobery

  • @kibetkirui3949
    @kibetkirui3949 Před 29 dny +4

    Haki ni uchungu sana.

    • @susanngigi1164
      @susanngigi1164 Před 29 dny

      Haki imagine am crying until now after seeing the picture of Mungai hanging on that window. Hii sasa ita-traumatize family yake and I don't know if they'll ever recover from this. Seeing the agony that your loved one was in before he died is just tormenting. I have no words. 🙆🙆🙆

  • @NichodemusOpati-z5h
    @NichodemusOpati-z5h Před 29 dny +2

    Rais William ruto anafaa asikie hayo

    • @alextercisio
      @alextercisio Před 28 dny

      Afanye nini?? Si alisema ni criminals mkasema ni Uogo 😂😂

  • @labankarani6973
    @labankarani6973 Před 28 dny +2

    Alafu mnaanza kulaumu serikali bure Na wakora ndio wanaingilia maandamano

    • @sharersale6480
      @sharersale6480 Před 28 dny

      Serikali ndio imewalipa hao wakora, ni nini hamuelewi na mmekewa picha hadi wakilipwa hapo kwa kanjo.

  • @fastandfurious3751
    @fastandfurious3751 Před 28 dny +1

    How is this justified?

  • @alextercisio
    @alextercisio Před 28 dny +1

    Hao ni Gen z si criminals si ruto alisema ni criminals wakenya wakasema ni uogo

  • @NancyOdongo-xi4gv
    @NancyOdongo-xi4gv Před 28 dny

    God help kenyans

  • @NancyOdongo-xi4gv
    @NancyOdongo-xi4gv Před 28 dny

    Feaaaa🎉😂❤🎉😢

  • @ibrahimomondi6171
    @ibrahimomondi6171 Před 27 dny

    This was the work of government goons...

  • @davidthuks2128
    @davidthuks2128 Před 29 dny +9

    Wakikuyu na bado mnaenda maaandamano na muona vile hawa mambwa wanaiba maduka hawajui biashara ila maandamano ya ukora

    • @salimadiyo9442
      @salimadiyo9442 Před 29 dny +2

      ukabila imetoka wapi sasa

    • @susanngigi1164
      @susanngigi1164 Před 29 dny +1

      I was so ashamed of Kikuyus doing this kind of thing even in their own towns huku wakidanganywa eti they are doing a good thing for Kenya. Nanyuki wafanyi biashara wengi walipoteza mali yao eti watu wakidai kuwa wana-target premises za "yes" politicians. Upuzi!

    • @mremmm5902
      @mremmm5902 Před 29 dny +1

      Imagin wakikuyu biashara zao ndio hizi

    • @sharersale6480
      @sharersale6480 Před 28 dny +1

      Wakikuyu ndio wlitueka kwa hii shida ya Ruto. Mtutoe basi ama tulipe ushuru hadi tukufe.

    • @alextercisio
      @alextercisio Před 28 dny +1

      @@sharersale6480 peleka umavi uko ruto is going no where stop blaming ruto for your poverty