MADAWA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 08. 2024
  • Katika vitu sio vya kucheza navyo ni serikali, hasa katika hii idara, Maana wanaweza kuja ukadhani ni wenzako kumbe wapo kazini...

Komentáře • 845

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Před 2 lety +28

    East Africa hakuna joti.
    MASHAALLAH 🎊🎉🥳🥳👌kipaji kama kipaji,yaani hakuna kufosi

  • @hassanimapanga7024
    @hassanimapanga7024 Před 2 lety +32

    Kama naww umesikia mwamba akisema dan ger gonga like twende sawa joti mbavu zetu tafadhali🤣🤣

  • @lulumussa6458
    @lulumussa6458 Před 2 lety +18

    Joti on. 🔥🔥 utaira juu ya uchizi aisee nimecheka sana big up 🆙 ila tumemiss KIPANDE na SOPA 💪

  • @wellbrand3415
    @wellbrand3415 Před 2 lety +28

    Escape Plan hatari sanaa...
    Polisi wamekula vumbi 😂😂😂😂

  • @emanueledwin5685
    @emanueledwin5685 Před 2 lety +103

    Team joti tujuane hapa,,nipeni like hata kumi leo cjachelewa saana

  • @McHellenIsaboke
    @McHellenIsaboke Před 2 lety +48

    Nakutazama kutoka New Jersey 🇺🇸 sasa hivi, uko na wafuasi wakenya 🇰🇪 wengi sana huku Joti. Lots of ❤️ 😍. Mungu azidi kiwalinda na kuwatunza waigizaji wetu wote kwenye team yako

  • @hitngwasutv971
    @hitngwasutv971 Před 2 lety +11

    🤣🤣🤣🤣🤣yani mwanzo nilikuwa naichukulia poa sana ira mwishoni nimecheka kamafara kabisa Joti no1 comediantz

    • @mzeewamjegeje
      @mzeewamjegeje Před 2 lety

      MJEGEJE NALELEWA NA SHUGA MAMI👇👇
      czcams.com/video/DJ-xEXgMXcU/video.html

  • @fredrickdanford8666
    @fredrickdanford8666 Před 2 lety +26

    Asanteee Sana joti kwakuendelea kutufurahisha 🤣🤣

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 Před 2 lety +2

    Daah nimecheka sana sana joti umejua kujiongeza sana

  • @nilla1657
    @nilla1657 Před 2 lety +12

    Joti udalali wa nyumba anauleta kwenye biashara haramu anafunguka tu😄😄😄😄🤣

  • @suleimanngare6707
    @suleimanngare6707 Před 2 lety +1

    Noma sana yani jot na team yako uwaga mnaniacha hoi kabisa big up sana🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🤝

  • @Waytozanzibar
    @Waytozanzibar Před 2 lety +6

    😂😂😂😂😂😂😂 Joti ninoma sn 💯🌱👍🏽👍🏽🤙🏼🤙🏼🤙🏼❤❤❤❤❤❤💥💥💥😍

  • @peterswai391
    @peterswai391 Před 2 lety +4

    Nice,nga ngaa ngaa haaa, nakuona CEO wa comedy TZ God bless more brother and your team

  • @johnngeke6457
    @johnngeke6457 Před 2 lety +10

    John ngeke from KIBAHA naombeni like Kama tukopamoja na team joti

  • @ashnaom2270
    @ashnaom2270 Před 2 lety +3

    Huhuuu mnajua kaz , jot timu yako muishi maisha marefu

  • @ayubuchristian7356
    @ayubuchristian7356 Před 2 lety +3

    Mnatak kaz mtu kaz mandonga au!!! Joti n nomaa

  • @lynderperry563
    @lynderperry563 Před 2 lety +2

    Daaah nmecheka sana mpaka machozi,joti ni bonge la comedian

  • @mrjaula7769
    @mrjaula7769 Před 2 lety +15

    Kazi mandonga Amekubalika mpaka na Mzee joti mwenyewe 🌟🌟🌟

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930 Před 2 lety +6

    Jot utaniua na kicheko 😁😁😆😂 nmecheka mpaka machozi!

  • @abelmange5430
    @abelmange5430 Před 2 lety +4

    Jamaa anakwambia Dangeli Yaan Danger...Nishai kajiongeza mwishoni 😂😂🤣 Kapita Na mdundoo 🤣🤣

  • @Pascal1122
    @Pascal1122 Před 2 lety +1

    Huyo mama kinoma sana , ametisha ile mbaya 🔥🔥🔥🔥🇨🇩243

  • @maulidamir2420
    @maulidamir2420 Před 2 lety +3

    Kazi kazi Mandonga joti buanaa

  • @TamuzaKale
    @TamuzaKale Před 2 lety +6

    WE MSENGE utaniua kwa kucheka. Kumanina nimecheka balaa. Sasa kile kipande cha kuona wenzako wamejibadili. Ukaona isiwe tabu, bora na wewe uligalambuwe tu!

  • @shyneafya2468
    @shyneafya2468 Před 2 lety +1

    Dah yan Mecheka sanaaa dah Jot kibolo😆😆😆😆😆

  • @wilisipanganiwilisi3751
    @wilisipanganiwilisi3751 Před 2 lety +1

    Mlawa umetisha babuuu very creative comedy nimecheka Sanaa aisee mpaka boss kanifikuza kazi nimerudi home asubui tyuu

  • @faizamohamed6993
    @faizamohamed6993 Před 2 lety +13

    Kiboko ya comedians ❤️❤️❤️ mingi from kenya

    • @hanifwari206
      @hanifwari206 Před 2 lety

      A Kenyan watching you from Doha Qatar

  • @allykhalfan9513
    @allykhalfan9513 Před 2 lety +4

    Komedi ni nzuri na inafundisha pia kuwa biashara za madawa ni haramu na nikosa kufanya biashara kama hiii

  • @salama1113
    @salama1113 Před 2 lety +2

    Nipeni like mwenzenu nimecheka hadi nimelia sio kwa ukilema huwo nishai😂😂😂😂😂

  • @asiri-romy-simba3671
    @asiri-romy-simba3671 Před 2 lety

    We joti kichwa haina akili lengo utuue, great Brain Sir songa mbele

  • @linahsemindu4261
    @linahsemindu4261 Před 2 lety +2

    Huyo aliesema danger danger ndo kamstua joti kwa ishara zao 😆😆😆

  • @waluzeomar6853
    @waluzeomar6853 Před 2 lety +3

    Eeehhh piece 50 kumbe ni vilema 3 mwanangu hujawahi ni angusha kwa kweli 💯%😂🤣🫵

  • @lilianalmas5911
    @lilianalmas5911 Před 2 lety +12

    😂😂😂😂 Joti Mzee wa testa Hadi mirungi testa. Binti Suzy kaupiga mwingi kwenye uteja 😂😂😂🙌🏼🙌🏼

  • @halimaroma3062
    @halimaroma3062 Před 2 lety +2

    Nimecheka kifala kwaiyo kule mwish ni mandondocha au🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před rokem

    Eti we kama mpishi mnatisha sana.👍👍👍👍❤❤👍👍👍

  • @ramjum322
    @ramjum322 Před 2 lety +1

    daah jamaaa hua anakua na mwanzo mzur na anamaliza vizur big up san bro unatisha🔥

  • @jobssteverosenberg9183
    @jobssteverosenberg9183 Před 2 lety +1

    Weeee nishai noma sanaaaa
    Nakubali sana

  • @abdulyally1408
    @abdulyally1408 Před 2 lety +33

    Nakubl big up Joti na team yako!!!

  • @babatuidy2101
    @babatuidy2101 Před 2 lety +24

    🤣🤣🤣🤣 hilarious 😂 from Burundi 🇧🇮 9/9

    • @AmanAbdalah
      @AmanAbdalah Před rokem

      Nishaaaai kikonteeenaaaaaa nakukubali saana broo lakin punguza kutoa vidio unajaza simu yangu brooo

  • @aflahabdula4084
    @aflahabdula4084 Před rokem +2

    Joti mama ako kazaa nimecheka mpaka sijiwezi 😂😂😂

  • @abdallahahmed2776
    @abdallahahmed2776 Před 2 lety +4

    Shukran brother nimecheka sana huwa napenda ukiigiza kama NISHAI.

  • @harrymakongwa1147
    @harrymakongwa1147 Před 2 lety +2

    Hahahaa Joti mjinga kweli ,..
    Nani kaona kiatu 😀😀😀

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 Před 2 lety +11

    Mwishoni nimecheka mpaka mbavu zimeuma😂😂

  • @nazizutv803
    @nazizutv803 Před 2 lety

    Sanaa mzee kiboga

  • @mbogwestationery1342
    @mbogwestationery1342 Před 2 lety +1

    Joti ni hatri kaka best comedy show

  • @Dulla_kite
    @Dulla_kite Před 2 lety +5

    Kazi kazi, kazi madonga au🤣🤣🤣🤣

  • @gatekanene5753
    @gatekanene5753 Před 2 lety +3

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣JOTI JOTI JOTI sikuwezi baba 🙌

  • @ummyirembe6145
    @ummyirembe6145 Před 2 lety +1

    Nishaii Suzy na Kanyinyi mmetisha sanaaaaaa

  • @mbarakasaidi8243
    @mbarakasaidi8243 Před 2 lety +4

    🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 jot Leo umenipata🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @aljenomodesthmpaji6567

    Dah jotti kamalizia vizuri sana nimecheka mpaka nimepiga teke meza ya chakula

  • @adamsonfoundation
    @adamsonfoundation Před 2 lety

    Umetisha sana

  • @omotemaina6243
    @omotemaina6243 Před 2 lety +1

    Joti me mkenya kisii hatari toka Nairobi kasarani mambo freshi bro Chanel yako bomba nmelike nmeshare nmesurbscribe pia……zidi kujituma mambo yako freshi barida

  • @francisnatal9091
    @francisnatal9091 Před 2 lety

    Aseee mnaua mbavuuu kwaaa kwaaa

  • @rahimabdul255
    @rahimabdul255 Před rokem

    Dah wew jamaa

  • @deejeydaev
    @deejeydaev Před 2 lety +1

    Now this is creativity..
    Yan iko unpredictable..
    Safi sana , now you are back

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před rokem

    Jot walidishe Kipande na Sopa na dada yule jaman tumewamisi sana,

  • @mwambiretv165
    @mwambiretv165 Před 2 lety

    Kutoka Kenya huku kwema ila ni kwema zaidi Kwa zenye #full support

  • @abdulkiwanga5432
    @abdulkiwanga5432 Před 2 lety +1

    umetisha

  • @predictioneasyodds2779

    Yaan katika vomedy zote hii kiboko sanaa

  • @shommytheway8056
    @shommytheway8056 Před 2 lety +1

    Unyama sana
    Mzee wa siasa hapa from mbweni

  • @theresiamartin3150
    @theresiamartin3150 Před 2 lety

    Ur the best

  • @makokoaizack2531
    @makokoaizack2531 Před 2 lety +1

    Daa joti konyo umenifanya ni cheke mpk nme toa machozi hasa ulipo malzia daaa we ni bonge la mwamba joti utafka mbali zaid una baraka zangu zote yaaan daaa nme checka Sana joti umeshindkana wewe

  • @hopedj275
    @hopedj275 Před 2 lety +1

    😅😅😅😅😅😅 we jamaaaa bhanaaa

  • @mcdanta6919
    @mcdanta6919 Před 2 lety +1

    Mwamba huyu hapa😀😀😀

  • @lawitheofans7580
    @lawitheofans7580 Před 2 lety +2

    Ya Leo kali mabosi wamegeuka mazombi😂😂😂

  • @ziyandamhlana8776
    @ziyandamhlana8776 Před 2 lety +2

    Nic video best comedy in Tanzania

  • @abdulkaoneka7368
    @abdulkaoneka7368 Před 2 lety

    mwambaaaaaaa nomaa

  • @mwanaidiabdallah7311
    @mwanaidiabdallah7311 Před 2 lety +1

    Dan ger yaani danger n hatari apo joti kimbia

  • @kibayasadickson4105
    @kibayasadickson4105 Před 2 lety

    Nimecheka sana

  • @amoskithy5705
    @amoskithy5705 Před 2 lety +1

    Kaua bro,💣💥🤣🤣🇰🇪🇮🇹

  • @asiri-romy-simba3671
    @asiri-romy-simba3671 Před 2 lety

    Sir Jot, Big Jot, SB

  • @mfaumeabasi1535
    @mfaumeabasi1535 Před 2 lety +2

    Sijawahi kucheka Kama Leo Leo nmefurahi sna aisee hongera sana unastahiri kabisa kuwa comedian Bora Tanzania aisee unajua ww na company yako mungu awazidishie zaidi tuzidi kufurah na sisi hicho n kipaji cyo propaganda.😁😁🤣@Madawa_joti.🤣🤣

  • @abdulgafar01
    @abdulgafar01 Před 2 lety +1

    Nikiwa bored kazini, I enter on CZcams one of d videoz nazikuta ni za Joti TV kwa sababu, I watch them often... Ila hii scape plan imeniua afu nikacheka ofisi nzima nikaonekana sina akili... Big up Joti na team yote kazi nzuri... All d way from Mozambique 🇲🇿

  • @ikungasyamwakitalu6540

    Mtu kazi mandonga

  • @patrickmarko4467
    @patrickmarko4467 Před 2 lety

    Joti ww nomaaaaa

  • @cassalyjames9129
    @cassalyjames9129 Před 2 lety +1

    Mzee baba daa🤣🤣🤣🤣🤣iyo kali

  • @nickymustafa4306
    @nickymustafa4306 Před 2 lety +3

    Joti 🤣🤣🤣 one love from Mozambique +258

  • @uncleyusuph7920
    @uncleyusuph7920 Před 2 lety

    We mtu laana ....hakuna kama we star sana ,na team yako nawakubaliiiiiiii

  • @herenapaulo7487
    @herenapaulo7487 Před rokem +1

    Kizaz sana nishai uko vyema mzeee

  • @yourvideostz1579
    @yourvideostz1579 Před 2 lety +8

    😁😁😁iyo ending scene kwel umeuwa,..iyo inaitwa Akili kichwani

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 Před 2 lety

    Hatari sanaàaaaaa

  • @lillydolldoll6165
    @lillydolldoll6165 Před rokem

    Kali hii

  • @jumaamrani3295
    @jumaamrani3295 Před 2 lety +1

    genius hhh daaah style ya kutoroka mlioitumia ni nouma

  • @riyadhelbakry6375
    @riyadhelbakry6375 Před 2 lety

    Hiii umetisha zaidi kaka 🫡

  • @hapinesphilimon8127
    @hapinesphilimon8127 Před 2 lety +1

    Si ugundue kua awa ni mapolis

  • @mgiyeshebe5422
    @mgiyeshebe5422 Před rokem

    Asee tangu mwaka umeanza sijawahi Cheka kwanguvu kama Leo! 😅😅😅😅 Mpka majilani wananishangaaa

  • @jacklinejerr2447
    @jacklinejerr2447 Před 2 lety +5

    🤣🤣😂😂😂nimecheka mpaka nimekohoa duu

  • @sabinaonline6575
    @sabinaonline6575 Před 2 lety +1

    🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Uwiii mbavu zinauma jamani nimecheka daahhh kweli joti ni noma

  • @kapona927
    @kapona927 Před 2 lety +8

    Ingekua kunasehemu ya comment ya sauti ningecheka sana🤣🤣🤣🤣

  • @chigofapeka8187
    @chigofapeka8187 Před 2 lety

    Mmmmh jot ww umeshindikana haiseeeh

  • @jp1780
    @jp1780 Před rokem

    Police wamepigwa nakitu kizito usoni!😂😂😂

  • @nelsonbisi6499
    @nelsonbisi6499 Před 2 lety

    Good job

  • @niyongendakosamuel858
    @niyongendakosamuel858 Před 2 lety +1

    Nishai bans😂😂😂😂

  • @sakinadolcas
    @sakinadolcas Před 2 lety +1

    Big up 💪💪💪💪💪

  • @Matiherbalist
    @Matiherbalist Před 2 lety

    Hahaha😹😹😹 miguu ni ponye

  • @jamesdeus9992
    @jamesdeus9992 Před 2 lety +3

    🤣🤣🤣🤣🤣..hizo style walizo Ondoka Nazo Sasa...wametisha!!

  • @morrismsemo1996
    @morrismsemo1996 Před 2 lety +1

    Dangery... mwamba 😂😂😂🙌🏾

  • @jumajoseph9353
    @jumajoseph9353 Před 2 lety +1

    Daaah kudadeki jot we nouma nimecheka kwa saut peke angu hada machokhaaa 🤣🤣🤣🙌🤣

  • @izo07nyoni40
    @izo07nyoni40 Před 2 lety +2

    Style ulietumia kuescape 🔥🔥🔥

  • @misapinamiswi5751
    @misapinamiswi5751 Před 2 lety

    Kali

  • @mohamedsheealom8745
    @mohamedsheealom8745 Před 2 lety +2

    🤣 Joti kasoma kodi 😂😂ingia ndani ugeuke kipofu wana sio 😂😂😂😂