Rais Samia ‘’Nashukuru sana Watanzania kwa tozo wamekubali’’

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 08. 2021
  • Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Watanzania wamekubali tozo lakini jambo linalolalamikiwa ni kiasi kinachokatwa. Katika sehemu ya pili ya mahojiano maalum na mwandishi wa BBC Salim Kikeke Rais Samia amesisitiza kuwa tozo hizo ni kwaajili ya maendeleo ya wananchi.
    Kuhusu kugombea tena urais mwaka 2025, amesema kuwa ‘kwanza kazi ifanyike ya 2025 aachiwe Mungu’
    Video: Munira Hussein
    #bbcswahili #tanzania #siasa

Komentáře • 1,8K

  • @angelangaiza2274
    @angelangaiza2274 Před 2 lety +58

    Tuseme tu, tumelishwa maneno, wa tz hatujakubari tozo, naomba ieleweke ivyo. Kama mimi muongo shukeni uku chini mtuulize.😌

    • @shariffswalleh9847
      @shariffswalleh9847 Před 2 lety

      Kwakweli kuna watu hayo maji hawawezi yalipia yamekatwa kisha unakuja mkata tozo eti yaenda kwa maji...

  • @sara-os9dn
    @sara-os9dn Před 2 lety +110

    Kiukweli TOZO inaumiza kuliko korona, kiukwelu mimi sijakubaliana na Tozo maisha yangu yamekuwa magumu sana

    • @shariffswalleh9847
      @shariffswalleh9847 Před 2 lety +1

      👍👍👍🙏🙏🙏kwakwelii

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Před 2 lety +2

      Ungekuwa unaugua Corona au ungempoteza ndugu yako, usingesema hivyo... Anyway, mshukuru Mungu wako, kwa maana fadhili zake ni za milele:-)

    • @kelvinmgaya3406
      @kelvinmgaya3406 Před 2 lety +2

      Mimi nimefunga

    • @sharifusakasaka7295
      @sharifusakasaka7295 Před 2 lety

      @@shariffswalleh9847 tusilalamike kuhusu tozo haya yanayo fanywa ni kwaajili kuleta maendeleo ya watanzania tusilalamike jamani hililikosawa

    • @sharifusakasaka7295
      @sharifusakasaka7295 Před 2 lety

      @@shariffswalleh9847 usiombe Corona Nikiboko inatisha usifananishe na kitu kingine

  • @masundelwa
    @masundelwa Před 2 lety +45

    Hii serikali inawaangalia matajiri

  • @beatusgodfrey9220
    @beatusgodfrey9220 Před 2 lety +35

    R.I.P JPM

  • @brunokimaro1053
    @brunokimaro1053 Před 2 lety +227

    "SIKU NIKIFA MTANIKUMBUKA KWA MEMA NA SI KWA MABAYA"

  • @queenjames3999
    @queenjames3999 Před 2 lety +63

    Uwiiiii!,tumekukumbuka,uliejitoa muhanga kwajili yetu, mungu tuhurumie

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Před 2 lety

      'Alijitoa muhanga...' ? Nachojua mimi, alituomba kazi, na Wananchi tukampa kazi hiyo... Mimi nampongeza tu kwa kazi nzuri aliyoifanya na Mungu ampe pumziko analostahili...

    • @salimhusseni4784
      @salimhusseni4784 Před 2 lety

      Sio tozo tu halipandisha mafuta kwanza tena kwa makusudi kamaatoshi wakaongeza natozo kumnyonya mlalaoi ukipandisha mafuta maanayake umeruhusu mfumko wa bei

    • @eliyajeremia1447
      @eliyajeremia1447 Před 2 lety

      Naunaona hili linavo ongea kwakujiamini Mungu alikata wanawake wasiongoze kwasababu wanataka mwanamuke akiwa namilioni5 akiwa ameolewa akiona laki haiachi atasaliti mumewe mume sahau edeni walivyo ongea nashetani birashaka huyu amesha ongea nae ndomana halina hata huluma

  • @masterdaveprojections
    @masterdaveprojections Před 2 lety +60

    Kikeke Alipaswa kuuliza "Lini wananchi waliulizwa kuhusu tozo wakakubali?"

  • @wemamtundu7906
    @wemamtundu7906 Před 2 lety +53

    Hivi JPM aliwezaje kufika pale Tanzania ilipo leo, barabara, no school fees, maji, umeme n. k. ♌♌♌♌

  • @humphreymkony8915
    @humphreymkony8915 Před 2 lety +95

    Aliyeshiba hajui mwenye njaa!

    • @mwaminmbendenga5186
      @mwaminmbendenga5186 Před 2 lety +3

      Mmmmh kikeke usihoji sana maana huyo mama anafanya kazi na team sio yake na ndo wanaompoteza

    • @mwaminmbendenga5186
      @mwaminmbendenga5186 Před 2 lety +3

      Vituo vya Afya vyote nchini vilivyojengwa havikujengwa kwa tozo za miamala ya cm kikeke.

    • @mwaminmbendenga5186
      @mwaminmbendenga5186 Před 2 lety +4

      Wananchi tunaumia sana kupitia hizi tozo

    • @godwinkileo7702
      @godwinkileo7702 Před 2 lety +3

      Nashangaa mafuta ya petrol yako juu kwetu lakin utashangaa nchi zinazo tumia bandari yetu kama Zambia, mafuta yapo chini kuliko kwetu, tuna enda wp

    • @basharahamtzhalisi6871
      @basharahamtzhalisi6871 Před 2 lety

      Kweli Humphrey hawamjui mwenye njaa!!👍👍

  • @elardmadeez3382
    @elardmadeez3382 Před 2 lety +88

    Tutaona mengii Eee Mola tupe Maarifa na Akili zaidi tujue namna ya kujikimu #RIPMagufuli

    • @benjatv2493
      @benjatv2493 Před 2 lety +4

      Wanaichi kama wanaichi hatujakubali hiyo kodi yaan hiyo kodi niyakinyonyaji sana kama mnaona hizo tozo za miamala tumelizikana nayo wafanyakazi wote wa serekali yote pamoja na bunge anzeni kulipana mishahara yenu kupitia mitandao ya simu tuone kama mtazikubali hizo tozo.

    • @obedkiswaga2790
      @obedkiswaga2790 Před 2 lety +1

      Yaani badala ashughulikie maliasili yeye anatupiga tozo

    • @kaicy165
      @kaicy165 Před 2 lety

      Amina🙏🏾🙏🏾🙏🏾

    • @mdyoung5163
      @mdyoung5163 Před 2 lety

      😅😅😅😅😅🙌

  • @lucasferuzmilenge5580
    @lucasferuzmilenge5580 Před 2 lety +47

    Mungu amuhurumie bure, mi binafsi sikubaliani na tozo nakatwa kwakuwa hakuna jinsi, ila nasubilia nione hicho watakacho kifanya na hizo fedha zetu.

  • @Mwakasyuka1803
    @Mwakasyuka1803 Před 2 lety +29

    Ahsante sana bbc niny ni watu welevu sana piten mikoa michache ya tanzania, nenden hata lind muone kama kuna mwananchi kakubaliana na tozo

    • @simontamba1285
      @simontamba1285 Před 2 lety

      ?kodi zipo nyingii Baba alisema kodi hii hii tuikusanye effectly itatusaidia
      Vikao vimerudi vinamaliza pesa zisizo za msingi Mwenge tungeuazimisha kwa siku moja ili pesa ziende hukoo tupunguze magari ya bei kubwa ili pesa ziende huko tumegundua gesii inatusaidia vipii jamanii mafuta bei juu mbolea bei juu dah...kila kitu bei .....

    • @vumiliamwakasyuka2911
      @vumiliamwakasyuka2911 Před 2 lety

      Wewe mama mungu anakuona

    • @khamisalikidarasa6331
      @khamisalikidarasa6331 Před 2 lety

      Kweli Mungu anamuoona

  • @sosmakanya4901
    @sosmakanya4901 Před 2 lety +67

    Tuzo ni kubwa kuliko hata la makampuni yenyewe hebu wahurumieni watanzania masikini jamaani.

  • @mathewben6833
    @mathewben6833 Před 2 lety +36

    R.I.P JPM 😭😭😭😭,kwa huyu mama Katiba imetupiga kumweka madarakani.

  • @IBENGM
    @IBENGM Před 2 lety +17

    R.I.P Jemedali JPM, mzalendo wa kweli...a true visionary leader! Nilisikitika sana alivyofariki sio tu kwasababu ya ubora wake yy kama kiongozi wa kweli ila pia niliona tatizo tutakalo pata kama nchi baada ya yeye kuondoka.

  • @helentelemla5623
    @helentelemla5623 Před 2 lety +45

    Mama umetuonea Sana kwenye tozo,Mioyo yetu inauma sana

    • @nazhak4573
      @nazhak4573 Před 2 lety

      hakika wallah unakatwa tozo then tuna nunua madawa madaftari na kila kitu anasema na yy anakatwa pia tozo ila wanyonge sio kundi lake

  • @emmaalfredy7217
    @emmaalfredy7217 Před 2 lety +45

    Some people are very important when they lost
    We really miss u dady😭😭😭

  • @legendmusic2848
    @legendmusic2848 Před 2 lety +69

    If you are well educated you understand we live in two different countries with our leaders

    • @shabanngondavi143
      @shabanngondavi143 Před 2 lety +1

      absolute mr.

    • @c-4839
      @c-4839 Před 2 lety

      Mungu atuhurumie

    • @saramss7262
      @saramss7262 Před 2 lety +1

      Sasa pesa zetu ndio uzifanyiye tozoo maghu mbona kakaaa mdaaa akifanya Kama unavyoongea unattuumixa SANA wanyongee endeleeni mungu anawaona uongo tunalalamikia tozoo achaa

    • @hassankibwana450
      @hassankibwana450 Před 2 lety

      Hiyo tozo yamiamara hakuna Alie kubali kukatwa tozo ya hivyo sikweli mama aagalia

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Před 2 lety +1

      Tatizo sio tozo... Tatizo ni kiwango kikubwa... Kilio chetu, tozo hiyo ipunguzwe... Lazima tuijenge Nchi yetu, kwa faida yetu!

  • @nazirkatabaro6347
    @nazirkatabaro6347 Před 2 lety +18

    4:10 Kikeke, nenda kaulize kweli upate realistic answers kama anavodai, she is obviously bluffing about this whole thing... it's a shame...

  • @johnmamba682
    @johnmamba682 Před 2 lety +36

    Jamani, bandari, madini, utalii, gesi, ardhi nk
    Hivi vinamsaidia nani?

  • @Mokiwa
    @Mokiwa Před 2 lety +51

    Tumche Mungu maana saa ya hukumu imekaribia... 🔬

    • @lugranmrisho6041
      @lugranmrisho6041 Před 2 lety +2

      It's true

    • @kiyawisawanda7702
      @kiyawisawanda7702 Před 2 lety

      @P M . Hukumu ni bado kabisa, to prove this read the Bible Psalms 90.4 for Old Testament and 2 Peter 3.8 where all verses indicate that 1000 years is equivalent to one day according to our Creator! Jesus Christ went to His Father circa 33 A.D. hence to date He has been with His father for only 2 days (2000 years)! Definitely as human being we expect Him to be with His father for at least one week before coming back to earth for the armageddon which means there are roughly 4965 years to go!!! However live as if the end of your life is just withing next second, or withing the comming hour.

  • @hawahabibu661
    @hawahabibu661 Před 2 lety +64

    Kwan Milladi yote ya Magufur alikuwa anatoa wapi ela?Madini mnapekeka wapi?Nchi hovyo hii😎

    • @pendopendokimathkimath1218
      @pendopendokimathkimath1218 Před 2 lety +2

      Toa ti usiishi na kidonda ndugu maana hii nchi atuelewani kila mtu anafanya kwa faida yake binafsi alafu wanatupaka mafuta kwa mgongo wa chupa kilio chetu ichi

    • @lightnesselirehema1464
      @lightnesselirehema1464 Před 2 lety

      Hapa kila mmoja analipa kodi. Ni kwa vile tu haiitwi kodi.

    • @shariffaramadan6026
      @shariffaramadan6026 Před 2 lety

      Yn ww mama hv Nani alkubal hyo tozo

    • @reginariwato6204
      @reginariwato6204 Před 2 lety

      Huyu mama ni zaidi ya shetani limama gani halina hata huruma na watoto wake Mungu anakuona

  • @festonayingo2135
    @festonayingo2135 Před 2 lety +19

    Kwn mpango wa kutumia rasilimali zetu kama Madini, Mbuga za wanyama, utalii na utajiri mwingine mwingi kukuza uchumi na kujiletea maendeleo uko wapi.? Maana hatusikii siku hizi.! Mpaka mkavigeukia vijiihela tunavyotumiana na wazee wetu.!

  • @edenbaraka7533
    @edenbaraka7533 Před 2 lety +38

    Sasa ndo nmemwelewa MAGUFULI HIL CLIELEWI KABISA

  • @florianakhweso5749
    @florianakhweso5749 Před 2 lety +43

    Mama hujakopi chochote toka Kwa mtangulizi wako magu??? Haukuona jema hata moja toka kwake mpaka umeruhusu huu uvamizi wa tozo

    • @petermarco8656
      @petermarco8656 Před 2 lety +2

      Magu alisema nchi hii ni tajiri,ndio maana alinunua ndege kwa cash,vp leo mnaweka tozo kwa ajiri ya maendekeo?

    • @jumadaudi2583
      @jumadaudi2583 Před 2 lety

      Umenena kaka kila alichofanya mtanguliz wake walidai eti hakushauriw vzr kwahiyo yeye kuumiz wananchi ndio anashauriw vzr jaman!! Kweli tunamkumbuka tena kwamazur na sii kwamabaya ila mungu yupo panapomajaaliwa 2025 siombali yeye ngoja atudangany eti wananchi wamekubali

  • @geralddaud9763
    @geralddaud9763 Před 2 lety +64

    I hàte listening to this voice.

    • @allyhassan2136
      @allyhassan2136 Před 2 lety +3

      Same to me bro.Na nimegundua wengi sana wanachefukwa wanapoisikilizaga sauti hii ya huyu.

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Před 2 lety

      Angelic voice Mama Africa! Bless 🤲🏾🙏🏽🌹🇹🇿

    • @elizabethstephen4326
      @elizabethstephen4326 Před 2 lety +2

      @@j.c.maxima816 l reveal hate you mama your a killer why umefungua mipaka wakati iKenya mbaya ulitegea Mimi kama sio kutuuza wewe upate ruzuku umeuza nchi mama

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Před 2 lety

      @@elizabethstephen4326 hahaha! Chuki hizi, jamaani ! Mmmh ! Imekuwa kero sasa kwenye Tanzanian society! Nikuulize dadangu, ww unaona mabaya tu ? Hayati alikuwepo, na mahindi yenu yalikwama kuingia Kenya... Yalipokwamuliwa, mbona hamkushukuru?! Daah! Kazi ipo! Mungu tubariki watoto wa Tz! 🙏🏽

    • @edwardstivini355
      @edwardstivini355 Před 2 lety

      mama unafeli kwani mzee magu mbona alikuwa hafanyi ayo mambo napesa ilikuwepo na mambo makubwa yalikuwa yanafanyika sasa kwanini wewe umekuwa mnyonyaji mama

  • @jorampeter6131
    @jorampeter6131 Před 2 lety +30

    Hizo tozo hakuna alie kubal ni kuwanyonya wananch maskin,,mishahara ya wafanya kazi hamishen kweny miamal ya simu tuone kam watakubal,,,RIP MAGUFURI utaish milele ndan ya mioyo yetu

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Před 2 lety

      Tupo wengi waliokubali! Wazo la tozo si baya... Ombi letu, tozo hiyo ipunguzwe... Lazima tuchangie maendeleo ya Nchi yetu...

    • @mohamedgombe8559
      @mohamedgombe8559 Před 2 lety +1

      Mwenyeww sijakubali

    • @queenpiscator6117
      @queenpiscator6117 Před 2 lety

      Mtu maskini ni mtu ambae ni kilema wa akili mvivu, muhongo, msariti, mwizi, na asiye tumia akili yake na mali za kuzaliwa na maanisha udongo, maji, miti, jua nagiza na mwanga,usiyejua mbele na nyuma, juu na chini sasa mnataka kutuambia kuwa kweli watanzania tuko maskini km wewe nimaskini ni wewe sisi wengi tuna pumzi na macho fanyeni kazi

    • @veronicajoseph3841
      @veronicajoseph3841 Před 2 lety +1

      Heri yao matajiri ktk nchi hii.sisi maskini hatujui hatima yetu.Tozo hili heri corona.

    • @queenpiscator6117
      @queenpiscator6117 Před 2 lety

      @@veronicajoseph3841 mwenyezi mungu ana kusikia baada ya kuomba baraka kwani una mikono na miguu kilema watu wengine atuwezi kulingana ni km kiganja vidole vyote vinayegemeana uvivu na tamaa wengi wenu

  • @johnchuwa2888
    @johnchuwa2888 Před 2 lety +13

    Wewe unazo punguzeni matumizi yasiyo ya lazima.kwa mfano waziri mkuu kwenye ziara zake,anatembea na magari mangapi?lakini pia rais unapokua kwenye ziara zako unatembea na msafara wa magari mangapi.aina ya magari mnayotumia nayo ni aina yakubana matumizi tuwe kama uingereza.mnatamba wakati nchi hii ni maskini.yani serekali hii haina tofauti na mzazi anaye mpa mtoto chakula chakutosha wakati wanalala nje.tani mtoto anaonekana kanona lakini analala nje.kikeke ebu niambie hii nchi inavitu vingi vimepanda bei mafuta yakula ni juu.nondo ni juu .cementi ni juu.bati ni juu.yani kila kitu ni juu.hizo kodi haziwatosh sasa wamekuja kwenye miamala.lakini pamoja na haya yote maisha ya mtazania nbado ni magum sasa hii nchi mchawi ba nani kama si viongozi akiwepo raisi wetu?kila miaka tunajenga nchii hii ni nchi gani isiyokua?hatutaki porojo.raisi awatume watu wawaulize wanchi wanataka nini katika chi yao.maana miaka mingi tumewaamini viongozi lakini wanatuangusha kila mwaka.

  • @yusuphcharles1497
    @yusuphcharles1497 Před 2 lety +63

    Mama hapana hakuna aliyejubali tozo za miamala ya simu
    Hapo cha kufanya ingia mtaani omba maoni kwa wananchi wenyewe

    • @annamwakibinga527
      @annamwakibinga527 Před 2 lety +4

      Nani kakubali tozo jaman

    • @hadijamagufuli2661
      @hadijamagufuli2661 Před 2 lety +4

      Mama muogope mungu, kumbe samia muongo kweli hapa kiongozi hamna

    • @suziemichael9177
      @suziemichael9177 Před 2 lety +2

      Huyu mwanamke atachomwa moto na mungu hata jivu lake halitaonekana maana anasema uongo sana me ananikera cn bas tu

    • @hadijamagufuli2661
      @hadijamagufuli2661 Před 2 lety +2

      @@suziemichael9177 eti anasema tumekubali tozo kweli jamani

    • @suziemichael9177
      @suziemichael9177 Před 2 lety +2

      Anaumiza watu hajui halaf kampun hz mpes , tigo airtel wameajili watu weng san mfno zifungwe zote yy atajil watu

  • @mohdomar7060
    @mohdomar7060 Před 2 lety +67

    Maguful yy pesa alizipata wapi na hakuweka matozo km haya

    • @sabbob574
      @sabbob574 Před 2 lety +10

      Umeongea vizuri Brother. Magu pesa alipata wapi, swali zuli. Na uchumi umeshashuka kwa miezi minne baada Mzee Magu kufariki.

    • @alanusrespicius1796
      @alanusrespicius1796 Před 2 lety +4

      JPM alisema tutamkumbuka kwa mazuri

    • @stevengaspa1567
      @stevengaspa1567 Před 2 lety +2

      Anasema uchumi ume shuka kashusha Nani wakati uchumi uoisemekana upo Kati Leo hanasema umeshuka wewe una mwelewa kweli jamani

    • @amosimariba9820
      @amosimariba9820 Před 2 lety +5

      Mwanaume ni mwanaume tu, ana akili nyingi za utafutaji na akili za uongozi wanawake watusubirie nyumbani watupokee tukitoka kazini

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Před 2 lety +1

      @@amosimariba9820 Mawazo mgando hayo... Tatizo sio mwanamke wala mwanaume... Wanawake wanaweza... Achana na mfumo dume, brother!

  • @nazirkatabaro6347
    @nazirkatabaro6347 Před 2 lety +41

    Very weak points... it's disgracefully depressing...

  • @masuodkolowa3819
    @masuodkolowa3819 Před 2 lety +36

    hakuna aliekubali tozo.JPM aliijenga nchi bila tozo.

  • @stanlaymsabaha4038
    @stanlaymsabaha4038 Před 2 lety +13

    Mama muongo huyu eti wananchi tumekubali tozo acha uongo

  • @simonzakaria4770
    @simonzakaria4770 Před 2 lety +43

    Nani alikubali tozo.usitusemee

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Před 2 lety

      Tatizo sio tozo... Tatizo ni kiwango kikubwa mno... Lazima wasikilize kilio chetu Wananchi, tozo hii ipunguzwe...

    • @pendopendokimathkimath1218
      @pendopendokimathkimath1218 Před 2 lety +2

      Mama makubaliano ni mazuri na kuomba ushauri kwa wananchi ni jambo la heri sisi kama wa Tz wanyonge ndani ya serikali unatufanya kukulaumu na kumkumbuka marehemu yote unayoongea ni muhimili wa bunge si sehemu yako mama ongea vizuri na mawaziri uliowateua coz wabunge awana uchungu na wananchi wakijua kwamba walijiteua awakuchaguliwa ndiyo maana wanatakakutuibia kwa nguvu na pia rudisha jicho nchi angalia secta nyeti mama vijana wanaisha kwa madawa ya kulevya malumbano aya yanaleta giza watu wanajifanyia chochote coz polic wapo bz na wanasiasa wamesahau majukumu yao wiz umezidi na mengine mengi mama usijibu hoja za ajabu mitandaoni tafuta faragha si umu mama sikia kiliochetu tozo zirudi palepale bajeti ipangwe kupitia kwenye bajeti si wazo la mtu na mkewe anatuletea kwenye bunge kivuli lisilo na uchungu na Tz

    • @msuyadora1350
      @msuyadora1350 Před 2 lety +5

      Mungu anipe subra maana natamani nitoe koment ambayo nitafungwa

    • @jeitangogo6422
      @jeitangogo6422 Před 2 lety +1

      Mama tunaumia vibaya muno sisi wahali ya chini wewe unachanga unazo nyinyi tunaumia ni sis unavyo sema tunakuba wapi

    • @jeitangogo6422
      @jeitangogo6422 Před 2 lety

      Hata wa ccm yani wapendwa wezako wanalia Ila kweli waliipenda wenyewe tozo kubwa mno

  • @robertmichaelshayo9876
    @robertmichaelshayo9876 Před 2 lety +13

    "Wananchi wamekubali tozo" inawezekana mimi sio mwananchi Wa Nchi hii maana sijakubaliana na tozooo

    • @saudasimba3378
      @saudasimba3378 Před 2 lety

      Which wananchi?

    • @robertmichaelshayo9876
      @robertmichaelshayo9876 Před 2 lety +1

      @@saudasimba3378 nikikuwa mkubwa nataka niwe mwananchi

    • @pendopeleus9943
      @pendopeleus9943 Před 2 lety

      Huyu hana Shea huko tunaangaika eti anatafta maendeleo mwenzie aliyapataj mbn akutunyonga ss

    • @eliyajeremia1447
      @eliyajeremia1447 Před 2 lety

      Mwana nchi gani rabuda kauliza watoto wake wakamwambia nisawa nawa bunge namawazili nalilejinga lispika ndugai ambao Wana tumia benki kulipana mishahara watumie simu tuone nashetani hawa eti Wana tuwakilisha

  • @alexboyoo6110
    @alexboyoo6110 Před 2 lety +34

    Magufuli we real miss you hero😪😪

    • @nassorbinfundi1196
      @nassorbinfundi1196 Před 2 lety

      Wewe fitna kale kande ulale

    • @alexboyoo6110
      @alexboyoo6110 Před 2 lety

      Little brain you can't understand what i mean ......relax

    • @alexboyoo6110
      @alexboyoo6110 Před 2 lety

      @@nassorbinfundi1196 ubongo wako unaona uko sawa

    • @batulimangare724
      @batulimangare724 Před 2 lety

      Mama mbona unatuonea hivyo ss hatujaikubali Hali zetu ngumu

    • @batulimangare724
      @batulimangare724 Před 2 lety

      Wewe unaongea kwa sababu unazo pesa laiti ungejua maisha yetu usingeonge hivyo

  • @lucksonkaleshi539
    @lucksonkaleshi539 Před 2 lety +32

    This total deception. Watanzania hatujakubali tozo yoyote, mnachofanya selikari ni mabavu wakati mwingine huwezi sikia kama unatumia mabavu. Mungu awasadie viongozi wa selikari. Pia raisi don't answer confidently huku ukijua Watanzania wanakuelewa. Listen even to that small group kama Mwalimu alivyofanya wakati wa kuleta democrasia.

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 Před 2 lety

      The problem hakuna anofata DEMOCRACY TANZANIA WALA HAWAJUWI NINI MAANA YA DEMOCRACY. Kila kitu chao wanafanya kwa mabavu na WIZI...wanopata tabu ni Wananchi MASKINI.

    • @renatusdalama5208
      @renatusdalama5208 Před 2 lety

      Hakuna mwananchi aliyekubaliana na tozo. Isipokuwa wamelazimishwa. Inamaana serikari haijaona vyanzo vingine vya kiuchumj

    • @yasalaam590
      @yasalaam590 Před 2 lety

      Kwakweli tozo ni wajibu lani muangalie kima mnachoeka mbona mnapandisha sana juu kiwango

  • @ramadhanbakarimtambo2024
    @ramadhanbakarimtambo2024 Před 2 lety +16

    Mama anaongea kama mambo yote yakio sawa lakini moyoni anajua mambo yalivyomagumu kwake

  • @benjunior6605
    @benjunior6605 Před 2 lety +44

    The real president we elected died & he will be remembered forever,, we don't know others. We wish to go for a by-election.

  • @shabanngondavi143
    @shabanngondavi143 Před 2 lety +12

    mmm kwa mwendo huu, mwisho wa siku tutafwata majumbani kuchukuliwa chenchi zilizo baki, mungu isaidie tanzania , mungu iyokoe tanzania.

  • @shammhagama4297
    @shammhagama4297 Před 2 lety +26

    Hayo maswali ni levo ya uwazir tu, mnamuuliza maswali ya kitoto hayo kashatuharibia nchi yetu

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Před 2 lety

      Nchi yake pia! Unapomzungumzia Rais wa Nchi, yy ndio Raia number moja! Kwa hivyo, anaipenda Nchi yake, kama ulivyoipenda ww !😂😂😂

  • @pastorhermantv5420
    @pastorhermantv5420 Před 2 lety +7

    Samia umefeli kwenye tozo nani amekubali tozo nimegundua kumbe mlitupangia kabisa kutuchukulia hela ili mseme zinaenda kwenye miladi mbona magufuli kwa miaka mitano hakuwahi kutoza watu tena alionya msiwatoze ushuru wananchi wa hali ya chini dah magufuli fufuka baba wanachi wako huku twateswa

  • @dominicwankyo7145
    @dominicwankyo7145 Před 2 lety +10

    R i p Jpm😭😭😭

  • @chrizantuspantaleo6928
    @chrizantuspantaleo6928 Před 2 lety +9

    Let me keep it silently into ma heart ,God talk with our leaders ,direct them ,discuss with them in decision making and show them the way and give them spritual eyes

  • @michaeltangi5120
    @michaeltangi5120 Před 2 lety +20

    Nchi hii tunaviongozi wa ajabu sijapata kuona Aya kweli aliyeshiba hamjari mwenye njaa

  • @stevenmsaaada.msaada.389
    @stevenmsaaada.msaada.389 Před 2 lety +25

    Yaan uyu mtu anachukiza hakunamfano ila kwa vile sisi watanzania wanatuona kama mazezeta ndio maana tunapelekwa pelekwa tu.

    • @hamiduhamdun1858
      @hamiduhamdun1858 Před 2 lety +1

      Watz tupo na akili nyingi sana mtu akiongea vitu vya hovyo hatupendi na tunajua sababu gani hawataki kuunda katiba mpya sababu watunyonye na kuandaa watoto wao waje kutuongoza kila kukicha ukweli tumeshachoka na mnayofanya.

    • @speranciangunwa3314
      @speranciangunwa3314 Před 2 lety

      Huna huruma kabisa na wanyonge

    • @speranciangunwa3314
      @speranciangunwa3314 Před 2 lety +2

      Ulale pema magu ulitutetea

    • @corneliamatesha3163
      @corneliamatesha3163 Před 2 lety

      Lala pema baba JP

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Před 2 lety

      Ww unayesema "huyu mtu anachukiza", sikuelewi, b'se huwezi kumchukia mtu kwa wazo la tozo tu! Sema tozo hii ni "pretext"... Ninyi mnasumbuliwa na chuki zenu binafsi... Hamna sababu ya msingi... Mungu awahurumie:-)

  • @saidfhamad
    @saidfhamad Před 2 lety +7

    Huyu raisi kama hajiamini sana, sijaona akitoa majibu ya moja kwa moja juu ya swali lolote!!!

    • @sizzamonela8451
      @sizzamonela8451 Před 2 lety +1

      Mimi na wenzangu tunaenda kulifanyia kaz

    • @saidfhamad
      @saidfhamad Před 2 lety +1

      @@sizzamonela8451 🤣🤣🤣🤣 Naona umekariri jibu lake pendwa!!

  • @kicheko4980
    @kicheko4980 Před 2 lety +19

    Your advisory is misleading you badly aisee!!!! I wish you could see, imagine you being considered worse than you predecessor.

    • @c-4839
      @c-4839 Před 2 lety

      The predecessor looks like a choir boy now

    • @nazirkatabaro6347
      @nazirkatabaro6347 Před 2 lety +2

      She doesn't have an advisory board, she has a board in command...

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 Před 2 lety +36

    Wabunge kwa nini hawachangii tozo za simu?wabunge walipwe mishahara yao kupitia simu waone machungu ya tozo

    • @williammwaisunga3407
      @williammwaisunga3407 Před 2 lety

      Tunachagua wabunge mbumbumbu kabisa.wanasahau walikotoka
      Msukuma,yule mbunge dereva wa basi,Gwajima,pole polepole mbunge wa mtera,mbunge Shabiby wapo na wengine wachache wateteeni wananchi wanahali mbaya sio kama Zungu na jafo hadi kabadilika sana na wengine wengi hawako kuwajali Watanzania wao kwa nini hadi sikutegemea kama anaweza sema maneno kama yale.aliekupa wewe ndie kaninyima mimi anaweza akakunyang'anya unachotulingia.kama MUNGU uishivyo na haki yako ni kweli naaam naomba Utete nao wanaotenda watu wako MUNGU

  • @ernestmwanalinze2612
    @ernestmwanalinze2612 Před 2 lety +17

    Mimi naumia kwa binti yangu namtumia hela za matumizi kila siku 3000,4000,5000 mpaka 10000 kila wakati kwasababu kipato changu kidogo so nalazimika kutuma kahela kakutosha ili mtoto wangu akiwa chuo apate kahela kamatumizi akiwa chuo,kwahiyo hizo tozo kwangu mimi zinaniumiza kwakweli.

    • @annamwakibinga527
      @annamwakibinga527 Před 2 lety +2

      Tozo ni kubwa hamna asiyelalamika piteni kwa wananchi musikie

    • @neemamasala7167
      @neemamasala7167 Před 2 lety +1

      Inaumiza kla mtu

    • @lotimwansule5017
      @lotimwansule5017 Před 2 lety

      Wala sio kundi dogo watu wote wanalalamika shida anayetuma na anaye pokea wote tunakata hii sio.

    • @christophermgimba6966
      @christophermgimba6966 Před 2 lety

      @@lotimwansule5017 DAH POLE SANA NDUGU. MESSAGE YAKO IMENIGUSA SANA. NIPE NAMBA YAKO NAMIMI NIMCHANGIE MDOGO WAKO HATA SIKU MOJA

  • @moibrahim6681
    @moibrahim6681 Před 2 lety +8

    The same excuse (s) for 60 years is not going to cut it again.

  • @hakizimanajean7702
    @hakizimanajean7702 Před 2 lety +10

    Nipo kimya lkn si kwamba nimefurahishwa na TOZO ZENU.
    MTANIKUMBUKA SI KWA MABAYA, MAZURI.
    Rest in Power JMP!

  • @anwaromar9380
    @anwaromar9380 Před 2 lety +28

    R I P mwendazako tumekumis sanaaaaaa tutzidi kukuombea na kuukumbuka mchango wako kwa Tanzania Africa

  • @danieljoram8533
    @danieljoram8533 Před 2 lety +20

    TOZO NI KUBWA SANA MATHALANI UKITAKA KUMLIPA MTU ELF50 na unataka atoe elf50 unapaswa uweke elf57 kabla ya tozo ungeweza kutuma elf53 tu , MAKATO YAPO JUU SANA.

    • @paulshija7632
      @paulshija7632 Před 2 lety +1

      Kama unaweza kuhonga laki kwa mwanamke unashindwaje kuchangia mapato kwa maendeleo ya Nchi yako? Maendeleo mnayoyataka yatapatikanaje bila kuchangia? Tulipe Kodi na Tozo mbalimbali kwa Maendeleo ya Nchi yetu!

    • @lulanjamd3886
      @lulanjamd3886 Před 2 lety +3

      @@paulshija7632 Paul shija wewe nipunguwani unafikilia uchumi wako ni sawa na watu wengine acha kutetea upuuzi

    • @paulshija7632
      @paulshija7632 Před 2 lety

      @@lulanjamd3886 Mkuu, inawezekana umesikiliza lakini hujaelewa, Mh. Rais kazungumza kuna madaraja katika utozaji wa hizo tozo, kila mtu anatozwa kulingana na hali ya uchumi wake.
      Kingine tambua Serikali haina Shamba au kiwanda cha kuzalisha pesa, pesa lazima zitoke kwetu wananchi.
      Unapolalamikia kwanini hakuna madawa, hakuna madawati, hakuna madarasa nakadhalika jiulize umechangia kiasi gani katika pato la taifa? Kwenye suala la tozo naungana na Serikali kwab100% la msingi tozo hizo zikafanye kazi iliyokusudiwa!

    • @stellamsokwa7030
      @stellamsokwa7030 Před 2 lety +1

      @@paulshija7632 naunga mkono hoja

    • @wisdomhalisi......8891
      @wisdomhalisi......8891 Před 2 lety +1

      @@paulshija7632 swali kwako MAGU aliijenga nchi bila makati nA alisema nchi hii ni TAJIRI je tulichanga sh ngapi kujenga nchi hata kufika uchumi wa kati....? je unaweza kumtoza MASIKINI na ukafanikiwa kujenga nchi.

  • @topmusicpro1838
    @topmusicpro1838 Před 2 lety +4

    Mungu anakuona kutulazimisha el tumekubali

  • @mwajumankalamba240
    @mwajumankalamba240 Před 2 lety +4

    Yaa Allah mbadilishe Huyu mama ayafanye yanayoluhusiwa Katka Dini yetu

  • @janethsamwel1494
    @janethsamwel1494 Před 2 lety +10

    Nilivo sikia mwanamke anatuongoza nilifurahi kuona wanawake nasisi tuna weza kiukweli mama unatuumiza sn km inawezekana katiba kubadilishwa bora ibadilishwe

    • @fednandnews2240
      @fednandnews2240 Před 2 lety

      Kwakweli sikuwai kudhan anaweza kuwapo kiongozi anaefanya vitu ambavyo ata mtoto anaviona ni ujinga kama

    • @fednandnews2240
      @fednandnews2240 Před 2 lety

      Kwakweli sikuwai kudhan anaweza kuwapo kiongozi anaefanya vitu ambavyo ata mtoto anaviona ni ujinga kama
      ...

  • @danieltoroka7281
    @danieltoroka7281 Před 2 lety +23

    Huna lolote mama 🤔👎 ushaharibu sifa zako zote yani mungu turehemu nchi yetu sijui itafika wapi 😱☹️

  • @elisonrisasi8647
    @elisonrisasi8647 Před 2 lety +3

    Huku kwetu Barbara nimbovu Sana olewako msijenge hapo itafaamika

  • @ashamwandu6572
    @ashamwandu6572 Před 2 lety +1

    Mama,mama,mama,mama ni mama.Huruma yako mzazi wetu,Tozo Tozo tozo Tozo tozo Tozo Tozo tozo za nini? Mama!!!!!Mamigodi na wawekezaji,hii huduma ni muhimu Sana,wamama wanaomba uwahurumie,,Mungu kwanza unahekima Sana Mama,Tatizo Tozo unakwama wapi mama yangu kipenzi ❤️

  • @stanlaymsabaha4038
    @stanlaymsabaha4038 Před 2 lety +13

    Ewe mwenyezi mungu muumba wa mbingu na nchi kwa Nini usikichukue hiki kiumbe haraka maana mateso yamezidi

    • @meshajoni5662
      @meshajoni5662 Před 2 lety

      Kwakwelii

    • @dawhiteschola8847
      @dawhiteschola8847 Před 2 lety

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣uwiiii alafu ni muongo magufuli alijenga ma barara bila tozo yani yeye anapeleka Ela kununua chanjo anatubana sisi yani huyu mama Ana Roo____😭😭😭Magufuli. Baba tunakukimbuka

    • @jonahagust3287
      @jonahagust3287 Před 2 lety

      @@dawhiteschola8847 LIONGO ILI MBWA

  • @speriussimba6717
    @speriussimba6717 Před 2 lety +29

    Nani kakubali tozo 😜🤣huyu mama jmn duuh

    • @omarsultan7195
      @omarsultan7195 Před 2 lety +1

      Tupo paamoja na mawakili waaliofungua kesi kwa ajili ya tozo kuondolewa ati na yeye anakatwa sasa yeye ni sawa sisi uyu rais ni shida

    • @samwelimoshi5614
      @samwelimoshi5614 Před 2 lety +1

      Yupo sawa sema ujamwelewa

    • @nasorobangara2924
      @nasorobangara2924 Před 2 lety

      Mama shida

    • @speriussimba6717
      @speriussimba6717 Před 2 lety

      @@samwelimoshi5614 sijamuelewa wwpi nawakati kasema watanzania tumekubali tozo bali tumelalamika kupunguziwa kiwango mpk sasa nani anakubali tozo?mbn mzee magufuli alikusanya pesa nyingi na miradi tukaiona lakini hakuwahi kuja kuchukua pesa kwa wananchi

    • @agnessjohn1222
      @agnessjohn1222 Před 2 lety

      Tozo Nani kakubali munapora vya wanyonge Kwa nguvu wakat rasilimali zetu tunaweza kujitegemea wenyewe bila kuombaomba misaada zipo umeshindaje kufwatwa nyao za JPM na mlikua wote umetuangusha hatukutegemea kabisa unayo yafanya saizi vibanda vya tigo pesa havina wateja na vitafungwa vingi

  • @Givan-nu7mi
    @Givan-nu7mi Před 2 lety +6

    dont compare yourself to our legend#𝕁ℙ𝕄🙌🙌

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 Před 2 lety

    Siasa siasa wananchi hawana RAHA.. chakula ,afya bora na elimu... nyiye mnawapa wananchi maisha magumu kwa miaka mingi.. kazi yenu Siasa siasa inachekesha hii NCHI..Jengeni Nchi muwe pamoja. DEMOCRACY haikufaini hapo Tanzania .... wacheni kufata WAZUNGU...

  • @Kijana-wa-Tanzania
    @Kijana-wa-Tanzania Před 2 lety +27

    Suala la tozo umelijibu kama punguani kwa kweli.
    Unadhani Watanzania wa chini hawana uelewa kwa kiasi gani wanaumizwa na tozo sio! Kwa hiyo kutokuwa na uelewa inatosha kuwa sababu ya kuwaumiza.

    • @regenerativerestorationsci3197
      @regenerativerestorationsci3197 Před 2 lety +2

      Madam. Hauoni uchungu kuwatoza wananchi wa kipato cha chini kama sisi wa vijijini tozo? Hata hayo makato yenyewe yanatuumiza na wewe bado unaafiki, MBONA KWENYE MABENKI haujagusa? Haufahamu watumiaji wakubwa wa miamala hii ya simu ni wananchi wa kipato cha chini? Watu wa kipato cha juu hawahangaiki kutuma milioni mia kwa njia ya simu...wanatumia Mabenki...kwa hivyo huo mchango unawahusu tu watu wa kipato cha chin? Hao wa miamala ya kibenki hawahitaji kuchangia madawati, hospital nk? Hapo hatujakuelewa.... Watanzania wanyonge wamekukosea nini?

    • @Kijana-wa-Tanzania
      @Kijana-wa-Tanzania Před 2 lety +4

      @@regenerativerestorationsci3197 Wanaelewa vyema wakiwagusa wa vipato vya juu wataishia kuhamisha pesa zao kutoka nchini kwenda nchi zenye mifumo na utaratibu wa uhakika kwa muda mrefu. Tanzania tunarudishwa nyuma sana na viongozi mapunguani🙁

    • @samwelkataraia4525
      @samwelkataraia4525 Před 2 lety

      Hapo tulipigwa hakuna alie kubali

  • @tztanzania2262
    @tztanzania2262 Před 2 lety +16

    Sehem alipofel zaid mama yangu samia ni juu ya TOZO lakn oky tusubr huenda hili ni dogo yatakuja makubwa zaidi Mola atupe subira

    • @asteriambwei3349
      @asteriambwei3349 Před 2 lety

      Kwa tozo hatujakubaliana Malo nalo kabisa huko umeenda mbali Marais waliopita mbona hawakufikia hatua hiyo unabana hata vijana wanakosa ajira hivyo vituo vya afya inategemea tozo

    • @restutameshack1626
      @restutameshack1626 Před 2 lety

      Hakuna kipya hapo zaid ya kuonea wanachi tu.

    • @tumainikomba9008
      @tumainikomba9008 Před 2 lety

      Hata hao ma-informal wa ikulu wanajua hal ya huyu demu ikoje baada ya tozo....

  • @yuzotv458
    @yuzotv458 Před 2 lety +1

    Hii kichwa Cha habari kimetukosea Sana wananchi,Hakuna mwananchi anaekubariana nahuu unyonyaji wakiwango Cha Rami.

  • @yasinipawa7763
    @yasinipawa7763 Před 2 lety +2

    kwenye chanjo wanamsema Gwajima ooooooh, anatusemea wananchi!!! tusichanjwe,. lakn kwenye Tozo mnatusemea. tumekubali akni sio kweliiiiiiiiiii.

  • @nsomimalongo8004
    @nsomimalongo8004 Před 2 lety +11

    Mapato ya serikali tunatoa ushulu tunalipa atakagunia kamojatu, napesa za kwenye CM tozo tunaumia sana Mama

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Před 2 lety +4

    RIP Magufuli😭😭😭😭😭

  • @edmark_datieeeeeee1940
    @edmark_datieeeeeee1940 Před 2 lety +1

    Mungu akusamehe tu mheshimiwa hujakaa mitaani ukasikiliza vilio vya watu kama mtangulizi wako. Fika mitaani uwasikilize

  • @jofreygudson5908
    @jofreygudson5908 Před 2 lety +15

    Imeandikwa; Hawa wanawake mkae nao kwa akili!! Kwahiyo mwanamke ni mwanamke tu tunahitaji akili zaidi ili kuishi naye huyu mama.

    • @stevengaspa1567
      @stevengaspa1567 Před 2 lety +2

      Kabisa nishida

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Před 2 lety +1

      Mfumo dume mwingine!

    • @neemamasala7167
      @neemamasala7167 Před 2 lety +2

      Pia akili za mwanamke Ni za kushkiwaaa

    • @williamray7751
      @williamray7751 Před 2 lety +1

      A president doesnt make desicions alone,its an institution, wanaomshauri ndio wenye shida, decisions are collective ,kulaumu ni serikali nzima

    • @jofreygudson5908
      @jofreygudson5908 Před 2 lety +3

      Yeah akili ya mwanamke na yakushikiliwa ndomana mwanamke hata akiwa ma masters anaweza danganywa na mwanaume mdogo sana amabaye hata darasa la saba hajafika🤔 kwahy mbaya sio mama wabaya ni hao wanaomuongoza mama!!!!!

  • @richardmadoshi529
    @richardmadoshi529 Před 2 lety +15

    Nikionaga Hii sura najisikia vibaya, nikisikia sauti najisikia vibaya sana....
    Acha kusikiliza wanasiasa chumia Tumbo, pitia hata comments Sisi wananchi tunasemaje..!!

    • @meshackmlaki2066
      @meshackmlaki2066 Před 2 lety +1

      Atakufa tu., Anafikiri Ataishi milele 2025 Tuachie Nchi yetu Mama Nakupenda Sema unabana vijana sana

    • @nathaliamayo8311
      @nathaliamayo8311 Před 2 lety +1

      Tozo zimaumiza sana sisi ambao ni maskini

  • @fruitfulmpanduji2494
    @fruitfulmpanduji2494 Před 2 lety +2

    Mchanga mnadafirisha ulaya bure ,halafu mnatupa Sisi wakati ngumu wa TOZO , mbona Magufuli aliwezaje kufanya Mambo mengi tena makubwa bila kutuwekea TOZO Sisi wa TZ wa chini. Mama unatukosea na kutuonea .... Tunamkumbuka Kipenzi chetu Magufuli Kwa kutufikisha uchumi wa Kati ...bila kugandamiza wa TZ. Mama ufikirie vizuri.

  • @tumainiobedi3029
    @tumainiobedi3029 Před 2 lety

    Amakweli hii ndotanzania yetu na viogozi musitubadilishie viswahili tulikataa tozo lakin leo hii mwatubadilishia eti tumekubali tozi na tumekataa makato subhanallah mungu anawaona viongozi kama nyie na malipo ni hapa hapa duniani

  • @aloycemrianga8725
    @aloycemrianga8725 Před 2 lety +11

    Hizo njia za ndani ndio zinazotuuwa sisi,,naomba rudini kwenye madini

  • @bulayaconfidential7212
    @bulayaconfidential7212 Před 2 lety +6

    kumbe huyu mama kichwani ni mweupe namna hii, ama kweli keki ya nchi wachache wanaila, ni mtanzania gani aliyekubali uharamia huu shwaini kabisa...

  • @KADALAtv255
    @KADALAtv255 Před 2 lety +7

    Fikra finyu, hivi tozo ndio itakwenda maliza changamoto zote hizo? Migodi madinii zinaenda wapi?mm

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 Před 2 lety +1

    Yani unatia hasira bac tu wee Mama😭😭

  • @consolathambuya2563
    @consolathambuya2563 Před 2 lety +25

    Tozo,Tozo, Tozo dah!😭😭😭😭

  • @endrewmponda6717
    @endrewmponda6717 Před 2 lety +15

    Huu niuongo ulio tukuka watanzania hatuja kubali tozo tunaumizwa uchumi ni mgumu tena tunaongezewa mzigo. Thamani za ujenzi kila kukicha bei juu mazao beichini mbolea bei juu mbegu bei juu tena huyu huyu massikini anaubeba msalaba wakuinua uchumi wa taifa yani nisawa na ng'ombe usiye mlisha kumtaka kumkamua maziwa yakutosha.

    • @meshackmlaki2066
      @meshackmlaki2066 Před 2 lety

      Usiseme ivo ndugu inauma sana

    • @danielmiren4107
      @danielmiren4107 Před 2 lety

      Mbona siku hizi hatuoni wananchi wanashiriki kwenye shughuli za Maendeleo mfano mashuleni madawati vyumba vya madarasa na mifano mingine mingi hatuoni tunaelekea pagumu serikali imezidiwa nchi yetu ni kubwa hatulioni Hilo limeka vibaya

    • @jeitangogo6422
      @jeitangogo6422 Před 2 lety

      Mama ingia mtaani watu wanalia vibaya mno unasema nawe unachanga wewe unazo nyinyi huwezi kufananisha na sisi wahali ya nchini

    • @josephjohn7003
      @josephjohn7003 Před 2 lety

      @@jeitangogo6422 hachangi chochote Huyo mi naona 98% ya maneno anayoongea hapo ni uongo tumekubali SAA ngapi hizo tozo yaani

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Před 2 lety

      Eti "Hatuoni Wananchi wanashiriki kwenye shughuli za maendeleo, mfano shule, zahanati, madawati..." Utaona watakaposhirikishwa, mtasema Mama anatukamua sisi Wanyonge, Magufuli tutakukumbuka, Wanyonge tunaumia... !!! Sijui binadamu tukoje!!!

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri Před 3 měsíci

    Hongera sana Mhe Rais Samia Suluhu Hasani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mke wangu jamani kwa ueledi wenu wa kijasiri kuweza kufanya mabadiliko ya mara kwa mara ya Chama na Serikali zetu.

  • @teophilmbalamwezi
    @teophilmbalamwezi Před 2 lety +1

    Sitaki kuamini kama anaye jibu maswali haya ni rais wa Tanzania 😢😢😢😢😂😂😂😂

  • @isaacsengunda3099
    @isaacsengunda3099 Před 2 lety +18

    Mh rais,
    Kuhusu tozo hatukukubali,maana mlijadiliana wenyewe wabunge wa ccm na kupitisha hizo tozo,ni kweli hatujakataa tozo,isipokua kiwango,na hakuna mtanzania aliewahi kukataa kuchanga kuchangia taifa letu lakini hivyo viwango vya kuchangia mnavipanga bila kufikiri kwa kina,mnakurupuka mno,mnaacha njia sahihi za kusimamia mapato ya nchi,badala yake mnabana walala hoi zaidi,
    Mbona madini yetu ni mengi hamuweki mkazo wa kiwango sahihi kukusanya hizo hela,bandarini kuna ujinga na uzembe kila mwaka mbina hamsimami wima kukusanya mapato mnakuja kuhangaikia vibanda vya m pesa,hii ni sera ya kihuni ya ccm,
    Na ndio maana walipiga vita cdm isiwe na wasemaji bungeni ili wao tu ndio wapange na kuamua na ndio hayo yanayoendelea kwa sasa,
    Na hapa niwajulishe tu watanzania tulijisahau sana,na tulifurahia upinzanzani kupotezwa,lakini tujue upinzani unasaidia kutufumbua macho,kama hamhelewi eleweni sasa ccm kabla ya magufu hajawa rais,na ccm ya magufuli akiwa rais,na ccm baada ya magu kutwaliwa,kwenda kuongoza malaika,,na ccm ya huyu wa sasa,angalieni wabunge,na spika wao,hii ndii ccm na namna inavyofanyaga mambo yake,hii ndii sababu ya kua na uhuru miaka60 lakini bado kuna shule watoto wanakaa kwenye mawe,hawana madawati,lakini wakati huohuo kuna misitu mibene,na hadi magogo hua yanakamatwa bandarini yakisafirishwa nje ya nchi,yaani kwa mwenye akili sijui kama unaweza kuishangilia ccm kwakweki.

  • @ismailmazina2710
    @ismailmazina2710 Před 2 lety +15

    Huyu mama simuelew kabisa

  • @ramadhanmasiku4105
    @ramadhanmasiku4105 Před 2 lety +1

    Jipange tu mama cc hatuna shida weka tozo, dozo ,n k sisi tumekubali iweke na dozo hii ni kwenye tiketi za daladala tukipanda tukate mama cc tumekubali ili mambo yawe bam bam!

  • @mirajiramadhani2035
    @mirajiramadhani2035 Před 2 lety +1

    Muongo huyooo hatujakubaro hizo tozo... Na hasa za mitandao.. wanachukua maamuzi tu alaf hakuna kufikiria wanahali gan ama wanaweza kumudu tozo hizo

  • @alexalexander3027
    @alexalexander3027 Před 2 lety +5

    Majibu ya raisi 🥰🤣🥰🤣🤣🤣😍😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😍😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @twahathomas3514
    @twahathomas3514 Před 2 lety +8

    Yaan jamani huyu mama mm sijui hata km kweli anauchungu na hii nchi au labda kapewa mzigo ambao unamzidi

  • @ramakzonline4249
    @ramakzonline4249 Před 2 lety +1

    Enzi za magufuli tozo hazikuwa kubwa lakini alikuwa anaendesha vzr na mambo alifanya tulikuwa tunayaona

  • @DAINOSSA
    @DAINOSSA Před 2 lety +1

    Atuja kuballiiiiiiiiiiii bora baba angeli kuwapo

  • @annaluganha7021
    @annaluganha7021 Před 2 lety +9

    Wewe mama usitake watu waongee hovyo wakamatwe! Pita huku uchukue maoni ya watu kuhusu tozo ili ujue. Kumbuka kuwa kipato chako ni tofauti na sisi.

  • @dicksonsenyagwa5545
    @dicksonsenyagwa5545 Před 2 lety +7

    Hakuna mwananchi aliyekubali hiyo tozo Mama waliokubali hiyo Tozo ni wabunge wako ambao hawalipi kodi

    • @tumainikomba9008
      @tumainikomba9008 Před 2 lety

      Kwakwel hao WABUNGE uzalendo wao uko wap jaman so sad

    • @thabitathuma9867
      @thabitathuma9867 Před 2 lety

      Upo sahihi kaka Dickson mimi mwenyewe nimekelwa sana na hii tozo haina msaada na mtu mwenye maisha ya chini

  • @crispius7271
    @crispius7271 Před 2 lety +1

    Me nafikri chanjo iwe ya radhima tozo iwe hiari 🤷🤷🤷

  • @yohanamarco5630
    @yohanamarco5630 Před 2 lety +1

    Ulikua namkutano wapi uko uliko kubaliana na wana nnchi kupitisha tozo.

  • @zehrarico1830
    @zehrarico1830 Před 2 lety +6

    Uchumi umeshuka baada ya magufuli kufariki ama vipi mimi simuelewi kabisa alikuwa anafanya vipi KAZI na magufuli

  • @saidially6310
    @saidially6310 Před 2 lety +8

    Hakika hii nchi bila mtu kama marehemu magufuri hatuwezi kuinuka kamwe. Magufuri asinge kubali kaliakoo mpaka Sasa hakuna kinachoendelea. Hakika akuna mwananchi aliyekubaliana na tozo pesa zilikuwa zikipatikana bila tozo apo awali.

  • @vincentmwaya6910
    @vincentmwaya6910 Před 2 lety +1

    Baada ya mgufuli kufariki tyu Uchumi umeshuka?? Kwan umeshuka na nn kimeshusha Uchumi??

  • @vicentndaro223
    @vicentndaro223 Před 2 lety

    Mama Mwenyezi Mungu akuhurumie saana na kama hiyo pesa itatumika kinyume Mungu anawaona Tanzania tunamiradi mingi ikiwemo madini kwanin unyonye watu.

  • @galatiaastonimparazo1255
    @galatiaastonimparazo1255 Před 2 lety +3

    Kamuuliza nani mpaka aseme watanzania tumekubari tozo angejua!? Tunavyo umia kama haamini awaulize mawakala wamitandao jinsi miamala ilivyo pungua