JAPHET ZABRON NA VICTORIA WAELEZEA MAISHA YA MARCO ENZI ZA UHAI WAKE NDUG YETU HAKUWAHI KUUGUA MOYO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • #zabronsingers #japhetzabron

Komentáře • 548

  • @angieblessed
    @angieblessed Před 20 dny +34

    Poleni ndungu zetu wa Tz . pia sisi tumeumizwa na kifo cha ndungu yetu.from kenya

  • @MaryMuli-co9sf
    @MaryMuli-co9sf Před 20 dny +13

    Rip Marcos Joseph, tulikupenda lakini mungu amekupenda zaidi . Najua ni uchungu kumpoteza ndugu yenu. Sisi wa Kenya twasema pole sana. Tunalia pamoja na mungu awafariji zabron singer's na wa Tanzania wote.

  • @user-uv3mm9iz5w
    @user-uv3mm9iz5w Před 20 dny +57

    Tume huzunika sana sio tu Tanzania pekee kenya kwa ujumula ina uma sanaa kumupoteza muimbaji maarufu my heart condolences to the entire friends family and zabron singers may our Lord God strengthen you all

    • @MilaKavwai
      @MilaKavwai Před 20 dny +2

      😭😭😭😭😭😭😭😭😭

    • @victoriauno5394
      @victoriauno5394 Před 20 dny +2

      Sad unbelievable we will never see him again oh God😢.Wife n kids mungu awape nguvu.

    • @victoriauno5394
      @victoriauno5394 Před 20 dny +1

      Victoria may the Lord strengthen you.

    • @liliankimathi6973
      @liliankimathi6973 Před 20 dny +2

      My condolences to his family and Zablon singers

    • @alicekaita
      @alicekaita Před 20 dny +1

      😭😭😭😭😭😭🇰🇪🇰🇪🇰🇪wakenya tumelia sana

  • @emmahndunda5691
    @emmahndunda5691 Před 20 dny +17

    Sio Jambo rahisi, Mwenyezi Mungu hawafariji Zablon Singers na aiweke roho yake mahali salama.
    From Kenya

  • @yucabethdavis4072
    @yucabethdavis4072 Před 20 dny +10

    Poleni ndugu zetu wa TZ. My condolences 💐 to the Zabron singer’s family. Pole zangu from USA 🇺🇸. I love your ministry na maombi kwenu nyote wana ZABLON SINGERS 😭😭😭😭😭😭🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸

  • @maggiemandela3526
    @maggiemandela3526 Před 20 dny +10

    Yehova awafajiri familia ,ndungu na marafiki pamoja na taifa mzima la Tanzania.
    Hugs from Kenya 🇰🇪.
    Tunaomboleza pamoja nayi.

  • @user-mb6ks1en1d
    @user-mb6ks1en1d Před 20 dny +5

    Weee si raisi ila poleni sana wana zablon singers ndungu na familia kwa ujumla na ss mashabiki pia tuwe pole kazi yake ameimaliza bado na ss tumalize yetu tuweni pole sana ss wote from kenya 🇰🇪 inauma sana❤😢 ila mungu kashampenda zaidi lala salama Marco kuume kwa bwana amen 🙏 😢 😢

  • @user-mu4pn3hp8x
    @user-mu4pn3hp8x Před 19 dny +1

    Soo bad ,😢😢 heri walalao wakiwa ndani ya yesu ,maana Huwa pamoja na mungu ,shine on your ways shujaa wa nyimbo,😭😭from Kenya , condolences to all his family & Tz na wote wanaomjua ,makiwa

  • @korirkipyegon7732
    @korirkipyegon7732 Před 20 dny +5

    Makiwa kutoka Kenya. Honestly, this loss came too soon. May God anchor zabron singers and his immediate family through this low moment

  • @RizikiKalama
    @RizikiKalama Před 8 dny

    Msivunjike moyo namsikate tamaa Wana zablon singer mzidi kufanya maombi shetani asipate nafasi yakuwasabaratisha ju ya Marko pia mungu awatie nguvu wakat huu mungumu, pia mim naomba niwe na mwisho mwema! from Kenya

  • @susannyairabu
    @susannyairabu Před 20 dny +4

    Poleni sana zabron singers, poleni Tanzania,, Mungu awatie nguvu kwa wakati huu mgumu,, kutoka Kenya

    • @DeboraThomas-i4t
      @DeboraThomas-i4t Před 19 dny

      Poleni jamani dah si rahisi lakn Acha mungu awatie na awape faraja kama wana familia

  • @jacksonsimiyu6492
    @jacksonsimiyu6492 Před 20 dny +3

    Pigo kuu kwetu mashabiki wa Zabron singers.Mwenyezi Mungu aifariji familia na aiweke roho yake mahali pema.

  • @emmanuelbiketi9201
    @emmanuelbiketi9201 Před 20 dny +2

    Poleni sana ndugu zetu wa Tanzania.. Mungu afariji Familia yake.. Pia Wakenya tumelia sana.. Safiri salama Ndugu Joseph.. tutaonana baadaye

  • @rosyjerop4205
    @rosyjerop4205 Před 19 dny +1

    😢😢😢😢😢it's so painful to lose a mentor and God fearing man like you,my sincere condolences to the family and zabron singers, may his soul rest in eternal peace,,go well champion

  • @user-nw5pe7ip1q
    @user-nw5pe7ip1q Před 20 dny +12

    From Kenya 🇰🇪 poleni sanaa 😢😢

  • @FatumaMvungi-u5h
    @FatumaMvungi-u5h Před 17 dny

    Mungu wa mbinguni awape faraja idumuyo familia nzima ya zabrone singers,na mke wake kipz 😊

  • @daisychepkoech4715
    @daisychepkoech4715 Před 19 dny +1

    Wakenya tulimpenda sana kwa kwaya ya zabron...tulihusunika sana wish Tanzania ingequa karibu tuombolexe wote....may his soul rest in eternal peace till we meet again

  • @NancyMgonja
    @NancyMgonja Před 17 dny +1

    Zabron’s singers Family Mungu wa Mbinguni awape faraja ya pekee kutoka mbinguni, Mungu amfariji mke wa marehemu na watoto pamoja na familia yote kwa ujumla 🙏🙏🙏

  • @wilfrednyandusi5148
    @wilfrednyandusi5148 Před 20 dny +5

    Condolences to Zabron singers in general and Tanzania. We are proud of your songs. Hence receive our condolences from Kenya

  • @jacksonfamba1748
    @jacksonfamba1748 Před 19 dny

    Poleni sana ndugu zetu watanzania.....so painful to loose such a vibrant soul .... rest easy Marco Joseph..... from kenya

  • @CathreenMexigan
    @CathreenMexigan Před 20 dny +1

    We were with Zabron singers at kisumu last Saturday during campmeeting Marco was very healthy and happy.i just cannot believe that he's no more.Mungu na aifariji familia yake

    • @NaomOnywoki
      @NaomOnywoki Před 19 dny

      Weuh pia naumia poleni sana from Kenya may our lord comfort you during this difficult moment

  • @JescaKisinza
    @JescaKisinza Před 16 dny

    Daaaaah pole sana , wanafamilia wa zabron Mungu awatie nguvu kwa kipindi hiki kigumu, Mungu ailaze Roho ya marehemu mahali pema peponi.

  • @DorcasMutili-b8l
    @DorcasMutili-b8l Před 20 dny +1

    Oooh,mwimbaji tuliyemtambua,mwimbaji wa nyimbo za ijiri,Mungu akuweke mahali alipojichakulia,poleni sana,Mungu awatie nguvu,asa,asa hii familia❤, Pole,poleni sana,pia nasi tunauchungu sana,na kifo chake.

  • @user-jk1ve1iv5l
    @user-jk1ve1iv5l Před 20 dny +1

    Poleni sana familia, na Tanzania
    Ni ngumu, lakini Mungu anajua kwanini
    Bwana Yesu awape nguve na moyo wa kuitikia lilofanyika. Ndugu yetu Markos
    Pumzika kwa amani.Mungu alitupa ana Mungu amemchukua, Jina lake lisifiwe.

  • @JoelKimutai-e1j
    @JoelKimutai-e1j Před 20 dny +1

    Zablon singers let God give you strength.waimbaji wazuri sana.ndugu zetu watanzania Pia Sisi wakenya tuko na uzuni Sana wacha mungu awake Roho Yake mahali pema pazuri mbinguni

  • @eunice3876
    @eunice3876 Před 20 dny +3

    God strengthen his wife and children.so painfully aky..poleni Sana

  • @evancekamilembe
    @evancekamilembe Před 20 dny +1

    Daaaah! Tumehuzunika Sana na kifo Cha mpendwa wetu hakika Mungu ailaze roho ya marehemu mahara pema peponi, apumzike kwa amani, AMINA.

  • @mchunguziclemenc4678
    @mchunguziclemenc4678 Před 19 dny +1

    Pole sana kwakweli Mungu azidi kuwapa nguvu katika kipindi hichi vita amevipiga vya kutosha na mwendo ameumaliza Jina lake Bwana litukuzwe Amina

  • @wanjirawarui4215
    @wanjirawarui4215 Před 18 dny

    🎉poleni sanaaa Wana zabron singers especially familia yake may Our good Lord have mercy on you

  • @enockmaina629
    @enockmaina629 Před 20 dny

    Pole sana Familia ya zablon singers. Mungu awepe faraja kipindi hiki kigumu. Mimi Kama kipenzi cha kwaya ya zablon singers naumia kwa kweli. Ni uchungu....... May God grant you strength and comfort during this trying moment

  • @abigaelmwendwa5374
    @abigaelmwendwa5374 Před 19 dny

    Poleni Sana Wana Zabron singers, familia na Tanzania, Sisi Mashabiki wa Zabron singers tumeumia Sana , Joseph Mungu amuifadhi Hadi siku ya mwisho.

  • @ZubedaVicent
    @ZubedaVicent Před 20 dny +1

    Mwenyezi Mungu ampe pumziko njema, polen sana wapendwa Mwenyezi Mungu awaited nguvu ktk kipindi hiki kigum

  • @DorcasWanjiru-b3f
    @DorcasWanjiru-b3f Před 19 dny

    Polen sana ndugu zetu na familia ya Marcos mwenyezi mungu awafariji wakati huu mgumu poleni kutoka kenya

  • @carolinekaburi2613
    @carolinekaburi2613 Před 19 dny

    My heart condolences to the family and friend's....I know it's a hard time loosing a talented singer Marco ...may he rest in eternal peace...his songs are inspirational to more generations
    May God grant his family grace 🙏

  • @williamchesoli8622
    @williamchesoli8622 Před 20 dny +2

    Pole sana kwa familia,marafiki na wote.Tunatazamia asubuhi njema tutakapo kutana naye Yesu akija.

  • @noelmukasia376
    @noelmukasia376 Před 19 dny

    Poleni sana Wana Zabron Singers...Mungu Ndio Mfariji Mkuu...Awafariji sana...Mungu Ailaze roho ya Marco mahali pema Kwake

  • @stellakusaga4916
    @stellakusaga4916 Před 20 dny

    Huuuwi!!eeeeh!!Mungu!!ni ngumu sana kibinadamu!!inaumiza sana!wapendwa wetu wa Zabron Singers Mungu awatie nguvu awape faraja iliyo kuu!!ktk kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na mpendwa wetu kaka yetu Marco!!

  • @user-yb2ls3bp6r
    @user-yb2ls3bp6r Před 20 dny +5

    Oh God... remember the entire family 🙏... love from Kenya..RIP

  • @tracykogo3542
    @tracykogo3542 Před 20 dny +2

    Kutoka Kenya our deepest condolences to the family, friends and the Zablon singers. Mungu awafariji..

  • @user-rf6kj5oj6i
    @user-rf6kj5oj6i Před 20 dny +1

    Pole San ndugu wa marehem na rafiki na jamiii Kwa ujumla tulikupenda San ila mungu amekupenda zaidi upumzikee salam Marco Joseph

  • @evancebarden4
    @evancebarden4 Před 20 dny +1

    Pole ndugu Na jamaa. Tunawapenda Na Upendo was Yesu. Mungu awafariji. Tunawaombea Sana Kwa jaribu Hilo.

  • @HylineBwonda
    @HylineBwonda Před 20 dny +1

    From Kenya my condolences to the family and Zabron singers at large
    Nimeumia roho sana😢😢😢😢😢

  • @emilymwadime5478
    @emilymwadime5478 Před 20 dny +21

    From Kenya poleni sana

  • @estherkaranu5583
    @estherkaranu5583 Před 19 dny

    Poleni sana WanaZabron na familia kwa jumla😢Mungu ailaze roho ya Marco mahali pema peponi

  • @flavianfrank6256
    @flavianfrank6256 Před 19 dny

    Mungu awapatie faraja familia ya zabron hakika inauma 😭😭😭😭😭lala salama kaka yetu

  • @sarahke4298
    @sarahke4298 Před 20 dny +3

    My heartfelt condolences to the family of Marco and the Zablon singers. May God comfort you and grant you sufficient grace as you mourn your loved one.

  • @Maria-ic5kp
    @Maria-ic5kp Před 19 dny

    From us here Tacoma WA Heavenly Consolations and May he rest in Heavenly Peace Through Risen Christ Our LORD Amen .❤

  • @user-bf1jd9nl3v
    @user-bf1jd9nl3v Před 20 dny +5

    Wanzania tunaoishi south Africa tumeumia sana..poleni sana wanafamilia.

  • @elizabethmukeba2528
    @elizabethmukeba2528 Před 20 dny +3

    Dada Victoria poleni sana famillia yote inauma sana kwetu wote mpenzi wetu

  • @Kenyalydiahmonayo
    @Kenyalydiahmonayo Před 20 dny +2

    From Kenya, poleni sana. 🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪

  • @wairimumurua9351
    @wairimumurua9351 Před 20 dny +1

    Poleni sana family na Zabron singers.May our brother in Christ rest in peace. From Kenya.

  • @aggieallan6517
    @aggieallan6517 Před 19 dny

    Tunatoa pole zetu Kwa ndugu zetu wa Tanzania Kutoka Kenya ..Mungu awafariji

  • @mugagithome2143
    @mugagithome2143 Před 19 dny

    Poleni sana the Zablons, hili ni pigo kubwa sio kwenu peke yake lakini hata sisi wapenzi wenu the Zablon singers. Mungu awape nguvu

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 Před 20 dny +13

    Mnawahoji sana jamani khaa hamuwaachi wazike kwanza yan mm ningewagomea kuhojiwa wallah

    • @chrispinantabaye4866
      @chrispinantabaye4866 Před 20 dny +2

      Kwakweli mpaka too much,wangewapumzisha kidogo!!!

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 Před 20 dny +1

      😢😢wanakera sana,Mimi HAPO nimeshapiga makamera hukoo😢

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 Před 20 dny +1

      😢😢wanakera sana,Mimi HAPO nimeshapiga makamera hukoo😢

    • @SelinaDorcas
      @SelinaDorcas Před 20 dny +1

      Wanatafuta kazi tu hao lkn hawaangalii uchungu wa moyo

  • @Bettermustcome714
    @Bettermustcome714 Před 20 dny +1

    Poleni sana... Wakenya kwa jumla tunatuma pole zetu kwa familia na kikundi kizima cha Zabron singers

  • @damarymbatia6598
    @damarymbatia6598 Před 19 dny

    Kama hapa inaniuma na sina ukaribu😢 siwezi sema naelewa wanachopitia the Zabron, Mungu awafariji sana

  • @mercylinemuhere7649
    @mercylinemuhere7649 Před 20 dny

    Mwenyezi Mungu awafariji sana Zabron fraternity na taifa la Tz kwa ujumla, pokeeni pole zangu toka Kenya

  • @SelinaDorcas
    @SelinaDorcas Před 20 dny +2

    Mungu awape faraja mioyon mwenu zabron singers

  • @EstherMwongela-n9u
    @EstherMwongela-n9u Před 20 dny +2

    From Kenya 🇰🇪 poleni sana 😢it has hit us hard too

  • @sallykiptoo
    @sallykiptoo Před 20 dny +1

    Poleni sana kwa familia and zabron singers at large...God wil wipe your tears...

  • @jamesbenjamin-kp4xc
    @jamesbenjamin-kp4xc Před 19 dny

    MUNGU wetu ni mfariji mkuu, awafariji Familia nzima ya Zabroni Singers, MUNGU atabaki kuwa MUNGU katika nyakati za kila aina | poleni

  • @FaustinMmeitsi
    @FaustinMmeitsi Před 19 dny

    Poleni sana wa Tz.Mungu ailaze roho ya ndugu pahali pema

  • @MamaPrince-kd9cw
    @MamaPrince-kd9cw Před 20 dny +2

    Hapa Kisumu City Kenya tunaomboleza na nyinyi...Mungu awape nguvu na faraja....Ndugu Marco alikuwa angali mdogo....

  • @janetkhaoma
    @janetkhaoma Před 17 dny

    A humble soul full of Godly humility.....rest easy brother till we meet again

  • @fabianlaurent6144
    @fabianlaurent6144 Před 20 dny +3

    Mungu Amlaze Mahali Pema Peponi, Tutamkumbuka kwa Mazuri yake Pamoja na Huduma Yake kwa Jamii

  • @KhadijaJacob
    @KhadijaJacob Před 20 dny

    Victoria Amelia jmn ad macho yamevimba 😭😭😭 daaaaah polen Sana ndugu zangu! Ata sisi tunaumia ivo ivo😭😭nataman iwe ni ndoto lkn ndo ivo hatuwezi kuzuia kusudi la Mungu. Huenda amemalz muda wa utumishi alale pema.

  • @onsangojuniorcomedy1739
    @onsangojuniorcomedy1739 Před 20 dny +2

    Pole zangu kwa zabron singers, watanzania wote na wote wampendao Mungu kupitia utumishi wao zabronbsingers kwa njia ya uimbaji.
    Kutoka Kenya

  • @rachelmaina3476
    @rachelmaina3476 Před 20 dny +1

    Poleni sana na huzuni kubwa .Mungu awafariji zablon family na Tanzania nzima.Wakenya twawapenda.

  • @Kevin-h5l
    @Kevin-h5l Před 20 dny +1

    Rip Joseph you have really transformed not only my life but also lives of people from different countries 😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @danielkyalo5531
    @danielkyalo5531 Před 20 dny +3

    Poleni sana Zabron singers from Kenya Kitui Mungu na awafariji sana.

    • @aminakasim1198
      @aminakasim1198 Před 19 dny

      Kiukweli kifo ni fumbo mwenyezi atujalie mwisho mwema

  • @justinomtili9226
    @justinomtili9226 Před 19 dny

    Poleni sana familia ndugu jamaa na marafiki,mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu 😭😭😭

  • @Roseline-ld8ed
    @Roseline-ld8ed Před 20 dny

    Poleni sana Mungu awafariji familia ya zabron 😭😭
    Pumzika kwa Amani 😭

  • @agneswangui4295
    @agneswangui4295 Před 20 dny

    Poleni sana Roho Mtakatifu awatie nguvu kwa wakati huu mgumu 🙏

  • @CarolineLangat-sb2bf
    @CarolineLangat-sb2bf Před 20 dny +2

    poleni sana ndugu zetu wa tanzania mungu to awafariji wakati huu mgumu

  • @joskyshams4758
    @joskyshams4758 Před 20 dny

    Poleni sana ndugu zetu wa tz pia sisi wakenya tunaumia. Ingefaa twende hata mazishi.

  • @levinalevina-wz5ve
    @levinalevina-wz5ve Před 20 dny

    nimehuzinika sana kwa hizi taarifa siamini kama ni kweli 😭😭 polen sana

  • @juliakingori1099
    @juliakingori1099 Před 19 dny

    I'm so heartbroken but God have the reason for everything. May the lord give the family strength at this trying moments

  • @tabithashimenga4742
    @tabithashimenga4742 Před 20 dny +1

    Pole sana familia na Zablon singers.🇰🇪

  • @mulesi68
    @mulesi68 Před 20 dny

    Poleni sana WanaZabron singers. Poleni sana wote mlioguswa na msiba huu. Mungu Mwenyezi tunazidi kuomba faraja yako kuu isitupungukie.

  • @GatiNyamataga-nk3uw
    @GatiNyamataga-nk3uw Před 17 dny

    Pole sana familia marafiki na kanisa Kwa ujumla Mungu awatie nguvu

  • @AndreaAbery
    @AndreaAbery Před 17 dny

    Poleni sana wana ndugu na familia kwa ujumla mungu awatie nguvu

  • @sarahadhiambo7858
    @sarahadhiambo7858 Před 19 dny

    Poleni sana from kenya 🇰🇪 it's not easy loosing such a soul

  • @MercyMwongeli-q7q
    @MercyMwongeli-q7q Před 19 dny

    Pole aki victoria...I feel it....take heart 😢😢

  • @user-dn5em9fb5w
    @user-dn5em9fb5w Před 20 dny

    Poleni sana watz tumehuzunishwa sana na kifo Cha mwombaji mungu ailaze roho yake mahala pema wakenya tuko pamoja

  • @EuniceKerubo-n2g
    @EuniceKerubo-n2g Před 20 dny

    Poleni sana ndungu zetu wa Tanzania hata sisi tumeumizwa na kifo chake ndungu yetu .from Kenya

  • @andrewmungandi-cg9ql
    @andrewmungandi-cg9ql Před 20 dny +1

    It's a sad development my family,, let's give God some praise for the loss , I'm following from Zambia

  • @MosesOngudi-s3b
    @MosesOngudi-s3b Před 20 dny +1

    Poleni sana Zabron Singers.

  • @HyacintaGugu
    @HyacintaGugu Před 20 dny

    Sikumfahamu jina lkn niliposia Marco wa Zabron amefarik nilimwomba Mungu asiwe ni yeye japo moyo uliniambia ni yeye...polen ndugu

  • @peterkaranja8738
    @peterkaranja8738 Před 19 dny

    Pole kwa familiar sisi wakenya twamjua kama mwimbaji mwenye sauti ya mungu RIP Joseph

  • @hildayusta1117
    @hildayusta1117 Před 19 dny

    Daah poleni Kwakweli Bwana Alitoa Bwana Ametwaa Jina Lake Litukuzwe😢😢😢

  • @davidadorwa258
    @davidadorwa258 Před 20 dny

    My condolences to the entire family and may God comfort you during this hard time? We are leaved with no words but may the name of almighty God praise in both sad and happiness.

  • @matalo0551
    @matalo0551 Před 20 dny +1

    Mungu auweke mahala pema peponi roho ya malehemu Marcos Joseph.
    Hakika familia ya Zabron singers tumeachiwa pengo

  • @AlexisARAKAZA-bx9bv
    @AlexisARAKAZA-bx9bv Před 17 dny

    Hata Burundi Tunahuzuni Kuhusu Kifo Cha Macro Joseph Wa Zebron Singers Tulikuwa Tukimpenda Sana Kwa Jinsi Anaimba Kwa Jumla Tunapenda Nyimbo za Zebron Singers

  • @user-qv6go2qr5w
    @user-qv6go2qr5w Před 20 dny

    Poleni sana familia, twaomboleza pomoja sisi kama wakenya ndugu yetu amekuwa wa baraka kwetu kupitia nyimbo zake😢😢

  • @sharonmetett7130
    @sharonmetett7130 Před 5 dny

    Katika udungu kuna urafiki this made me shed tears

  • @Hope0shee
    @Hope0shee Před 20 dny

    Am just shocked 😢God of love be with the family rip man of God from kenya we have lost a hero and a regend

  • @EstherKasoki-s5p
    @EstherKasoki-s5p Před 19 dny +1

    Nakosa niseme nini ila mungu ajuwa sababu muwe ngufu zabroh mungu afariji jamaa na marafiki na kanisa nzima la wa adventiste

  • @joseph.mihambo5842
    @joseph.mihambo5842 Před 20 dny

    Poleni Sana Wana family Mungu wa Mbinguni awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu cha majonzi na Mungu aiweke loho ya malehemu mahala pema peponi Amen 😢😢

  • @StellaBarinaba
    @StellaBarinaba Před 20 dny

    Rip marco mungu awape uvumilivu mkubwa wanafamilia poleni sana inauma

  • @ClementineMukuru-vx8sz

    Our sincere apologies from Kenya 🇰🇪 Mungu awafariji