DAWA YA KUKATA TAMAA NA KUANZA KUJIAMINI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024

Komentáře • 28

  • @S.king_7
    @S.king_7 Před rokem +2

    Usomaji wa Vitabu ni njia moja nzuri sana ya Kujikwamua sehem ulokwama.

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před rokem +1

      Sahihi kabisa...na Ili ufahamu unafanya vipi kazi inabidi uwe msomaji

  • @vennamaina
    @vennamaina Před rokem +3

    Amaizing massage bro unaeza kuanza kutumia mkono ambao hauutumii mara kwa mara anasaidia kupunguza stress

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před rokem +1

      Okaaay.... Nafikiri kabisa kuna ukweli kwenye hili. Thanks buddy

  • @maryjacob9753
    @maryjacob9753 Před rokem +1

    Uko vizuri Sana SoMo lako linaeleweka broo

  • @salmanshimirimana3938
    @salmanshimirimana3938 Před rokem +2

    Asalam aleykum Kaka hata mimi nimekataa tamaa ya maisha nimekuwa nikifanya biashara hazitoki mda mwingine huwaza labda nimerogwa mpaka nahisi kufa tu nimekuwa ni mtu wa mawazo mengi sana nimekata tamaa ya maisha

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před rokem +1

      Waalaikum salaam warahmatullah wabarakatuh... pole sana, jitahidi kumrudia Mungu kwanza kwa ukaribu sana haswa kipindi hiki cha Ramadhani, halafu hakikisha unafanya biashara ambayo unaipenda kwa maana hata kama utapata hasara utaweza kuelewa kilichotokea na kuwa tayari kujifunza tatizo ni nini na kulirekebisha. Pia jitahidi kuwa karibu na watu wanaofanya vitu maishani mwao sio tu kukaa siku nzima vijiweni na watu mkijadili watu. badili compani yako, fanya ibada sana, simama usiku, jifunze zaidi upate ujuzi mbalimbali,

  • @rahmahussein.5635
    @rahmahussein.5635 Před rokem +2

    Absolutely perfect talk.. thank you..🙏

  • @mgallason...5686
    @mgallason...5686 Před rokem +1

    kuna ujuzi mmoja hapo watu huwa wanausahau sana hasa vijana, ufinyanzi. anyway mi nimeshakumbana na stress ikanikausha kama nimepigwa na shoti ya umeme, usiombee kabisa sonona ni noma kuliko hata huo ukimwi, kilichoniokoa ni vitabu nilianza na kitabu kinaitwa GO FOR IT kimeandikwa na mwanasaikolojia mmoja IRENE CARSORLA, ikafuata biblia na tangu hapo mi na vitabu vitabu na mimi.

  • @lilianmengere29
    @lilianmengere29 Před rokem +1

    Umenigusa sana leo😭😭 kiukwel nataman sana kuwasaidia wazazi wangu..kuna video naona CZcams watu wanawazawadia wazazi wao nyumba..magari n.k...lakini nimepambana mpk bhc ndo kwanza maisha yangu binafsi yanazid kuwa magumu😭😭😭 amna kitu kinauma kama pale napoona wazazi wangu wanapitia changamoto ya umaskin lkn nashindwa kuwa msaada kwao..kila njia nayo jaribu najikuta nafeli tu😔

    • @gfvh7282
      @gfvh7282 Před rokem

      Du! messeg imeniumiza balaa😢😢

  • @bonita329
    @bonita329 Před rokem +1

    nimependa hii.... yaani maisha ayanashukuruni hata utanyaje😣 hapo pakutafuta mtu honestly nimeishaloose interest
    i trust nobody

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před rokem

      Sawa lakini fahamu kuwa si watu wote wameharibika...watu wazuri wapo lakini inatakiwa umakini kuwatafuta.

    • @bonita329
      @bonita329 Před rokem

      @@successpathnetwork kaka labda huko Tz lakini ndugu zetu tunao kutana nao huku urope sio wema kabisa wafrica kwa wafrica tunayotendeana huku ni huzuni mkubwa😩

  • @SalmaHaruna-tm4ni
    @SalmaHaruna-tm4ni Před rokem +1

    🙏

  • @user-wl8fg8ne1f
    @user-wl8fg8ne1f Před 9 měsíci

    Asante

  • @rogersndaiga5832
    @rogersndaiga5832 Před rokem +1

    Aisee, kweli bro nimekuelewa, hapa nimepata kitu.

  • @mariammariam1812
    @mariammariam1812 Před rokem +1

    Nkweli kabis

  • @washhjojo4840
    @washhjojo4840 Před rokem +1

    Thank you

  • @user-ow7hd7qb3s
    @user-ow7hd7qb3s Před 10 měsíci +1

    Eziden mm nataka nioe mwana mke wa pili je nitakua niko sahihi au nitapotea kimafanikio naomba ushauri kabura sijachukua maamuzi

  • @decastillognabry529
    @decastillognabry529 Před rokem

    jifunze kutrade forex naeza kufunza nitafute ✌

  • @YerimiaMsigwa
    @YerimiaMsigwa Před 8 měsíci

    Kwenye hamasa kule mbona ujaendelea kutoa hamasa

  • @sympadesmatieres5121
    @sympadesmatieres5121 Před rokem +1

    🙏🙏