Jinsi yakupika mkate wa mchele/wa kumimina/wa sinia na mambo yakuzingatia | Mkate wa sinia/mchele.
Vložit
- čas přidán 22. 10. 2020
- #mkatewamchele #mkatewasinia #mkatewakumimina #ricecake
Website:rukiaskitchen.com
Instagram: rukias _kitchen
Facebook: Rukias kitchen
Cookpad: Rukias kitchen
English recipe follow the link➡️ Rice cake l Cake rice | How to make rice cake | Mkate wa sinia / kumimina / mchele recipe. ➡️ • Rice cake l Cake rice ...
Mkate wa sembe | Jinsi yakuoka mkate wa mayai wa sembe | Mkate wa mayai | Collaboration. ➡️ • Mkate wa sembe | Jinsi...
Mkate wa mayai | Jinsi yakupika mkate wa mayai mlaini sana na mambo yakuzingatia. • Mkate wa mayai | Jinsi...
Mkate wa tambi | Mapishi rahisi ya mkate wa tambi mtamu sana. • Mkate wa tambi | Mapis...
For more swahili videos follow ➡️ / @mapishiyazanzibar
➡️ / @husna_laltia
➡️ / @eastafricanfoodsrecip... - Jak na to + styl
If you would like to watch this recipe in English language press the link ➡️ czcams.com/video/zo3PK5Z8P-0/video.html
Unafundisha vizuri ♥️
MashaAllah for the first tym mkate umekuwa laini , the gas works for me,shukran Kwa ujuzi 😍
MA Sha Allah
Mashallah 💞
Safi sana
Ahsante sana dear !!!!
Mzuri sana
Hasante Sana umenikumbusha mbali
Wa kwanza kulike n comment
MashaAllah
Allah akulipe khery habibity nimejifunza
Mkate umetokea vizuri 👌❤
Tushakaribia habibty 😘
Mashaallah mkate untokea vizuri. Shukran kwa kutujuza, keep up the good work
Afwaan 🙏🏾🥰
Mashaallah ila samahn nmchele wowote unatumia
Moist mashaallah
Shukran 🙏 ❤️
Ni yummy kwa chai ya maziwa ya yangawizi😋
Kabsa habibty wangu 😘 😋😋👌
Mashallah 😋😋😋 ,shukran habibty, have to try this ..miss my Mombasa snacks 😘
Ameen yarabi inshallah 🙏 Shukran habibty 😘
🤪👌
Mashaa Allah looks delicious 😋😋
Shukran
@@RukiaLaltia Afwaan
Mashaallh naomba kujuwa mkate sembe plz
czcams.com/video/Ckk0Cw_s02k/video.html
Mashaallah mzury moto wa chini tu ulikuwa kdgo ukawa mweupe
Shukran habibty, ni kwasababu ya pan ya kuvunjika it's non stick huwa watoka hivyo lakini uko sawa kabsa
Can one use rice flour instead of rice grains?
Huwezi pika kwa mchele uliopikwa (wali)
Mashallah mashallah Asante kwa kutujuza habibty mkate ni mzuri nimependa nitaenda kupika 😋😋
Shukran habibty 😘 🙏
Kwa grill joto kiasi gani pls
MashaaAllah una rangi nxuri mate hayoo...je huo moto wa oven utachoma chini kisha juu ama n vp
Juu na Chini kwa symbol ya eco fan mood 40/45 min yategemea na oven yako
@@RukiaLaltia Shukran habibty
Je Kwa mfano umekosa nazi yakuweka ,,je unaweza kupika na maziwa au
Me nafarijika nikiona recipe zako nafurahi na nazidi kuwa mjuzi jikoni Allah akujaze kheir Rukia habibty 🌹❤️
Ameen ameen yarabi inshallah 🙏 Shukran habibty 😘
@@RukiaLaltia 3fwaaan
A. Alaykum je naweza kutengeza kutumia unga wa mchele. Kama naweza je nitumie vikombe viwili vya unga?
Mkate wa sinia ukichomea oven unaweka moto wa chini then wa juu au moto wa juu na chini moja kwa moja
Mm unanisumbua kwenye kuumuka sijui naweka amira kidogo sielewi
Kusaga Haichagui blenda mie Nina blenda ya kawaida
Utawasha moto wa chini kisha wa juu?au wa juu peke yake??
Huu mkate huwa hauna radha ya mchele??
Habadi Dada naombakujuwa ukichoma mkate wakumimina katika oveni unaseti moto chini na juu ama unasiti motoupi
Juu na chini
I am very sorry the link doesn't open
Naomb kuuliza mimi nliwah kujarbu km hivi lakini ulitoa unanata sana na rangi ya njano sana hapo ntakua nimekosea nini
Mashallah nimwjifunza Allah akupe kheriy cheef
Ni mchele wa Aina gani..huo
Unasauti nzr xna dada ang
Asante sana
Umetumia mchele gani plz
Basmati
s 0
Sorry sis sio sascribe ni sabuscribe
😂😂😂😂lol Hahahaha sorry hyo accent hainibambi 😉
Dada Rukiah ametamka the right pronunciation. The 'b' is always silent