Mungu akubariki sana mama yetu Hon President Samia Suhuhu Hassan kwa moyo wako wa ubinadamu na kujali utu wa kila mtu. Ungekuwa wewe ndiye ulikuwa Rais tangu mwaka 2015, haya masaibu yote yaliyomkuta Tundu Lissu na wanasiasa wengine wa upinzani yasingetokea. Mungu akuongezee miaka ya kuishi hapa duniani mama yetu mpendwa🙏
😂😂😂 alikuwa Makamu wa Rais tuacheni mzaha, kwani kachaguliwa lini kama sio 2015 hadi sasa. Mbowe kawekwa ndani na nani kama sio kipindi cha yeye akiwa Rais? You guys are killing me with these mama mama bs.
Wewe ni mama wa wote watanzania kwa hekima hii Mungu wa mbingu na nchi akujalie hekima ambayo si ya dunia hii bali hekima iliyofichwa ambayo Mungu aliiazimu tangu milele kwa utukufu wetu.
Mungu akubariki sana mama yetu Hon President Samia Suhuhu Hassan kwa moyo wako wa ubinadamu na kujali utu wa kila mtu. Ungekuwa wewe ndiye ulikuwa Rais tangu mwaka 2015, haya masaibu yote yaliyomkuta Tundu Lissu na wanasiasa wengine wa upinzani yasingetokea. Mungu akuongezee miaka ya kuishi hapa duniani mama yetu mpendwa🙏
😂😂😂 alikuwa Makamu wa Rais tuacheni mzaha, kwani kachaguliwa lini kama sio 2015 hadi sasa.
Mbowe kawekwa ndani na nani kama sio kipindi cha yeye akiwa Rais? You guys are killing me with these mama mama bs.
Hekima ukiwa nayo na kuitumia kisawa ni jambo zuri kwa kiongozi bravo Rais wetu
Wewe ni mama wa wote watanzania kwa hekima hii Mungu wa mbingu na nchi akujalie hekima ambayo si ya dunia hii bali hekima iliyofichwa ambayo Mungu aliiazimu tangu milele kwa utukufu wetu.
Ongera mama kwa ujasiri wa hali juu MUNGU aendelee kukulinda na kukupigania
Mama wewe ni mwema na huo ndio u Zanzibar mzuri I love my president samia
Siasa mchezo mgumu mama kaupiga mwingi 😍
We love you mamaaa
Alikwenda kumuona baada ya ziara ya kiserikali, kwisha
Sudi. Wenimnafikisana mahojiano badala ya kutoa sikuhiyo unakula kutoa baada ya mama kukutana na lisu
MAMA UNATISHA SANA SANA
M.MUNGU AKUPE UWAI MREFU
UPO VZR KWA KWELI ....
YOTE HAYA KUNA HOFU YA MUNGU KWA KWELI
NDIO SABABU MAMA YUPO HIVI
Hakuna mtu mwenyehufu ya mungu ndani ya ccm tuombe mungu awapehofu viongozi ili watuongoze Kwa haki japohatakidogo
Mweshimiwa nilitegemea utaongelea bandari umekuwa kimya kabisa
Nakupenda asante umetuweka huru