MBUNGE ANATAKA TENA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 08. 2024
  • Kipindi hiki kila mtu anakufa na chake, maana hata wananchi wamekua wajanja...

Komentáře • 551

  • @samchacha2320
    @samchacha2320 Před 3 lety +24

    Kicheko cha Sopa aki-act as mtu mwenye pesa uhakika sana, jamaa hakosei
    Big up SOPA

  • @starridge3615
    @starridge3615 Před 3 lety +20

    From Kenya likes za kuchelewa ufike

  • @fiziparadise7808
    @fiziparadise7808 Před 4 lety +268

    Kama unakubali sisi wa Kongo🇨🇩 pia tunamkubali sana joti, tupe like jamani😁👍🏾

  • @djbee257
    @djbee257 Před 4 lety +33

    Love from Burundi 🇧🇮 🙌🏾🙌🏾🙌🏾 #runtowndjs

  • @babasandra638
    @babasandra638 Před 4 lety +424

    Mm ni mkenya ndio maana sipati likes kwa kila comment

  • @samsonsimon7882
    @samsonsimon7882 Před 4 lety +20

    Kumbe joti ni mnafiki yupo kimaslahi!!!km umenielewa gonga like

  • @abdiaziz2978
    @abdiaziz2978 Před 4 lety +61

    My dream Car InshaAllah may Allah make my dreams come true

    • @khizralghawy9489
      @khizralghawy9489 Před 4 lety +4

      😂😂😂😂😂 fanya mema uende peponii hizoo ni zakupita

    • @affaanothmaan6287
      @affaanothmaan6287 Před 4 lety +2

      Wakati unaliwaza hili gari, usisahau kuliwaza na kaburi,,,

    • @feyzalyusuph14
      @feyzalyusuph14 Před 4 lety +7

      @@khizralghawy9489 hizi fikra ndo zinatufanya tunatawaliwa kiuchumi sisi waislam...Allah anasema tuitafute pepo kama tunakufa kesho na tutafute mali kama tunaishi milele..ukiwa maskini utafanya uchafu mwingi sana na utashindwa kuinua jamii yako ndo maana ikawekwa zaka kwa matajiri sasa jiulize kama hakuna utajiri zaka itatolewa vipi?

    • @feyzalyusuph14
      @feyzalyusuph14 Před 4 lety +6

      Bro pambana na Allah atatimiza hitaji la moyo wako pia hakikisha una mshukuru kwa kila kitu kufanya hivyo utakua umetoka kwenye kundi la wanaokufuru.

    • @nashaissa3804
      @nashaissa3804 Před 4 lety +1

      Aamin

  • @Keymambo_
    @Keymambo_ Před 3 lety +6

    Big up sana joti!!!!!!!!joti baba lao%%%%%%%%%%

  • @johnnabie5445
    @johnnabie5445 Před 3 lety +5

    "Kila Mbuzi anakula kwa urefu wa kamba lake." 😂😂😂😂😂😂

  • @rashidahmed7504
    @rashidahmed7504 Před 4 lety +34

    yani sopa umeuwa baba nakupenda buree chukuwa hilo 💋💋

  • @misapinamiswi5751
    @misapinamiswi5751 Před 3 lety +5

    Hahaha joti hiyo nguo balaaa
    Mama dame Kenya tunakupenda tembea
    254...

  • @John_Msambya
    @John_Msambya Před 4 lety +54

    Wewe ndiyo unanifanya niwe Furaha 😂😂😂

  • @StarBoy-oi7vx
    @StarBoy-oi7vx Před 4 lety +108

    Hivi hizo likes mnapata Vp mbona me sipati au nakosea wap jamen😢😢

  • @jessicabrown5885
    @jessicabrown5885 Před 4 lety +9

    Napenda mbunge anavyocheka😁

  • @doreenmushi3859
    @doreenmushi3859 Před 4 lety +32

    Dah leo nmewah kwa best comedian in east africa

  • @shantalismailhassan9878
    @shantalismailhassan9878 Před 4 lety +10

    "Kukuangusha inatokana na uzito ";🤣🤣🤣 jamani joti hufai.

  • @tembomnyama2310
    @tembomnyama2310 Před 4 lety +131

    Tulio wahi Naombeni Likes5 tu.... Zinatosha 🤓🤓🇹🇿🙏

  • @brightonchedego8100
    @brightonchedego8100 Před 4 lety +3

    Mambo ya takrima hayo,et ikionekana n rushwa ila icpoonekana ni takrima,kunawatu wanatambaa kabsa😂😂🤣🤣🤣🤣🤣

  • @abdallahmohammed7947
    @abdallahmohammed7947 Před 4 lety +12

    United states apa California nawaona gonga like hujachelewa

  • @user-xi1pi4zr3b
    @user-xi1pi4zr3b Před 4 lety +178

    Kama unamkubal JOTI 100 parcent gonga like hapa!

  • @samirimunguawazidishiekher7319

    Kwani izo like mnazo ziomba mnazipeleka wapi Maana atuwaelewi mmecharuka kuomba like

  • @simonmahundo1735
    @simonmahundo1735 Před 4 lety +4

    Safi sana umegusa home Ulanga MALINYI yetuuu

  • @jonasmongi7811
    @jonasmongi7811 Před 4 lety +40

    Leo nimechelewa ila sio mbya joti n best comedian in east africa 😂 😂

  • @alpherhaule179
    @alpherhaule179 Před 3 lety +2

    Joti baba lao la comedy tza naomba like za kutosha tuuuuuuuuuuuuu🤣

  • @brightonchedego8100
    @brightonchedego8100 Před 4 lety +3

    Uzuri wajumbe na wao wakafanya kweli🤣🤣😂😂😂😂

  • @adiahassan2416
    @adiahassan2416 Před 4 lety +41

    Washabiki wa joti tujuane hapa🤣🤣

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Před 4 lety +4

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂eti tupo tumechakaa kama hivi😂😂😂😂😂😂

  • @michaelramadhan9466
    @michaelramadhan9466 Před 4 lety +3

    Je
    *1. Unasumbuliwa na Presha ya kupanda (B.P) ?*
    *2. Unateseka na Vidonda vya tumbo (Ulcers) ?*
    3. Una U.T.I sugu ?
    4. Umepungukiwa na Damu mwilini ?
    5. Una Kisukari (Diabetes) ?
    6. Umepungukiwa na Kinga ya mwili ?
    7. Una tatizo la Homoni (Hormonal Imbalance) ?
    8. Unashida ya kupata maziwa ya mtoto kwa mama anaenyonyesha ?
    9. Una shida ya mifupa ?
    10. Una aleji (Allergy) ?
    11. Una matatizo ya macho ?
    12. Una mafuta mengi mwilini / lehemu (Cholestrol) ?
    13. Una shida kwenye mmeng'enyo wa chakula tumboni (constipation) ?
    14. Una tatizo la nguvu za kiume ?
    15. Je, mayai ya uzazi hayapevuki kwa wanawake?
    16. Huwezi kupata mtoto kwa shahawa kutoka ikiwa nyepesi mno kwa wanaume (low sperm count) ?
    Piga0629280027
    WhatsApp+255629395655

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 Před 4 lety +27

    Na Mimi kanifanyia hv hv 😂😂 inuka Baba kawa mpole 🤣🤣🤣

  • @kelvinjohn6851
    @kelvinjohn6851 Před 4 lety +9

    Ila Joti anavovaagaaa 😁😁😁😁😁😁. Dah!

  • @eastafricabrokerkiller8028

    Hahahaa Kama unavyotuona mmoja mmoja km matone ya mvua😂😂

  • @pauljosephmashaur3118
    @pauljosephmashaur3118 Před 4 lety +5

    Leo ndo wametoa kitu poa kabxaaa like twende sawa

  • @naomirobert4867
    @naomirobert4867 Před 4 lety +5

    Kwahyo ukificha ni takrima ila ukitoa waziwazi ndio rushwaa..😂😂😁😁😁 uhuwiii 🙌

  • @setinswila9499
    @setinswila9499 Před 3 lety +2

    Daa sopaa ""eeh nmeshangaaa zaman ulikuwa na magagaa mwili wotee dahh😂😂

  • @CertifiedStoic
    @CertifiedStoic Před 4 lety +12

    Dah Sopa ni bonge moja la supporting act. Anajua sanaaaa 😂

    • @omaryrashid1873
      @omaryrashid1873 Před 4 lety +2

      Kwel yuki poa sna et wananchi wamekufaaa

    • @CertifiedStoic
      @CertifiedStoic Před 4 lety +2

      Omary Rashid Ni bonge la comedian mshkaji.. soo natural !

  • @lareineminah1353
    @lareineminah1353 Před 4 lety +4

    Kuku angusha inategemeyana na uzitoo🤣🤣🤣🤣🤣

  • @hopechami521
    @hopechami521 Před 3 lety +6

    Vitu iv nlivipata kwenye ndoa Yang ya 1saiv nandoa 8,😃😃😃

  • @danielpallangyo380
    @danielpallangyo380 Před 2 lety

    Alie ona koti la Mbunge limechanika kwapa like tujusne🤣🤣😆😆😆😆🤣🤣

  • @user-gz2zm9ro1h
    @user-gz2zm9ro1h Před 3 lety

    Mim ni mzung ndoman sipati like

  • @josephNdichu879
    @josephNdichu879 Před 4 lety +15

    Qatar tuko ndani 🇶🇦

  • @zulekhamnene9462
    @zulekhamnene9462 Před 3 lety +14

    Likes zanguu Kama unamkubali mama dame😅

  • @tausihasheem5051
    @tausihasheem5051 Před 4 lety +4

    Hyu n dereva ake hyu n dereva ake...joti kanichekesha wallah🤣🤣🤣

  • @khadijaamour7654
    @khadijaamour7654 Před 4 lety +33

    Nimelielewa ilo gari tu apo😂😂😂

  • @salehechuma3970
    @salehechuma3970 Před 4 lety +1

    Mama Damme umetisha upo kwenye ndoa ya Nane hiyo.....Hahahahahahahaha

  • @kenmute7737
    @kenmute7737 Před 4 lety +1

    Hahaaa..wee unakuja na kushikashika miguu kuna watu wanatambaa kama kenge 🤣🤣🤣 wapi like ya joti kama unamkubali..

  • @jumamecha
    @jumamecha Před 4 lety +2

    Joti wewe mukali big up sanaaa

  • @obenitejailos7007
    @obenitejailos7007 Před 4 lety +3

    Mvua zote zikipiga 120 ndani 😂😂😂

  • @user-cg1wg3ll9h
    @user-cg1wg3ll9h Před 6 měsíci +1

    Mda wote naikubali hii clip😂😂😂

  • @zuwenaalamin8985
    @zuwenaalamin8985 Před 2 lety +2

    🤣🤣🤣🤣joti bhana

  • @paulinamhecha4420
    @paulinamhecha4420 Před 3 lety +1

    Etii watu wamekuja wanatambaa kama kengee🤣🤣

  • @franciskomba4144
    @franciskomba4144 Před 3 lety +1

    Suti ya mbuge imechanika nani kaona 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @fadhiliignusy3790
    @fadhiliignusy3790 Před 3 lety +1

    koti la mbuge sopa hapo nyuma ya bega 😂😂😂😂

  • @severinatyphone6122
    @severinatyphone6122 Před 4 lety +4

    KAMA YA GEITA 🤣🤣🤣🤣🤣 KATOMA MTUSAHAU!! DAA NANI ATAISEMEA JAMANI!

  • @saidyhamidy286
    @saidyhamidy286 Před 4 lety +5

    😂😂😂😂 joti talehe 28 nitalehe ya kuchoma sindano

  • @kelvindidas3612
    @kelvindidas3612 Před dnem

    Naona kaona koti la mbunge limechanika 😂

  • @bmbyamstz9408
    @bmbyamstz9408 Před 4 lety +2

    Zidisha kutupa raha kaka😁😁

  • @watakaniitaje1215
    @watakaniitaje1215 Před 4 lety +3

    😂 😂 😂 😂 Kweli trh 28
    Mwendo WA kujiajiri tu

  • @emmanuelnzaligo6262
    @emmanuelnzaligo6262 Před 3 lety +1

    Wasiwasi wangu tutawakuta kweli wananchi au tutakuta wamekufa@@@Nimependa hii

  • @ramadhaniramji7048
    @ramadhaniramji7048 Před 4 lety +2

    Kuna watu wanatambaa kama kengee😂😂😂

  • @sulaymanwaziri4455
    @sulaymanwaziri4455 Před 4 lety +3

    Joti ukitoaga kitu kizuri nakosa hata kukomenti. 😂😂😂😂 eti mvua ikinyesha 120 moaka ndani

  • @tecklaadam6146
    @tecklaadam6146 Před 4 lety +2

    Kicheko cha mbunge 😂😂

  • @laurianvallentino9958
    @laurianvallentino9958 Před 4 lety +7

    Kama na wewe leo Joti kakunyoosha, kama mimi hajatanguliza lile tangazo tunalosogezaga mbele, kama mimi like hapa...

  • @samytexas
    @samytexas Před 4 lety +5

    Man so creative 😂👌🏽🤲🏾🤝🔥

  • @zainabzuber1779
    @zainabzuber1779 Před 4 lety +4

    Vitu hivi nimevipata ndoa yangu ya 1 maana Sasa hivi nipo ya 8😂😂😂

  • @fatmafetty4117
    @fatmafetty4117 Před 4 lety +2

    Sopa 😂😂😂😂😂eti watakua wamekufa au wapo🤣🤣🤣🤣

  • @iscobuzness7153
    @iscobuzness7153 Před 4 lety +48

    Kipande Yupo Wap Mbona Sikuizi Aonekan

  • @sandromirroso479
    @sandromirroso479 Před 3 lety

    Kazi nzur xana

  • @mohamedimustafa4540
    @mohamedimustafa4540 Před 4 lety

    Kazi nzuri big up wote

  • @danielpallangyo380
    @danielpallangyo380 Před 2 lety +1

    Nishai the Great one💚

  • @helenamusa432
    @helenamusa432 Před 4 lety +1

    joti nashindwa niwekeje commert maana hii comedy ya leo kiboko cha wale😂😂😂

  • @sabinaleonard504
    @sabinaleonard504 Před 4 lety +2

    Alieona koti LA sopa limechanika gonga like

  • @queenalimoja4386
    @queenalimoja4386 Před 3 lety +1

    zamani ulikuwa namagaga😃😃😃

  • @abelmange5430
    @abelmange5430 Před 4 lety +1

    Gari la kibabe Sana 🤠

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Před 4 lety +1

    Nani kaleta maendeleo huku😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @claraedwardmalingumu3565

    Baba wawili weeee unanifanya nisahau shida zangu zote za mchanaa,suluali hiyoooo baba wawiliiii mie hoi ,mungu azidi.kukupa.ubunifu wako.mzuri mnoooo

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Před 4 lety +3

    😂😂😂😂😂😂😂😂mbona takrima

  • @taslimanyange2850
    @taslimanyange2850 Před 4 lety +12

    Tarehe 28 ni moto naisubiri Mungu anipe uzima tuuuh

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 Před 4 lety +3

    Mzuri sana nimeipenda hii Safi joti😀😀😀😀🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿.

  • @thierybien7051
    @thierybien7051 Před 4 lety

    Uyu jamaa cheko yake ya kitajili inaniacha hoi kabisaaa 😀😀😀😀

  • @harryvice77
    @harryvice77 Před 4 lety

    Broooh joti awajamaa zako skuizi umeshawaambukiza ugojwa wa kuvunjambavu jamaa alipoanza apo mwanzo kwa kucheka kanivunja mbavu sanah

  • @eliarichard9218
    @eliarichard9218 Před 4 lety +2

    Joty bhan umetisha Sana'a na sopa.ila kipande simuoni hapo daaah ela yakeeeeee.

  • @badboychitanda7345
    @badboychitanda7345 Před 4 lety +1

    Safi sana mbunge unatisha

  • @abdulkillya2655
    @abdulkillya2655 Před 4 lety +1

    Nitawakuta wananchi au nitakuta wamekufa 😂😂😂

  • @tz7976
    @tz7976 Před 4 lety +1

    Kukuangusha inategemea na uzito🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 joti hatariiiii

  • @daktarij381
    @daktarij381 Před 4 lety

    hii nzuri aisee ujumbe umefika

  • @shorewanda5635
    @shorewanda5635 Před 4 lety +3

    aliyeona koti la mbunge limechanika kwapani aache like hapa

  • @adiahassan2416
    @adiahassan2416 Před 4 lety +5

    Kama unayakubar mashat ya nishai🤣🤣 gonga like hapatikan

  • @naomirobert4867
    @naomirobert4867 Před 4 lety +2

    Nan ameckia mama Dame anawakilisha mbele 😁😁😁😁😁😁😁

  • @bonifaceanthony309
    @bonifaceanthony309 Před 4 lety +8

    7:26 koti limechanika

  • @erastobartalome2709
    @erastobartalome2709 Před 3 lety

    Kila mtu anaomba like Mimi sitaki

  • @wazilijuma4738
    @wazilijuma4738 Před 3 lety

    Wabunge wana mambooh hatar😁😁

  • @bernardchibwana9411
    @bernardchibwana9411 Před 4 lety

    Nainjoy tu joti tv

  • @zakomone7672
    @zakomone7672 Před 4 lety +1

    kuna watu wanatamba kama kenge 😅😂😂🤣🤣🤣🤣🤣

  • @dearnamypastime2435
    @dearnamypastime2435 Před 4 lety +1

    Kwan na huyu anataka kugombea. Hahahaaa

  • @christophergombo5362
    @christophergombo5362 Před 4 lety +4

    Nice

  • @beautylicious6165
    @beautylicious6165 Před 3 lety +1

    Umekuja kujaje 😂😂😂

  • @producermaiko1762
    @producermaiko1762 Před 3 lety

    Malinyi uranga ahahahahaha😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃nyumban uko ifakara mbele ukooo

  • @Busilana
    @Busilana Před 4 lety +4

    Kuna Watu Wana tambaa km kenge heshimu 😂

  • @Henry-jg4hj
    @Henry-jg4hj Před 4 lety +3

    Mama Dame😃😃

  • @rasuliathumani8830
    @rasuliathumani8830 Před 4 lety +3

    Kama unakubali hahaha tim jot gonga like