Vitumbua vya mchele | Jinsi yakupika vitumbua vya mchele vilaini sana | Vitumbua.
Vložit
- čas přidán 21. 11. 2020
- #vitumbuavyamchele #vitumbua #mapishiyakiswahili
Kwa wanaotaka vyuma vya vitumbua vipo kwa shuna kitchen nambari ya simu wasiliana naye ➡️+44 7984 393302 Shukran.
Website:rukiaskitchen.com
Instagram: rukias _kitchen
Facebook: Rukias kitchen
Cookpad: Rukias kitchen
Mahitaji:-
Mchele uliorowekwa vikombe 2
Sukari 3/4 kikombe
Iliki kijiko nusu kidogo
Hamira kijiko cha chakula
Tui zito la nazi vikombe 2
Mafuta yakupikia
Jinsi yakupika mkate wa mchele/wa kumimina/wa sinia na mambo yakuzingatia | Mkate wa sinia/mchele. ➡️ • Jinsi yakupika mkate w...
Mkate wa sembe | Jinsi yakuoka mkate wa mayai wa sembe | Mkate wa mayai | Collaboration. ➡️ • Mkate wa sembe | Jinsi...
Mkate wa mayai | Jinsi yakupika mkate wa mayai mlaini sana na mambo yakuzingatia. ➡️ • Mkate wa mayai | Jinsi...
Mkate wa mayai wa tambi | Jinsi yakupika mkate wa mayai wa tambi | Mapishi ya mkate wa mayai . ➡️ • Mkate wa mayai wa tamb...
Mkate wa tambi | Mapishi rahisi ya mkate wa tambi mtamu sana. ➡️ • Mkate wa tambi | Mapis...
English recipe follow the link➡️ Mini coconut rice cakes | How to make soft mini rice cakes | Vitumbua recipe. • Mini coconut rice cake...
For more swahili videos follow ➡️ / @husna_laltia - Jak na to + styl
Sijawah kufnya vitumbua nkapatia ....leo nmefanya kama vipimo vyako mashaAllah MashAllah hasbiyaAllah vimetoka sijaamin😘❤️👌
Awww asante sana my deae … nimefurshi sana kuskia hivyo
Umenitia njaa dada😂😂 Mapishi mazuri mashallah 👌
Masha Allah
Mashaallah ❤❤ mrs🇰🇪
Asante sis😋
Maashallah 😍😍😍
If you would like to watch this recipe in English language press the link ➡️ czcams.com/video/0UmghrhyBDI/video.html and for those who are interested to purchase vitumbua pan kindly contact shunas kitchen :+44 7984 393302
mashaallah nimejarib nimeshindwa
I real like it and I will try to do it thanks dear
Thanks for the recipe
Maa shaa Allah you never disappoint , naomba recipe ya meat balls. Hakuna upishi wako sijajaribu, nimejifunza sana
Shukran
Mashallah
Allah akuzidishie kwa kutupatia ujuzi
MashaAllah
Nimependa shukran
Mashallah ❤❤
Ma shaa Allah kitu simple kabisa and 😋😋😋😋
Shukran sana habibty 😘 🙏
Nzuri sana
God bless you 🥰
Asante mm naitaji kupika vya biashala
I like this
mashallah
Wow Thanks for sharing your aplodingfriends🔔🔔🔔
Likeeee 70
Shukran saana kuni elimisha na Upishi Superb 😋😋😋😋😋😋
🥰🥰🥰
Kama kawa...vitu nadhif vitu pambe ma sha Allah aleyki😘😘😋😋👌👌
Shukran habibty 😘 ❤️ kama pamba 👌👌
Mashallah
Mashallah habibty yummy vitumbuas😋
Shukran habibty 😘
mashallah vitumbua vizuri sana
Nikitaka vya biashara naweza kusaga mchele mashineni?
Nimeyapenda mapishi yako ant!
Asalam alaikum Dada mapishi mazuri mashallah mimi nafatilia sana jinsi unavyopika napenda kwa kweli ila nauliza kama wafunza watu naomba unijuze plz niwe mwanfunzi wako
Hongeraa
Asante
Masha'Allah Vitumbua vimetokekezea vizuri hadi raha😋👌
Shukran my sista sista ❤️ 😘
@@RukiaLaltianikipika vitumbua vinanata nakosea wapi?
Mashaallah vizuri na soft. Wapi ntapata chuma cha kuchomea size kubwa kama hiyo.
Kwa shuna kitchen nambari ya simu wasiliana naye ➡️+44 7984 393302
MashaAllah tabarakaAllah, samahani nauliza kikombe ulopimia Mchele ndicho ulopimia tui
Ndio
Ubarikiwe dada Mungu akuzidishie maarifa utujuze zaidi
Ameeen 🤲🤲
Nice
Respect to rukia
Awwww thank u soo much
Umejua kunifurahisha
Jamani nimependa sana pishi lako zuri san
Vitumbua mzuri Sana Asante. Rukia where can I buy the vitumbua chuma. (Pan)
Rukia asante sana kwa mapishi. Naomba kuuliza jiko lako ni la induction? Na hiyo pan yake ulinunua wapi? Mie nimenunua kama hiyo nilipokua likizo Africa, nimeitumia summer tu kwenye jiko la barbecue la gas nje, maana ndani jiko langu ni induction.
Me penda somo lako dada Asante
MaashaaAllah mate yanidondoka dadaa nitulie location nije mana mmm
😂😂😂😂 karibu sana my dear
❤
MashaAllah kipenzi changu 👌🏾 Naomba kujua mchele umeuroweka kwa mda gani? Nimeamka Nna hamu yakula vitumbua lakini sijui natakiwa kuroeka for how long. Asante mamy nasubiri jibu inshaallah
Hey love, shukran sana habibty , mm naroweka mchele usiku mzima
Nimefurahia mapishi yako Asante. Eti ni lazima kupika uji na ukae masaa 12 ndipo uanze mapishi?
Hapo ukitoka na vitumbua vingapi
Je unga wa vitumbua nikikorogea uji unakuwaje?nipee majibu my dear
Mashallah!! Can I use the same recipe in making vibibi?
Yes u can
Thank you my dear. Bless you !!
Mashaallah ukhty, kwahiyo sio lazima kusaga kwenye machine hata blender naweza tumia kumbe au inategemea na mchele wenyewee?
Eeeh na blender
Upishi maridadi da.
Mchele unauroeka kw muda gani?
Mchekele unalowekwa kwa mda gan?
wengine wanaeka uji au so lazima
Swal:kuna wengine wanaweka mayai kwa ajili yann na wakat gan wanaweka,pia wanaweka na unga wa sembe ni lazima
Mashaallah vimetoka vzury swa da umetumia mchele ngani na umeroweka kwa mda gn na kama huna nazi waweza tumia nni?
Basmati nimeroweka usiku mzima
@@RukiaLaltia Oooh shukran habibty
Habar dada vitumbua vyangu vinatoka vigum nifanyaje
Na vile vya mchele kusangwa mashine ya nafaka inakuwaje?
Hey habibty mchele ni basmati???
Hello
Ikiwa situmii nazi ninaweza kutumia maji au maziwa?
Ndio
Asalam alekum napenda sn kuangaliya mapishi yako nauliza mimi nikipika vitumbua siku ya pili vinakufa vigumu sn sababu ni nini
Sister hicho chumaa ume nunuwa wapi?
Naomba utoe namba yako ya Sim,kwanza nakushukuru Bwana yes akubaliki.
me nimefanya kama ww shida imekuwa kwny unga mara ya kwanz ulikuwa mwepes vizur but ulivyoumuka ukawa mzito kidogo au unafaa kuongezewa maj?
Unga wa klo1::naweka maji kiasi gan
huo mchele unakaa kwenye maji kwa mda gani?
Nakama Sina Brenda nawezaj kupata kitumbua kizuri kama hicho
Hi,Rukia nami nahitaji chuma cha vitumbua size kama hiyo ntakipataje?
Mm nanunua kwa shuna yupo uk buy ikiwa uko kenya nawal center utapata pia
Naomba kujua kutengeneza skonzi
Inshallah
Naomboa kuuliza, mchele kilo 5 natumia Nazi ngapi, na hamira kiasi gani.
Mchele kilo1::maji au tui kiasi gan??
Mambo, nauliza hio pan naeza ipata wapi na Kwa bei gani
Duka ya vyombo ama sokoni mami
Je ninaweza kutumia maziwa badala ya tui????
Sijawahi jaribu
Swali langu la kwanza naweza kutumia nini kingine kama Sina tui la nazı?. Swali langu la pili nikiwa Sina hicho chuma cha kuchomea vitumbua naweza kutumia nini kingine? Naomba jibu tafadhali
Waeza tumia maziwa au maji na Chuma ni lazma uwe na Chuma
Mchele unaloekwa kwa mda gan maah?
Usiku mzima
Unatumia mchele UPI kwa vitumbua?au wowote?
Basmati
Nini kinasababisha vitumbua kunatanata ndani kama ugali??? Msaada please
Dada nimejaribu vinakua kama. Uji ndani nakosea wap
Moto mkali havikuiva ndani
Please translate in inglês
czcams.com/video/0UmghrhyBDI/video.html all my videos are in English and Swahili thts the English link
Kama natumia kilo Moja ya Michele mchanganyiko wake unakuaje
Ningependa kujuwa kama hiyo pan naeza tumia kwa jiko la infrared cooker/ceramic furnace
Asl alaykum samahani umetumia mchele aina ipi?
Basmati
@@RukiaLaltia shukran
@@RukiaLaltia samahani yoyote ile au ipo spesheli
my dear mbona nishajribu kusag naona mchele hausagiki unbaki na vichenga chenga shida itakuwa nnini
Inategemea na mchele , michele mengne hayonya maji , itbidi uwongezee tui ama maji
@@RukiaLaltia nikiongeza maji si nitafanya mchanganyiko utazidi kuwa mwepesi maaan ninajitaidi na loweka mchele usiku kucha na bado nikija kusaga unabaki na vichenga
Please jina la hiyo cover juuu ukimaliza ku blenda inaitwaje
Cling film
Kamahua nazi
mchele unaloweka kwa muda gani
Usiku mzima
Naroeka Kama kiasi Cha wa Sinia huo mchele
Eeeh ndio
MashaAllah
Shukran
Mashallah