TUNDU LISSU ATUMA UJUMBE KWA RAIS SAMIA?/ AWATAJA WABAYA WAKE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 02. 2023
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #SABAYA #TUNDULISSU #MAKONDA

Komentáře • 38

  • @JamesMunisi
    @JamesMunisi Před rokem +1

    Mtangazaji upo juu sana, upo vizuri sana sana sana

  • @andrewkilave3532
    @andrewkilave3532 Před rokem +4

    Huyu muuliza mswali huwa ni kichwa balaa

  • @richardgeorge5377
    @richardgeorge5377 Před rokem +1

    Katiba haimalizi njaa wala haileti mvuwa chadema jikiteni kwa sela hii habari ya risasi iwe ziada kumbukeni huko nyuma mlikuwa mabingwa wa sela leo hii mkiwa kila kona ni risasi tu

  • @gbetter4713
    @gbetter4713 Před rokem

    Lisu 🙏🏻✌️

  • @Commentsplus
    @Commentsplus Před rokem +2

    Lisu sio mbongo anatuvuruga tu

  • @godmbwilo3698
    @godmbwilo3698 Před rokem +1

    Kuwa makiniii miak y makufulii kz ilifanyikaaaa

  • @joshuajofrey9832
    @joshuajofrey9832 Před rokem +3

    Yaaani hakuna zuri lililofanyika awamu ya tano duu Lisu hapana kwakweli, kweli kidole kimoja kwa mwenzako vingine vyote kwako ila kwenye kichwa cha lisu sioni punje ya uzalendo kwa taifa lake.

    • @lulurubby2235
      @lulurubby2235 Před rokem

      Alafu mbaya kabisa anajitoa akili kwamba waliompiga risasi wapo uraian bado sasa analianzisha tena na majina ya watu haya

  • @maryamjumah
    @maryamjumah Před rokem +1

    Lisu si mnyiramba nimnyaturu sema akalime turu sio iramba iramba jembe letu ni mwigulu

  • @rajabjuma277
    @rajabjuma277 Před rokem

    Machine hii

  • @mazoyamaguha-rz3jw
    @mazoyamaguha-rz3jw Před rokem

    Ajali,yabas,kombas

  • @matridawilium9945
    @matridawilium9945 Před rokem

    Limeni tatizo mnataka mjini njooni rukwa mle mshibe

  • @peterjohnson167
    @peterjohnson167 Před rokem +2

    Ndio mara ya kwanza Watanzania tumekuelewa 100% kumbe we mwenyewe Mtanzania 100% na watoto wako 100% sio Watanzania ni Wamarekani 100% tuleteeni vita Tanzania utaruka to Nairobi na hamna hata mtoto wako damu damu ni Wamerakani hamna atakae asilika kwa yatakayo tokea Tanzania...... Wapo watanania wengi tu wazalaiwa wa nchi za uhabuni waliomba kubaki na damu za wazazi wao.. Tundi Lissu kwa nini umekubalia watoto wako wawe wa Marekani na wewe Mtanzania?

  • @amosrichard3650
    @amosrichard3650 Před rokem

    Asipende kuwa mtu wa visasi

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před rokem

    Kumbe Ukiwa Raisi Utaenda Kula Bata Marekani Kwa Noti Za Kitanzania Kazi Kwelikweli Ulaiya Pacha Unapoteza Amani Halisi Kama Taifa Kwasababu Anakua Wa Kuhama Kwa Kukimbia

  • @BONGOKUMENOGATV
    @BONGOKUMENOGATV Před rokem +4

    Yaani kimeumana mwaka huu mpaka tupate katiba mpya tusha choka mitaani njaa kali wafanya biashara tunafukuzwa barabarani wakati magufuli alituluhusu na kutupa vitambulisho

  • @Ahdall
    @Ahdall Před rokem

    Magufuli amepanda mbegu mbaya sana Tanzania

  • @MayungaDotto-bj5nr
    @MayungaDotto-bj5nr Před rokem

    Ml

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali1946 Před rokem

    Huyu anataka urais ili atetee uraia tu wa wanae pimbi huyo anatetea na ushoga upresident no akalime tu ilamba huko hana jipya ni mvurugaji wa nchi tu

  • @joycemosha1898
    @joycemosha1898 Před rokem

    Madonna walinikataza kumwona ofini kwk

  • @joshuamwanahapa4165
    @joshuamwanahapa4165 Před rokem

    V

  • @josephsilima4145
    @josephsilima4145 Před rokem

    Pichayapono

  • @flova7022
    @flova7022 Před rokem

    Miradi na 24 are my favourite

    • @primus.mpelwakiiza5812
      @primus.mpelwakiiza5812 Před rokem +1

      Tafadhali kupigwa. Risasi. Kwa. Tundulisu., muonekano. ni. Kwamba Ndugai. Alikua. na. Taarifa. " Sababu. 1kuondoa. Camera. Ktk. Nyumba. 2_Kumfutia. Ubunge. Kwa hila. 3. Kumfutia. Haki. Zake za. Ubunge. 4. Kuropoka. Ovyo ovyo kwa. Jambo. Lenyewe. linaushahidi.-5 La. Mwisho. Kutochukua. Hatua. Ya Kumjulia. Afya. Mbunge. Mwenzako. na. Kubishana. na. Mgonjwa

  • @lulurubby2235
    @lulurubby2235 Před rokem

    Huyu ni mguu nje mguu ndani

  • @komangohill5957
    @komangohill5957 Před rokem

    Jamaa hana break , anaporoka

    • @omarali797
      @omarali797 Před rokem

      Bora tuwache Sisi tunao weza kusikiliza

  • @joycegeorge4712
    @joycegeorge4712 Před rokem

    Kwa habar ya wewe kupigwa risasi samehe baba sio kila siku kuongelea hayo

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 Před rokem

      Ila kwa wenzetu suala kama hili uchunguzi ulitakiwa ufanyike.baasi tu TZ ndiyo hivyo watu walitekwa na kupotea hakuna uchunguzi wala nini.Jamaa kapigwa risasi na yeye unasema asamehe hata kama yeye anasamehe sawa Serikali inatakiwa iwawajibishe walifanya makosa.Ndiyo maana Putin aliwahi kusema kazi ya kusamehe ni Mungu yeye anawamfikishia Mungu akimaanisha ukimfanyia ubaya maadui wake wote anawapoteza haraka.yeye hasamehi mwenye sifa ya kusamehe ni Mungu