Dah! Sijafahamu kwann wanasiasa na wanaharakat wa kwel kwann hawadumu. Walimshambulia Lisu, walipotea/ kupotezwa, mauaji ya Aqwilina, walimshambulia mbunge wa manyara. Mpaka leo hakuna taarfa kamili. 🇹🇿🇹🇿❤️❤️❤️
Ushapewa gari sasa toa sera za chama sasa sio mwaka mzima uzungumzie makabidhiano ya gari , Sera za Chadema nini wananchi tunazisubiria au hadi CCM wafanye jambo nanyi mje nyuma nyuma kukosoa??
Tuma namba tukuchangie Kaka wala usihofie kabisa
Hiyo gari ipelekwe makumbusho tu
Mbona mikutano yake ya kudai katiba mpya hamupost.Acheni unafki sisi syo malimbukeni...We need double standard
Punguza kitambi mzee wangu nakutegemea jembe langu
Dah! Sijafahamu kwann wanasiasa na wanaharakat wa kwel kwann hawadumu. Walimshambulia Lisu, walipotea/ kupotezwa, mauaji ya Aqwilina, walimshambulia mbunge wa manyara. Mpaka leo hakuna taarfa kamili. 🇹🇿🇹🇿❤️❤️❤️
Uyo Dada wa Amina Amina anakela kiasi 😂
Kweli
Mwamba anaishi na risasi
Mungu anaendelea kumtetea
Huyu atakuwa na.mshahara .serikalini. maana kawa.kimyaaa sana na nidhamu juu alafu kanenepa
Huyu anaemwambia lisu kabeba mavi, atafutwe naakamatwe,hayo ni matusi baba wawatu kamkosea nini,vyombo vya dora msimwache huyo, hana maadili
Mungu ameahapigana na watesi wako....
Mwamba anaishi aliekusababishia hayo mathila Kafa
Sijui apunguze msosi maana hilo tumbo kwa kiafya siyo poa kwa sababu kabeba mavi mengi tumboni
Wee jamaa una loho mbaya yaani nimecheka saaana kabeba mavi mengi tumboni wenye vitambi woote Dunia wataandama wakuue maana umewadharirisha 😂😂😂👍👍
Kweli bro kiafya sio nzuri
Mzee siasa ningumu sio mpira hvyo Kila mtu angetaka kufnya atakvyo angefnya sikama angeenda kulichumua kama tikiti
Ushapewa gari sasa toa sera za chama sasa sio mwaka mzima uzungumzie makabidhiano ya gari , Sera za Chadema nini wananchi tunazisubiria au hadi CCM wafanye jambo nanyi mje nyuma nyuma kukosoa??
Eti dotto magari anataka aiuze hiyo gari
Siku zote alikuwa wapi kulichukua?Kila Siku stori hizo hizo, na suala la katiba limeishia wapi?
Acha nongwa, unajisahaulisha Alisha taka kulichukua hakupewa, mwamba yupo hai na roho mbaya zenu. Na swala la katiba mpya linaendelea.
Lisu Mungu ana mtetea
@@elisantenyange8751 du! Hatar sana, sasa mwakan uchaguzi, hii katiba mbona mnatuchelewesha? Bila katiba mpya mwakan sipigi kur