Samia Suluhu: 'Nitaendeleza mema yaliyopita na kuleta mema mapya''

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 03. 2022
  • Mwishoni mwa juma hili itakuwa ni mwaka mmoja tangu Samia Suluhu Hassan ambae alikuwa Makamu wa rais wa Tanzania aliposhika hatamu za nchi hiyo kufuatia kifo cha mtangulizi wake hivyo kuwa mwanamke wa kwanza kuongoza taifa hilo.
    Aliapishwa, katikati ya kipindi cha janga la corono, mwezi Machi baada ya mtangulizi wake John Magufuli alipofariki gafla alipokuwa madarakani. Na mara tu aliposhika uongozi , alinukuliwa akisema kuwa ‘‘yeye na Magufuli walikuwa kitu kimoja.’’
    Lakini hatua zake katika muda wa mwaka uliopita umedhihirisha mambo tofauti. Mwanahabari wa BBC Salim Kikeke alifanya mahojiano na Rais Samia kubaini mtazamo wake kwa miezi 12 iliyopita.
    Sehemu ya pili ya makala haya ni katika matangazo yetu ya Dira TV leo jioni.
    ‪@BBCNewsSwahili‬ #uongozi #tanzania #dirayadunia

Komentáře • 53

  • @gloriafriday1637
    @gloriafriday1637 Před 2 lety +3

    Ila we mama mungu anakuona unavotufanyia watu wa Hali ya chini

  • @nisetameena9276
    @nisetameena9276 Před 2 lety +1

    NAPIGA KWA MOTO WA ROHO MTAKATIFU KWA JINA LA YESU AMEN.

  • @leylahleylah4599
    @leylahleylah4599 Před 2 lety +7

    Mama yupo vizuri kwenye kujibu😀😀😀she is so smart brain..Anaupiga mwingi kwenye majibu mpaka kikeke anapata kigugumizi..mama anapata jibu kabla kikeke hajamalizia sentesi....Love you mama mweshimiwa wetu.

    • @muletv7489
      @muletv7489 Před 2 lety

      Brain ipi sasa☺️utakuwa mwanamke pia wewe, your mind are so limited

  • @josephmangalu9671
    @josephmangalu9671 Před 2 lety

    I wish I get full interview. Bravo SSH

  • @wazirabbasy1652
    @wazirabbasy1652 Před 2 lety +1

    Mashaallah. allah ampe swiha njema na afya yenye kudumu katika majukumu yake yote

  • @shaqdizo7678
    @shaqdizo7678 Před 2 lety +7

    Huyu mama ana majibu ya jeuri mnoo na ndio maana hauwezi kuipata full interview hii CZcams, majibu yake ya kishamba mnoo sio raisi kabisa huyu kaitia tuu nchi madeni, kaulizwa kuhusu kubadilisha katiba anajibu kwa jeuri mama huyu kuma tuu hamna Raisi hapo

    • @hamdincatalonia3272
      @hamdincatalonia3272 Před 2 lety +2

      Akili yako ndipo iliishia

    • @shaqdizo7678
      @shaqdizo7678 Před 2 lety +1

      Wee yako imeenda hadi wapi? Fala sio kurukia comment za wanaume kuma wewe

    • @afrikkanmukbang9734
      @afrikkanmukbang9734 Před 2 lety

      @@hamdincatalonia3272 Stress zake za maisha anakuja kummalizia mama wa watu Kima huyu🤣🤣🤣

    • @masoudsamizi2666
      @masoudsamizi2666 Před 2 lety

      😂😂😂 wewe bhna sasa ulitaka ajibuje hapo

    • @shaqdizo7678
      @shaqdizo7678 Před 2 lety

      @@afrikkanmukbang9734 huelewi maana ya freedom of speech, na mama kama angekuwa hataki kufanyiwa interview ilikuwa hamna haja ya yeye kwenda, kama wewe kweli una akili na zinakutosha kuweka kusoma between the line then you would understood the context better, ignorance is a bliss, mama anakuwa mkali baada ya kujibu maswali muhimu ya msingi kwa ajiri ya watanzania, mama Yuko kwenye period inaonekana full attitude

  • @melie-mun123
    @melie-mun123 Před 2 lety

    Mungu akulunde Mama

  • @farajamaduhu1981
    @farajamaduhu1981 Před 2 lety +2

    May our good Lord bless Our own President Samia Suluhu Hassan
    We thank the Lord for Her Excellency..!! Tanzania mbele kwa mbele..!! Samia mbele kwa mbele

  • @josephsira1276
    @josephsira1276 Před 2 lety +2

    Jaman mi naomba tu kuuliza,tunakatwa kodi kwenye umeme,maji,nyumba,makato ya simu kutoa hela ama kutuma hela,je hizi kodi tunazokatwa zinaenda wap na zinafanya nn? Na hizi anazokopa zinaenda wap ama zinafanya nn na zina msaada gani kwa wananchi? coz naona tunakoelekea sasa nchi imerudi enzi ya kikwete na enzi hiyo hapakuwaga na makato hivi,sasa tunaelekea wapi jamn?

  • @MarcSmith-zg8bl
    @MarcSmith-zg8bl Před 2 lety +2

    Malaya wee

    • @imranijuma6955
      @imranijuma6955 Před 2 lety

      Udini na ROHO MBAYAAAA imewajaaaaàaaaaaaaaaaaa

  • @cnm2976
    @cnm2976 Před rokem

    Heeee! Mbona you muted from time 0.57?

  • @marceljohnkimaty4986
    @marceljohnkimaty4986 Před 2 lety

    Hongera mama.

  • @yeunhiasrwetze8377
    @yeunhiasrwetze8377 Před 2 lety

    😢😢😢😢😢😢😢

  • @mussamkalawa2101
    @mussamkalawa2101 Před rokem

    Watanznia hstutaki maneno mengi Tunakaka katiba Mpya sisi

  • @uhurunyereremusa8592
    @uhurunyereremusa8592 Před 2 lety +5

    ..Rais Samia ameitumbukiza nchi kwy madeni makubwa kwa kipindi kifupi nchi imerudi tena kwy utegemezi wa kutegemea nchi za ulaya kwa misaada na mikopo wakati tuna rasimali chungu mzima

    • @sleimbh
      @sleimbh Před 2 lety +1

      Unakanyagwa wewe

    • @adamdango
      @adamdango Před 2 lety

      Fuatilia rekodi zake za kukopa, deni la taifa limeoungua kwa trillioni mbili, tokea achukue madaraka, halafu linganisha na foreign direct investments iliyowekewa sahihi juzi za trillioni 18.

    • @alirissa4474
      @alirissa4474 Před 2 lety

      Kama hujui tuulize wenzako pitia kwwnye doc za BOT utaona na utajuwa nini kinafanyika

  • @fatumanasoro5057
    @fatumanasoro5057 Před 2 lety +3

    Hamna lolotee kazi kututia ufukaratu bora magufuli japo mchele ulikua afadhali

    • @binhussain3445
      @binhussain3445 Před 2 lety

      We wawaza kula tuu kwani maendeleo ni mchele tu si ule hata ugali

  • @ashuramtutalainaumasanajpm2341

    Mama tunakuomba utuletee waziri mwambe masasi yetu ilianza Kuwait bora umetuangusha sana

  • @moseshaule586
    @moseshaule586 Před 2 lety

    Aaaaa wapi

  • @cnm2976
    @cnm2976 Před rokem

    Ah hii video umezima majibu anayotoa

  • @mumwimalemo
    @mumwimalemo Před rokem

    MUNGU ndo mpangaji wa yote hata mh Samia suluhu Hassan kuwa rais ni mipango ya mwenyezi MUNGU naamini tutaenda sawa sawa na mipango ya MUNGU.

  • @nazirkatabaro6347
    @nazirkatabaro6347 Před 2 lety +3

    Huyu mama ana matatizo... Rais wa nchi huwezi kuwa na majibu ya dharau na kejeli namna hii kwa muandishi wa habari toka kampuni ya habari ya kimataifa... Ni aibu sana...

    • @icclcharters3389
      @icclcharters3389 Před 2 lety

      Mataifa ndio nini acha uoga wa kizamani,mama anatoa majibu kulingana na maswali na ameupiga mwingi tu,tuache unafki watanzania hakuna kiongozi anaekuwa madarakani na kusifiwa mpaka madaraka yaishe so huu ugonjwa ufike mwisho leo tujenge nchi.

  • @saidibongo1750
    @saidibongo1750 Před 2 lety +1

    Raisi Samia ameiweka nchi kwenye har mbaya yamadeni anakopakopa tuu bira msimamo

  • @Cyper255
    @Cyper255 Před 2 lety

    Hii Interview Kikeke kazingua. Alitaka rais aongee vitu ambayo vingemfunga baadae

  • @richardboaz-mashagospel2346

    Hebu jikumbushe jambo moja czcams.com/video/9Y3b_0SmfYc/video.html
    Tutaona mwisho wa hawa wanaomtukana

  • @lovsply
    @lovsply Před 2 lety

    Unauza nchi Tu hakuna kipya

  • @The_Nubianommetry_Podcast

    Krayonikia: Uwezo wa Kufufua Maiti Kisayansi? : czcams.com/video/bRP_JOQeBNU/video.html

  • @abdulhamis9825
    @abdulhamis9825 Před 2 lety

    Interview Ndio Ilikuwa Fupi Hvi Au Imefupishwa Maana Yakuuliza Ni Mengi Salim Kikeke

  • @josephsira1276
    @josephsira1276 Před 2 lety

    Yaan huyu mama iko siku utasikia tumeuzwa

  • @The_Nubianommetry_Podcast

    Vita vya Pili vya Dunia: Sababu Kumi: czcams.com/video/uM-fFDeKxlA/video.html

  • @ndogoroedson9438
    @ndogoroedson9438 Před 2 lety

    Kwan mbowe ni Nan?

  • @The_Nubianommetry_Podcast

    Vita Ukraine: Historia Fupi na Sababu za Urusi Kuvamia Ukraine: czcams.com/video/riDXKbPGyxQ/video.html

  • @evancefreddy3775
    @evancefreddy3775 Před 2 lety

    Hana utendaji mzuri mafisadi wanarudi kwa kasi ya 5g tozi zinaongezeka mfumuko wa bei kila wiki spidi ya utekelezaji hakuna

  • @The_Nubianommetry_Podcast

    Kwanini Urusi Inavamia Vituo vya Nyuklia Kule Ukraine: czcams.com/video/t59z9_cqKE4/video.html

  • @josephsira1276
    @josephsira1276 Před 2 lety

    Mafuta lita sasa hivi 6500,mchele wa chini kabisa 2200,je mwananchi wa hali ya chini anaweza kununua? kuna wazazi wanategemea watoto wao walioko mijini na wao wanafamilia zao,je kwa huu mfumko wa bei za vitu utamsaidia yupi umwache yupi?

  • @steefervid5143
    @steefervid5143 Před 2 lety +3

    Salim has poor technique in asking Questions he sounds like he is trying to put words in the president's mouth .

  • @ikrissaidrissa8613
    @ikrissaidrissa8613 Před 2 lety

    Liar