dah hii ninecheka sana wallah joti noma sana,hasa pale baada ya kujua body ni mtt wa bimkubwa sasa kubadilisha maelezo ya matusi kuwa kama ni ya kistara yaan kupoza ukali wa maneno ili apate msamaha
Joti kazi nzuri, mama na abiria ...wamevaa husika ila mama kwa sababu wengi hatujamzoea kacheza vizuri sana .....haya ndio maisha yaliyopo kuna watu wanategemea polisi kusumbua wengine..... Hongera sana kaka nakumbuka tulikuwa wote makongo juu kwenye msiba wa masogange mpka msibani watu walikuwa wanakufurahia Mungu akupe maisha marefu......!!! @ mzee majuto alisema wewe ndio anayekukubali endeleza kijiti kaka .....kazi nzuri na hongera kwa kuinua wengine....
Jamani hata kama una bondia nyuma yako ndo uwakosee wengine adabu,,, joti amegusa uhalisia wa maisha yetu
Kabisaaaa😂😂😂😂
Mmetisha!
Mama kavaa uhusika vizuri sana
This is one the best comed clip uliyowahi kuzifanya mzee JoTi 😄😄😄
Nakubali
For sure ..ni among the best
@@AziziMsuya Bonyeza utizame hii 👇...
czcams.com/video/_Hh_-rtaF64/video.html
Unaijua Pedi cure?
Huyu Mama naye anajua sana, anachekesha sana 😂, kapatia sana vurugu za kwenye madala dala 😂.
Sana
Miwan kama 🐢
🤣🤣🤣
Mpo
Uuu i i i uj. m m m m m m m m
.
. .
. m . m m
dah hii ninecheka sana wallah joti noma sana,hasa pale baada ya kujua body ni mtt wa bimkubwa sasa kubadilisha maelezo ya matusi kuwa kama ni ya kistara yaan kupoza ukali wa maneno ili apate msamaha
❤️❤️❤️ Tanzania tunaweza Sanaa tn saaana 🤓🤓🤓
Daaaaah JOTI 🔥 nakukbaliii sanaaaaaaaa tenaaa sanaaaa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 et kumb broza upo naee
Sema kimeumana😅😅😅sema huyu mama ndo mkorofi🤣
Hata Kama joti kajibu utumbo lakin mama nae mkorofi
"Mama, mimi sio tu MCHICHA MWIBA. Ni matembele kabisa."
We msenge tutauana kwa kucheka!
Joti noma, the more I watch these shows the more am enjoying and getting addicted 🤣🤣🤣
Hahahahhaha hahahaha hahahah kuna wamama wepimda et mwanae kaopoa
Sema maza nae kazingua mdomo sana
Dah mmetisha sana joti. Mko vizuri sana. Hahaha mwisho huku nimecheka sana.
Bonyeza utizame hii 👇...
czcams.com/video/_Hh_-rtaF64/video.html
Hahahahaha kuropokwaropokwa kuropokea watu wazima noma hHH
Mama mm sio mchicha mwiba ni matembele kabisa😃😃
Sema huyu Maza anajua Sana😄😄🔥
My all time comedian😂😂😂watching from kenya💝✊
Bonyeza utizame hii 👇...
czcams.com/video/_Hh_-rtaF64/video.html
Big up my bro!! Uki translate itakusaidia kung'ala zaidi,love from 🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼
Aratwika sanaaaa msaza
Matembele kabisa dah...! noma sana
Nitakuweka, Ntakuweka Oohoooo....!! 😂😂😂
Daah mam anamalaniiii hatariii
Huyu mama ni mimi kabisa kwenye vituo kusubiria abiria 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
et me nakuwekaaa nakuwekaaaaa hahahahaha joti unajua sana
😂😂😂😂😂😂 joti unajua kaka so mchicha mwiba ni matembere kabisa😂
Bonyeza utizame hii 👇...
czcams.com/video/_Hh_-rtaF64/video.html
ila hapo mwisho mmeharibu... Mwamba kaopoa kivipi Yaani sio poa
Ila leo NISHAI Leo umeonewa..mama alilianzisha mda tuu sema hakumpata mkunaji😂😂😂😂
Hii inatufudisha kunyamaza kunavyokuepusha na shari za walimwengu... Ila mama nae kwa gubu hodari 🤣🤣🤣
Joti kazi nzuri, mama na abiria ...wamevaa husika ila mama kwa sababu wengi hatujamzoea kacheza vizuri sana .....haya ndio maisha yaliyopo kuna watu wanategemea polisi kusumbua wengine..... Hongera sana kaka nakumbuka tulikuwa wote makongo juu kwenye msiba wa masogange mpka msibani watu walikuwa wanakufurahia Mungu akupe maisha marefu......!!! @ mzee majuto alisema wewe ndio anayekukubali endeleza kijiti kaka .....kazi nzuri na hongera kwa kuinua wengine....
Siyo tu kutuchekesha ila umetufunza jambo sometimes unaweza kuwa upo unabishana hata na mwanajeshi pasipo kujua
Kuna mtu yuko nyuma kanichekesha eti kimeumana
Kipindi unasubiri huruma ya Mama mama mwenyew sasa "heheeee mwana kukitafuta mwana kulipata Utajua hujui Mwanangu haopoa🙆♂️😂😂😂😂😂"
Ila huyu mama ni mkorofi khaaa🤣🤣🤣🤣🤣anatukana watu makusudi anajua kuna mtoto🤣
We mama nitakueka ohoooh
From Donesk Ukraine 🇺🇦 , watching your comedy even if we are fighting, salute!
🤣🤣🤣🤣
😂😂😁putin anasemaj uko
Broh hapo rwanda ndio pamekua ukrein
Asante dada yangu mama kibibi unayaweza
We mama watafuta bwana nn 😂😂😂😂😂joti love 💘
Mama wa kiswahili , eti 'mwanao kaopoa'
Yule jamaa wa nyuma kanichekesha 😂😂😂😂KIMEUMANA
Afu huyu nampenda saaana kutoka comoros
Comoros sehemu gani
Kofia kama kizoleo cha taka😆😆😆😆😆😆
Mama mkorof mwenyew kisa mwanae bondia
😂😂😂😂🤣dah et mwanangu kaopoa
Nalipia watu watatu tunashuka sehemu moja
😂😂😂😂mama ako mstaarabu sana alafu mama ni Mungu wapili🤣🤣 kazi nzuri joti
Bonyeza utizame hii 👇...
czcams.com/video/_Hh_-rtaF64/video.html
Ya kabla ya kumsifia Joti,naomba nimpe pongezi sana huyu mama anajua sana kiukweli ,yaani Joti kapata partnership sana kwenye kazi yake
🤣🤣🤣🤣🤣 da umetisha kamanda kitombagile kitwango🤣🤣🤣
hahahah ,ila hapa nishai wamemuonea , huyu mama ndo mkrofi dahhh
Daah nmecheka kama boya ani😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Eti mwanangu kaopoa,😃😃
Hahahaaa et mwanang kaopoaaaaa
Huyo mama anajua hatari mpaka basi
🤣😂😂😂😂🤣🤣😂🤣🤣🤣😂😂🤣🤣🤣 sema kimeumana bana
It's chris from USA 🇺🇸 we love you so much here, keep it up brother.
Ila leo joti kaonewa uyo mama sio mstarabu...lakin all in all Kaz nzur
Leo jot leo jot kimeumana jina la mchicha mwiba ulilikata sasa umelikubali mpaka unajita matembele hhhhhhhh
Ndo Maana Mama Alikuwa Anavimba Sana Kumbe Kuna Bodgad
Mama anaongea tangu mwanzo wa safari mpaka .wisho , non stop
Hiki nacho ni kipaji kwakweli .
🤣🤣🤣
Mama kumbe uko na Mwamba ndo maana 🤣🤣🤣🤣
Kanyinyi mnafiki 🤣🤣🤣😂😂🤣 KIMEUMANAAA
Heee jot huwa unanipa amani sana
Joti always never disapoiting😁.keep going dude.from 🇰🇪
Bonyeza utizame hii 👇...
czcams.com/video/_Hh_-rtaF64/video.html
ni kweli wanawake wanaofuga makucha wananuka..
Hii ni moja wapo ya miongoni mwa video comedy Bora ulizowahi kufanya aiseh hii ni kiboko. Ila umeonewa tu Huyu bimkubwa mnoko sana 😂😂😂
Eti mwanangu kaopoa😂😅😅😅
Ndo Mana mama alkua anajiamin😆😆😆😆😆
😊 mooooo oke
Crazy stuff , love your skits Bwana Nishai 🤣🤣🤣🤣.
Mad Love from 254 🇰🇪🇰🇪
Mama huyo nilishai alimpatiaga sana
Haha 😂😅 mchicha mwiba..
Daah nice. 😢
This is your best comedy in my playlist ever ❤️
I laughed my freaking @ss off like crazy 🤣🤣🤣
Have you watched pedicure?
@@lwimikomwambene not yet
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Leo nimewahi jamani plz like za jot😂😂
Huyo mama katisha sana😂😂
😉🤣😁😁kiumemanaa
😳siamini macho yangu.joti kaliwa kiboga?kweli si mchicha mwiba.matembele.
mama umemkwaza joti cjapenda
Mimi mchkaramuuu mchakaramuu 😅😅🤣🤣
Daaah funzo kubwa sana "mdomo umeponza kichwa"
Hahaaaa eti Mama Mstaaabuuu...eti mm matembele kabisa😄😄😄😄
Huyu mama Ana gubuuuu
Joti Hana nyie eti mm nakuweka we mama 😂😂
Mama nawe kajaliwa Na mdomo kweli
Mm nakueka wewe mm nakuweka wewe haya kiko wap sasa 🤣🤣🤣
Eti mwanang kaopoa 😀😀
Nimeangalia tena baada ya kufariki huyu bi mkubwa... Apumzike kwa amani
Hilo jamaa lililovaa jez ya utopolo hajiamin kama ataonekana nn Kayla runinga🤣🤣😀😀😀
😁😁😂😂😂 nmecheka kifala mama aliposema "naulina atalipa mwanangu
Kama na wew unampend joti like hapa
Joti mungu akupe maisha malefi unatuchekesha sana
Joti umeshindikana kabisa
Mama umecheza vzr sana
Imenibid nrudie kuangalia 😂😂😂
Kumbea watu wana vipaji vyao vya kuongea
Hhhhhhhhhhhhhh haki ya mungu ww joti ujengewe tu mnaraa.nimeipenda hii kali sn
Hii video naipenda sana hahahaha
Mwana kuliget
the other guy. Eti kimeumanaaaa hahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣 this is funny af
Joti si ufanye movie mwanetu vi clip vifupi sanaa hivi alafu vinachelewa sanaa
Mama kisirani sana 😂😂😂 hata Kama mtoto wako ni bondia si utulie
Nani kaelew kam mm ujumbe huu kwa wale wanaomsimanga mama samia
Mama kafurai kapata mkwe duu 😂😂😂
Cherehani kimepigwa na chini 😂😂😂😂