MFANYAKAZI WA NDANI AUAWA MORO ''MAFUNDI UJENZI WAHUSIKA ''RPC MKAMA ATHIBITISHA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 05. 2024

Komentáře • 121

  • @jonasmakwa6461
    @jonasmakwa6461 Před 26 dny +18

    Mm naona Tanzania mtu ukiuwa kwa kuplani au kwa makusudi na yeye anyongwe sheria hii ifanye kazi maana uwezi kufanya mauwaji kwasababu ya mali wakati ni vitu vya kutafta

    • @barakakusa7606
      @barakakusa7606 Před 25 dny +1

      Naungana nawewe,Haiwezekani mtu aue mwenzake kwa makusudi alafu Yeye aendelee kuishi

    • @ayshajeffa7343
      @ayshajeffa7343 Před 25 dny

      ​@@barakakusa7606Auwawe pia yy😢

    • @ShufaaNassor
      @ShufaaNassor Před 24 dny

      😢😢😢😢😢😢😢😢is 😢😢😢😢😢😮6😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢a 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢a 😢😢of 😢😢😮a 😢and just an the to from 😢😢😢😢​@@barakakusa7606

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 Před 26 dny +7

    Hawa watuhumiwa kama ni kweli wamefanya, piga visu vya shingo tu maana hawafai kabisa.

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Před 26 dny +11

    Mungu wangu qiyam hakiko mbali tufanye ibada wallah

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh Před 9 dny

    Vijana fanyeni kazi😢😢😢

  • @user-jx4rx6jy6y
    @user-jx4rx6jy6y Před 25 dny +1

    Jaman tv sabufa yakumtoa loho mwezako kweli mungu awalani sana kwaicho mlichokifanya

  • @saumsaid1966
    @saumsaid1966 Před 26 dny +7

    Mtoto mdogo kabisa unatoa uhai wake.

  • @kilogreekachananawatuwasio4054

    MADAM UMEONGEA MANENO YAMENYOOKA

  • @user-dn7sc8lf8h
    @user-dn7sc8lf8h Před 26 dny +2

    Pongezi Sana jeshi la polisi mkoa wa morogoro chini ya uongozi wa rpc a, mkama,asaidie polisi mtandao mzima wakamatwe, mpaka waseme.

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Před 26 dny +3

    Mzee umeongea point san wallah

  • @user-vy2bc6xg3i
    @user-vy2bc6xg3i Před 25 dny

    Subhannallah subhannallah yaani hivi vitu hata million mbili haifiki daaah. Mnamtoa uhai bure

  • @VeronicaRugoyi
    @VeronicaRugoyi Před 26 dny +3

    Wanyongwe mbwa hao

  • @GloryTv008
    @GloryTv008 Před 26 dny +2

    Daah inaumizaa😢😢😢

  • @halimamussa8175
    @halimamussa8175 Před 22 dny

    Tv, sabufa , feni nazo ni mali ,,,uroho tu mashetan hao wafie jela

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 Před 25 dny +1

    Kama uthibitisho mmeupata, kesi ya Nini? Wauweni wakapambane na kesi mbinguni😭😭😭😭😭😭

  • @AugustinoKimweriAjohKimz

    R. I . P Monica

  • @angonzamujunangoma8775

    Masikini ya Mungu ni kijana mdogo mno.Pumzika kwa amani

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 Před 23 dny

    Kweli anaekumaliza anaekujua daa mazoea ni mabaya sana, daa nyumba kubwa hivyo alibaki peke yake mungu yangu.

  • @gladnesswazir-zz9lk
    @gladnesswazir-zz9lk Před 23 dny

    Daah r.i.p

  • @tarsisnombo3252
    @tarsisnombo3252 Před 22 dny

    Hawana hata uruma kabisa wafungwe mahisha pumbavu hao wanamua bint mdogo ambaye Hana ubaya

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 Před 26 dny +2

    Tupunguze kuaminiana mauwaji nimengi yakila aina

  • @nassorokoba9161
    @nassorokoba9161 Před 26 dny +2

    Na wao wauliwe ili waone machungu ya kutolewa roho tena wakati wanauliwa pole ili wapate maumivu

  • @talents7934
    @talents7934 Před 25 dny

    Unaua mtu kisa TV???????Rudisheni Uhai wa Huyo Binti niwape TV Kama Hizo mia Moja mje hapa Kariakoo Naziuza inch Zote Hisens,the boss, Star X na Solar Max Njooni Niwape ila Rudisheni Uhai wa Huyo bint yetu😢😢😢

  • @SafolaDonatusikilengule-ux6zs

    Jamani Monica 😭😭😭😭😭😭😭 dahh

  • @zamalisaide3209
    @zamalisaide3209 Před 25 dny

    Innalillah wainnaa lillahi rajiun daah kweli mtihan san

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 Před 26 dny

    Astafirulah yarabi mungu asinipe ujasiri wa kumuwa mtu hata anifanye nini hata anidhulum siwezi

  • @omanbarka1588
    @omanbarka1588 Před 26 dny +1

    Wauwaji nao wauliwe tu mauwaji tanzania siku zote yanaongezeka siku hadi siku tatizo selekakli inawafuga wauwaji mwisho wa sku utaona wako innje wakiendelea kufanya uhalifu zaidi

  • @user-rj4cd7oc4x
    @user-rj4cd7oc4x Před 23 dny

    Hao watu walijuaje kuwa binti yupo peke yake

  • @sergebaleke695
    @sergebaleke695 Před 26 dny +1

    Yaani unamutowa mutu uhai kisa sabufa na sim? Daah kweli kuna watu na viatu aise

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 Před 26 dny

    Hii Dunia tamaa mbaya sanaaa kama walikua nashida ya kuiba wangeiba tu lakini huyo Dada wangemuachia maisha yake jamani mungu yupo 😭😭😭😭

  • @stvjohn4987
    @stvjohn4987 Před 23 dny

    Sitivu

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz Před 25 dny

    Laanahtullah hao kuuliwa,tu

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l Před 25 dny

    Walimuua kwa sababu aliwatambua maana ni mafundi wanaojenga hapo

  • @jamespetro3014
    @jamespetro3014 Před 26 dny +4

    Mbna kama nasikiliza redio free mikwaluzo kibao

  • @ilakozasembumende1975
    @ilakozasembumende1975 Před 25 dny

    😭😭😭😭😭 masikini binti wa watu jamani daah tv na sabuufa zimetoa uahai wa mtoto wa watu alie kua anajitafutia kihalali. Masikini pole kwa wazazi na mmiliki wa nyumba jamani

  • @sharifamahamudu182
    @sharifamahamudu182 Před 25 dny

    Asa kwa vitu gan apo ata milion tatu aifiki khaa😢😢😢😢😢😢😢

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 Před 25 dny

    Loooo!!! Jamani watu hawa huruma kweli

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz Před 25 dny

    Lailahailah Mschana hata hajaolewa jamani wange kafunga hatakamba,uhai wake,jmn,

  • @KhalidKhan-ud9cz
    @KhalidKhan-ud9cz Před 26 dny

    Pole Sana kweli

  • @aishahussein9348
    @aishahussein9348 Před 26 dny

    Dah jamani hao wanyongwe,miwaache pumbavu zao

  • @user-sj1rf8ij7f
    @user-sj1rf8ij7f Před 25 dny

    Hao ni wakuwapa matesoo ya kiwango cha juu, wajute kabla ya kufa

  • @musamchaga7103
    @musamchaga7103 Před 25 dny

    Mnatuzalilisha mafundi sana kwaiyo mabos wasituamini tena mtu unamtoa uhai kisa tv ambayo fundi unauwezo wa kununua zaid ya 10 shubamiti zenu nanyi muuliwe kikatir zaid

  • @mcback4384
    @mcback4384 Před 25 dny

    Wafungwe maisha

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n Před 26 dny +4

    Hizo zote tamaa kumtoa mtu uhai wake bila sababu

    • @jaymandy8136
      @jaymandy8136 Před 26 dny +1

      😢sababu ni tamaa ya vitu vya watu

  • @chimamilion
    @chimamilion Před 25 dny

    Yn nimefanya kz nimepata ela bdo nauliwa kisa kitu changu😢jmn

  • @chikujuma18
    @chikujuma18 Před 26 dny

    Inalilah wainalilah rajighun polen wazazi wa bint

  • @ElishaSolomoni-kc4zk
    @ElishaSolomoni-kc4zk Před 25 dny

    DAH R.I.P BINTI VIJANA W HOVYO XNA😭😭😭😭😭

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Před 26 dny +4

    Unaiba kiswaswadu yaani kitululu kinamtoa mtu roho😭😭😭

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl Před 25 dny

    Yani hivyo vitu ndiyo vimewaponza kuuwa binaadam mwenzao. Jamani nibola nao wangenyongwatu basi

  • @yasakilube9946
    @yasakilube9946 Před 24 dny

    Unaua mtu kwa ajili ya tv? Laiti ingelifuatwa sheria ya Allah anaeua na yeye anauliwa bc mambo haya yangelipungua

  • @JohnChacha-cy3fz
    @JohnChacha-cy3fz Před 25 dny

    Sasa kwanini hao watu wasipigwe risasi hadharani

  • @alexmwalingo5020
    @alexmwalingo5020 Před 25 dny

    Sukuma ndani hao

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 Před 26 dny

    Hao wanaokamatwa huwenda wamevinunua mitaani. Ila ikiwa ndo mfundi wa hiyo nyumba basi wanahusika.

  • @ayshajeffa7343
    @ayshajeffa7343 Před 25 dny

    Polen wafiwa😢😢😢😢

  • @winnesakara6957
    @winnesakara6957 Před 26 dny +1

    Duuuu tv

  • @OswardMadege-gd7yo
    @OswardMadege-gd7yo Před 25 dny

    Yaani unamuua mtu kwa ajili ya redio sabufa

  • @paulmisalaba3364
    @paulmisalaba3364 Před 25 dny

    Yaani unaua mtu kisa tv na sabufa😢😢😢

  • @evaristjoseph8151
    @evaristjoseph8151 Před 25 dny

    Najiuliza Kwa makini kama watu wanauwa mtu je wanaosema hukumu ya kunyonga itafutwaje? Watu wanaosema watu wasinyongwe wkt watu wananyonga wakubwa ni wapi wakubwa ni mahakama ama ni watu wanauwa watu?

  • @user-oo1vz3zi1t
    @user-oo1vz3zi1t Před 26 dny

    Wawajibishwe mara moja

  • @aminathaabubakarmasoud565

    Jamani mbona mfanyakazi Huyo ni mnyonge tuu hata ukimnyoshea kisu tuu anaogopa ilikuwaje mumuue hata si wakusema mtapambana nae😢😢😢

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Před 26 dny

    Watu wana roho mbaya,unamtoa mtu uhai kisa TV sim sub woofer,mijitu mikatali sana

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar Před 23 dny

    Sub-hanallah!!!!!

  • @nathanlusulo-po2lj
    @nathanlusulo-po2lj Před 26 dny +1

    Waafrika ni washamba samani ya mtu ni kubwa kuliko hivyo vitu marekani huwa wanagawa vitu hivyo bure tu

    • @jaymandy8136
      @jaymandy8136 Před 26 dny

      Ww ni mzungu Sindio??? Hata marekani wanauwana kila siku tena kwa sababu za hovyo

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Před 26 dny +1

    Lala sala pole kwa familia wana akili finyu sana unauwa kwasabu ya tv cm uo ushamba pia

  • @HADSONPAUL
    @HADSONPAUL Před 26 dny

    Wanadamu wa sasa nikama wanyama wa porini

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 Před 26 dny +1

    Yachomwe moto hadharani ili iwe fundisho.

  • @estheroscar6520
    @estheroscar6520 Před 25 dny

    Kwanini msiwaue harafu mkawachoma moto maana mkiwapeleka rokabu watakula ugali wetu wa bule

  • @Mlokoz_twangalatwz
    @Mlokoz_twangalatwz Před 26 dny

    😢😢😢

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl Před 25 dny

    Subuhanallah. 😢

  • @user-se9no4rg3k
    @user-se9no4rg3k Před 26 dny

    Muwe mnatuonyesha tuwaonee

  • @joycekalago532
    @joycekalago532 Před 24 dny

    Sina uhakika kama ni mafundi wenye nyumba nao siku hizi hawana akili timam roho za kijajus zimewajaa😢😢😢endeleen kufanya uchunguzi majibu mazuri mtayapata

    • @queensalema5262
      @queensalema5262 Před 24 dny

      Had watoe taarfa manake jesh la polis wamejiridhisha na uchunguz ndugu,

  • @VeronicaRugoyi
    @VeronicaRugoyi Před 26 dny

    Jamani😢😢😢😢😢

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Před 26 dny +1

    Yan watuy wanakosa utuy kwa ajili ya redio na TV DUUH MUNGU WANGU NAKISIM CHA TOCHI KWELI DUUH

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před 26 dny

    Kwanin wasiewe wana nyonga?

  • @Abasrashid-oj9gy
    @Abasrashid-oj9gy Před 24 dny

    Aoo vibaka wanauzalilisha ufundi funga miaka buku

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh Před 9 dny

      Ndo kazi yako nini itabidi na wanawake wajifunze ufundi huko Africa mbona ulaya wanawake huku wanajishirikisha kwenye kaxi hizo

  • @user-gx6jk1dp2x
    @user-gx6jk1dp2x Před 26 dny

    😭😭😭😭

  • @HadijaZabroni-pu1lt
    @HadijaZabroni-pu1lt Před 25 dny

    😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @jaymandy8136
    @jaymandy8136 Před 26 dny

    Rest in peace ✌️😢

  • @user-yj3gy4jc1t
    @user-yj3gy4jc1t Před 25 dny

    inalilahi wainalilah rajiuni 😭

  • @alfoncejohn2104
    @alfoncejohn2104 Před 26 dny

    AFANDE PONGEZI KWA KAZI NZURI.ILA HAO MSITANGAZE NAO WAENDE POLEPOLE AU KIMYAKIMYA 'MSIWAPE MAHAKIMU KAZI..ILA MAMA NAE ACHINGUZWE

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před 26 dny

    Ayo na mimi naomba kazi

  • @halimaselemani1699
    @halimaselemani1699 Před 26 dny

    akamatwe sheria hifhute mkono wake

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Před 26 dny +1

    Wafundisheni lakini mjali zaidi MASLAHI Yao muda mwingine hawalipwi pesa stahiki au muda mwingine WANAKUWA wanawadai maboss zao pesa nyingi KIASI KWAMBA mwisho wa siku hawalipwi kabisa nk

    • @FelistersMejumaa-xi2ge
      @FelistersMejumaa-xi2ge Před 26 dny +2

      Wewe ni mjinga kweli kweli bora usinge comment tu

    • @ElishaSolomoni-kc4zk
      @ElishaSolomoni-kc4zk Před 25 dny

      AU WE PIA UNAHUSIKA KABLA UJACOMMENT TAFAKARI KWNZ SIO UTOKE USINGZINI NA MATAPUTAPU KICHWAN

    • @user-wd2bc7bf5x
      @user-wd2bc7bf5x Před 25 dny +1

      wew unaandika upuuuz bila kuelewa jinga sana wew hovyo shubamiti

    • @BIGBOSS-hl3bu
      @BIGBOSS-hl3bu Před 25 dny +1

      Felistersmejumaa ,maneno yangu sio makali Kwa wafanyakazi wa ndani na wazazi wao ila Kwa wewe mwizi TAPELI ni mkali sana kiKUBWA lipa watoto wa watu mishahara Yao acha utapeli na wizi bundi jike wewe ,umeguswa na maneno yangu

    • @FelistersMejumaa-xi2ge
      @FelistersMejumaa-xi2ge Před 25 dny

      @@BIGBOSS-hl3bu Unaonekana weeee ni shoga ,, hata kwa vikao usiwahi kutoa mada pumbi wewe

  • @godwinmwakibibi274
    @godwinmwakibibi274 Před 26 dny

    Huko tubuyu Kuna wahalifu Sana na ndio wezi wanaosumbua kola b na kola a pamoj na huko bigwaaa

  • @davidpremsontanzania7515

    Azabu yao iwe wazi hukumu ya kifungo cha muda mlefu ata miaka 50 itawatosha

  • @ibnkhaldoun9694
    @ibnkhaldoun9694 Před 26 dny +2

    “KUNA UMASIKINI WA MALI NA UMASIKINI WA AKILI”.

  • @HussainMaula-wr5co
    @HussainMaula-wr5co Před 26 dny +1

    Wapigeni sindano za sumu wafie huko.

  • @nassorokoba9161
    @nassorokoba9161 Před 26 dny

    Na wao wauliwe ili waone machungu ya kutolewa roho tena wakati wanauliwa pole ili wapate maumivu

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 Před 26 dny

    😢😢😢

  • @user-up2kg1wm9p
    @user-up2kg1wm9p Před 26 dny +1

    Jamani hitamaa vituvyakipita mnatoa uhai wa bint wawatu inaumasanaa