TUNDU LISSU ATUMA UJUMBE KWA RAIS SAMIA?/ AWATAJA WABAYA WAKE
Vložit
- čas přidán 8. 02. 2023
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#SABAYA #TUNDULISSU #MAKONDA
Mtangazaji upo juu sana, upo vizuri sana sana sana
Huyu muuliza mswali huwa ni kichwa balaa
Katiba haimalizi njaa wala haileti mvuwa chadema jikiteni kwa sela hii habari ya risasi iwe ziada kumbukeni huko nyuma mlikuwa mabingwa wa sela leo hii mkiwa kila kona ni risasi tu
Lisu 🙏🏻✌️
Lisu sio mbongo anatuvuruga tu
Kuwa makiniii miak y makufulii kz ilifanyikaaaa
Yaaani hakuna zuri lililofanyika awamu ya tano duu Lisu hapana kwakweli, kweli kidole kimoja kwa mwenzako vingine vyote kwako ila kwenye kichwa cha lisu sioni punje ya uzalendo kwa taifa lake.
Alafu mbaya kabisa anajitoa akili kwamba waliompiga risasi wapo uraian bado sasa analianzisha tena na majina ya watu haya
Lisu si mnyiramba nimnyaturu sema akalime turu sio iramba iramba jembe letu ni mwigulu
Machine hii
Ajali,yabas,kombas
Limeni tatizo mnataka mjini njooni rukwa mle mshibe
Ndio mara ya kwanza Watanzania tumekuelewa 100% kumbe we mwenyewe Mtanzania 100% na watoto wako 100% sio Watanzania ni Wamarekani 100% tuleteeni vita Tanzania utaruka to Nairobi na hamna hata mtoto wako damu damu ni Wamerakani hamna atakae asilika kwa yatakayo tokea Tanzania...... Wapo watanania wengi tu wazalaiwa wa nchi za uhabuni waliomba kubaki na damu za wazazi wao.. Tundi Lissu kwa nini umekubalia watoto wako wawe wa Marekani na wewe Mtanzania?
Akili kisoda
Fact
Asipende kuwa mtu wa visasi
Kumbe Ukiwa Raisi Utaenda Kula Bata Marekani Kwa Noti Za Kitanzania Kazi Kwelikweli Ulaiya Pacha Unapoteza Amani Halisi Kama Taifa Kwasababu Anakua Wa Kuhama Kwa Kukimbia
Yaani kimeumana mwaka huu mpaka tupate katiba mpya tusha choka mitaani njaa kali wafanya biashara tunafukuzwa barabarani wakati magufuli alituluhusu na kutupa vitambulisho
Bdo niponipo kwanza
Magufuli amepanda mbegu mbaya sana Tanzania
Ml
Huyu anataka urais ili atetee uraia tu wa wanae pimbi huyo anatetea na ushoga upresident no akalime tu ilamba huko hana jipya ni mvurugaji wa nchi tu
Madonna walinikataza kumwona ofini kwk
V
Pichayapono
Miradi na 24 are my favourite
Tafadhali kupigwa. Risasi. Kwa. Tundulisu., muonekano. ni. Kwamba Ndugai. Alikua. na. Taarifa. " Sababu. 1kuondoa. Camera. Ktk. Nyumba. 2_Kumfutia. Ubunge. Kwa hila. 3. Kumfutia. Haki. Zake za. Ubunge. 4. Kuropoka. Ovyo ovyo kwa. Jambo. Lenyewe. linaushahidi.-5 La. Mwisho. Kutochukua. Hatua. Ya Kumjulia. Afya. Mbunge. Mwenzako. na. Kubishana. na. Mgonjwa
Huyu ni mguu nje mguu ndani
Ww mguu mmoja weka chooni na wapili weka bafuni
@@rosemichael4765UTI ya akili au ?
Jamaa hana break , anaporoka
Bora tuwache Sisi tunao weza kusikiliza
Kwa habar ya wewe kupigwa risasi samehe baba sio kila siku kuongelea hayo
Ila kwa wenzetu suala kama hili uchunguzi ulitakiwa ufanyike.baasi tu TZ ndiyo hivyo watu walitekwa na kupotea hakuna uchunguzi wala nini.Jamaa kapigwa risasi na yeye unasema asamehe hata kama yeye anasamehe sawa Serikali inatakiwa iwawajibishe walifanya makosa.Ndiyo maana Putin aliwahi kusema kazi ya kusamehe ni Mungu yeye anawamfikishia Mungu akimaanisha ukimfanyia ubaya maadui wake wote anawapoteza haraka.yeye hasamehi mwenye sifa ya kusamehe ni Mungu