Ni sehemu nyingine ya ON AIR WITH MILLARD AYO na Mwigizaji Jackline Wolper, amefunguka sehemu ya historia yake, alivyonyang'anywa gari na Sponsor na mengine.
Wolper is truly a smart lady and wise,the way she explain things you can feel what she is really saying is true I love her maturity in her is all the way up.
Wewe muongo sana yani hujui hata hosptali ulizaliwa toba hata maisha yako huyajui unaonekan sana ulikuwa malaya sana duuuuuu millsd mm nakupenda sana unajuwa kuuliza maswali mazur sana nakupenda bure
Acheni gubu ata move zake sauti waga ipoivo.na khs hospital alozaliwa ktk maisha so razima kujua kila kitu chako anayo yakumbuka ndo anayo yasema.na watu wangapi wamesoma mpaka vyuo na wanatufundisha ni walimu lakn walikuwa wanatuomba tuwatafsilie notes ndo waje kufundisha darasani ?acheni kumjibia mtu mnavo jisikia nyinyi👌👌🗣️🗣️
Wolper nakupenda sana lkn ww ni pasua , yaani miaka yko haujui ,elimu yko form 5 ulianza kujitegemea ukiwa na umri 18 kwaiyo ulianza shule ukiwa na umri gn
Weunaesema hajui kingereza kwani lugha yataifa!!!!uje ukute wewe mwenye umemaliza sx ujuia ata,de meaning of wht is ur name shenzii!!!!!!! Whatch ur worlds
Wolper is truly a smart lady and wise,the way she explain things you can feel what she is really saying is true I love her maturity in her is all the way up.
Weeeeeee shogayangu asha kuongeleya mwenziyo wolper siyo malaya nimuzuri sana❤❤❤
Nampenda sana uyu dada uwa anajihamini akizingumza yuko confidence kabisa
Your my role model wolper nakupenda sana more life♥️♥️♥️
Kumbe jack kalelewa maisha yetu jamaniiiiii nikajua alikua mtoto wa mabasi ya njano
wolper ni mzuri anaongoza bongo movie yote ni number one
Kwauzuri upi we unajua wazuri kweli
nakpenda wolper 😍😍story yako inanivutia sana
I like the way Wolper is handling issues
Jack we NaweH umh! Mimacho sweet v mwaaaaa Millard Gy mzee baba
You have a big heart. You are an inspiration to all women. May God give you a man of your choice.
Wolper umezidisha mapozi hadi unaharibu sana. Heri uzungumze kiswahili fasaha. Uongo mwingi. Kwani ukisema darasani haukuwa na uwezo unaona utakuwa chini sana. Kumbuka ujasiri ni kuongea "Kweli "
Wewe muongo sana yani hujui hata hosptali ulizaliwa toba hata maisha yako huyajui unaonekan sana ulikuwa malaya sana duuuuuu millsd mm nakupenda sana unajuwa kuuliza maswali mazur sana nakupenda bure
we mwenyewe n Malaya uliexhindikanikaaaaaa kwenuuu coz Malaya huwa anamjua Malaya mwenziooo en atakama hajui hoxptl aliyo zaliwa hayakuhuxuuuuuuuuu fat yakoooooo
I just love U my Mentor,,,all the way from Mombasa Kenya.
Pole sana dada, weye siyo wa kwanza na wa mwisho.
Napenda ukweli wako wolper !
Nakupenda xana Dada wolper
My sister wolper! Pamoj na maneno yot still bado nakupenda!!
nakupenda dada wolper
Kwa kweli wasanii mnakuwaje hata miaka hujui
Uwiiiii bikiraaa poooh wolper msaranga wakakuacha pooh
Dad macho hyo , miye sina macho lakin nimekuona unadengua Sanaa😂😂😂😂,Milady Ayo .......
Khadija Khadija 😂😂😂 umeona eenhee
Khadija Khadija 😂😂😂 ebu nitumie (dm) nione ya kwako @kelvin_mnene
Uyu pombe nyinyi sana
Piga kelele kwa mlidayo wakeeeee❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️I love you bro
Wolper I love you to much
haya mom wolper😻😻😻
Millard ayo na kupenda bure unakuwa na interview nzuri sana
nakupenda sn wolper story yako inavutia
Ume ni shangaza sana; ivi mtugani hasie jua aliko zaliwa jmn Wolper niatari
@@dorcaskidoti249 mnaita wenzenu Malaya kwa sababu ya kwenu hayaonekani kwa watu,Ila sio ajabu ukakuta mmeoza ata kuliko yy
@@joycekikome383 🤸♀️🤸♀️🤸♀️😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😎😎😎
@@dorcaskidoti249 sio vzur heee
@@azizahaji7975 nisamehe bure mamii wng 😥😥 naifuta hiyo cmnt
Uru moja love u
😂😂😂😂😂😂😂😂 king kiba alifanya mambo
Acheni gubu ata move zake sauti waga ipoivo.na khs hospital alozaliwa ktk maisha so razima kujua kila kitu chako anayo yakumbuka ndo anayo yasema.na watu wangapi wamesoma mpaka vyuo na wanatufundisha ni walimu lakn walikuwa wanatuomba tuwatafsilie notes ndo waje kufundisha darasani ?acheni kumjibia mtu mnavo jisikia nyinyi👌👌🗣️🗣️
sumaiya abdallah at a m sijui
Duh Enzi za rambo😂😂😂 we mkubwa usifiche umri wako bana
nampendaga uyu Dada yupo sempo sanaa
Beautiful
Kweli. Uyo anapiga Sana ndungi
cute lady
daaah huyo dada anavyoongea mmmmh
i can Relate 👉 um 23💃
i still believe in myself
Wolper nakupenda sana lkn ww ni pasua , yaani miaka yko haujui ,elimu yko form 5 ulianza kujitegemea ukiwa na umri 18 kwaiyo ulianza shule ukiwa na umri gn
Alipo Kuja magomeni alikuwa Ana fanya kazi kwenye kampuni ya market alikuwa Ana tembeza bizaa mtaani
wolper I like style yako
Dada haujui miaka yako!!! Hey African women
Shezi typ eti kwenye miaka hapo froo
Dd uk vnzr mashabek tunakupenda
Poz ilovepe
Pollen
Katika wasanii nawapenda Tz for real Jackline wolper
Mapoz yako nawapenda sana mana unaongea kama unalazimishwa
rambo.ubunifuuu
Sasa Form 5 Tena still unaenda English Kurs jamani naulisoma mpaka form5 unglaublish😍😍😍😍
Aya bwana
Mbona anachanganya habariii..umeishiaa form 4 unasemaa form 5
mahaba niue
Love Wolper😊
penzi nimtu yeyote wawache wachague but vikojozi ndio wenye michezo mitamu
Wewe ni mrembo sana
nzur
Kila mmoja ataje miaka yake mana roho znawadund san kutokujua cjui inawasaidia nn
Maisha haya!
Aah
Mmmh..
Uyu dada mzuri jmn aolewe sasa aah muda unaendaa😅😅
Apaolewi mtu kudanga ndio habari ya mjini mpaka leo 2020
Sasa ivi ameolewa jmn❤❤❤
Mmmmh mm naona celewi elewi haya na tuendelee
mama wa werevaa..
kiba ndio alikuwa anamtumia
1
Ally Kiba uyooo....huhuhuh
Mgic Bupamba nice
jack me nakukubali wasokupnda achan nao
Nakupenda Jack ila kwenye miaka umekuwa muongo hadi umeharibu
🤣🤣🤣🤣
Umeleta mapozi da wolper ilaklakitu we hujui tu mh umeboa
Ayo hivi hukupoteza hata ham yakufanyanae mahojiano maana kwa mapozi hayo tatizo miaka hakumbuki
Wolper shnz zako form five hata kingereza hujui my pole.
iyo shule alosoma ni mbovuuu balaaaa
Chuo kikuu wapo hawajui kiingereza nini form five?
wueeh, mapenzi yashaumiza watu aisee!
mbona sauti mlegezo mana so yake hiyo
Kasharewa uyu😂😂😂😂
Anajibu opp
mbokomu jaman jack sisi wa barabara1
Ataki tu kusema humri wake ila anaijuwa na siyo tangazo kafanya vizuri kutokusema
mh yan anasimulia uongo huyu
Uongo mtupu hakana ukwel ata mmoja.
Wolper alikua na uhusiano wa kimapenz na mjomba wake ilivyovuja akatoroka nyumbani
Larick Mtui Hhhhhhhh bora utueleze ww jirani yake mana anatudanganya huyu
Larick Mtui Hahahahaha wewe jirani yak
😀😀😀😀😀😀
Kumbe ni haki asiseme tu
😅😅😅aliosoma now na kumaliza now mawenzi wamezaliwa 86 na 85 wote
kashapiga wine hapo,
Daa jackline wanivunja mbavu penda sana ww
usiskize watu dada wacha wapige pang,nga tuu
hayo mapoz sio poa!
Jmn Sio kwa mapozi hayo mh
Harmonize alivyobadilika akawa Superstar - MATATIZO hadi HALLELUJAH
czcams.com/video/S8bwxs5Nj_M/video.html
un
unausingizi
Anahadithia uongo huyu, haiwezekani hakumbuki hata mwaka mmoja tu wa background yake duh!!!
na nikaongo balaa miaka
na nikaongo balaa miaka
Harmonize alivyobadilika akawa Superstar - MATATIZO hadi HALLELUJAH
czcams.com/video/S8bwxs5Nj_M/video.html
hahahaaa
Anaficha miaka, asionekane mzee ndo maana aezi sema miaka ya matukio ya maisha yake
Kwani jack anavyuma kwenye meno au mimi ndo sioni vzr
😅😅😅😅inamaana kwenye cheti chako cha kuzaliwa hakujaandikwa hospital
Haikukuumiza sana kuacha shule,,,,,,duh!!!!
mbona bei za tzvunakumbuka miaka hukumbuki
Bilhudah Rashid hapo sasa ndo najiuliza pia
Bilhudah Rashid
Wolper kahurumisha jamaaaaaaniiiiii,,,, Kiba jamani kafanya vijimambo
Story yen u nzuli san kidogo wafulahsha
king kiba alikubonyeeee
ulitaka akubonyeeee weeee ,hallllloooooo ya watu mnajifanyaaa mnayajua xanaa kuliko ya kwenuuuuuu fata ya kwakooo kwanzaaaa
Ahaha
Wolper alikua msela hakupenda wanaume kwa sababu alikua bikra,,,,lakini sai yeye na wanaumeeeeeeeee kutoka bikra hadi kushimoooooo
Yaan Jack ni kilaza balaaa mpaka miaka anasahau,uyu atakua ameishia standard 7...ukwel Tena.
Kweli aise
Paaaaaah worlper unatudangany cusem ulizaliwa nyumban we muong chet chak cha kuzaliw huna au
Weunaesema hajui kingereza kwani lugha yataifa!!!!uje ukute wewe mwenye umemaliza sx ujuia ata,de meaning of wht is ur name shenzii!!!!!!! Whatch ur worlds
hukumbuki miaka 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Jaklin,kuonqea sauti nzuri nikipaji,ila wewe unarembesha sauti afu unaaribu,kweli unqekua nasauti kama yanqu dunia inqekukoma.
😳😳😳 yaani Jack jmn mwaka ht 1 hukumbuki.? Hy mm
kula bata vukojozi ndio vyenyewe
Alipo zaliwa hajuii mwaka alio maliza shule hajuii mwaka alio anza kuiba mazao shambani sijui vp ana jua na hisi kuna kauonga hapo