Nakutazama kutoka New Jersey 🇺🇸 sasa hivi, uko na wafuasi wakenya 🇰🇪 wengi sana huku Joti. Lots of ❤️ 😍. Mungu azidi kiwalinda na kuwatunza waigizaji wetu wote kwenye team yako
WE MSENGE utaniua kwa kucheka. Kumanina nimecheka balaa. Sasa kile kipande cha kuona wenzako wamejibadili. Ukaona isiwe tabu, bora na wewe uligalambuwe tu!
Daa joti konyo umenifanya ni cheke mpk nme toa machozi hasa ulipo malzia daaa we ni bonge la mwamba joti utafka mbali zaid una baraka zangu zote yaaan daaa nme checka Sana joti umeshindkana wewe
Sijawahi kucheka Kama Leo Leo nmefurahi sna aisee hongera sana unastahiri kabisa kuwa comedian Bora Tanzania aisee unajua ww na company yako mungu awazidishie zaidi tuzidi kufurah na sisi hicho n kipaji cyo propaganda.😁😁🤣@Madawa_joti.🤣🤣
Nikiwa bored kazini, I enter on CZcams one of d videoz nazikuta ni za Joti TV kwa sababu, I watch them often... Ila hii scape plan imeniua afu nikacheka ofisi nzima nikaonekana sina akili... Big up Joti na team yote kazi nzuri... All d way from Mozambique 🇲🇿
East Africa hakuna joti.
MASHAALLAH 🎊🎉🥳🥳👌kipaji kama kipaji,yaani hakuna kufosi
Unajua sana duu mnafikiri sana wajomba
Kama naww umesikia mwamba akisema dan ger gonga like twende sawa joti mbavu zetu tafadhali🤣🤣
😀😀😀😀😀
Hiyo dan ger kamaanisha nini
Joti on. 🔥🔥 utaira juu ya uchizi aisee nimecheka sana big up 🆙 ila tumemiss KIPANDE na SOPA 💪
Escape Plan hatari sanaa...
Polisi wamekula vumbi 😂😂😂😂
Team joti tujuane hapa,,nipeni like hata kumi leo cjachelewa saana
Hata mm naona kazingua
MJEGEJE NALELEWA NA SHUGA MAMI👇👇
czcams.com/video/DJ-xEXgMXcU/video.html
😂😂😂 ila joti kazi ipoo
We chukua tu like
Nakutazama kutoka New Jersey 🇺🇸 sasa hivi, uko na wafuasi wakenya 🇰🇪 wengi sana huku Joti. Lots of ❤️ 😍. Mungu azidi kiwalinda na kuwatunza waigizaji wetu wote kwenye team yako
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇶🇦🇶🇦
Itabdii tutembeleanee aisee nipoo center moriches 🇺🇲 team joti
Itabdii tutembeleanee haha
🤣🤣🤣🤣🤣yani mwanzo nilikuwa naichukulia poa sana ira mwishoni nimecheka kamafara kabisa Joti no1 comediantz
MJEGEJE NALELEWA NA SHUGA MAMI👇👇
czcams.com/video/DJ-xEXgMXcU/video.html
Asanteee Sana joti kwakuendelea kutufurahisha 🤣🤣
Daah nimecheka sana sana joti umejua kujiongeza sana
Joti udalali wa nyumba anauleta kwenye biashara haramu anafunguka tu😄😄😄😄🤣
😂😂😂
Noma sana yani jot na team yako uwaga mnaniacha hoi kabisa big up sana🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🤝
😂😂😂😂😂😂😂 Joti ninoma sn 💯🌱👍🏽👍🏽🤙🏼🤙🏼🤙🏼❤❤❤❤❤❤💥💥💥😍
Nice,nga ngaa ngaa haaa, nakuona CEO wa comedy TZ God bless more brother and your team
John ngeke from KIBAHA naombeni like Kama tukopamoja na team joti
Huhuuu mnajua kaz , jot timu yako muishi maisha marefu
Mnatak kaz mtu kaz mandonga au!!! Joti n nomaa
Daaah nmecheka sana mpaka machozi,joti ni bonge la comedian
Kazi mandonga Amekubalika mpaka na Mzee joti mwenyewe 🌟🌟🌟
Jot utaniua na kicheko 😁😁😆😂 nmecheka mpaka machozi!
Kama mimi yani
Jamaa anakwambia Dangeli Yaan Danger...Nishai kajiongeza mwishoni 😂😂🤣 Kapita Na mdundoo 🤣🤣
Hahaha 🤣 hahaha hapo Ndio nimeelewa
Huyo mama kinoma sana , ametisha ile mbaya 🔥🔥🔥🔥🇨🇩243
Kazi kazi Mandonga joti buanaa
WE MSENGE utaniua kwa kucheka. Kumanina nimecheka balaa. Sasa kile kipande cha kuona wenzako wamejibadili. Ukaona isiwe tabu, bora na wewe uligalambuwe tu!
Dah yan Mecheka sanaaa dah Jot kibolo😆😆😆😆😆
Mlawa umetisha babuuu very creative comedy nimecheka Sanaa aisee mpaka boss kanifikuza kazi nimerudi home asubui tyuu
Kiboko ya comedians ❤️❤️❤️ mingi from kenya
A Kenyan watching you from Doha Qatar
Komedi ni nzuri na inafundisha pia kuwa biashara za madawa ni haramu na nikosa kufanya biashara kama hiii
Nipeni like mwenzenu nimecheka hadi nimelia sio kwa ukilema huwo nishai😂😂😂😂😂
We joti kichwa haina akili lengo utuue, great Brain Sir songa mbele
Huyo aliesema danger danger ndo kamstua joti kwa ishara zao 😆😆😆
Eeehhh piece 50 kumbe ni vilema 3 mwanangu hujawahi ni angusha kwa kweli 💯%😂🤣🫵
😂😂😂😂 Joti Mzee wa testa Hadi mirungi testa. Binti Suzy kaupiga mwingi kwenye uteja 😂😂😂🙌🏼🙌🏼
Wanaweza sasa hv tofaut na nyuma wapo vzr sana
😂😂😂😂 umeona eee
Nimecheka kifala kwaiyo kule mwish ni mandondocha au🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Eti we kama mpishi mnatisha sana.👍👍👍👍❤❤👍👍👍
daah jamaaa hua anakua na mwanzo mzur na anamaliza vizur big up san bro unatisha🔥
Weeee nishai noma sanaaaa
Nakubali sana
Nakubl big up Joti na team yako!!!
czcams.com/video/Pla6c5WGotA/video.html🥰
Kali
MJEGEJE NALELEWA NA SHUGA MAMI👇👇
czcams.com/video/DJ-xEXgMXcU/video.html
🤣🤣🤣🤣 hilarious 😂 from Burundi 🇧🇮 9/9
Nishaaaai kikonteeenaaaaaa nakukubali saana broo lakin punguza kutoa vidio unajaza simu yangu brooo
Joti mama ako kazaa nimecheka mpaka sijiwezi 😂😂😂
Shukran brother nimecheka sana huwa napenda ukiigiza kama NISHAI.
Hahahaa Joti mjinga kweli ,..
Nani kaona kiatu 😀😀😀
Mwishoni nimecheka mpaka mbavu zimeuma😂😂
Jot umetisha bro🤣🤣🤣🤣🤣
Nimecheka atary
Sanaa mzee kiboga
Joti ni hatri kaka best comedy show
Kazi kazi, kazi madonga au🤣🤣🤣🤣
😁😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣JOTI JOTI JOTI sikuwezi baba 🙌
Nishaii Suzy na Kanyinyi mmetisha sanaaaaaa
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 jot Leo umenipata🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Dah jotti kamalizia vizuri sana nimecheka mpaka nimepiga teke meza ya chakula
Umetisha sana
Joti me mkenya kisii hatari toka Nairobi kasarani mambo freshi bro Chanel yako bomba nmelike nmeshare nmesurbscribe pia……zidi kujituma mambo yako freshi barida
Aseee mnaua mbavuuu kwaaa kwaaa
Dah wew jamaa
Now this is creativity..
Yan iko unpredictable..
Safi sana , now you are back
Jot walidishe Kipande na Sopa na dada yule jaman tumewamisi sana,
Kutoka Kenya huku kwema ila ni kwema zaidi Kwa zenye #full support
umetisha
Yaan katika vomedy zote hii kiboko sanaa
Unyama sana
Mzee wa siasa hapa from mbweni
Ur the best
Daa joti konyo umenifanya ni cheke mpk nme toa machozi hasa ulipo malzia daaa we ni bonge la mwamba joti utafka mbali zaid una baraka zangu zote yaaan daaa nme checka Sana joti umeshindkana wewe
😅😅😅😅😅😅 we jamaaaa bhanaaa
Mwamba huyu hapa😀😀😀
Ya Leo kali mabosi wamegeuka mazombi😂😂😂
Nic video best comedy in Tanzania
mwambaaaaaaa nomaa
Dan ger yaani danger n hatari apo joti kimbia
Nimecheka sana
Kaua bro,💣💥🤣🤣🇰🇪🇮🇹
Sir Jot, Big Jot, SB
Sijawahi kucheka Kama Leo Leo nmefurahi sna aisee hongera sana unastahiri kabisa kuwa comedian Bora Tanzania aisee unajua ww na company yako mungu awazidishie zaidi tuzidi kufurah na sisi hicho n kipaji cyo propaganda.😁😁🤣@Madawa_joti.🤣🤣
Nikiwa bored kazini, I enter on CZcams one of d videoz nazikuta ni za Joti TV kwa sababu, I watch them often... Ila hii scape plan imeniua afu nikacheka ofisi nzima nikaonekana sina akili... Big up Joti na team yote kazi nzuri... All d way from Mozambique 🇲🇿
Mtu kazi mandonga
Joti ww nomaaaaa
Mzee baba daa🤣🤣🤣🤣🤣iyo kali
Joti 🤣🤣🤣 one love from Mozambique +258
We mtu laana ....hakuna kama we star sana ,na team yako nawakubaliiiiiiii
Kizaz sana nishai uko vyema mzeee
😁😁😁iyo ending scene kwel umeuwa,..iyo inaitwa Akili kichwani
Hatari sanaàaaaaa
Kali hii
genius hhh daaah style ya kutoroka mlioitumia ni nouma
Hiii umetisha zaidi kaka 🫡
Si ugundue kua awa ni mapolis
Asee tangu mwaka umeanza sijawahi Cheka kwanguvu kama Leo! 😅😅😅😅 Mpka majilani wananishangaaa
🤣🤣😂😂😂nimecheka mpaka nimekohoa duu
Pole
@@japhetlust5050 Asante mwaya
🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Uwiii mbavu zinauma jamani nimecheka daahhh kweli joti ni noma
Ingekua kunasehemu ya comment ya sauti ningecheka sana🤣🤣🤣🤣
Mmmmh jot ww umeshindikana haiseeeh
Police wamepigwa nakitu kizito usoni!😂😂😂
Good job
Nishai bans😂😂😂😂
Big up 💪💪💪💪💪
Hahaha😹😹😹 miguu ni ponye
🤣🤣🤣🤣🤣..hizo style walizo Ondoka Nazo Sasa...wametisha!!
Dangery... mwamba 😂😂😂🙌🏾
Daaah kudadeki jot we nouma nimecheka kwa saut peke angu hada machokhaaa 🤣🤣🤣🙌🤣
Style ulietumia kuescape 🔥🔥🔥
Kali
🤣 Joti kasoma kodi 😂😂ingia ndani ugeuke kipofu wana sio 😂😂😂😂
Eeeeeh