BILIONEA MTANZANIA ALIYEUZA MFUMO WA KUUZA GES KWA TSH BILIONI 57 'WATU WALISEMA NIMECHANGANYIKIWA'
Vložit
- čas přidán 16. 03. 2020
- Bilionea Mtanzania Andron Mendes ambaye aliuza mfumo wake wa kununua gesi kadiri unavyotumia kupitia kampuni yake ya Kopa Ges kwa kampuni ya Cycle Ges ya Uingereza, amefunguka kuzungumzia jinsi alivyoutengeza mfumo huo na namna alivyouuza kwa mabilioni.
"Mwaka 2016 nilikuwa nafanya project ya ujenzi, kwahiyo mambo ya hela yalikuwa ni magumu sana, sasa siku moja niliishiwa fedha kabisa na bahati mbaya na mtungi wangu wa gesi ulikuwa umeisha, na kipindi hicho nilikuwa Mhasibu kwenye kampuni moja ya bima Dar Es salaam. Nikijiangalia mimi nilikuwa chini ya CEO halafu nimefulia sina pesa ya kujaza mtungi wa gesi, sasa lile jambo lilinifanya nianze kutafuta njia ya kukabiliana na tatizo kama hilo, so kesho yake nilivyowauliza wafanyakazi wakasema ni kweli mara nyingi gesi ikiisha kabla haujalipwa mshahara utasubiri mpaka mshahara utoke," alisema Mendes ambaye kwa sasa amefungua kampuni kubwa na kuajiri watu wengi. - Zábava
Nakuelewa sana mzee niliwahi kuonana nawewe
Good aidia broo nimeipenda Sana
Umetisha ndugu
I would really love to meet Mr. Andron and explore other business opportunities
Good interview YASIN NGITU. 💪💪💪
Waoo so great broo.. umetisha
Great idea...bro!
Smart in brain,smart in mouth.i learn
Hawajamaa watasaidia Sana tanzania
Wooou .. nimejifunz kitu
yan jamaa linaongea kama limefanya kitu cha kawaiiida🤣🤣🤣🤣
Let's use our knowledge and skills to become the persons we want...
Good Ideas
Daah jamaa katoboa maisha asee namimi naomba niwe kibarua sina kazi mtalamu kama utanikubalia namba yangu hii 0744778609
Nimejitunza kitu, nimeongeza kitu
Njema sana .na how can one join you in that business
Cox💪
Yaani jamaa ni wiseman na ni mkweli sana.
Ongera umekua msaada kwetu
Anaonekana si mtu wa kujikweza.Atafika mbali.
Ni mtu wa kukaa naye karibu kimaendeleo .. u r luck . Naja
kwenye kilimo kuna opportunity nzur. je na huko unaweza wekeza?
Tunahtaj ajira sasa tufanyaje
Anaongea kama vilehataki
U