Kauli ya Rais Samia kuhusu Lissu: Lissu ni ni mdogo wangu

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 02. 2022
  • Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania ameiambia DW kwamba kwake yeye kiongozi wa upinzani Tundu Lissu ni kama ndugu yake tu.

Komentáře • 16

  • @thobiasodhiambo9553
    @thobiasodhiambo9553 Před 2 lety +5

    Mungu akubariki sana mama yetu Hon President Samia Suhuhu Hassan kwa moyo wako wa ubinadamu na kujali utu wa kila mtu. Ungekuwa wewe ndiye ulikuwa Rais tangu mwaka 2015, haya masaibu yote yaliyomkuta Tundu Lissu na wanasiasa wengine wa upinzani yasingetokea. Mungu akuongezee miaka ya kuishi hapa duniani mama yetu mpendwa🙏

    • @makongorowassira6593
      @makongorowassira6593 Před 2 lety +1

      😂😂😂 alikuwa Makamu wa Rais tuacheni mzaha, kwani kachaguliwa lini kama sio 2015 hadi sasa.
      Mbowe kawekwa ndani na nani kama sio kipindi cha yeye akiwa Rais? You guys are killing me with these mama mama bs.

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji8923 Před 2 lety +2

    Hekima ukiwa nayo na kuitumia kisawa ni jambo zuri kwa kiongozi bravo Rais wetu

  • @user-xi2mf4xh7r
    @user-xi2mf4xh7r Před měsícem

    Wewe ni mama wa wote watanzania kwa hekima hii Mungu wa mbingu na nchi akujalie hekima ambayo si ya dunia hii bali hekima iliyofichwa ambayo Mungu aliiazimu tangu milele kwa utukufu wetu.

  • @masikitikolazima5214
    @masikitikolazima5214 Před 2 lety +2

    Ongera mama kwa ujasiri wa hali juu MUNGU aendelee kukulinda na kukupigania

  • @ZuenaSharifu
    @ZuenaSharifu Před měsícem

    Mama wewe ni mwema na huo ndio u Zanzibar mzuri I love my president samia

  • @hassantotoo2627
    @hassantotoo2627 Před 2 lety +2

    Siasa mchezo mgumu mama kaupiga mwingi 😍

  • @ayubualphonce2860
    @ayubualphonce2860 Před 2 lety +2

    We love you mamaaa

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg Před měsícem

    Alikwenda kumuona baada ya ziara ya kiserikali, kwisha

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 Před 2 lety +1

    Sudi. Wenimnafikisana mahojiano badala ya kutoa sikuhiyo unakula kutoa baada ya mama kukutana na lisu

  • @seifmtengela6578
    @seifmtengela6578 Před 2 lety +1

    MAMA UNATISHA SANA SANA
    M.MUNGU AKUPE UWAI MREFU
    UPO VZR KWA KWELI ....
    YOTE HAYA KUNA HOFU YA MUNGU KWA KWELI
    NDIO SABABU MAMA YUPO HIVI

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 Před 2 lety

      Hakuna mtu mwenyehufu ya mungu ndani ya ccm tuombe mungu awapehofu viongozi ili watuongoze Kwa haki japohatakidogo

  • @peterdaimon-ug6fd
    @peterdaimon-ug6fd Před 11 měsíci

    Mweshimiwa nilitegemea utaongelea bandari umekuwa kimya kabisa

  • @saramwajeka5928
    @saramwajeka5928 Před 2 lety +1

    Nakupenda asante umetuweka huru