NDEGE YA KWANZA KUUNDWA TANZANIA
Vložit
- čas přidán 27. 09. 2018
- Mgunduzi alietengeneza magari na helicopter ya kwanza sasa anatengeneza ndege yake hapahapa.
#Tanzania #Zanzibar #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
~-~~-~~~-~~-~
Please watch: "VISA VYA KUSISIMUA | MAKALA | HABARI | VIPINDI MBALI MBALI | HAPA HAPA KTV TZ ONLINE"
• VISA VYA KUSISIMUA | M...
~-~~-~~~-~~-~ #hakikahiinifahariyetu #hakikahiinifahariyetu
Number ya kuwasiliana na KTV ni +255 625 323 932
Mm kipaji changu kipa
Lakin sin Tim ya kucheza
Huku kwerekwe mkabala name chuo cha mwalimu Hussein kuna nyumba inamoto wa maajabu mpka wenye nyumba wamehama vipi mlikuja
KTV TZ ONLINE imi nafikira utengeneza / go cart lakini baada ya hiyo nitategeneza self runing machine ya kutoa umeme, kwasasa nashindwa kwa
Aajili ya malighafi sina uwezo nazo
mashaa allah allah azidi kukupa kipaji zaidi ya hapo inshaa allah
Masha Allah hongera Sana Coach Sugu bakumbuka mwaka 2012 uliponipakia kunipeleka home na GARI yako ya Sugu 2
ktv tz online nendeni na jumbi wilaya ya kati u/nguja yupo jamaa anatengeneza ndege hatari sana uyo jamaa anaitwa HASSAN ALI BAKARI hem nendeni nako mkaone
Naomba namba sugu.
Maa shaa Allah
Okay mnasema anaweza kutengeneza gari mpaka sasa kashatengeneza gari dizaini gani mpaka nataka kutngeneza ndege asije kuuwa watu
nakukubali sugu wewe unaweza kuliko wote Tanzania..😍
Kweli
Mtaji wa masikin nguv zake mwenyew honger kaka
mm kula sana
Hiyo ndege inapaa?
Engine au machine ya mahindi
Inabidi abaki kwenye kuitengeneza Magari Aache mawazo ya ndege. Kwani anatakiwa aboreshe ubora WA gari yake.
Na aweke fikra zote hapo hapo kwenye ufanisi aliojaariwa..
Mm nipo tyari kusrkana na huyo wasababu mm pia nina kipaji nadhani kukisrkana tunaweza kutengneza kitu kimoja na kufankazi bila shaka
Tanzania kuna vituko
Qaboos said, hakuna vituko Tanzania sema mashaallah kwa kipaji cha mwenzako usimdharau, Allah kampa kipaji chake isipokua umasikini na udhaufu wa nchi yetu na serikali kutompatia support ya kumnyanyua kipaji chake, kwani hao wanofanya ni nani? Si binadamu kama sisi, sio malaika ila wamepata supported wakafikia malengo yao. Serikali ingewashuhulika wt kama hao si wangefungua kiwanda cha magari Tanzania. Ss wa Africa tuna choyo na kudhauliana ndio maana hatuendi mbele. Huoni Hilo gari lilompatia tunzo liko mitaani tu, wezetu wangelifungulia showroom likawa kumbukumbu.
@@mariamdjae9825 maneno yako ni saw
huu mtandao wa airtel ndugu watanzania mnauonaje utoaji wa uduma ya intaneti apa tanzania angekua wazili Rugola naisi afrika tungekua mfano wa kuigwa kuusu intaneti
Qaboos said Zanzibar tunajivunia kwakua na vipaji
Kwanini hilo gari mnaliwacha linakufa hapo nje,msilipeleke makumbusho
Mbona wanaotengeneza makolokolo ya namna hii wapo wengi mitaani.
Cha tofauti hapo ni Kuunda engine
Nina hisi hengine wachomea mabati tu sio engine
Angekua mtu wa ulaya kusingetokea mtu wa kuita kokoro ila black nacc baazi yetu niwatumwa wawazungu atumkubali mtu wa namna hii wakati pengine anaweza kubuni kitu adim ulimwenguni
😂😂😂😂 ssa kna htare ya mtu kufa
Yahya Said kabisa roho nje nje
Hawa ndio wa kupewa kipaumbele na serikali ili kiendeleza kipaji na kuongezewa ujuzi lakini Africa duhhhhh kaziao siasa za kijinga
hapo domo tupu hakuna hata dalili na hivyo anavyoelezea hiyo Engine haifahamu hata kidogo